MAMA MKWE WA BARNABA MAMA KIMBO ACHARUKA BARNABA ANANIARIBIA MWANANGU HANA ADABU ANAMCHEZEA RAYA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 98
Media hapo zinapenda mtu akifunguka hvyo😂😂😂😂
Muache apambane mwenyew mama.sio.vyema.kuingilia ndoa ya mwanao.mwenzio.hadija.kopa.yupo.kimyaaa kama.haon😅😅😅😅😅tulia mama
😊I love tanzania.mimi mu congo
Wivu mama mkwe kwa mwanaeee jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kipind barnaba anamuoa mwanao mlijua kabisa kuwa huyo ni msanii now mnataka kumpangia namna ya kufanya kazi wakati hiyo kazi inawapa ugali🙌🙌 Msyuuuuuu❤!😏😏😏
@noelbryson7840
Ай бұрын
HILI MAMA JINGA KABISA..
Uyu mama ni kiboko🙌
Mama Kimbo niatari kweli u,una jazba mama nenda pole pole
Duuuu nchi yetu imepungukiwa maadili saaana
Iwe kiki iwe kweli kwake , nimependa ana lafudhi nzuri sana huyu mama. Asante kwa kuenzi kiswahili sanifu. Kawatoa out hadi waandishi wa habari, ujengewe sanamu mama!
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Mama wa Kitanga huyo mawahili kwisha kazi mkwe gani anaingilia nyumba ya mwanae huyo ni Msanii ndiyo kazi yake mkwe anasema kama Kasuku wala ndoa hiyo haisumu
Hawa wamama wachangia ndoa kuvunjika makelele ya nini mpiluuzi kabisa nyamaza ungekuwa mkwe makofi unakula
kutwa mwanao anakata miuno mtandaoni 🤣🤣🤣mmeachika ni zam yangu Sasa😂😂
Mungu wangu huyu mama sijui kabila gani au nit abia tu zamtu!namuomba mungu anifanyie wepesi kwenye ndoa yangu nisikutane natoleo kama hili😮
Mama meza mate duuuh😂😂😂
Zamani mama wakwe Walikuwa wanatumika kuimarisha ndoa za watoto wao...., ila siku hizi mama wakwe ndo wanatumika kuvunja ndoa za watoto wao... Hatari sana
Ataka kazi alifanya vibaya
Mwanao hajajua kw amba ameolewa na msanii ila mama ki mbo mwanao alipoo Lewa ulijigamba san a kwamba mwanao hawezi kuachwa na barnaba hawezi kuw a na mwanamke Wa la kumtamani mwa namke yoyote kiko wapi Sasa msijisifie hao ndio wanaume bwana
Hutaki kumuona wewe ila mwanao anataka kumuona we mama kitulize ....kipindi cha ndoa uliwachamba watu leo tena mtu yupo kazini wewe kamasi zinakutoka ...halafu anajiamini utafikiri huyo barnab kamuoa Malkia elizabeth hawezi kumuacha ....ataachwa moja kwa moja we jineng'eneshe tu ...mke wa mtu unampokeaje kienyeji hivo na wewe mama za mwamwa vilevile
oya bro achana na huyo mama hazimotoshi hajui upo kazini fanya kazi
Vaeni nguo fupi wanamusic lkn mvae nguo za heshima tunataka mvae nguo za music tatizo wanavaa nguo za casino hii HAIKUBALIKI na sio Barnaba tu na wanamusic wote kina zuchi Nandi ,maua Sama na wengine wavae nguo za music waache kuvaa nguo za casino
kiukweli mimi nasema ndo mana movi za kibongo hazina maana kwani kuoa tanzania ndo mnajua kaoa yule yuko kwenye kazi mwanao hajaoana na shehe ameolewa na mtumaalufu, huyu mama akili hakuna tutapataje uhalisia kuwa wimbo unamanisha mapenzi, angalieni movi za nje zina uhalisia. tulia wewe hapo unao ingilia ndoa ya mwanao
Sijawahi ona mama jinga kama hili..Halafu limekaa kimcharuko ..
@biggyayush4539
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cd
Ай бұрын
mjinga niww mama yuko saw
Ila waandishi
Wewe mama mshenz kwanini uje mtandaoni
mbona ulikuwa unashikwa shikwa , barnaba hakulalamika
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Robart huyo mkwe bomu ndiyo tatizo la kuoa mwanamke wa kiswahili
Hyu mamamkwe hana adabu,kwn barnaba n bwanako nyokooo
Ww mama hujafungwa nitamwambia mama hadija kopa akufunde usiingilia ndoa ya watoto
@noelbryson7840
Ай бұрын
JINGA KABISA HILI MAMA.. USIKUTE NA LENYEWE LINAMMEZEA MATE BARNABA..
Barnaba hana mkwe hapa, na kampokea mwanawe bila ridhaa ya mumewe. Hivi hakujuwa mkwewe ni m'bongo flavor huyu mama ni mtihani sana ktk jamii na sura yake kama turubai ya msibani. Embu kaaa kwako utulie ww mama bazazi
Unakuharibia mwanao? We hukujua anaelekea wapi?
Mama yuko sahihi
@michelinemapendo6652
Ай бұрын
Kabisaaa 😢😢
@michelinemapendo6652
Ай бұрын
TAZANIA MAN THEY NOT RESPECT AT ALL 😢😢😢
Hu uyu mama sio poa
Oi huo ni umandaziii
Acha usenge ww mama kimbo, aya mpeleke Mwanao kwa kimbembe fala ww
Huyu cicter ni chizi mtt wake kuonesha uchi eti hakuna shida ila Barnarba kumshika yammi kwenye kushoot eti ndo shida maadili gani kama hayo anayayazungumzia huyu cicter ni mpumbavu kweli wivu adi kwenye ndoa ya mtoto wake au anamtaka nae Barnarba amusanzue.........😂😂😂
Mama kimbo hayakuhusu
we mama acha ujinga huyu n msanii 😅😅😅na hiyo ndo inamuingiza hela ya kumtunza mwanao 😅😅😅 sasa umemind hvoo je angekuwa amempiga mate c ungemuozesha kwingine
Kwan alikuoa ww mbona mate yamemujaa
Mama mwenyewe haji heshim,hajajistiri halafu anaongea nini?Bint katoka nyumbani kwake bila ridhaa ya munewe,nawe wampokea na full kutoa povu mitandaoni
Mama ww una mdomu kweli acha mambo ya watoto ivyo wakipatana utaweka wapi sura yako mama kimbo mbona mkweo ni anabusara Sana ww shida nn mama. Wacha Jimbo liende kipindikile pia ww mama ulisema unataka mwanao aholewe Sasa amesha kulewa ww Tena kimbelembele kama mfumo wa koti tuliya bb Wala sio yako ni ndani ya ndoa Yao wenyewe tuliya Bibi 😂😂😂
Aache kuendesha ndoa za watu huyo yeye nani anamfuatilia kwenye kazi zake 😂
Wataka ushikwe wewe mama nakujua
Atashikwa kidogo
@mossyfimbo3577
Ай бұрын
😂😂😂😂
Barinaba ni mjinga ameenda kujichomeka mzazi hamezi mate
😅😅Ndio Barnaba classic Muhamedi huo 😅😅😅😅😅we mama wew nakukumbuk 😅😅Wale vijuso wale Barnaba kishamckuwa 😅😅😅leo Hana adabu???😂😂😂
Unaongeaaaaa mpa ka mishipa ya shing o imekutoka kwanza mwanao hajafundw a usingempokea mp aka aje na talaka mo aka hapo mama Kimbo umekosea mwanao nae sie pia tumbo wazi hovyo h ovyo ulijigamba san a kwamba mwanao umemfunda sana h aachwi kiko wapi
Ila waandishi wa habari jmn😂😂😂😂
Huyu anatakiw barnaba amuowe mama ake mkweee
Ajui uislamu huyo huyo ni mpagani
😂😂😂😂😂duh mama kimbo
mama jicho limemtoka kiuno tu na chupi kua nje,je angepakiwa mkongo yammi ingekuaje?????????
Hila toto lako linavyo kata kiuno mitandaoni Yupo sahihi
@noelbryson7840
Ай бұрын
😂🤣🤣! Mama lenyewe linaonekana tu niwalewale..
Kwani amelala nae mbona nyimbo inasiku tatu na mahojiano yanasiku tatu eee bhana
Kosa ulilo fanya nikumuozesha kwa huyu msani
Kaa kwa UTUO barnaba😂😂
@SaraMwamanda
Ай бұрын
😂😂😂
Mkwe au mkwepe
mama uko sawa ila watu wengi wanao kukosoa niwale mashoga wapenda zambi wasiojua kama ipo siku moja watalazwa kabulini ndio mana wanakuona huna akili kumbe wao ndio wajinga
Mama umeishiwa
Wakati anaolewa na barnaba alijua ni mchimba mitaro
😂😂😂😂mama meza mate 😭😭😭😭😭😭😭
hiyo video hata haifai kuangalia na watoto
Basata ivi wapo? Mbona mziki huu unaenda huku
Kiki iyo
@IsackHolowa-ki7jc
Ай бұрын
Wew mam kimbo mpumbavu asa wew mam kwahy mwanao kushikwa chupi unaon wivu 😂😅😮
@IsackHolowa-ki7jc
Ай бұрын
Ulitak kushikwa wew hiy chup wew mam
Kajichanganya kwenda kuoa kwa mama k
B mkubwa UKO saw mwanndishi uwe na adab bac,
Ilenikaz na yule nibongofreva
Uko swa mama but shida ni mtto wako
MWENYEWE NDIO ASEME SIO WEWE
Kama kiki inakuja alafu inarudi
Mama mkwe hamtaka barnaba
😅😅😅😅
Mama mkwe kope machoni kama jini
Ww
Ndio mkwe wako uyo mwanamuziki
Nisahihi unavoongea
Nawewe huna adabu.utamuiwa wewe
Ma mkwe kaa kwa kutulia mkwe wapo yupo kazi 😂😂😂
Mulher epunta
Mama mkwe acha wivu huyo msanii kwanini umemuozesha kwamuimba mziki
@noelbryson7840
Ай бұрын
Unaweza kuta hata hili mama linamtamani barnaba..
Chupi imemtibua mama mkwe weweeeeeeeeeeee
@amisafaraji5796
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mdoutz7452
Ай бұрын
Mama kavurugwa na mchupi ulee😂
mmmmmh ujinga mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@ScopionScopion-zj9cd
Ай бұрын
ww ndio jinga
Kweli mama uk sahihi ila sema. Wale niwasanii
@rosemneney3244
Ай бұрын
Hehe heeee ulisema mwanao kafundwa mzuri hawezi kuachwa halafu Barnaba anawazazi pia