MAKONDA AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI''SIPOTEZI MUDA MIMI,UMENIUZI SANA/NIMEMKAMATA AKILA RUSHWA........

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 190

  • @user-tb7qw5oh1h
    @user-tb7qw5oh1h26 күн бұрын

    Kamanda Makonda unafaa kuwa kiongozi mkubwa,Mungu akubariki Kwa ujasiri huo.Amina

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.902825 күн бұрын

    Chuma kinazidi kuiva Mwenyezi Mungu akulinde na kukuzidishia hekima Ndg.Paul Makonda.

  • @melkizedck
    @melkizedck26 күн бұрын

    Ila Makondo ana moyo wa ajabu. Yaan! Ana moyo wa huruma.

  • @ndetiyomafie4624
    @ndetiyomafie462426 күн бұрын

    Nakutia moyo shujaa 🎉na kamanda wa Mkoa wetu.

  • @toney..
    @toney..26 күн бұрын

    Mh. Makonda Raisi wetu wa baadae, hata kama haitakua mwaka 2030,ila lazima uwe raisi wa Tanzania, sooner or later.... Mungu akubariki ❤

  • @user-tb7qw5oh1h
    @user-tb7qw5oh1h26 күн бұрын

    Kiongozi kama wewe umechaguliwa na Mwenyezi Mungu.Dr.Samia hembu mfikirie saana huyu Mtendaji wetu,maana nguvu aliyonayo ni zaidi ya Mkuu wa Mkoa.Mungu ambariki saana.Amina

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh857726 күн бұрын

    Tanzania tutaendelea kwa mfumo huu, hongera sana Makonda watching you from California

  • @tungarazalaurent2602
    @tungarazalaurent260224 күн бұрын

    Una talent ya uongozi broo ....unakula MB zangu sana mpaka zinaisha daaah

  • @AbdalaHamadi-fv4qh
    @AbdalaHamadi-fv4qh25 күн бұрын

    Watu wanao pitia mazingira magumu ya maisha wakipata nafas huzitendea haki .mung ajalie watu kama makonda wawe wengi zaidi.amiin

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r25 күн бұрын

    Kumpenda Mungu kuna faida kubwa . Makonda anampenda sana Mungu hapendi mtu yeyote aonewe .na hii ndio inakubalika hata kwa Mungu. Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi22 күн бұрын

    Comrade Paul Makonda Mungu akulinde, your such an amazing leader👏👏👏👏

  • @geophreyhizza6315
    @geophreyhizza631526 күн бұрын

    Umeboreka sana bro, siku zinavyozidi kwenda unaimarika MUNGU aendelee kukupigania huenda baadaye MUNGU akipenda uwe nafasi ya juu kabisa kwenye hii inchi.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh26 күн бұрын

    Asilimia 99 ya viongozi wa hapa tz makonda amewaacha mbali sana

  • @ChristianMwashitete
    @ChristianMwashitete20 күн бұрын

    Nzuri sanah hiyo mh.makonda.unafaa kua kiogozi wetu mkumba zaidi ya hapo mungu atakuinua.christian.mwashitete.from mbeya,

  • @frankchaula8674
    @frankchaula867426 күн бұрын

    Kukusikiliza naona maisha yangu yamekua mepesi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824125 күн бұрын

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405426 күн бұрын

    MOTO JUU YA MOTO BRAVO MAKUFULI JUNIOR NAKUOMBEA MUNGU USIMAME KATIKA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI 👏 👌 🤣 👍 💪

  • @user-py8ih8jr4b
    @user-py8ih8jr4b26 күн бұрын

    Makonda ww ninavyoweza kusema nimsaidiz wa mungu sku nataman uwe lais

  • @riazshaikh8577

    @riazshaikh8577

    26 күн бұрын

    Sio laisi ni Raisi bana

  • @JacksonFrances

    @JacksonFrances

    26 күн бұрын

    Na wewe umekosea Siyo Raisi Bali ni (Rais)"​@@riazshaikh8577

  • @krizofrancisco5310

    @krizofrancisco5310

    25 күн бұрын

    Acha uchawa Mungu Hana msaidizi

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    23 күн бұрын

    ​@@krizofrancisco5310m pumbavu wewe hujielewi

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas380924 күн бұрын

    Heshima yamtu ni Busara kukua kwamtu nihekma zake Kiukweli hata wapumbavu nao wanazeeka maana siokila Mtumzima ana Busara Makonda Bado nikijana sana lakini anaonekana Anabusara Na Hekma Mungu akukinge na Husda yawasiopenda Maendeleo ya Taifa letu Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabaraki Viongozi kama Makonda Ilitaifa liwe salama Nalakujisifia

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j26 күн бұрын

    Duh! Dr Samia mpe huyu kijana nchi kwa miezi mitatu tu akusaidie kisha tuangalie. Hapo nafikiri watu wote watakaa sawa.

  • @jofreykilangila4118

    @jofreykilangila4118

    26 күн бұрын

    Apewe kazi isiyo na mipaka

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya932926 күн бұрын

    Mkurugenzi kashiba rushwa top😮!! RC Makonda chukua maua yako 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌷🌷🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉✔️✔️✔️✔️✔️❤

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i24 күн бұрын

    Mungu aendelee kukulinda na kutupigania tumaini letu watanzania mhe makonda piga kazi

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange63026 күн бұрын

    Akili mingi sana bro

  • @rosehaule6765
    @rosehaule676524 күн бұрын

    Hakika ❤kaka Mungu akupe ulinzi mkubwaa barikiwa baba kegan

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733826 күн бұрын

    Unawazidi wenzio kwa mbali sana. Mungu akulinde.

  • @simonmasunga7398
    @simonmasunga739826 күн бұрын

    Congratulations Mr. Makonda. you have well said/ruled

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias133926 күн бұрын

    Huyu ndiyo makonda hata ukimsikiliza anaongea kwa kumaanisha kweli kweli kuwa nimpenda haki.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri26 күн бұрын

    Mhe Makonda hao watu watakua ni waizi wazoefu hata majuzi fulani tu miezi mitatu iliyopita kulikuwa na kikao kama hicho na huyo muhindi alipasua majipu hayo hivo hivo lkn nikashangaa hakuna kilichofanyika.

  • @user-qg7fw7si5i
    @user-qg7fw7si5i24 күн бұрын

    Mungu akibariki kaka yangu Makonda

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo385523 күн бұрын

    Murch love❤❤❤❤Makonda

  • @marianmartin7483
    @marianmartin748324 күн бұрын

    Hapa kazi tu, kazi iendelee.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong812326 күн бұрын

    Makonda piga kazi mpaka wanyooke

  • @allyjumakukulo4972
    @allyjumakukulo497225 күн бұрын

    Hongera sana kiongozi

  • @agnesmogere413
    @agnesmogere41326 күн бұрын

    Mungu akulinde sana mkuu,

  • @HappyAnacondaSnake-zl4vj
    @HappyAnacondaSnake-zl4vj26 күн бұрын

    DAMU YA YESU KRISTO UKUFUNIKE JUU DHIDI YAO WANAOKUWAZIA MABAYA,TUMIKA KWA KUTENDA HAKI YESU YUNAWE AMINA

  • @mungholomakalanga8958

    @mungholomakalanga8958

    25 күн бұрын

  • @dionizemmanuel-ml2vf
    @dionizemmanuel-ml2vf21 күн бұрын

    Barikiwa mtu wa Mungu . Mwanza tunakutamani sana.

  • @alphoncenerlimbweni6233
    @alphoncenerlimbweni623326 күн бұрын

    KAMA NINGEKUWA RAIS NINGEMTEUWA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE ILI AWAENDESHE WAKUU WA MIKOA NA KUWAWEKEA MIKAKATI NA KUWAADHIBIWA KAMA HAWAKUTEKELEZWA, MAANA ANA MAONO NA ANAMTANGULIZA MUNGU. HONGERA SANA KAKA YANGU KWA UTENDAJI MZURI KUFUFUA MIOYO ILIOPONDEKA.

  • @allykassim1120
    @allykassim112026 күн бұрын

    kamanda makonda pereka lumande huyo Kwa makosa yake mabaya

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi263525 күн бұрын

    Mh. Makonda mfumo wako wa utawala ni wa Nordic countries. Nchi hii inaendeshwa kimarekani ambapo nguvu hutumika badala Ya akili.

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu34626 күн бұрын

    Ingetakiwa mkuu wa wilaya arusha awe SABAYA alafu na makonda yupo wananchi tutakula bata mbaya sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku26 күн бұрын

    Mm makonda na Tundu lissu Hawa watu nawapenda sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel567726 күн бұрын

    Paul Christian Makonda(PCM)

  • @japhetkarori5230

    @japhetkarori5230

    25 күн бұрын

    Wooh....(PCM)

  • @bongo39
    @bongo3926 күн бұрын

    Jamaa kaongea vizuri sana hongera hawa watendaji ndio wanaofanya kodi zisilipwe kwa sahihi huyo babu aliemlaumu atolewe akapumzike nyumbani

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena25 күн бұрын

    Makonda Mungu atakucmamia kwenye kazi zako

  • @theodosiahaule5545
    @theodosiahaule554525 күн бұрын

    Mungu akuinue zaidi Kiongozi wetu. Kazi iendelee

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco996626 күн бұрын

    Daaah, wewe ni mtu na nusu🙏🙏🙏🙏🙏🙏. Mungu akulinde bwana Makonda

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai675926 күн бұрын

    Nilichogundua mkurugenz alijua kila kitu kimeisha ile siku. Ila amesahau Makonda sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendooo.(ndan ya siku mia leo day 1. 100/99)

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile68724 күн бұрын

    😀😀😀😀 wamekuja na ajenda yao ya kuzima moto wa millioni 24.....wamelipa m3....wamegawana m20....badala wachange hiyo m20 wairudishe ionekane wazi wazi what there intention was wao wanazidi kuwaudhi wenye akili....sasa ona aibu gani hiyo,wafanyabiashara wamegundua wadudu yao na evidence wanazo......Makondo naomba mahakama itoe mfano huko arusha......nyundo 20 jela au zaidi.....kisha Mama mwamishe Makonda mkoa mwingine au sema tu akimaliza Arusha nampeleka mkoa mwingine bila kuutaja......"utashangaa watendaji wa mikoa watakavyo anza kuuza mali zao😀😀😀

  • @salummussa9871
    @salummussa987126 күн бұрын

    Makonda ni kichwa akili,

  • @stanleybupambambogo3334
    @stanleybupambambogo333423 күн бұрын

    Ee bwana, namuona boss wangu wa zamani MR. SANJEE mmoja wa Wakurgenzi wa kampuni ya ROY SAFARIS ya jijini Arusha akiwa amekaa pembeni (kushoto) mwa WILBERT CHAMBULO. I salute you Mr. Sanjee!

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn25 күн бұрын

    Mamayetu Samia akamleta wajina wangu, Arusha Paulo makonda ili atuokoe cc Wana Arusha tunonyanyasea asante mam kutulete chuma hii amen

  • @kalashapastor
    @kalashapastor22 күн бұрын

    Makonda Kwa mamlaka niliyopewa na Mungu makonda apewe kuwa waziri mkuu yuko implemented yuko safi kikazi Hata kuwa Raise anaweza kabisa nitamuombea sana

  • @user-oq1zv2nv8n
    @user-oq1zv2nv8n24 күн бұрын

    Kakaangu.makonda.vaaaa.basi.ata.zile.bufekti.za.kuzuia.risasi.unatufurahisha.sana.unatenda.haki.zote Bila.kuangalia.uyu.ni.tajiri.au.nimaskini.tutakukumbuka.utakapoamishwa.kupelekwa.mkoa.mwingine.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s26 күн бұрын

    Ni mazoea machafu TU watu wengi wanafanya mkoa wa Arusha shamba la bibi hawashughuliki na matatizo ya watu

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed60425 күн бұрын

    Mikowa yote ingekuwa na mkuu km wewe tanzania ingekuwa dubai igeni bc jmn mungu akulinde

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt26 күн бұрын

    Safi sana mheshimiwa Makonda Hawa sio wakukaa kwenye ofisi za umma kama huyu akanyee kwenye debe

  • @materidaniel2365
    @materidaniel236526 күн бұрын

    Mh makonda mungu aliye hai aendelee kukulinda

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya323125 күн бұрын

    Kaka kila secta inakufaa mungu akulinde utokapo na uingiapo tunakufuatiliya tuki babati manyata wanyooshe na usicheke na mtu ambae ana adabu na madaraka afilisiwe

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester190326 күн бұрын

    Mkurugenzi demina ya uso wake anaonekana siyo msafi spiritually na physically 😢

  • @evanskabende3357

    @evanskabende3357

    25 күн бұрын

    Sure

  • @amosmahona433
    @amosmahona43325 күн бұрын

    MOja kwa moja kutoka Nchini kenya.MH.Mungu akubaliki sana

  • @wilbroddaffi66
    @wilbroddaffi6625 күн бұрын

    Tukiondoa tabia za kupenda vyama huyu jamaa ni kiongozi bora sana ni vile tu wachumia tumbo wanatumia machawa kutupotosha

  • @user-kg9uz2hh1y
    @user-kg9uz2hh1y26 күн бұрын

    hao wafanya kazi wa TRA

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche25 күн бұрын

    Huyu mwamba Makonda ni mtu makini saana

  • @MaryLee-sh4nd
    @MaryLee-sh4nd24 күн бұрын

    Yaani makonda zaidi ya jembe, nakupa maua yako.Mungu akulinde

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson520226 күн бұрын

    Huyu Mkurugenzi Hatufai Kabsa

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei113324 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @musaguga
    @musaguga26 күн бұрын

    Huyu mkurugenz hana kazi,hiyo nimetabiri

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s26 күн бұрын

    Mh makonda usiwahurumie Wala rushwa wamewaumiza sana wasio na nguvu Wala nafasi.

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho927226 күн бұрын

    We jamaa unanimalizia sana Bando zangu, usiku silali natazama clip zako. Natamani kuacha hii tabia nashindwa broo, hotuba zako narudia mara mbili mbili

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g25 күн бұрын

    Ishi baba na Mungu akulinde sana

  • @magiramagesa37
    @magiramagesa3725 күн бұрын

    Makonda❤❤❤❤❤ sana

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga23 күн бұрын

    Mama Samia tafuta utaratibu wa kupeleka na mikoa mingine watu kama Makonda,sisi Watanzania tunataka watenda haki na wachapa kazi kama huyu jamaa. Jamani anachapa kazi eti, wewe fikiria mtu ni mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hata sisi wa Mikoa mingine tunamtamani umlete Mikoani kwetu.

  • @reaganmtesha3007
    @reaganmtesha300721 күн бұрын

    Jembeeee

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha24 күн бұрын

    Mungu akufunike konda

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh26 күн бұрын

    Bando haliishi kama sjamsikiliza makonda

  • @user-hg4yy1qs7g
    @user-hg4yy1qs7g26 күн бұрын

    Yan hakuna kama kaka makonda asante sana kaka

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery380923 күн бұрын

    Inaendelea kuthibitika kuwa Tanzania inahitaji viongozi wa aina hii (1)Jasiri asiye mwoga (2)mwenye hofu ya Mungu(3) mpinga rushwa kwa kumaanisha (4) mwenye kuwahurumia na kuwatetea wenye kuonewa (6) mkali asiye fanya mizaha katika utumishi wake

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu625726 күн бұрын

    Uje na Mbeya mwanangu Makonda tunakuhitaji sana

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora501721 күн бұрын

    Sasa huyu babu mkurugenzi hiyo hela anapekeka kwa waganga? Make hata muonekano wake mmmmh😌😌

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s26 күн бұрын

    Be blessed 🙏🙏 makonda,

  • @witnessriwa6576
    @witnessriwa657626 күн бұрын

    Makonda nakufunika kwa Damu ya Yesu wasikudhuru hao wezi

  • @EsterAlex-dn1dx
    @EsterAlex-dn1dx19 күн бұрын

    Naomba upambane makonda ugombee urais hiii nnchi itanyooka

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai675926 күн бұрын

    Makonda yupo vizury sanaaa. Ongeraa pia chambulo

  • @veronicamokiwa4315
    @veronicamokiwa431526 күн бұрын

    La msingi sana ni maombi kwa ajili ya ulinzi wa Mungu juu yake si wote wanafurahia hii michakato ya kusidia watu

  • @RASHIDKHEIRBAGHDELLAH
    @RASHIDKHEIRBAGHDELLAH24 күн бұрын

    Makonda chapa kazi Mungu wa Mbinguni yupo upande wako

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48225 күн бұрын

    Kwa kweli ufisadi umezidi maana ni kila kona ni bora hizo halmashauri zibinafsishwe Tu, ndio muarobaini wa kuondoa upigaji

  • @user-nd9cm6yo9r
    @user-nd9cm6yo9r23 күн бұрын

    Yaani Makonda natamani upewe mikoa 5 na ndani yake lindi ikiwemo

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson520226 күн бұрын

    Hili ni Giza lipo hapo

  • @neemanyerere-drago5570
    @neemanyerere-drago557025 күн бұрын

    Huko kwenye serikali za mitaa, ndipo watendaji wa halmashauri wanajenga matabaka, wanakandamiza wananchi wakiidanganya serikali kuu kwa uongo na unafiki na taarifa za kutunga.

  • @neemaayubu8012
    @neemaayubu801223 күн бұрын

    MUNGU aendelee kukuinua mh.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai574426 күн бұрын

    Lakini ninachokiona kingine katiba yetu ingerekebishwa, Haiwezekani wakurugenzi wengi wanaboronga hivyo mwisho wa sikubutasikia amehamishwa, Kwamba akaboronge sehemu nyingine!!!!

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m25 күн бұрын

    Mheshimiwa Makonda ulindwe na malaika wa Mungu. Mimi sasa hivi ni chama cha kijani. Umenifanya nikipende chama kumbe kina watu wazuri kama wewe.

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing376620 күн бұрын

    Unaonga kama autaki kumbe ndio unampiga mtu spana.

  • @user-kt7ic9tg5p
    @user-kt7ic9tg5p26 күн бұрын

    Makonda anastahili kua mkuu wa mikoa ,awasimamie wakuu wengine yaani awe mwenyekit wao na kuwafundisha kazi,yuko vizuri xana

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga52726 күн бұрын

    Jamani huyo karibu anastaafu anaendekeza rushwa Mungu wangu. Dah inatia huruma lakini

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do25 күн бұрын

    Wako wengi sana mkuu asikali ndo kwanza wanakula rushwa kweri kweri

  • @neemanyerere-drago5570
    @neemanyerere-drago557025 күн бұрын

    Watanzania tuko tayari kulipa kodi lakini watendaji wanatengeneza mazingira ambayo sio rafiki, lakini kwa style hii ya Mhe Mkuu wa Mkoa, ni wengi watakwenda kulipa kodi bila kukumbushwa. Taasisi za kusimamia kodi zinatakiwa kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, maana bila mapato yatokanayo na kodi za wazalishaji uchumi, yaani wafanyabiashara, wakulima, serikali itashindwa kufikia malengo. Hao ni wadau muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na hili jambo watendaji wanatakiwa watambue, unamfanyiaje ubabe anayekulisha??

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo212025 күн бұрын

    Watu wanasema makonda apewe nchi ainyoshe makonda hawezi kwani makonda anaakilili kuliko Nyerere lakini nchi ilimshinda tatizo siyo mtu ni mifumo yaani katiba

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa837226 күн бұрын

    We ni mtanzania No muhim saana kiongozi...

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r26 күн бұрын

    King makonda piga kaz

Келесі