Makamua feat Enika - Rudi Nyumbani

Музыка

CLASSIC SONG......

Пікірлер: 92

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Жыл бұрын

    Napenda unavyonipa mi, chocolate kadi na pipi, lakini una Acha Roho, Muda wako na mapenzi, ndio vikubwa kwangu mi, umesahau kwamba mi ni wako, harufu yako inachange, sipati yako mapenzi, kumbatia teddy bear wangu, mi nakupenda sana , bila we ntakua kichaa, lakini madhara nimeyakubali,

  • @bakarywaziry8985

    @bakarywaziry8985

    Жыл бұрын

    dah hapo kwenye neno "Teddy bear" ndio najua leo (October 5, 2022) kuwa anatamka hilo neno, hebu nipe na Lyrics za Chorus mzee maana inawezekana nasikia vitu tofauti

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    Жыл бұрын

    @@bakarywaziry8985 haahaahha wengi hawajui ni yule mdoli mkubwa wa dubu wadada wengi wanapenda kua nayo

  • @boeihongoa1436

    @boeihongoa1436

    Жыл бұрын

    @@bakarywaziry8985 😂😂🤣🤣

  • @NgassaJr

    @NgassaJr

    Жыл бұрын

    Ahsante sana nilikua nasema nakupenda kila kukicha kumbe bila wewe ntakua kichaa

  • @mainamaseeti

    @mainamaseeti

    Жыл бұрын

    Best part of the song

  • @alexleo4863
    @alexleo4863 Жыл бұрын

    Ukatili ambao hii Nyimbo imefanyiwa sio wa kusamehewa Hii ni Masterpiece, Classic, Phenomenal Daah

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist3 ай бұрын

    ENIKA Alikuwa na sauti tamu Sana🔥

  • @mustafaabasi6368
    @mustafaabasi6368 Жыл бұрын

    Enzi hizo tunawahi kwenye mabanda ya TV kuangalia trailer za nyimbo Yan we acha tu maisha yanaenda Kasi sana

  • @olivierniyonsaba3980
    @olivierniyonsaba39802 ай бұрын

    Only lord knows how i looked for this song😭😂....big Love from Rwanda #childhood_memories

  • @johnmoffat8162
    @johnmoffat81626 ай бұрын

    Hiko kipande kidogo alichoimba makamua kweny hiyo ngoma ya niite basi aiseee huyu jamaa ni talent sana

  • @gwakisaeddie4856
    @gwakisaeddie48562 жыл бұрын

    Hivi kwa nini msirudi tena,ulikuwa muziki nzuri

  • @herrysimonmakandi9337
    @herrysimonmakandi9337 Жыл бұрын

    I'm here watching this masterpiece in2023. This was the real RnB. Mbona uliacha kuimba man?

  • @user-du4wc7ui1k
    @user-du4wc7ui1k8 ай бұрын

    The quality of song never get old I listen times it's a contemporary talent we want in our region to lift up our artist

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068Ай бұрын

    Mimi nikienda bar kubwa tabata lazima dj aningongee hiii vinginevyo ntaondka tu.ila washanijua wanaipiga kila ijumaa tabata pale kaz moto yaaan naipenda mpaka nife ❤❤❤❤❤

  • @musaseule279
    @musaseule2794 ай бұрын

    Muziki Bana ❤

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 Жыл бұрын

    hii sauti ipo tena katika wimbo unaitwa Changanyachanganya na ule wa Hawatuwezi, Nako2nako souldiers.

  • @VenanceGilbert
    @VenanceGilbertАй бұрын

    Hapa Makamua pembeni Enika na biti kali la MJ Records, noma sana watoto wa Amapiano hawawezi elewa 🔥

  • @SayiMugana
    @SayiMuganaАй бұрын

    2024...

  • @radhiamussa7955
    @radhiamussa7955 Жыл бұрын

    Brother ngoma mzuri Sana mungu akulinde Sana

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar Жыл бұрын

    2022 and still loving this song, inabamba sana. Hizo melody, beats na ujumbe.

  • @lucymgina8093
    @lucymgina8093 Жыл бұрын

    ZAMANI HAT BEAT NI KALIII BURUDANI TOSHAAA...MWAKA 2023 MPOOOOO

  • @vedastomfilinge3583
    @vedastomfilinge35838 ай бұрын

    Makamua daaaah 🔥🙌😀 thank God Kwa kipaji hiki!

  • @mickyplanmaker9053
    @mickyplanmaker90537 ай бұрын

    Nzuri Sana❤

  • @user-so6uz6bj2m
    @user-so6uz6bj2m10 ай бұрын

    Zaman kulkuwa na mzki sio Sasa hakuna kitu cha maana

  • @user-xk8dy7kq6q
    @user-xk8dy7kq6qАй бұрын

    Ebu mwagia makopa for this song

  • @rimp3452
    @rimp3452 Жыл бұрын

    Still a banger in 2023💥

  • @VladimirKichko

    @VladimirKichko

    6 ай бұрын

    Now 2024

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068Ай бұрын

    @joshuamakota 6714 walahi nimependa ulivyotiririka cjui nije uniimbie ❤❤❤❤❤❤❤

  • @baluhyajr.913
    @baluhyajr.9132 жыл бұрын

    Those days when music was memorable.

  • @mkwavidonself3844

    @mkwavidonself3844

    Жыл бұрын

    I gree

  • @kuryaphotography8838
    @kuryaphotography88383 ай бұрын

    Enzi hizo nina Radio yangu ya Sony MHC GN 1200D speaker 6 inapiga kambini had jiran wakawa wananishushiaaa meter umeme unakata kiukweli wee Macamua umetutenda sana huu wimbo remix hamna na mpaka saiv SONY yangu ipo sebleni ya milion moja laki 8 from malashia jaman rudia hiii ngoma Hapo Enika alikuwa ukiitikia kama malaika saut nyororo

  • @gerrywin2194
    @gerrywin21942 жыл бұрын

    Mlifanya kazi kubwa sana, hope still u got talent guys, come again

  • @felixwasig7460
    @felixwasig74606 ай бұрын

    2024 still a banger nouma sana

  • @oldskuladimuzabongo8873

    @oldskuladimuzabongo8873

    5 ай бұрын

    Enika Mama❤

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068Ай бұрын

    Huuumziki hauwez kuja kutokea tena mimi hata wangefanya tamasha ningeenda sasahiv unasauti tamuuu

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Жыл бұрын

    Pata picha hiki kipande cha enika akapiga abbychams

  • @user-rd6nr4qq3s

    @user-rd6nr4qq3s

    2 ай бұрын

    Afanye remix 🎉🎉

  • @maryamfareed6609
    @maryamfareed6609 Жыл бұрын

    Aseee hakuna na hautatokea mzir mzur kama huu...sasa hiv nyimbo inatoka leo wiki ijayo hutaman hata kuuskia

  • @MichaelStewart-cl3fo
    @MichaelStewart-cl3fo11 ай бұрын

    Kwann wote wawili waliacha kuimbaa dàh!!

  • @fadhilinzano5840
    @fadhilinzano584011 ай бұрын

    Hii ndio RNB ya Tanzania diamond ndio ameharibu mziki wetu kwa kukopy Nigeria mara mapiano sasa hivi asili ya mziki wetu bongo fleva imepotea tumekuwa watumwa wa kusapoti vya wezetu na kuzarau mziki wetu. Naamini kama hii midundo ya kitambo kama mtu anarudi nayo wote wanakaa maana kwa sasa hakuna mziki ila ni bigG ikiisha utamu unatema

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    8 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @user-rm3qx8jw5b

    @user-rm3qx8jw5b

    5 ай бұрын

    Diamond na hiyo miwasafi inaimba upumbavu pumbavu ndio wameharibu muziki kabisa vipaji kama hivi vimepotezwa na media pia😢

  • @SululuZungu

    @SululuZungu

    Ай бұрын

    True story mshamba sn yule diamond

  • @AdamAnthon-ht3ur

    @AdamAnthon-ht3ur

    Ай бұрын

    Nikwel kabsa mziki ndo huu mengne makelele

  • @zaqwishashaban
    @zaqwishashaban2 ай бұрын

    2024 still listening to this song

  • @townsendbrighton6152

    @townsendbrighton6152

    2 ай бұрын

    I'm here too

  • @Bremenlife
    @Bremenlife3 ай бұрын

    2024❤

  • @juliomario8649
    @juliomario86499 ай бұрын

    2023 - still the best ❤

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 Жыл бұрын

    Noma sanaa

  • @severinndunguru6270
    @severinndunguru6270 Жыл бұрын

    Whawww love you this song old is gold

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 Жыл бұрын

    Enika alikua na saluti mojo very unique man. I can't say

  • @eleanorreuben4986
    @eleanorreuben49862 жыл бұрын

    On those days 💕💕..still listening June 2022

  • @user-rm3qx8jw5b
    @user-rm3qx8jw5b5 ай бұрын

    Bonge la ngoma❤

  • @richardchimba3800
    @richardchimba38008 ай бұрын

    Kaka makamua unatisha sana

  • @rashidkayugwa7109
    @rashidkayugwa71092 жыл бұрын

    2022 June My Jam

  • @user-ok2hb1es4x
    @user-ok2hb1es4x9 ай бұрын

    your songs lives bro

  • @mgenisulaiman6310
    @mgenisulaiman63103 ай бұрын

    She pass around in my brain

  • @ZondoMartine-gy7yi
    @ZondoMartine-gy7yi Жыл бұрын

    ngoma kali Naiskiza 2023

  • @chardtalent8191
    @chardtalent8191 Жыл бұрын

    2022 till watching

  • @victorsizya4470
    @victorsizya4470 Жыл бұрын

    August 2022 nipo hapa

  • @hassansimba2002
    @hassansimba20025 ай бұрын

    Aisee huyo video vixen Selina Yuko wapi mzee?

  • @almostcomic
    @almostcomic Жыл бұрын

    Makamua Joselin

  • @mwanampotevudigital9884
    @mwanampotevudigital98846 ай бұрын

    2024 still a banger!

  • @mremakavishe8715
    @mremakavishe8715 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥👊👊👊👊

  • @KautharIssaNassor-gx8qh
    @KautharIssaNassor-gx8qh11 ай бұрын

    August 1st 2023 still watching this song

  • @abdallahmhando5107
    @abdallahmhando5107 Жыл бұрын

    Umetisha!!

  • @mkalimakamua

    @mkalimakamua

    Жыл бұрын

    Shukrani Sana 🤝

  • @charlespatrick4859
    @charlespatrick48592 жыл бұрын

    Real music

  • @khalidllukanda
    @khalidllukanda9 ай бұрын

    wakali

  • @P4Principle
    @P4Principle2 жыл бұрын

    yo back in dayz hommie

  • @alfayorgodfrey6089
    @alfayorgodfrey6089 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mgenisulaiman6310
    @mgenisulaiman63103 ай бұрын

    Where is she

  • @dannigoldmusic
    @dannigoldmusic2 жыл бұрын

    Great work

  • @mkalimakamua

    @mkalimakamua

    Жыл бұрын

    Thank you! Cheers!

  • @cabylake2320
    @cabylake23207 ай бұрын

    Nice

  • @hussenlingula8518
    @hussenlingula8518 Жыл бұрын

    🎉🎉🎉

  • @El9a
    @El9a4 ай бұрын

    2024 nmekuja kusikia sauti ya Enika

  • @nasrujuma7306
    @nasrujuma7306 Жыл бұрын

    Classic

  • @robertmgulunde5069
    @robertmgulunde5069 Жыл бұрын

    2023

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 Жыл бұрын

    Vokolist

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068Ай бұрын

    @joshuamakota ❤❤❤❤❤

Келесі