Maneno Ya Hekima ya Bishop Dr Dunstan Maboya kwenye Hitimisho la siku 40 za maombolezo
Maneno Ya Hekima ya Bishop Dr Dunstan Maboya kwenye Hitimisho la siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bishop Dr. Gertrude Rwakatare. maneno haya aliyasema siku ya Jumapili 31.05.2020 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"
Пікірлер: 5
Wa kwanza kuangalia leo tar 04/06/2020 saa 03:13 pm 👇👇
ATUKUZWE MUNGU ATUPAYE KUSHINDA...KAZI YANGU IKIISHA NAMI NIKIOKOKA NA KUVAA KUTOKUHARIBIK...NITAMJUA MWOKOZI NIFIKAPO ...hakika huu wimbo unanitia sana moyo na kufurahi kwa ajili ya maisha ya Bishop hapa duniani.LHSRIP
Kweli kwake Yesu nasimama ndie mwamba ni salama.
wa pili mm saa 16:52
@aloysemichael7708
4 жыл бұрын
Mungu akubariki Askofu wangu