Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
Nafahamu kuwa mahusiano au ndoa kuyumba kuna sababu nyingi sana. Inaweza kuwa madhaifu ya mume au mke au hata ndugu. Mke au mume wanaweza kuwa wanayajua madhaifu haya au hawayajui kabisa. Bahati mbaya sana, makosa au matatizo yanayosababishwa na wanawake yanaweza kuiathiri ndoa kwa uzito mkubwa kuliko matatizo mengine. Hii ni kutokana na nafasi aliyonayo mke kwenye ndoa. Je unayajua makosa wafanyayo wanawake kwenye ndoa? Fuatilia video hii kwa uelewa zaidi.
#DrChrisMauki#Makosa#Wanawake
Пікірлер: 284
Ufanye yote hayo siku ya kukubadilikiya nimoja 2 Hawana huruma wanaume wakiamuwa kukufanyiya kitu hawa rudi nyuma 🙌🙌
Vizur sana dada mwanaisha kwakulitambua hilo bas naomba tumia nafasi kidogo kuwashauli wanawake wanaofatilia kipindi hiki cha uyo dr mungu atakulipa dada
Ni kweli wanawake tumezidi tuache madharau katika ndoa zetu tupate baraka za MUNGU😏😏😏🇰🇪
@dinahdianah9653
4 жыл бұрын
Kwa hii karne si mke wala mme wote tumekua vichaa kwenye ndoa , MUNGU aturejeshe kwenye position yake shetan ametukamata hatu- kamatiki ivi mm ujiuliza hii dunia itaisha vipi ? nkifanansha na wakati wa sodom yan ya wakati huu makubwa mdogo yana nafuu kna vitu nmevifunza kupitia mtandao hadi na regreat sanaa kua king'ang'anizi wakujiunga mitandaon kutoka ndio nmeshindwa ashindwe ibilisi a aye nkamatia humu n bora kua boya uone ufalme wa mbingun
@hamzasemgen3049
3 жыл бұрын
@@dinahdianah9653 you
Maashaallah, shukran sana… sikuzote minaamini wanaume wote wangetumia akilinyingi kuishi nasisi dunia ingekuwa na amani kiasi kikubwa sana… Ila tatizo wanatumia nguvunyingi hatimae baadhiyao kwasasa wanaitwa wanaume kwajinsiatu na sio cheo au uongozi km waliopewa na mungu.
@kids_giftshopkids_giftshop3374
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣numecheka jaman
@chrissg4026
3 жыл бұрын
Kosa ilo tayari😂
Powerful! I love the background
Shukran Dr.Chris
Asante kwa SoMo zuri sana Hilo Mungu akubariki.
nakukubali sana Dr mauki am 100percent supporting you
Nimependa sana mafunzo yoko yananijenga,nayananifungua mambo ambayo nilikuwa siyajui.
Be blessed Dr Chris
Uko mwanaume mwenye busara,alafu nakupongeza kwaushahuri mwema unashauriya sisi wanawake, asante
Point Doctor ubarikiwe sanaa
Asante sana Dr Chris🙏
Kweli kabisa.Shukrani Kwa ujumbe mzuri.
God bless you for reminding us! Ndoa zitakuwa bora sana tukizingatia mambo haya!
Nimekubali. Hivyo ndivyo walivyo wababa wetu
Shukran mungu akusimamie as ante🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Shukrani sana, unafanya vizuri sana kutukumbusha tuliyo yasahau, Shukrani
Mungu akubariki
Woow i have learnt alot ,thnkz Dr
nimependa somo dr
Asante sana kaka kwa elimu hii barikiwa sana
Nmejifunza asante
Sahihi kabisaa kaka unayosemaa shukran
hayo mengine Dr wivu tu .inaerekea unawivu sn kwa mkeo msifiage nyie tu wanawake wazuri tukisifia ss kosa so kweri Dr
Kabixa Daktari barikiwa sana ujumbe wameipata
mafundisho mazuri sanaaa🙏
Ante sana Dr Kwa SoMo nzuri Ina imarisha ndoa ya wengi
aisee....umeongea saaaana...Bless you Dk.
Thanks kuna vitu najifunza🙏🏾
Asante sana
Thank you so much
Umenijenga Dr asante
Nice teaching
big up doctor👍
Asantee dr
Uko sawa
Value ya mwanamke ni kuwa na mahusiano. Hapo umeniacha hoi.
Grace Kiria keep it watching, inakuhusu😂😂😂
Hakika umenena asante xna
Broo umenifurahisha sana
Very good point...
It has interesting notice shapens might
Uko vizur sana
yan uelewe makosa ya mwanaume malaya hapana kwa kweli tena anafanya umalaya waz waz bila kujali heshima yako wala kujali familia yko nitamvumilia akiwa hana hela na nitayavumilia madhaifu mengine ila cyo ya kimalaya 😭😭
Very true 👌
Asante
Aya makosa ni kweli aisee yanafanywa sana na wake zetu. Tena yote hayo yanajirudia. Ila umegusa ili yarekebishwe then mambo yawe mazur
Amazing speech may you live long life dr cris mauki
@ChrisMauki1
2 жыл бұрын
Asante sana rafiki
Asante sana Mwalimu wangu, nazidi kujifunza mengi kutoka kwako, May GOD bless you!
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Asante sana
Ni kwel kabisa
Asante baba
Ndoa ni kazi kweli 😂😂😂😂 ....am not ready to do this ata submitting is a problem 😂😂😂.
@victorioussuestar3131
4 жыл бұрын
Wanjirus tuko na shida kweli kweli ikifika hapo😂
Ama kweli, "mwanamke amtii mume wake" utiifu ukitoweka ah! Basi!!!
asante
Well said Dr, wanguu🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️qwa hayo yoote ni bure qwake, juu once you just mess kidogo, all those qualities zinageuka vicevesa qwako, untill you see yourself nothing on that rlnxhp 😔😔😔😔
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
point taken ..have Learn alot
Man you are bright....I love it, I am staring this with my wife first and all married men in my Church. ¡Gracias!
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Thanks so much
@sainapeisieku1598
3 жыл бұрын
Thanks alot nice one
@zuwenaabdallah199
2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 +
I mean well for my husband.. Mungu anisaidie.. Marriage is not a joke aki.. You're not brother and sister.. Ni ngumu aki wah
@user-yl2ej4ex6l
5 ай бұрын
True 💯💯💯 mungu atusaidie sana 😊
Somo zuri sana
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@zamoyonimagige9619
3 жыл бұрын
Sawa dock nimekupenda sana mm nko kwenye ndoa ila nilikuwa na mgogoro na Mme wangu nikajua yey ndo ananikosea ila nilivyofatilia somo lako nimejifuza sana ady na yey kashangaa nilivyobadilika Kwa sasa tuko vizuri mungu akubaliki sana akupe maisha maref
Jmn mwanamke wangu anatabia zote hizi hasa hili la 10 na la kwanza daaaaaah
Axante xana
Asante umenifunza kitu dear
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashkuru sana
AKi nimeshukuru sana nimepata siri kubwa ambayo nilikuwa sijajua mungu akubariki nimepata funzo kubwa sana naomba unipe namba yako🙏🙏🙏🙏
Nimekuelewa sana sana. Naamini watu wengi wamejifunza kupitia hapa
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashukuru sana mkuu
GOOD
Habari,docta naomba kujua nawezaje kumfanya mume wangu akaanza kufanya bihashara yake mwenyewe"how to start a business physically and mentally ?"
Tuseme ukweli, kuishi tu na mtu ni MAJARIBU MMNO, its a very discomfort zone, that gives us a chance of growth,imagine mtu na stress zako af bado unakutana na kisirani... Doh. Kipekee, DONT BE WITH SOMEONE BECAUSE YOU LOVE THEM, BUT BECAUSE YOU WANT TO "GROW". love goes away, once akicheat, akifukuzwa kazi, akikupiga.... Ila ukienda kwenye mahusiano taka kukuwa kiakili, kiuchumi, kimtazamo wa akili, kimapenzi.... Hakikisha, unajiona ukitoka kwenye hiyo relationship uko more resiliant to danger, more smart,, more loving, more patient... Hivyo vyote vizuri come in great pain, pain fruits are better than relaxing fruits.
@jackneymasamson8335
4 жыл бұрын
Wow nimeipenda hii
@DaveHumphrey2514
4 жыл бұрын
@@jackneymasamson8335 eeeh jacky, love is blind! Mapenzi ni upofu... Kukua ndio lengo kuu. Google growth kujua zaidi. Kunatisha flani...
@hoccyhilary6789
4 жыл бұрын
You are very smart, ila wanaume wengine hawajitambui, you found a best woman very good a Nakupenda anakuwa everthing kwake then anajisahau anakuchukulia kama you cant live without him, too bad, mnajisahau
Kipindi cako nimekipenda saana mimi ni mtu kutoka Burundi, sasa kama Mme wako unaona kama anaaca kuhudumia famillia na hali yakua kipato anaco ,yéyé tu anataka mwanamke alete héla tu ,akisha pata héla za mwanamke anasepa ,kunawakati mwanamke anashindwa vumilia na akasema maneno inje ili afarijike ,samahani Dr mateso yamezidi kwenye ndoa nyingi ,
Na Ikifikia pale mwanaume anajiona yy ako sawa especially akiangalia his background ...hw a Lady can handle that situation
Asante kwa funzo nzur sanaa pongezi, licha naomba pia makosa ya wanaume nawaona kwenye comments utadhan wao n malaika gabriel ameshuka kutoka mbingun I mean utadhan hawakosei, kwanza hawa wanaume ukiwasaidia n balaa wakati atakuacha atakuachia watoto , lkn kwa mwanamke kusaidiwa na mme si shida manake muda akiondoka atakuacha na something kwa utumizi ya watoto
@juventjustinianaloyse6640
4 жыл бұрын
Nipe nambako nikutumie whatsap mambo ya mwanamme from Dr K mauke 0756423952
@dinahdianah9653
4 жыл бұрын
@@juventjustinianaloyse6640 hehehehe mbona sikuamin
nipo ktk mgumu sana kaka criss..kosa la kwanza hadi la kumi yote mke wangu anayo..nipo ktk mchakato wa kutoka na tunawatoto wawil
@fridasanga2494
11 ай бұрын
Pole kaka yangu usimuache mkeo mtumia hii crip aisikilize uenda atapata funzo
Je mwanaume kukosoa ni sawa
Big up brother
Nakubaliana na wewe doctor 100%
ok, leo umenena lakini niulize mwanaume akiibia mkewe pesa apeleke mpango wakando matembezi, alafu mkewe ajue, kuna vile heshima itadumu
In conclusion... don't break a man's ego. Embrace it❤
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤔🤔🤔🙌🙌
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Very true • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wanaume munapenda kueshimia lakini hamutaki kuheshime wake zenu.. Tena wanaume munaweza na mweye ku fail .lakini kwa kuwa nyinyi ni wanaume munatawala hamukuaki Na kosa sasa mwanaume .
Nakupata vizuri sana
True...100%
Naomba mawasiliano nimekusikiliza bado kunamambo mengine inabidi yakae sawa.
Kosa la mwanamke kusema mme wake bure kitandani. Hapo ndoa kwisha.
Haha huyu jamaa ni Genius
Everything women this ,women that and men?when are we going to read about makosa men do..women also have value..can we for once have advice for men....
Dr.wanaume wengi ni wagumu sana kurekebishwa na wake zao,utafanyaje?
@ensanako44
4 жыл бұрын
Thats true they don't want to be questioned
@prettyh7509
4 жыл бұрын
Ahahaha ni mwendo wa ngumi ss hiv wanawake tunafanya mazoezi
Wanaume sio waelewa maana hawajui majukumu yao wanatuelemezea mizigo mizito ss wanawake
@dequeen460
3 жыл бұрын
Hapo'umesema' ya' wavivu' kwli' hawajui'kulipa'karo' wala'awatoi' mahitaji' ulevi' naumalaya'uliokithiri' ati' mtu'kama' huyu' umsifie' haiwezekani
👌🏽
Mafundisho mazuli sana
Hi Dr kama mara ya Kwanza alikua na michipuko nikamshika mara pili tena amerudilia mpaka sasa amezaa nae m chipuko mm aniaangali wala mtoto Wangu tunafanya KAZI pamoja na tunalipwa mshahara Kila mwezi yy Hana pesa na tunaishi pamoja
Upo sahihi dor
Wangu hashauriki kwanza atakudunda mingumi
Kwani Dr. Anayetakiwa kulinda ndoa ni mwanamke tuuu.? Msomo yako ya mahusiano mengi yanahusu "mwanaume anachopenda na asichopenda" what about women?????
@shahzadmehmet5922
2 жыл бұрын
Exactly📌
My Money his Money,his Money My Money ...but some men r taking wrong advantage of Ladies with big heart...sababu ya kumueka wazi kwa mapato kaa mwanamke,Mwanaume anakunyanyaza pale kwamba ukiongea kuhusu kusaidia Familia yako kaa mwanamke inaleta shinda na yy mwenyewe hakwambii kuhusu kuwasaidia
Wanawake walio wengi dhalau zimezid sana hawajui samani ya ndoa ndo tatizo wana shindana na wamezao apo kuna maisha kweli ?
Doctor ninahitaji kuzungumza nawewe nakupataje
@ChrisMauki1
2 жыл бұрын
Piga 0713407182
Mungu atupe hekima tu baasi maana this gender 🙈
🙏
Dr.Chris Nina tatizo moja..na tatizo langu ni hili...Nina wake wawili mmoja akona mtoto wangu na pia naishi na yeye na yule mwingine hana mtoto wangu mbali tuko katika mahusiano....mama wa mtoto wangu anapiga kabisa Mimi kuwa na yule Dada......na inafika mahali tunangombana kwa ajili ya yule Dada.....mke wangu ananieleza kuwa anampenda yule mwanadada kama rafiki mbali siyo mke mweza....nimeshindwa jinsi ya kufanya naomba unisaidie
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
Tulia na mkeo acha tamaa hamtagombana
Kweli wanawake tunadharau tuacheni