Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa

Nafahamu kuwa mahusiano au ndoa kuyumba kuna sababu nyingi sana. Inaweza kuwa madhaifu ya mume au mke au hata ndugu. Mke au mume wanaweza kuwa wanayajua madhaifu haya au hawayajui kabisa. Bahati mbaya sana, makosa au matatizo yanayosababishwa na wanawake yanaweza kuiathiri ndoa kwa uzito mkubwa kuliko matatizo mengine. Hii ni kutokana na nafasi aliyonayo mke kwenye ndoa. Je unayajua makosa wafanyayo wanawake kwenye ndoa? Fuatilia video hii kwa uelewa zaidi.
#DrChrisMauki#Makosa#Wanawake

Пікірлер: 284

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed8093 жыл бұрын

    Ufanye yote hayo siku ya kukubadilikiya nimoja 2 Hawana huruma wanaume wakiamuwa kukufanyiya kitu hawa rudi nyuma 🙌🙌

  • @shabanidaudi720
    @shabanidaudi7203 жыл бұрын

    Vizur sana dada mwanaisha kwakulitambua hilo bas naomba tumia nafasi kidogo kuwashauli wanawake wanaofatilia kipindi hiki cha uyo dr mungu atakulipa dada

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein26354 жыл бұрын

    Ni kweli wanawake tumezidi tuache madharau katika ndoa zetu tupate baraka za MUNGU😏😏😏🇰🇪

  • @dinahdianah9653

    @dinahdianah9653

    4 жыл бұрын

    Kwa hii karne si mke wala mme wote tumekua vichaa kwenye ndoa , MUNGU aturejeshe kwenye position yake shetan ametukamata hatu- kamatiki ivi mm ujiuliza hii dunia itaisha vipi ? nkifanansha na wakati wa sodom yan ya wakati huu makubwa mdogo yana nafuu kna vitu nmevifunza kupitia mtandao hadi na regreat sanaa kua king'ang'anizi wakujiunga mitandaon kutoka ndio nmeshindwa ashindwe ibilisi a aye nkamatia humu n bora kua boya uone ufalme wa mbingun

  • @hamzasemgen3049

    @hamzasemgen3049

    3 жыл бұрын

    @@dinahdianah9653 you

  • @aminajuma1435
    @aminajuma14354 жыл бұрын

    Maashaallah, shukran sana… sikuzote minaamini wanaume wote wangetumia akilinyingi kuishi nasisi dunia ingekuwa na amani kiasi kikubwa sana… Ila tatizo wanatumia nguvunyingi hatimae baadhiyao kwasasa wanaitwa wanaume kwajinsiatu na sio cheo au uongozi km waliopewa na mungu.

  • @kids_giftshopkids_giftshop3374

    @kids_giftshopkids_giftshop3374

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣numecheka jaman

  • @chrissg4026

    @chrissg4026

    3 жыл бұрын

    Kosa ilo tayari😂

  • @davidmmbaga3350
    @davidmmbaga33503 жыл бұрын

    Powerful! I love the background

  • @ameenajumah7335
    @ameenajumah73354 жыл бұрын

    Shukran Dr.Chris

  • @elishalesilwa3365
    @elishalesilwa33654 жыл бұрын

    Asante kwa SoMo zuri sana Hilo Mungu akubariki.

  • @izengoemmanueldc9894
    @izengoemmanueldc98944 жыл бұрын

    nakukubali sana Dr mauki am 100percent supporting you

  • @hozzamwanaidy3289
    @hozzamwanaidy32893 жыл бұрын

    Nimependa sana mafunzo yoko yananijenga,nayananifungua mambo ambayo nilikuwa siyajui.

  • @stanycleaners1886
    @stanycleaners18864 жыл бұрын

    Be blessed Dr Chris

  • @citegetsealine5704
    @citegetsealine57044 жыл бұрын

    Uko mwanaume mwenye busara,alafu nakupongeza kwaushahuri mwema unashauriya sisi wanawake, asante

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila16024 жыл бұрын

    Point Doctor ubarikiwe sanaa

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya40604 жыл бұрын

    Asante sana Dr Chris🙏

  • @perischari3630
    @perischari3630 Жыл бұрын

    Kweli kabisa.Shukrani Kwa ujumbe mzuri.

  • @magrethfrancis3645
    @magrethfrancis36454 жыл бұрын

    God bless you for reminding us! Ndoa zitakuwa bora sana tukizingatia mambo haya!

  • @adelhemaboras546
    @adelhemaboras5463 жыл бұрын

    Nimekubali. Hivyo ndivyo walivyo wababa wetu

  • @halimashamis7811
    @halimashamis78113 жыл бұрын

    Shukran mungu akusimamie as ante🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi56613 жыл бұрын

    Shukrani sana, unafanya vizuri sana kutukumbusha tuliyo yasahau, Shukrani

  • @silvesterpetro2544
    @silvesterpetro25443 жыл бұрын

    Mungu akubariki

  • @juliuskoina6684
    @juliuskoina66844 жыл бұрын

    Woow i have learnt alot ,thnkz Dr

  • @erasmusdomician8056
    @erasmusdomician80564 жыл бұрын

    nimependa somo dr

  • @hawahawa4976
    @hawahawa49763 жыл бұрын

    Asante sana kaka kwa elimu hii barikiwa sana

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba15704 жыл бұрын

    Nmejifunza asante

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi54094 жыл бұрын

    Sahihi kabisaa kaka unayosemaa shukran

  • @babypijo5788
    @babypijo57884 жыл бұрын

    hayo mengine Dr wivu tu .inaerekea unawivu sn kwa mkeo msifiage nyie tu wanawake wazuri tukisifia ss kosa so kweri Dr

  • @danielmemiti4050
    @danielmemiti40504 жыл бұрын

    Kabixa Daktari barikiwa sana ujumbe wameipata

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi18882 жыл бұрын

    mafundisho mazuri sanaaa🙏

  • @user-wf6sk9sm3e
    @user-wf6sk9sm3e5 ай бұрын

    Ante sana Dr Kwa SoMo nzuri Ina imarisha ndoa ya wengi

  • @user-dw5lt7cq2i
    @user-dw5lt7cq2i9 ай бұрын

    aisee....umeongea saaaana...Bless you Dk.

  • @maryemanuel6122
    @maryemanuel61223 жыл бұрын

    Thanks kuna vitu najifunza🙏🏾

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya40604 жыл бұрын

    Asante sana

  • @Kitumainimauwa08
    @Kitumainimauwa08 Жыл бұрын

    Thank you so much

  • @christophersunguti8957
    @christophersunguti8957 Жыл бұрын

    Umenijenga Dr asante

  • @sharonadagala9251
    @sharonadagala92514 жыл бұрын

    Nice teaching

  • @chrissg4026
    @chrissg40263 жыл бұрын

    big up doctor👍

  • @traidalaurence5137
    @traidalaurence51374 жыл бұрын

    Asantee dr

  • @zlucaszacharia3202
    @zlucaszacharia32024 жыл бұрын

    Uko sawa

  • @syliviadeogratias6835
    @syliviadeogratias68354 жыл бұрын

    Value ya mwanamke ni kuwa na mahusiano. Hapo umeniacha hoi.

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud5654 жыл бұрын

    Grace Kiria keep it watching, inakuhusu😂😂😂

  • @angelcharles7731
    @angelcharles77314 жыл бұрын

    Hakika umenena asante xna

  • @hamiduiyaka1308
    @hamiduiyaka13084 жыл бұрын

    Broo umenifurahisha sana

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi28414 жыл бұрын

    Very good point...

  • @Stellahnyongesa-mt6lm
    @Stellahnyongesa-mt6lm11 ай бұрын

    It has interesting notice shapens might

  • @lucyboniface8922
    @lucyboniface89224 жыл бұрын

    Uko vizur sana

  • @syliviabaruti4660
    @syliviabaruti46603 жыл бұрын

    yan uelewe makosa ya mwanaume malaya hapana kwa kweli tena anafanya umalaya waz waz bila kujali heshima yako wala kujali familia yko nitamvumilia akiwa hana hela na nitayavumilia madhaifu mengine ila cyo ya kimalaya 😭😭

  • @essiewariuwawambui634
    @essiewariuwawambui6344 жыл бұрын

    Very true 👌

  • @SporahappymacxMkomekwa
    @SporahappymacxMkomekwa3 ай бұрын

    Asante

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey72124 жыл бұрын

    Aya makosa ni kweli aisee yanafanywa sana na wake zetu. Tena yote hayo yanajirudia. Ila umegusa ili yarekebishwe then mambo yawe mazur

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35384 жыл бұрын

    Amazing speech may you live long life dr cris mauki

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    2 жыл бұрын

    Asante sana rafiki

  • @mollelmjomba9237
    @mollelmjomba92374 жыл бұрын

    Asante sana Mwalimu wangu, nazidi kujifunza mengi kutoka kwako, May GOD bless you!

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    4 жыл бұрын

    Asante sana

  • @meryfrank5272
    @meryfrank52723 жыл бұрын

    Ni kwel kabisa

  • @PetronellaTembo-fq3un
    @PetronellaTembo-fq3un Жыл бұрын

    Asante baba

  • @wanjirukarago9308
    @wanjirukarago93084 жыл бұрын

    Ndoa ni kazi kweli 😂😂😂😂 ....am not ready to do this ata submitting is a problem 😂😂😂.

  • @victorioussuestar3131

    @victorioussuestar3131

    4 жыл бұрын

    Wanjirus tuko na shida kweli kweli ikifika hapo😂

  • @hamismabula5813
    @hamismabula58134 жыл бұрын

    Ama kweli, "mwanamke amtii mume wake" utiifu ukitoweka ah! Basi!!!

  • @ernestsinje9532
    @ernestsinje95323 жыл бұрын

    asante

  • @anaksa4412
    @anaksa44124 жыл бұрын

    Well said Dr, wanguu🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️qwa hayo yoote ni bure qwake, juu once you just mess kidogo, all those qualities zinageuka vicevesa qwako, untill you see yourself nothing on that rlnxhp 😔😔😔😔

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @sarahodenyi6940
    @sarahodenyi69404 жыл бұрын

    point taken ..have Learn alot

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23464 жыл бұрын

    Man you are bright....I love it, I am staring this with my wife first and all married men in my Church. ¡Gracias!

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    4 жыл бұрын

    Thanks so much

  • @sainapeisieku1598

    @sainapeisieku1598

    3 жыл бұрын

    Thanks alot nice one

  • @zuwenaabdallah199

    @zuwenaabdallah199

    2 жыл бұрын

    @@ChrisMauki1 +

  • @hannahkaruga1547
    @hannahkaruga15474 жыл бұрын

    I mean well for my husband.. Mungu anisaidie.. Marriage is not a joke aki.. You're not brother and sister.. Ni ngumu aki wah

  • @user-yl2ej4ex6l

    @user-yl2ej4ex6l

    5 ай бұрын

    True 💯💯💯 mungu atusaidie sana 😊

  • @zamoyonimagige9619
    @zamoyonimagige96193 жыл бұрын

    Somo zuri sana

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @zamoyonimagige9619

    @zamoyonimagige9619

    3 жыл бұрын

    Sawa dock nimekupenda sana mm nko kwenye ndoa ila nilikuwa na mgogoro na Mme wangu nikajua yey ndo ananikosea ila nilivyofatilia somo lako nimejifuza sana ady na yey kashangaa nilivyobadilika Kwa sasa tuko vizuri mungu akubaliki sana akupe maisha maref

  • @boazmosses8204
    @boazmosses82043 жыл бұрын

    Jmn mwanamke wangu anatabia zote hizi hasa hili la 10 na la kwanza daaaaaah

  • @yunismussa7191
    @yunismussa71912 жыл бұрын

    Axante xana

  • @renafarmers1375
    @renafarmers13754 жыл бұрын

    Asante umenifunza kitu dear

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    4 жыл бұрын

    Nashkuru sana

  • @marymusangi5568
    @marymusangi55684 жыл бұрын

    AKi nimeshukuru sana nimepata siri kubwa ambayo nilikuwa sijajua mungu akubariki nimepata funzo kubwa sana naomba unipe namba yako🙏🙏🙏🙏

  • @mcnyawanda7971
    @mcnyawanda79714 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana sana. Naamini watu wengi wamejifunza kupitia hapa

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    4 жыл бұрын

    Nashukuru sana mkuu

  • @gfjdcxffxg6741
    @gfjdcxffxg67412 жыл бұрын

    GOOD

  • @fridamarymakubo7677
    @fridamarymakubo76773 жыл бұрын

    Habari,docta naomba kujua nawezaje kumfanya mume wangu akaanza kufanya bihashara yake mwenyewe"how to start a business physically and mentally ?"

  • @DaveHumphrey2514
    @DaveHumphrey25144 жыл бұрын

    Tuseme ukweli, kuishi tu na mtu ni MAJARIBU MMNO, its a very discomfort zone, that gives us a chance of growth,imagine mtu na stress zako af bado unakutana na kisirani... Doh. Kipekee, DONT BE WITH SOMEONE BECAUSE YOU LOVE THEM, BUT BECAUSE YOU WANT TO "GROW". love goes away, once akicheat, akifukuzwa kazi, akikupiga.... Ila ukienda kwenye mahusiano taka kukuwa kiakili, kiuchumi, kimtazamo wa akili, kimapenzi.... Hakikisha, unajiona ukitoka kwenye hiyo relationship uko more resiliant to danger, more smart,, more loving, more patient... Hivyo vyote vizuri come in great pain, pain fruits are better than relaxing fruits.

  • @jackneymasamson8335

    @jackneymasamson8335

    4 жыл бұрын

    Wow nimeipenda hii

  • @DaveHumphrey2514

    @DaveHumphrey2514

    4 жыл бұрын

    @@jackneymasamson8335 eeeh jacky, love is blind! Mapenzi ni upofu... Kukua ndio lengo kuu. Google growth kujua zaidi. Kunatisha flani...

  • @hoccyhilary6789

    @hoccyhilary6789

    4 жыл бұрын

    You are very smart, ila wanaume wengine hawajitambui, you found a best woman very good a Nakupenda anakuwa everthing kwake then anajisahau anakuchukulia kama you cant live without him, too bad, mnajisahau

  • @bizimanamariam4842
    @bizimanamariam48423 жыл бұрын

    Kipindi cako nimekipenda saana mimi ni mtu kutoka Burundi, sasa kama Mme wako unaona kama anaaca kuhudumia famillia na hali yakua kipato anaco ,yéyé tu anataka mwanamke alete héla tu ,akisha pata héla za mwanamke anasepa ,kunawakati mwanamke anashindwa vumilia na akasema maneno inje ili afarijike ,samahani Dr mateso yamezidi kwenye ndoa nyingi ,

  • @kamathimagretgm6952
    @kamathimagretgm69523 жыл бұрын

    Na Ikifikia pale mwanaume anajiona yy ako sawa especially akiangalia his background ...hw a Lady can handle that situation

  • @dinahdianah9653
    @dinahdianah96534 жыл бұрын

    Asante kwa funzo nzur sanaa pongezi, licha naomba pia makosa ya wanaume nawaona kwenye comments utadhan wao n malaika gabriel ameshuka kutoka mbingun I mean utadhan hawakosei, kwanza hawa wanaume ukiwasaidia n balaa wakati atakuacha atakuachia watoto , lkn kwa mwanamke kusaidiwa na mme si shida manake muda akiondoka atakuacha na something kwa utumizi ya watoto

  • @juventjustinianaloyse6640

    @juventjustinianaloyse6640

    4 жыл бұрын

    Nipe nambako nikutumie whatsap mambo ya mwanamme from Dr K mauke 0756423952

  • @dinahdianah9653

    @dinahdianah9653

    4 жыл бұрын

    @@juventjustinianaloyse6640 hehehehe mbona sikuamin

  • @omarykajembe4385
    @omarykajembe4385 Жыл бұрын

    nipo ktk mgumu sana kaka criss..kosa la kwanza hadi la kumi yote mke wangu anayo..nipo ktk mchakato wa kutoka na tunawatoto wawil

  • @fridasanga2494

    @fridasanga2494

    11 ай бұрын

    Pole kaka yangu usimuache mkeo mtumia hii crip aisikilize uenda atapata funzo

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary55052 жыл бұрын

    Je mwanaume kukosoa ni sawa

  • @nzobonimpaissa7566
    @nzobonimpaissa75664 жыл бұрын

    Big up brother

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi46794 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe doctor 100%

  • @leahkhatoroinjenikhatoroin6151
    @leahkhatoroinjenikhatoroin61513 жыл бұрын

    ok, leo umenena lakini niulize mwanaume akiibia mkewe pesa apeleke mpango wakando matembezi, alafu mkewe ajue, kuna vile heshima itadumu

  • @paulinamloka2817
    @paulinamloka28174 жыл бұрын

    In conclusion... don't break a man's ego. Embrace it❤

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    3 жыл бұрын

    😅🤣🤣🤣🤔🤔🤔🙌🙌

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    Very true • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @user-qc8ho9qe7e
    @user-qc8ho9qe7e6 күн бұрын

    🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana15594 жыл бұрын

    Wanaume munapenda kueshimia lakini hamutaki kuheshime wake zenu.. Tena wanaume munaweza na mweye ku fail .lakini kwa kuwa nyinyi ni wanaume munatawala hamukuaki Na kosa sasa mwanaume .

  • @filimonmboya5805
    @filimonmboya58054 жыл бұрын

    Nakupata vizuri sana

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28813 жыл бұрын

    True...100%

  • @chikumbwilo9565
    @chikumbwilo95654 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano nimekusikiliza bado kunamambo mengine inabidi yakae sawa.

  • @gemkachar
    @gemkachar4 жыл бұрын

    Kosa la mwanamke kusema mme wake bure kitandani. Hapo ndoa kwisha.

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Жыл бұрын

    Haha huyu jamaa ni Genius

  • @florencekiendi1727
    @florencekiendi17274 жыл бұрын

    Everything women this ,women that and men?when are we going to read about makosa men do..women also have value..can we for once have advice for men....

  • @aminashaibu7732
    @aminashaibu77324 жыл бұрын

    Dr.wanaume wengi ni wagumu sana kurekebishwa na wake zao,utafanyaje?

  • @ensanako44

    @ensanako44

    4 жыл бұрын

    Thats true they don't want to be questioned

  • @prettyh7509

    @prettyh7509

    4 жыл бұрын

    Ahahaha ni mwendo wa ngumi ss hiv wanawake tunafanya mazoezi

  • @asantekwahuuwimbozubeda873
    @asantekwahuuwimbozubeda8734 жыл бұрын

    Wanaume sio waelewa maana hawajui majukumu yao wanatuelemezea mizigo mizito ss wanawake

  • @dequeen460

    @dequeen460

    3 жыл бұрын

    Hapo'umesema' ya' wavivu' kwli' hawajui'kulipa'karo' wala'awatoi' mahitaji' ulevi' naumalaya'uliokithiri' ati' mtu'kama' huyu' umsifie' haiwezekani

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72793 жыл бұрын

    👌🏽

  • @yungmaboy6519
    @yungmaboy65194 жыл бұрын

    Mafundisho mazuli sana

  • @zainazaina8711
    @zainazaina87113 жыл бұрын

    Hi Dr kama mara ya Kwanza alikua na michipuko nikamshika mara pili tena amerudilia mpaka sasa amezaa nae m chipuko mm aniaangali wala mtoto Wangu tunafanya KAZI pamoja na tunalipwa mshahara Kila mwezi yy Hana pesa na tunaishi pamoja

  • @ashelyabely7854
    @ashelyabely78543 жыл бұрын

    Upo sahihi dor

  • @wardakipinga4866
    @wardakipinga48663 жыл бұрын

    Wangu hashauriki kwanza atakudunda mingumi

  • @lwisekweka8321
    @lwisekweka83213 жыл бұрын

    Kwani Dr. Anayetakiwa kulinda ndoa ni mwanamke tuuu.? Msomo yako ya mahusiano mengi yanahusu "mwanaume anachopenda na asichopenda" what about women?????

  • @shahzadmehmet5922

    @shahzadmehmet5922

    2 жыл бұрын

    Exactly📌

  • @kamathimagretgm6952
    @kamathimagretgm69523 жыл бұрын

    My Money his Money,his Money My Money ...but some men r taking wrong advantage of Ladies with big heart...sababu ya kumueka wazi kwa mapato kaa mwanamke,Mwanaume anakunyanyaza pale kwamba ukiongea kuhusu kusaidia Familia yako kaa mwanamke inaleta shinda na yy mwenyewe hakwambii kuhusu kuwasaidia

  • @shabanidaudi720
    @shabanidaudi7203 жыл бұрын

    Wanawake walio wengi dhalau zimezid sana hawajui samani ya ndoa ndo tatizo wana shindana na wamezao apo kuna maisha kweli ?

  • @aqulinafaston9204
    @aqulinafaston92042 жыл бұрын

    Doctor ninahitaji kuzungumza nawewe nakupataje

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    2 жыл бұрын

    Piga 0713407182

  • @dorisndossi4734
    @dorisndossi47342 жыл бұрын

    Mungu atupe hekima tu baasi maana this gender 🙈

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Жыл бұрын

    🙏

  • @dismusabong3708
    @dismusabong37083 жыл бұрын

    Dr.Chris Nina tatizo moja..na tatizo langu ni hili...Nina wake wawili mmoja akona mtoto wangu na pia naishi na yeye na yule mwingine hana mtoto wangu mbali tuko katika mahusiano....mama wa mtoto wangu anapiga kabisa Mimi kuwa na yule Dada......na inafika mahali tunangombana kwa ajili ya yule Dada.....mke wangu ananieleza kuwa anampenda yule mwanadada kama rafiki mbali siyo mke mweza....nimeshindwa jinsi ya kufanya naomba unisaidie

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    Tulia na mkeo acha tamaa hamtagombana

  • @maryammassoud12e39
    @maryammassoud12e393 жыл бұрын

    Kweli wanawake tunadharau tuacheni

Келесі