Produced before with father of Bogo flavour Mika Mwamba then in 2006 we have re-mastering of it again when we made an album.
Жүктеу.....
Пікірлер: 584
@annanyassin57424 ай бұрын
2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like
@denismasele4130
23 күн бұрын
I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉
@shabanhafidhu19516 жыл бұрын
Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako
@dahkitambosanapazi8354
5 жыл бұрын
mi sijui ila nimegonga like ya nguvu 2019
@siphaherymsogoya2039
5 жыл бұрын
Daaa inaumiza daaaa hivi unajua hawa akina domo sijui huwaga wanapima wanavyosema wanaimba au wanajipoyezea muda huu ndo muziki
@lawrencebundala5769
4 жыл бұрын
Shaban Hafidhu Nimekuja kujua kwamba jamaa ni mzungu baaadae sanaa
@arymixologyservice9899
4 жыл бұрын
Kweli
@tatumpita6284
4 жыл бұрын
Mi pia ndio nimejua leo
@Saidy-omaryxmshamboАй бұрын
Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉
@vascomartin11034 ай бұрын
Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like
@linuspastory55976 ай бұрын
22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana
@kaputaakida47217 жыл бұрын
i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like
@omariabeid3291
3 жыл бұрын
Mikka Mwamba
@evarist84777 ай бұрын
1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..
@chachamturi2596 ай бұрын
Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii
@geffects1141Ай бұрын
Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢
@sharlensherif64475 жыл бұрын
Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Husijali dada yangu wazee wa kutunza kumbukumbu tupo mtembelee tu account hii na ku subscribe...enjoy. Kweli vya kale ni dhahabu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Ila umezifuta nyingi sana why?
@dannysaimon9584
3 жыл бұрын
Sina jisi
@alfarismickidadi9512
5 ай бұрын
The same
@alfarismickidadi9512
5 ай бұрын
@@BiornProductions🎉
@simongambaloya17276 ай бұрын
Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote
@mustaphajuma68214 жыл бұрын
Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!
@gooddeeds162
Жыл бұрын
Pole sana Mzee, Mungu ni mwema I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe
@muhidinhassan5419
Жыл бұрын
Daah pole sana mungu asimame na ww
@Aboodjan4-
10 ай бұрын
Pole sn😢
@susancharles1660
8 ай бұрын
Pole sana
@BiornProductions
5 ай бұрын
That's what music brought to us,pure memories but sorry
@shabanally69733 ай бұрын
Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia
@giftgadiel91915 ай бұрын
Legendary music..😢 Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..
@jamesmatiko86769 ай бұрын
Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤
@veronicavenance31593 жыл бұрын
Natamani kulia hii ni classic since 2002
@paulmboje267710 ай бұрын
Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐
@muhesakazumba94263 ай бұрын
Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana
@evenlightjumanne19096 жыл бұрын
Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee
@marjentertainment2031
5 жыл бұрын
Ulitoka 2002
@BiornProductions
5 жыл бұрын
U,are a real fun
@khamyclever4929
4 жыл бұрын
Tamala
@marjentertainment2031
4 жыл бұрын
Umetoka 2002
@johncelestine8366
4 жыл бұрын
Evenlight Jumanne hongera kaka
@kambwiwamwaduifc77465 жыл бұрын
dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda
@terrygabby89765 жыл бұрын
2019...who’s with me?
@aeyzee4ever6078 жыл бұрын
huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya
@BiornProductions
7 жыл бұрын
One love
@samwelmussa1119
7 жыл бұрын
nyimbo haina uwezo wa kuchuja
@kareemsijaona44747 жыл бұрын
Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥
@issahabunu197
2 жыл бұрын
Same here..😭😭😭😭😭
@Chekanamimi_
2 жыл бұрын
Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu
@Cinemalitics
2 жыл бұрын
@WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽
@samuelbeti7963
Жыл бұрын
Me too
@dyevachkakyekaka38789 ай бұрын
2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days
@Adv.Zee_4 жыл бұрын
2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Enjoy love 👏👏👏
@aisharenatus1678
4 жыл бұрын
Me me me
@mariamzukas500
3 жыл бұрын
Here l am listening away the from UK
@SelemaniLingamka4 күн бұрын
Nakumbuka kitambo icho tunaluka na wachumba ztu wajukuu wa nyerere
@josikinyala4425 Жыл бұрын
What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?
@ntopangonyani69647 жыл бұрын
Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.
@mrfinest5004
6 жыл бұрын
ntopa ngonyani nice
@kiun08
6 жыл бұрын
Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?
@faustersanga6627
6 жыл бұрын
alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake
@edwinkakwezi284
5 жыл бұрын
Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake
@edmundisaack6902
5 жыл бұрын
Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic
@BebaKulwa5 жыл бұрын
The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!
@wantedcarter1003
4 жыл бұрын
2020
@salluxicitegetse2258
4 жыл бұрын
2020
@Cinemalitics
2 жыл бұрын
@Sallux ICitegetse 2021 after Christmas 🎄 hapa😅
@sekakigala3613
2 жыл бұрын
2022
@vicentmushi99065 жыл бұрын
HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .
@allyfatma7359
3 жыл бұрын
All the best
@victornjwango9683
Жыл бұрын
@@allyfatma7359 hujakosea mzazi
@user-fh1kj2rr8t4 ай бұрын
Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.
@siraaronmallya425 Жыл бұрын
Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani.. Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.
@geraldsanga7093
5 ай бұрын
Hard mad ndiyo muimbaji.......
@fadhilingalu30015 жыл бұрын
Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka
@mussahancy65913 ай бұрын
Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021
@kareemdmartins7755
Ай бұрын
mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb
@yakobohenjewele18353 ай бұрын
Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali
@MathweLucasi3 күн бұрын
Hatarii sjuikama vitu hiv vitarudi jamniii
@konzoikweta4 ай бұрын
Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉
@mussaismail1285
2 ай бұрын
Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat
@owenoswald33984 жыл бұрын
Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND
Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends
@allychande87166 жыл бұрын
Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja
@yassermbembo6403
5 жыл бұрын
Ally Chande PEACE LOVE
@tysongodfrey76007 жыл бұрын
2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected
@siphaherymsogoya2039
5 жыл бұрын
Ndugu waweza lia daaaa
@paterandrea21464 күн бұрын
Kitambo Sana apo Kota za police mbeya line police disco letu bwalo la magereza DJ mganya kitambo sana
@TBCLINICKYELA
2 күн бұрын
Kitambo sanaaaa.
@kaburamelikiadi82817 жыл бұрын
Mika mwamba alikuwa mkali kinoma hard mad back to you game bro I miss you man back again my brother nimimi Makiadi toka Phoenix Arizona .usa
@African511 Жыл бұрын
Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani
@user-jt2xb8wv6z10 ай бұрын
Nakumbuka Niko form one
@davisdavid6205 Жыл бұрын
Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii
@AshrafAshraf-dm4xe6 жыл бұрын
hii goma nimelitafuta sana ..duh naipenda sana
@barakaleader15505 жыл бұрын
Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii
@kaizjulius2326
3 жыл бұрын
mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka
@barakaleader1550
3 жыл бұрын
@@kaizjulius2326 pole sana ndugu yangu
@tatualmasi1175 Жыл бұрын
Jamaniiiii dah vya zamani vizuri
@jamesmgimba74033 жыл бұрын
Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki
@bakarininga60527 жыл бұрын
hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad
@lucymayelias31145 жыл бұрын
Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali
@elisamehecharles5432
3 жыл бұрын
Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad
@elisamehecharles5432
3 жыл бұрын
@@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma
@pengocuttingdressingsaloon56204 жыл бұрын
Kwann hakuifanyia video hii ngoma sheet! Still am back 2004 npo stndard 4 nakumbuka vingi xana
@YukoMchawi15 күн бұрын
Sio' poa usiku kucha sijalalaa 🎉
@oldskuladimuzabongo88736 жыл бұрын
August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪
@KandangaKandanga21 күн бұрын
Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"
@linuspastory5597
3 күн бұрын
Fredwaaah tumemskiliza sana sana sana RFA daaaah ❤mpaka machozi yanataka kunitoka
@linuspastory5597
3 күн бұрын
Na Kiss FM jumapili daaah 🙌🙌🙌
@yustomwaisomania258722 сағат бұрын
2004 to 2024 chuma bado ya motoooo🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️💪💪
@MwanaJunior15 күн бұрын
Walah nimezeeka huu wimbo kitambo😢
@ambrocemalya35514 жыл бұрын
Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo
@GeraldAndrew
4 жыл бұрын
Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!
@jeremiahmussa2178 Жыл бұрын
Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite
@mgenikisukari13715 жыл бұрын
mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production
@peterdeogratius61225 жыл бұрын
Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha
@allymjato8980
Жыл бұрын
Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo
@donaldmhulula68885 жыл бұрын
wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !
@petergebo81985 жыл бұрын
Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching
@josephcolt5715 жыл бұрын
Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind
@Joseph-lu4yj
4 жыл бұрын
hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!
@josephcolt571
4 жыл бұрын
@@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau
@fettyharrison30685 жыл бұрын
Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like
@Fadnho2 жыл бұрын
i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA
@BiornProductions
2 жыл бұрын
Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror
@Fadnho
2 жыл бұрын
@@BiornProductions Big up to yourself Bro
@African511Ай бұрын
Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.
@issaibony63864 жыл бұрын
Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.
@allyKazimoto-im5hp4 ай бұрын
Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo
@hanzurunikazunarichilyenga91504 жыл бұрын
2019 inabamba ktk masikio yangu,imekutouch gonga hapo chin
@AminiKanda3 ай бұрын
Tujuane miminipo mafia kipindi unahiti wimbo huu nipo masasi wilaya yamangaka
@adrianhilary12416 жыл бұрын
Mungu wangu i used to love this song..i was a kid dahh those good old days!
@pendochris45767 жыл бұрын
Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman
@Pandumasoftware
5 жыл бұрын
True
@shabanibussara84542 жыл бұрын
Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!
@hezronjohn63747 жыл бұрын
Kitambo sana hardmad, iko vizuri baada ya kufanyiwa mixing
@aniyujakaya91965 жыл бұрын
Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.
@florencemlay93333 жыл бұрын
Wahenga tupo jamani ingawa tulikua wadogo ooh Lord huu wimbo jamani 😥
@fidelischale66836 жыл бұрын
Wimbo wake hauchuji wana
@akechkabiero15363 жыл бұрын
Kama vile naiona 2014 yangu ilikua ya kuvutia sana pale Isenye sekondari. Shout out kwa wote tuliokuwa pale. I miss my memory
@hassanitubwa68356 жыл бұрын
Wimbo unanikumbusha mbali sana asee
@revocatuskashaga92023 ай бұрын
April 2024 nimerudi tena kuusikiliza
@shabanilwei8416 Жыл бұрын
Enzi hizo Mika Mwamba alikuwa Mandonga yan Mtu Kazi 😃😃👋Beat alizitendea haki 👏✌️
@obadiamakamba93805 жыл бұрын
Hardman broo uko wap jaman kipind hicho
@happysalim41204 жыл бұрын
hawa ndo wasaniii sio wasenge wa siku hiz kwa bahat mbaya walikua wanaimba hakat pesa hakuna dah !!!! inaumiza sana
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Kweli pesa haikuwepo
@user-bw1hs2nd8p3 ай бұрын
I do remember those days when I was in O_level dah......hii chuma ilikua sio poa!!!❤❤❤❤ Aisee...Hardmad ulipigaje hapa?????????????🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Maua Yako bro!!! Ngoma haiishi uzuri.....Bado twakumbuka ujana wetu2004lll
@jumabaranyikwa18332 ай бұрын
Mwaka 2003 hiyo. Duh Sasa ni miaka 20
@BiornProductions
2 ай бұрын
Time flies
@deedollarsdeedollars99095 жыл бұрын
Kaz nzur Artist. Hadmad
@halimanassor31245 жыл бұрын
Kwangu bado ngoma Mpya kabisa
@donaldmhulula68885 жыл бұрын
ma schoolmate wangu wa Kongwa Secondary 2004-2007 mko wapi ? fanya kama una like !
@prettyerasto873310 ай бұрын
It is September 2023 but still listen this banger
@raphaelwapps10282 жыл бұрын
Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma
@BiornProductions
2 жыл бұрын
Pamoja sanaaa mzazi, amani itawale. Shukrani.
@Joseph-lu4yj4 жыл бұрын
Naipenda sana hii nyimbo uko wapi Mika Mwamba Hadmad.......................... whose else listen in 2020
@muddycassim98955 жыл бұрын
Love this More than aiseee harmad salute kwake
@mimosapudica1894 Жыл бұрын
My all time Favourite Song!!!Nikiusikiliza huu wimbo hunirudisha nyuma saaaanaaaaa na kipindi hicho sikuwa najua hata Mapenzi ni nn bali ni mpangilio wa kila kitu kwenye hii nyimbo.A feel relaxed nikisikiliza..Thank you Mika Mwamba (Mzungu), Hard Mad n crew 🙌🙌
@abeidjudo5030
Жыл бұрын
Old days 🥹
@mwangizablon9625
11 ай бұрын
Zama zile
@tanzanadian2 жыл бұрын
October 2021 and still my favourite song 🎧 🔥🔥🔥🇹🇿🇨🇦
@husseinramadhan35155 жыл бұрын
big up 2you had mad wherever youre
@justinekiula28316 жыл бұрын
Who Still watching in 2018?
@AbdallahMwidini-lb3jx7 ай бұрын
Mtu na dadaake waliuwaa sanaaa
@priscamlangwa4063 ай бұрын
2024 and back ,,tamalaaa
@manjaruujr1464 жыл бұрын
hii ngoma ilitengenezwa n mzungu mika mwamba aseeeee
Пікірлер: 584
2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like
@denismasele4130
23 күн бұрын
I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉
Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako
@dahkitambosanapazi8354
5 жыл бұрын
mi sijui ila nimegonga like ya nguvu 2019
@siphaherymsogoya2039
5 жыл бұрын
Daaa inaumiza daaaa hivi unajua hawa akina domo sijui huwaga wanapima wanavyosema wanaimba au wanajipoyezea muda huu ndo muziki
@lawrencebundala5769
4 жыл бұрын
Shaban Hafidhu Nimekuja kujua kwamba jamaa ni mzungu baaadae sanaa
@arymixologyservice9899
4 жыл бұрын
Kweli
@tatumpita6284
4 жыл бұрын
Mi pia ndio nimejua leo
Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉
Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like
22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana
i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like
@omariabeid3291
3 жыл бұрын
Mikka Mwamba
1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..
Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii
Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢
Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Husijali dada yangu wazee wa kutunza kumbukumbu tupo mtembelee tu account hii na ku subscribe...enjoy. Kweli vya kale ni dhahabu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Ila umezifuta nyingi sana why?
@dannysaimon9584
3 жыл бұрын
Sina jisi
@alfarismickidadi9512
5 ай бұрын
The same
@alfarismickidadi9512
5 ай бұрын
@@BiornProductions🎉
Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote
Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!
@gooddeeds162
Жыл бұрын
Pole sana Mzee, Mungu ni mwema I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe
@muhidinhassan5419
Жыл бұрын
Daah pole sana mungu asimame na ww
@Aboodjan4-
10 ай бұрын
Pole sn😢
@susancharles1660
8 ай бұрын
Pole sana
@BiornProductions
5 ай бұрын
That's what music brought to us,pure memories but sorry
Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia
Legendary music..😢 Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..
Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤
Natamani kulia hii ni classic since 2002
Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐
Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana
Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee
@marjentertainment2031
5 жыл бұрын
Ulitoka 2002
@BiornProductions
5 жыл бұрын
U,are a real fun
@khamyclever4929
4 жыл бұрын
Tamala
@marjentertainment2031
4 жыл бұрын
Umetoka 2002
@johncelestine8366
4 жыл бұрын
Evenlight Jumanne hongera kaka
dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda
2019...who’s with me?
huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya
@BiornProductions
7 жыл бұрын
One love
@samwelmussa1119
7 жыл бұрын
nyimbo haina uwezo wa kuchuja
Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥
@issahabunu197
2 жыл бұрын
Same here..😭😭😭😭😭
@Chekanamimi_
2 жыл бұрын
Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu
@Cinemalitics
2 жыл бұрын
@WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽
@samuelbeti7963
Жыл бұрын
Me too
2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days
2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Enjoy love 👏👏👏
@aisharenatus1678
4 жыл бұрын
Me me me
@mariamzukas500
3 жыл бұрын
Here l am listening away the from UK
Nakumbuka kitambo icho tunaluka na wachumba ztu wajukuu wa nyerere
What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?
Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.
@mrfinest5004
6 жыл бұрын
ntopa ngonyani nice
@kiun08
6 жыл бұрын
Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?
@faustersanga6627
6 жыл бұрын
alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake
@edwinkakwezi284
5 жыл бұрын
Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake
@edmundisaack6902
5 жыл бұрын
Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic
The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!
@wantedcarter1003
4 жыл бұрын
2020
@salluxicitegetse2258
4 жыл бұрын
2020
@Cinemalitics
2 жыл бұрын
@Sallux ICitegetse 2021 after Christmas 🎄 hapa😅
@sekakigala3613
2 жыл бұрын
2022
HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .
@allyfatma7359
3 жыл бұрын
All the best
@victornjwango9683
Жыл бұрын
@@allyfatma7359 hujakosea mzazi
Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.
Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani.. Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.
@geraldsanga7093
5 ай бұрын
Hard mad ndiyo muimbaji.......
Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka
Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021
@kareemdmartins7755
Ай бұрын
mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb
Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali
Hatarii sjuikama vitu hiv vitarudi jamniii
Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉
@mussaismail1285
2 ай бұрын
Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat
Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND
@BiornProductions
4 жыл бұрын
It's very true home boy
@owenoswald3398
4 жыл бұрын
@@BiornProductions very very true brother
@denniskataraihya5698
2 жыл бұрын
Mikka Mwamba alirudi kwao Finland. Cheki akihojiwa na milard ayo kzread.info/dash/bejne/rKig269sd8qZobA.html
@GodfreyWilliam-pb3wh
Жыл бұрын
@@denniskataraihya5698
@azizamakotha7428
7 ай бұрын
Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends
Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja
@yassermbembo6403
5 жыл бұрын
Ally Chande PEACE LOVE
2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected
@siphaherymsogoya2039
5 жыл бұрын
Ndugu waweza lia daaaa
Kitambo Sana apo Kota za police mbeya line police disco letu bwalo la magereza DJ mganya kitambo sana
@TBCLINICKYELA
2 күн бұрын
Kitambo sanaaaa.
Mika mwamba alikuwa mkali kinoma hard mad back to you game bro I miss you man back again my brother nimimi Makiadi toka Phoenix Arizona .usa
Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani
Nakumbuka Niko form one
Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii
hii goma nimelitafuta sana ..duh naipenda sana
Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii
@kaizjulius2326
3 жыл бұрын
mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka
@barakaleader1550
3 жыл бұрын
@@kaizjulius2326 pole sana ndugu yangu
Jamaniiiii dah vya zamani vizuri
Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki
hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad
Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali
@elisamehecharles5432
3 жыл бұрын
Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad
@elisamehecharles5432
3 жыл бұрын
@@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma
Kwann hakuifanyia video hii ngoma sheet! Still am back 2004 npo stndard 4 nakumbuka vingi xana
Sio' poa usiku kucha sijalalaa 🎉
August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪
Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"
@linuspastory5597
3 күн бұрын
Fredwaaah tumemskiliza sana sana sana RFA daaaah ❤mpaka machozi yanataka kunitoka
@linuspastory5597
3 күн бұрын
Na Kiss FM jumapili daaah 🙌🙌🙌
2004 to 2024 chuma bado ya motoooo🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️💪💪
Walah nimezeeka huu wimbo kitambo😢
Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo
@GeraldAndrew
4 жыл бұрын
Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!
Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite
mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production
Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha
@allymjato8980
Жыл бұрын
Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo
wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !
Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching
Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind
@Joseph-lu4yj
4 жыл бұрын
hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!
@josephcolt571
4 жыл бұрын
@@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau
Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like
i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA
@BiornProductions
2 жыл бұрын
Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror
@Fadnho
2 жыл бұрын
@@BiornProductions Big up to yourself Bro
Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.
Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.
Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo
2019 inabamba ktk masikio yangu,imekutouch gonga hapo chin
Tujuane miminipo mafia kipindi unahiti wimbo huu nipo masasi wilaya yamangaka
Mungu wangu i used to love this song..i was a kid dahh those good old days!
Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman
@Pandumasoftware
5 жыл бұрын
True
Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!
Kitambo sana hardmad, iko vizuri baada ya kufanyiwa mixing
Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.
Wahenga tupo jamani ingawa tulikua wadogo ooh Lord huu wimbo jamani 😥
Wimbo wake hauchuji wana
Kama vile naiona 2014 yangu ilikua ya kuvutia sana pale Isenye sekondari. Shout out kwa wote tuliokuwa pale. I miss my memory
Wimbo unanikumbusha mbali sana asee
April 2024 nimerudi tena kuusikiliza
Enzi hizo Mika Mwamba alikuwa Mandonga yan Mtu Kazi 😃😃👋Beat alizitendea haki 👏✌️
Hardman broo uko wap jaman kipind hicho
hawa ndo wasaniii sio wasenge wa siku hiz kwa bahat mbaya walikua wanaimba hakat pesa hakuna dah !!!! inaumiza sana
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Kweli pesa haikuwepo
I do remember those days when I was in O_level dah......hii chuma ilikua sio poa!!!❤❤❤❤ Aisee...Hardmad ulipigaje hapa?????????????🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Maua Yako bro!!! Ngoma haiishi uzuri.....Bado twakumbuka ujana wetu2004lll
Mwaka 2003 hiyo. Duh Sasa ni miaka 20
@BiornProductions
2 ай бұрын
Time flies
Kaz nzur Artist. Hadmad
Kwangu bado ngoma Mpya kabisa
ma schoolmate wangu wa Kongwa Secondary 2004-2007 mko wapi ? fanya kama una like !
It is September 2023 but still listen this banger
Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma
@BiornProductions
2 жыл бұрын
Pamoja sanaaa mzazi, amani itawale. Shukrani.
Naipenda sana hii nyimbo uko wapi Mika Mwamba Hadmad.......................... whose else listen in 2020
Love this More than aiseee harmad salute kwake
My all time Favourite Song!!!Nikiusikiliza huu wimbo hunirudisha nyuma saaaanaaaaa na kipindi hicho sikuwa najua hata Mapenzi ni nn bali ni mpangilio wa kila kitu kwenye hii nyimbo.A feel relaxed nikisikiliza..Thank you Mika Mwamba (Mzungu), Hard Mad n crew 🙌🙌
@abeidjudo5030
Жыл бұрын
Old days 🥹
@mwangizablon9625
11 ай бұрын
Zama zile
October 2021 and still my favourite song 🎧 🔥🔥🔥🇹🇿🇨🇦
big up 2you had mad wherever youre
Who Still watching in 2018?
Mtu na dadaake waliuwaa sanaaa
2024 and back ,,tamalaaa
hii ngoma ilitengenezwa n mzungu mika mwamba aseeeee
@BiornProductions
4 жыл бұрын
Yaaah man mziki unaishi