MAKONDA AKASIRIKA "RPC UKO WAPI KAMATA TIA NDANI, ALIKOPA MILL 3, AKAUZIWA NYUMBA YA MILL 70"
Жүктеу.....
Пікірлер: 458
@razackadam-cj2bx2 ай бұрын
kama unamkubari makonda gonga like hapa
@HilaryJulius
2 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@FausitnePonera-fq9pj
2 ай бұрын
Mungunakutunze paul
@MedyKailo
2 ай бұрын
❤nakubal
@Mgema0012 ай бұрын
Kila binadamu anamapungufu yake, ila kwenye mazuri pia tumpe maua yake MAKONDA nakupa maua Yako hata kabla mungu hajakuita...BIG UP SANA
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@sangajaffar7419
2 ай бұрын
KWA KWELI MAKONDA HAPO UNATENDA HAKI,STAY BLESSED
@gracelunyili6517
2 ай бұрын
💐🌹🥀🌷🌺
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
2 ай бұрын
Paul CHRISTIAN makonda ni kiongozi Mzuri sana
@user-em9vh8wr5c
2 ай бұрын
Makonda Mungu aendelee kukutunza
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote ktk maisha yakooo...kazi nzuri sana unafanya
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@user-gt5yd4no7c
2 ай бұрын
Sana kaka
@emmanuelkache46462 ай бұрын
Asili ya Msukuma HAPENDI KABISA KUMWONA MTU ANAONEWA PIA WANAHURUMA SANA nimeishi kanda ya ziwa miaka mingi na Makonda ametoka kanda ya ziwa wapo hivyo ! Arusha hongereni
@faustinombilinyi9809
2 ай бұрын
Kweli kaka wasukuma wanahuruma sn niliobahatika kuishi nao aisee sikuwahi juta kuishi na Hawa watu wanahuruma hata wanawake wakisukuma wenye asilia kabisa sio Hawa wamjini wananidhamu mno ni wanawake kwelikweli kaka.. Hawa watu wanakarama ya uongozi
@FedyKafyulilo-iz2nw2 ай бұрын
Makonda asili yake ya uongozi ni mtatuzi wa kero Mungu amlinde
@annasolomon9855
2 ай бұрын
Namuona Magu ndani yake❤❤
@berthatz
2 ай бұрын
Na kiongozi ni yule anayetatua kero za wananchi…Mungu amtunze Makonda.
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
@@annasolomon9855kiki hizo
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
@@berthatz hujui maana ya kiongozi ww
@sambulugu9988
2 ай бұрын
Uongozi ni nini? Ujuaji tu mbele giza!@@michaelaloyce2072
@yohanakereri59992 ай бұрын
Makonda Mungu ambariki kwa ni kiongozi wa mfano Tanzania
@felisterandrew84182 ай бұрын
Huyu brother Makonda huwa namwelewa sana ,mungu akupe maisha marefu na afya njema
@NassorHamad-dj6sv
2 ай бұрын
Aamin
@mpambanajitz70262 ай бұрын
Namtabiria MBALI SANA HUYU MWAMBA 💪💪💪💪💪 Makonda unajua na wanajua unajua ILA MUNGU anakujua zaidi,,na ipo SIKU watajua unajua HONGERA SANA MWAMBA 💪💪💪💪
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Niko Kigoma Mjini. Hakika Makonda for Everyone❤
@hanspop69612 ай бұрын
Makonda mpe kazi huyo Dada anajitambua sana
@WillBat-gc9ex
2 ай бұрын
Makonda mi nakukubali sana mi nakuombea kwa mungu baba hautakufa hadi wakati wako utakapofika mungu akulinde sana kama hagai anavosema kuwa kama neno lile nililo agana nanyi mlipokuwa mkitoka katika nchi ya misri na roho yangu ikati yako makonda usiogope
@aladinynur79152 ай бұрын
Kama Kila mikoa Waki shughulikia wananchi na Imani tutasogea mbele . Nchi itakua inanghara .Hamna dhuluma Mungu atatu bariki. Naomba Mikoa yote .Wamige Mkuu Makonda. Hongera Mkuu.
@user-qh2hz2wm3n
2 ай бұрын
sawa bb
@ndulasimon2 ай бұрын
JPM legacy will live on
@dassustephen731
2 ай бұрын
Tunamuhitaji Magufuli mwingine aje nchi hii.Na atakuwa Tu no matter what.
@MohamedMachete
Ай бұрын
True
@farajaMezza-qn4be2 ай бұрын
Kalisti Mungu wa mbingun akupe haki yako! Dada pia Mungu akulinde na familia yako na Makonda Mungu akupe maisha marefu, kwa kweli machozi yamenitoka
@hellenshayo3454
2 ай бұрын
Mama Baraka jirani yangu piga kazi nakuaminia best
@JaneJennifer-zk7bk
2 ай бұрын
Yaani kuna vitu vinafanyika kwenye hii dunia ukiona au kusikia utadhani unaangali tamthilia
@ezrayohana35412 ай бұрын
Arafu kuna jitu unakuta limeshiba kande linamtukana Makonda
@brysonmalongoza5422
2 ай бұрын
Makonda, Mungu akutunze. Wala rushwa wengine lolote liwapate!!
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@edgarmbegu1974
2 ай бұрын
Sasa kama ni mhalifu watu wasiseme? Kenge kweli wewe.
@user-ex9sd8wm4l
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thadeipeter2592
2 ай бұрын
Sure bro wengine Wana wivu tuu,
@johnsangida51582 ай бұрын
Your blessing mkuu wetu wa mkoa Mungu azidi kukutunza❤
@AllyBabu-kr6lg2 ай бұрын
Big up makonda❤❤❤❤❤❤❤
@devisshirima67802 ай бұрын
Mungu akulinde mkuu wangu wa mkoa, una bright future na Mungu akusimamie usiishie kuwa mkuu wa mkoa bali uwe mkuu wa nchi !! Kwa jina la Yesu
@hopejohnson73522 ай бұрын
Namuona rais ajae makonda ktk jina la yesu👏👏🤲
@bahatisanga8664
2 ай бұрын
Rais ajaye ni HAFREY POLEPOLE
@shepherdyusuphministry25392 ай бұрын
Naomba Mungu akupe maisha marefu uje uwe raisi wa nchi hii
@franklinjr9962 ай бұрын
Big Up Champeeeez Your Future Presdent🙏🏻
@user-iu4du7ws6s2 ай бұрын
Wa Tanzania wengi wamepoteza haki zao kukosa watetezi, Makonda Big up sana
@KhamisNahodah2 ай бұрын
Makonda aigwe na watendaji wengine wengi wanyonge wanateseka
@PROPHETLWITIKO-rr4gc2 ай бұрын
Makonda YESU KRISTO akubaliki sana kazi Yako ni njema
@YusufSwaibu2 ай бұрын
Tuseme tu MTU yoyote atakaye mpinga makonda Kwa anayoyafanya MTU hiyo awe mwanaume au mwanamke ajitadhimin Akili zake na moyo wake atakuwa anaupungufu wa Akili na fikra zake zitakuwa zimeoza na atakuwa nasifa zakijinga,kipumbavu, na roho mbaya tu
@user-sg7tr9fl5q
2 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝😁
@juliusdonard9332 ай бұрын
Daaa watu wanalaana sanaa daaa uonev kuuzia watu nyumba zao na huu n mfano , makonda uish milele
@joelnjuguna77772 ай бұрын
Hallo am from kenya and I like how makonda is prevailing justice to his people and I know one day makonda will became president of TZ
@rosetreffert41792 ай бұрын
MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤❤❤❤❤❤❤
@user-rl3yh6ls7b2 ай бұрын
Magufuli blood like big up,
@mishiabdu74782 ай бұрын
Natamani unge kuatanga.mungu akupe mri na akulinde kila aina ya khasad nakupenda sn
@praygodmtui14072 ай бұрын
Makonda uko vizuri kaka your born leader your doing wonderful things.l wish to you good health and long Life Among of the leader in Africa we never left you back your the some like kwame mkuruma Mohamed gaddafi.julius kambarage Nyerere . Eventually John pombe magofuli those African leader I mentioned they are all passed away but they are leder who love and fight the right of poor people which never ever in this word or under the sun no government leader religion leader who love poor people just a few leader who I mentioned .
@JescaMuyabi-ix8ly2 ай бұрын
Hongera Sana Makonda mungu Azidi kukuweka baba
@user-ex9sd8wm4l2 ай бұрын
Makona mungu akulinde hujawahi kumuonea mtu
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Wajane wote mliodhulumiwa na mna uhalali wa kile mnadai njooni Kwa Makonda, msiogope kulogwa Wala kutengwa, inauma sana Kwa uonevu Kwa kuwa tuu mume amefariki...nasema inaumaaaa😭Mungu amemteua Makonda kupitia mama Samia Ili tusaidike.
@magrethmathayo28002 ай бұрын
makonda Mungu akubariki sana
@sambulugu99882 ай бұрын
Safi sana Makonda!
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@mbolikop64192 ай бұрын
Asante Makonda kwa Initiative nzuri ya kuleta Haki, Asante dada wa Ushirika kwa Moyo wako wa kupambania haki za wana ushirika😮
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
MPAKA 2040 WATANYOOKA MAJIZI 😢😢😢😢
@aaa64sa13
2 ай бұрын
🤔2040 mbona umefikiria mbali hivi🤣🤣🤝
@user-nd8gg4ig7m
2 ай бұрын
Tutakuwepo kweli fupisha kidogo😮😮
@aaa64sa13
2 ай бұрын
@user-nd8gg4ig7m 😂😂😂😂😂
@lightnessmarwa17552 ай бұрын
Safi sana...warudishe nyumba ya watu
@HOSEAZAKARIA-vn7ox2 ай бұрын
Dada wewe ni kiongozi haswaaa mungu akutie nguvu wanyooshe majizi hao
@user-ex9sd8wm4l2 ай бұрын
Mungu akucmamie
@LizzyMbegga
2 ай бұрын
Huyo Dada apewe ulinZi
@thedon84672 ай бұрын
UJE NA ZANZIBAR MAKONDA
@jpmanotaofficial639
2 ай бұрын
Zanzibar ni inchi nyingine
@miriamdavis3893
2 ай бұрын
Nyie nchi nyingine mnajitegemea
@SamsonMalisa
2 ай бұрын
Nje ya nchi mumpige kipapai😂
@thedon8467
2 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 NCHI MOJA SASA KWANINI KAMA NI NCHI NYENGINE TUNATUMIA PASSPORT 🛂 MOJA HALAFU TUKENDA NJE YA NCHI SOTE TWAJUILIKANA WATANZANIA
@thedon8467
2 ай бұрын
@@miriamdavis3893 ZANZIBAR INA JITEGEMEA KWA KIPI
@hamisiyusuph67212 ай бұрын
Unique Man" Makonda
@mrliverpoolynwa76412 ай бұрын
Mheshimiwa makonda ww ni kiongozi haswaa,salute kwako mkuu wangu💪💪💪
@cheiknamouna20582 ай бұрын
Nitafurahi Na kushukuru Huyu baba akipata haki zake pamoja na nyumba yake😢😢
@severamunishi1253
2 ай бұрын
Mpaka nimelia😢
@jullysillo25572 ай бұрын
Makonda Mungu Awe Nawe
@Shamkumbo-sh7gc2 ай бұрын
Nice Rc Makonda, let God bless you
@fredmponzimponzi97142 ай бұрын
Safi kabisa baba kregan🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@esthersissamo11202 ай бұрын
Mungu akutunze mkuu wetu uwe na maisha marefu yenye afya njema Mungu ibariki Tanzania nchi yetu
@dorcasdavid22472 ай бұрын
Kwa Kweli M/Mungu Naomba sn Mlinde Makonda kwa kazi Nzuri Anayoifanya,pasipo kuonea Mtu.🙏🙏
@SuleAmber-lw2tx2 ай бұрын
Hii nchi tunaoneana sana lakn kwann yan nchi imejaa madudu hii Makonda njoo na Dodoma utusikilize ht km sio mkuu wetu
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@elianguvila1859
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-qw8tm3jz2u
2 ай бұрын
Kwa jina la Yesu one day atapangiwa Dodoma tu
@mwantumkombo30142 ай бұрын
Jmn binaadam mbn mtihani xn,bb w watu anajikaza kiume anataka kulia..HONGERA MAKONDA HAKIKA MUNGU HATOKUACHA PEKEYAKO BB.
@vivianallan89632 ай бұрын
Makonda hoyeeee. Mungu akulinde naakupe afya njema. Damu ya Yesu ikufunike.
@nth35122 ай бұрын
We mama hata kama unamsaidia mteja usioneshe mitandaoni sana msimamo wako na kwamba unawachukia hiyo kampuni sababu wanaweza kukuwinda hao majamaa, huwenda upatikanaji wako ni simple tofauti na mkuu wa mkoa. Endelea kumpambania sana huyo mteja kwa hali na mali mpaka apate haki yake lakini usioneshe km ww ndo ngazi kwa huyo mteja, acha wao wajue ni mkuu wa mkoa. Huo mkoa kuna mtu alimwagiwa tindikali wengine wanachinjwa n.k
Vizuri Sana mheshimiwa piga Kaz hata Mungu wetu anapenda tuende haki , Mungu akubariki Sana na kukutunza kwaajili ya kutatua kero za wananchi huu ndiyo utumish.
@verynicemonyo86712 ай бұрын
Makonda mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde
@umlaith52022 ай бұрын
Ubarikiwe Makonda❤ mtetezi wa wanyonge😢😢😢 wasokupenda ni adui wa haki✌️
@adudeswalehe87242 ай бұрын
Magufuli alijizaa kabisa hapa dah 😂👏👏
@user-sg7tr9fl5q2 ай бұрын
Safi sana konda uko vizuri weka ndani wote haijalishi ana cheo gan
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@bilakawaboynew9782 ай бұрын
Nilikuwa nashauri makonda awe anakaa kwenye ukuu wa mkoa kwa miezi6 then anaamia mkoa mwingine ili kila mkoa upate huduma yake
@abdirizakibrahim19752 ай бұрын
Huyu jamaa paka msikitini wanamuombea Mzalendo wa kweli
@salmahanai2 ай бұрын
Kwa.kweli muheshimiwa makonda uko vizuri sana unatetea haki za wsnanchi mungu akulinde sana
@petroyohana11262 ай бұрын
Makonda big up my brother
@andreadaniel82762 ай бұрын
Safi sana dada
@berthatz2 ай бұрын
Hawa ndiyo viongozi tunaowataka..Vijana wachapa kazi ,wazalaendo wenye hofu ya Mungu na utu…Pia wanaofanya maamuzi kwa wakati…Mungu akutunze Paul Makonda..Kuna uonevu mwingi sana ktk nchi hii…😨
@amsiabbas38092 ай бұрын
😢 Mungu akubariki Ppul Makonda endelea kutetea Wanyonge wasioweza kutoa RUSHWA Kwawatendaji wa Serekali Endelea kukitengeza Chama Chetu nakuonyesha kua Serikali inaweza kumtetea Mwanachi Wakawaida Mungu akupiganie Kila kwenye Fitna na Kwenye Chuki wewe ndie Mr CCM
@jacklinegasper17072 ай бұрын
Mungu akilinde sana, zidi kutetea haki zetu wanyonge
@user-qw2kg3dh4k2 ай бұрын
Mungu akubarki sana dada kwa kutenda haki mungu akubarki makonda wetu
@rahimshoki2082 ай бұрын
Mama yetu akipiga miongo yake kumi kura yangu unayo brother Makonda mungu akulinde
@marianmartin74832 ай бұрын
Makonda mwenyezi MUNGU akutangulie. Mwenyezi MUNGU anakuandalia jambo huko mbele linakuja.
@dinakyoma59772 ай бұрын
Uishi miaka mingi Mheshimiwa Makonda, huu ni zaidi ya Utumishi mbele za Mungu! Mungu akukumbuke
@ponsianomnyaru91402 ай бұрын
Tatzo rais wetu mpole sana ameasi mwendelezo wa mtanguliz wake anajifanya mwema Ndo tatzo
@yusufismail3116
2 ай бұрын
Hii kesi ilianza lini kwa ulivyosikia? Mungu amekupa akili, tumia.
@yusufismail3116
2 ай бұрын
Sikiliza maelezo ya mlalamikaji dakika ya 6 sekunde ya8 kuendelea kidogo ,nyumba iliuzwa 2016 kipindi hicho mheshiwa alikuwa bado Yuko hai mbona hiyo haki haikupatikana? ACHA chuki kwa Rais wetu .
@lucasmkui31602 ай бұрын
Viongozi waige kwa RC Makonda yupo vema, safisana napia Kuna Ali Happi, Agrey Mwanry, na RC Albat Chalamila hao woote ni majembe ya Tanzania nawaombea wawe kwenye system ya uongozi wa mikoa ahsanteni sana
@janesterbatikinasabuninzur36282 ай бұрын
Nampenda sana makonda natamani awe mkuu wa mkoa wa mwanza!
@ivonaevarista46542 ай бұрын
MUNGU Muumbaji katika jina la Yesu Kristo nakusihi BABA watie nguvu na kuwalinda viongozi wote wanaoisimamia haki BABA usiwaache akiwemo makonda msaidie,mlinde dhidi ya mabaya watesi wake wawe wako BABA ilinde familia yake na uzao wake mzidishie hekima na maarifa mpe moyo wa upendo asichoke kutumikia nafasi ulomuweka BABA nakusihi ukamfanye kuiona mbingu hakika aingie mbinguni tusaidie tusichoke kuiombea tanzania yetu.amina
@benardpeter35622 ай бұрын
Barikiwa sana mheshimiwa🙏🙏🙏🙏
@user-yt2pf2hd2u2 ай бұрын
Ata mabenk mentioned tu yanaibia watu kwa mfumo huo makonda bas mimi nakukubar ndugu tumbua hao
@user-qm3dd9wb1v2 ай бұрын
Ccm ikiwa naviongozi kama huyu itaendelea kuwa madarakan nawatu tutaipenda maana niwatu wachache wanaoiharibia
@ernestkaji96402 ай бұрын
Mungu akutunze mpenda haki,na mtatuzi wa kero za watu wa nchi hii
@russia12532 ай бұрын
Kinacho niuma kwamba mawaziri wakuu wa mikoa wapo na wanaona makonda kazi anayo ifanya lakini wapo kimya kama mikoa yao aina madudu, kwanini kila moja asipite kutumbua majipu 😢
@pastorgodwinchengula7848
2 ай бұрын
Wangemuiga tu style yake ndio inatakiwa hapa Tz kwasasa.
@muromuro80372 ай бұрын
Mkuu be blessed my kamanda,mpaka kizazi chako Cha mwisho hapa duniania kibarikiwe kwa wema wako, Makonda 2032 nakuchukulia form mwenyewe
@thelalas92042 ай бұрын
Kazi mzuri,hongera muheshimiwa ila ingependeza kama tungeona na wale wa CIG nao wanaswekwa na kutiwa ndani.Uzuri wa kusafisha nyumba uanze juu ya dari huku chini ufagiaji wake rahisi mno.Tungependa kipenga kipulizwe waliopoteza pesa zetu mabilioni wawajibishwe
@Mkemia..Kirigiti2 ай бұрын
MAKONDA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI, KWA KUWATETEA WANYONGE KAMA HAWA🙏🙏🙏
@braitonilomo16352 ай бұрын
mungu akubariki mweshimiwa makonda nakurindee kirawakatii
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
Makonda una kiti chako mninguni .Mungu akubariki baba🙏🏽
@nabiigsevenmwasomola2 ай бұрын
Mungu akutunze zaidi Makonda uzidi kuwatendea haki waliozurumiwa
@deusdeditswebe89302 ай бұрын
Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi huyu...
@gracekagoma32312 ай бұрын
Makonda hongera sana ndugu❤
@RokoineMollel2 ай бұрын
mkuu wa mkoa arusha unapgia mwingi kweli mungu akutangulie
@msafirimfilinge82222 ай бұрын
Mungu akulinde makonda wewe ndo kiongozi❤❤❤❤
@clementiddi57082 ай бұрын
Yaani uonevu wanaopitia watanzania na serikali na vyombo vyake ipo ipo tu. Mungu atalipa tu
@valenakomba76862 ай бұрын
NA MENEJA WA CHAMA CHANUSHIRIKA NAYE AKAMATWE. WATANZANIA NI WAZULUMAJI SANA. NA HIZO CAMPUNI ZA MABROEKER ZIFUTWE. MAHAKAMA IPO INAWEZA KUFANYA KAZI KAMA HIZO.
@user-hj4sy9fy4g2 ай бұрын
Makonda, Big up🎉💯👍
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
He has opened a pandora box
@KundaelGeorge-tv8mz2 ай бұрын
Duu. Makonda nalia mimi, Mungu akusaidie sana
@Esterzacharia-fm8mr2 ай бұрын
Kuna hawa. Wakopesha pesa mitandaoni nao wachukuliwe hatua
@edwinalexander1170
2 ай бұрын
Hawa nao ni wakuawatafuta na wale pia wakusema ile hela tuma kwenye namba hii.
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Lakini si mnawafuata ninyi? Mimi hata sioni makosa yao,mbona wengine tusiokopa japi shida tunazo kibao,mbona wasitusumbuwe? Shida ipo kwenu wakopaji,Basi tu,mnapokopa mnafurahia kulipa hamtaki halafu mnataka muonewe huruma.😂
Пікірлер: 458
kama unamkubari makonda gonga like hapa
@HilaryJulius
2 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@FausitnePonera-fq9pj
2 ай бұрын
Mungunakutunze paul
@MedyKailo
2 ай бұрын
❤nakubal
Kila binadamu anamapungufu yake, ila kwenye mazuri pia tumpe maua yake MAKONDA nakupa maua Yako hata kabla mungu hajakuita...BIG UP SANA
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@sangajaffar7419
2 ай бұрын
KWA KWELI MAKONDA HAPO UNATENDA HAKI,STAY BLESSED
@gracelunyili6517
2 ай бұрын
💐🌹🥀🌷🌺
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
2 ай бұрын
Paul CHRISTIAN makonda ni kiongozi Mzuri sana
@user-em9vh8wr5c
2 ай бұрын
Makonda Mungu aendelee kukutunza
Makonda Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote ktk maisha yakooo...kazi nzuri sana unafanya
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@user-gt5yd4no7c
2 ай бұрын
Sana kaka
Asili ya Msukuma HAPENDI KABISA KUMWONA MTU ANAONEWA PIA WANAHURUMA SANA nimeishi kanda ya ziwa miaka mingi na Makonda ametoka kanda ya ziwa wapo hivyo ! Arusha hongereni
@faustinombilinyi9809
2 ай бұрын
Kweli kaka wasukuma wanahuruma sn niliobahatika kuishi nao aisee sikuwahi juta kuishi na Hawa watu wanahuruma hata wanawake wakisukuma wenye asilia kabisa sio Hawa wamjini wananidhamu mno ni wanawake kwelikweli kaka.. Hawa watu wanakarama ya uongozi
Makonda asili yake ya uongozi ni mtatuzi wa kero Mungu amlinde
@annasolomon9855
2 ай бұрын
Namuona Magu ndani yake❤❤
@berthatz
2 ай бұрын
Na kiongozi ni yule anayetatua kero za wananchi…Mungu amtunze Makonda.
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
@@annasolomon9855kiki hizo
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
@@berthatz hujui maana ya kiongozi ww
@sambulugu9988
2 ай бұрын
Uongozi ni nini? Ujuaji tu mbele giza!@@michaelaloyce2072
Makonda Mungu ambariki kwa ni kiongozi wa mfano Tanzania
Huyu brother Makonda huwa namwelewa sana ,mungu akupe maisha marefu na afya njema
@NassorHamad-dj6sv
2 ай бұрын
Aamin
Namtabiria MBALI SANA HUYU MWAMBA 💪💪💪💪💪 Makonda unajua na wanajua unajua ILA MUNGU anakujua zaidi,,na ipo SIKU watajua unajua HONGERA SANA MWAMBA 💪💪💪💪
Niko Kigoma Mjini. Hakika Makonda for Everyone❤
Makonda mpe kazi huyo Dada anajitambua sana
@WillBat-gc9ex
2 ай бұрын
Makonda mi nakukubali sana mi nakuombea kwa mungu baba hautakufa hadi wakati wako utakapofika mungu akulinde sana kama hagai anavosema kuwa kama neno lile nililo agana nanyi mlipokuwa mkitoka katika nchi ya misri na roho yangu ikati yako makonda usiogope
Kama Kila mikoa Waki shughulikia wananchi na Imani tutasogea mbele . Nchi itakua inanghara .Hamna dhuluma Mungu atatu bariki. Naomba Mikoa yote .Wamige Mkuu Makonda. Hongera Mkuu.
@user-qh2hz2wm3n
2 ай бұрын
sawa bb
JPM legacy will live on
@dassustephen731
2 ай бұрын
Tunamuhitaji Magufuli mwingine aje nchi hii.Na atakuwa Tu no matter what.
@MohamedMachete
Ай бұрын
True
Kalisti Mungu wa mbingun akupe haki yako! Dada pia Mungu akulinde na familia yako na Makonda Mungu akupe maisha marefu, kwa kweli machozi yamenitoka
@hellenshayo3454
2 ай бұрын
Mama Baraka jirani yangu piga kazi nakuaminia best
@JaneJennifer-zk7bk
2 ай бұрын
Yaani kuna vitu vinafanyika kwenye hii dunia ukiona au kusikia utadhani unaangali tamthilia
Arafu kuna jitu unakuta limeshiba kande linamtukana Makonda
@brysonmalongoza5422
2 ай бұрын
Makonda, Mungu akutunze. Wala rushwa wengine lolote liwapate!!
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@edgarmbegu1974
2 ай бұрын
Sasa kama ni mhalifu watu wasiseme? Kenge kweli wewe.
@user-ex9sd8wm4l
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thadeipeter2592
2 ай бұрын
Sure bro wengine Wana wivu tuu,
Your blessing mkuu wetu wa mkoa Mungu azidi kukutunza❤
Big up makonda❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akulinde mkuu wangu wa mkoa, una bright future na Mungu akusimamie usiishie kuwa mkuu wa mkoa bali uwe mkuu wa nchi !! Kwa jina la Yesu
Namuona rais ajae makonda ktk jina la yesu👏👏🤲
@bahatisanga8664
2 ай бұрын
Rais ajaye ni HAFREY POLEPOLE
Naomba Mungu akupe maisha marefu uje uwe raisi wa nchi hii
Big Up Champeeeez Your Future Presdent🙏🏻
Wa Tanzania wengi wamepoteza haki zao kukosa watetezi, Makonda Big up sana
Makonda aigwe na watendaji wengine wengi wanyonge wanateseka
Makonda YESU KRISTO akubaliki sana kazi Yako ni njema
Tuseme tu MTU yoyote atakaye mpinga makonda Kwa anayoyafanya MTU hiyo awe mwanaume au mwanamke ajitadhimin Akili zake na moyo wake atakuwa anaupungufu wa Akili na fikra zake zitakuwa zimeoza na atakuwa nasifa zakijinga,kipumbavu, na roho mbaya tu
@user-sg7tr9fl5q
2 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝😁
Daaa watu wanalaana sanaa daaa uonev kuuzia watu nyumba zao na huu n mfano , makonda uish milele
Hallo am from kenya and I like how makonda is prevailing justice to his people and I know one day makonda will became president of TZ
MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤❤❤❤❤❤❤
Magufuli blood like big up,
Natamani unge kuatanga.mungu akupe mri na akulinde kila aina ya khasad nakupenda sn
Makonda uko vizuri kaka your born leader your doing wonderful things.l wish to you good health and long Life Among of the leader in Africa we never left you back your the some like kwame mkuruma Mohamed gaddafi.julius kambarage Nyerere . Eventually John pombe magofuli those African leader I mentioned they are all passed away but they are leder who love and fight the right of poor people which never ever in this word or under the sun no government leader religion leader who love poor people just a few leader who I mentioned .
Hongera Sana Makonda mungu Azidi kukuweka baba
Makona mungu akulinde hujawahi kumuonea mtu
Wajane wote mliodhulumiwa na mna uhalali wa kile mnadai njooni Kwa Makonda, msiogope kulogwa Wala kutengwa, inauma sana Kwa uonevu Kwa kuwa tuu mume amefariki...nasema inaumaaaa😭Mungu amemteua Makonda kupitia mama Samia Ili tusaidike.
makonda Mungu akubariki sana
Safi sana Makonda!
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
Asante Makonda kwa Initiative nzuri ya kuleta Haki, Asante dada wa Ushirika kwa Moyo wako wa kupambania haki za wana ushirika😮
MPAKA 2040 WATANYOOKA MAJIZI 😢😢😢😢
@aaa64sa13
2 ай бұрын
🤔2040 mbona umefikiria mbali hivi🤣🤣🤝
@user-nd8gg4ig7m
2 ай бұрын
Tutakuwepo kweli fupisha kidogo😮😮
@aaa64sa13
2 ай бұрын
@user-nd8gg4ig7m 😂😂😂😂😂
Safi sana...warudishe nyumba ya watu
Dada wewe ni kiongozi haswaaa mungu akutie nguvu wanyooshe majizi hao
Mungu akucmamie
@LizzyMbegga
2 ай бұрын
Huyo Dada apewe ulinZi
UJE NA ZANZIBAR MAKONDA
@jpmanotaofficial639
2 ай бұрын
Zanzibar ni inchi nyingine
@miriamdavis3893
2 ай бұрын
Nyie nchi nyingine mnajitegemea
@SamsonMalisa
2 ай бұрын
Nje ya nchi mumpige kipapai😂
@thedon8467
2 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 NCHI MOJA SASA KWANINI KAMA NI NCHI NYENGINE TUNATUMIA PASSPORT 🛂 MOJA HALAFU TUKENDA NJE YA NCHI SOTE TWAJUILIKANA WATANZANIA
@thedon8467
2 ай бұрын
@@miriamdavis3893 ZANZIBAR INA JITEGEMEA KWA KIPI
Unique Man" Makonda
Mheshimiwa makonda ww ni kiongozi haswaa,salute kwako mkuu wangu💪💪💪
Nitafurahi Na kushukuru Huyu baba akipata haki zake pamoja na nyumba yake😢😢
@severamunishi1253
2 ай бұрын
Mpaka nimelia😢
Makonda Mungu Awe Nawe
Nice Rc Makonda, let God bless you
Safi kabisa baba kregan🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
Mungu akutunze mkuu wetu uwe na maisha marefu yenye afya njema Mungu ibariki Tanzania nchi yetu
Kwa Kweli M/Mungu Naomba sn Mlinde Makonda kwa kazi Nzuri Anayoifanya,pasipo kuonea Mtu.🙏🙏
Hii nchi tunaoneana sana lakn kwann yan nchi imejaa madudu hii Makonda njoo na Dodoma utusikilize ht km sio mkuu wetu
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
@elianguvila1859
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-qw8tm3jz2u
2 ай бұрын
Kwa jina la Yesu one day atapangiwa Dodoma tu
Jmn binaadam mbn mtihani xn,bb w watu anajikaza kiume anataka kulia..HONGERA MAKONDA HAKIKA MUNGU HATOKUACHA PEKEYAKO BB.
Makonda hoyeeee. Mungu akulinde naakupe afya njema. Damu ya Yesu ikufunike.
We mama hata kama unamsaidia mteja usioneshe mitandaoni sana msimamo wako na kwamba unawachukia hiyo kampuni sababu wanaweza kukuwinda hao majamaa, huwenda upatikanaji wako ni simple tofauti na mkuu wa mkoa. Endelea kumpambania sana huyo mteja kwa hali na mali mpaka apate haki yake lakini usioneshe km ww ndo ngazi kwa huyo mteja, acha wao wajue ni mkuu wa mkoa. Huo mkoa kuna mtu alimwagiwa tindikali wengine wanachinjwa n.k
Makonda mungu akulinde kwa husda za walimwengu
Kaka makonda mungu akutunze
Huyu makonda duuh mkali kweli kama ungekua hapa kwetu kenya🇰🇪wanyonge🇰🇪🇰🇪 wangepona
Mungu akulinde Po MAKONDA
Vizuri Sana mheshimiwa piga Kaz hata Mungu wetu anapenda tuende haki , Mungu akubariki Sana na kukutunza kwaajili ya kutatua kero za wananchi huu ndiyo utumish.
Makonda mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde
Ubarikiwe Makonda❤ mtetezi wa wanyonge😢😢😢 wasokupenda ni adui wa haki✌️
Magufuli alijizaa kabisa hapa dah 😂👏👏
Safi sana konda uko vizuri weka ndani wote haijalishi ana cheo gan
@africanmoviesmovies
2 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dn2TtpSmf9ezqJM.html
Nilikuwa nashauri makonda awe anakaa kwenye ukuu wa mkoa kwa miezi6 then anaamia mkoa mwingine ili kila mkoa upate huduma yake
Huyu jamaa paka msikitini wanamuombea Mzalendo wa kweli
Kwa.kweli muheshimiwa makonda uko vizuri sana unatetea haki za wsnanchi mungu akulinde sana
Makonda big up my brother
Safi sana dada
Hawa ndiyo viongozi tunaowataka..Vijana wachapa kazi ,wazalaendo wenye hofu ya Mungu na utu…Pia wanaofanya maamuzi kwa wakati…Mungu akutunze Paul Makonda..Kuna uonevu mwingi sana ktk nchi hii…😨
😢 Mungu akubariki Ppul Makonda endelea kutetea Wanyonge wasioweza kutoa RUSHWA Kwawatendaji wa Serekali Endelea kukitengeza Chama Chetu nakuonyesha kua Serikali inaweza kumtetea Mwanachi Wakawaida Mungu akupiganie Kila kwenye Fitna na Kwenye Chuki wewe ndie Mr CCM
Mungu akilinde sana, zidi kutetea haki zetu wanyonge
Mungu akubarki sana dada kwa kutenda haki mungu akubarki makonda wetu
Mama yetu akipiga miongo yake kumi kura yangu unayo brother Makonda mungu akulinde
Makonda mwenyezi MUNGU akutangulie. Mwenyezi MUNGU anakuandalia jambo huko mbele linakuja.
Uishi miaka mingi Mheshimiwa Makonda, huu ni zaidi ya Utumishi mbele za Mungu! Mungu akukumbuke
Tatzo rais wetu mpole sana ameasi mwendelezo wa mtanguliz wake anajifanya mwema Ndo tatzo
@yusufismail3116
2 ай бұрын
Hii kesi ilianza lini kwa ulivyosikia? Mungu amekupa akili, tumia.
@yusufismail3116
2 ай бұрын
Sikiliza maelezo ya mlalamikaji dakika ya 6 sekunde ya8 kuendelea kidogo ,nyumba iliuzwa 2016 kipindi hicho mheshiwa alikuwa bado Yuko hai mbona hiyo haki haikupatikana? ACHA chuki kwa Rais wetu .
Viongozi waige kwa RC Makonda yupo vema, safisana napia Kuna Ali Happi, Agrey Mwanry, na RC Albat Chalamila hao woote ni majembe ya Tanzania nawaombea wawe kwenye system ya uongozi wa mikoa ahsanteni sana
Nampenda sana makonda natamani awe mkuu wa mkoa wa mwanza!
MUNGU Muumbaji katika jina la Yesu Kristo nakusihi BABA watie nguvu na kuwalinda viongozi wote wanaoisimamia haki BABA usiwaache akiwemo makonda msaidie,mlinde dhidi ya mabaya watesi wake wawe wako BABA ilinde familia yake na uzao wake mzidishie hekima na maarifa mpe moyo wa upendo asichoke kutumikia nafasi ulomuweka BABA nakusihi ukamfanye kuiona mbingu hakika aingie mbinguni tusaidie tusichoke kuiombea tanzania yetu.amina
Barikiwa sana mheshimiwa🙏🙏🙏🙏
Ata mabenk mentioned tu yanaibia watu kwa mfumo huo makonda bas mimi nakukubar ndugu tumbua hao
Ccm ikiwa naviongozi kama huyu itaendelea kuwa madarakan nawatu tutaipenda maana niwatu wachache wanaoiharibia
Mungu akutunze mpenda haki,na mtatuzi wa kero za watu wa nchi hii
Kinacho niuma kwamba mawaziri wakuu wa mikoa wapo na wanaona makonda kazi anayo ifanya lakini wapo kimya kama mikoa yao aina madudu, kwanini kila moja asipite kutumbua majipu 😢
@pastorgodwinchengula7848
2 ай бұрын
Wangemuiga tu style yake ndio inatakiwa hapa Tz kwasasa.
Mkuu be blessed my kamanda,mpaka kizazi chako Cha mwisho hapa duniania kibarikiwe kwa wema wako, Makonda 2032 nakuchukulia form mwenyewe
Kazi mzuri,hongera muheshimiwa ila ingependeza kama tungeona na wale wa CIG nao wanaswekwa na kutiwa ndani.Uzuri wa kusafisha nyumba uanze juu ya dari huku chini ufagiaji wake rahisi mno.Tungependa kipenga kipulizwe waliopoteza pesa zetu mabilioni wawajibishwe
MAKONDA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI, KWA KUWATETEA WANYONGE KAMA HAWA🙏🙏🙏
mungu akubariki mweshimiwa makonda nakurindee kirawakatii
Makonda una kiti chako mninguni .Mungu akubariki baba🙏🏽
Mungu akutunze zaidi Makonda uzidi kuwatendea haki waliozurumiwa
Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi huyu...
Makonda hongera sana ndugu❤
mkuu wa mkoa arusha unapgia mwingi kweli mungu akutangulie
Mungu akulinde makonda wewe ndo kiongozi❤❤❤❤
Yaani uonevu wanaopitia watanzania na serikali na vyombo vyake ipo ipo tu. Mungu atalipa tu
NA MENEJA WA CHAMA CHANUSHIRIKA NAYE AKAMATWE. WATANZANIA NI WAZULUMAJI SANA. NA HIZO CAMPUNI ZA MABROEKER ZIFUTWE. MAHAKAMA IPO INAWEZA KUFANYA KAZI KAMA HIZO.
Makonda, Big up🎉💯👍
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
He has opened a pandora box
Duu. Makonda nalia mimi, Mungu akusaidie sana
Kuna hawa. Wakopesha pesa mitandaoni nao wachukuliwe hatua
@edwinalexander1170
2 ай бұрын
Hawa nao ni wakuawatafuta na wale pia wakusema ile hela tuma kwenye namba hii.
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Lakini si mnawafuata ninyi? Mimi hata sioni makosa yao,mbona wengine tusiokopa japi shida tunazo kibao,mbona wasitusumbuwe? Shida ipo kwenu wakopaji,Basi tu,mnapokopa mnafurahia kulipa hamtaki halafu mnataka muonewe huruma.😂
Big up
Nakupongeza Mh Makonda.