MAKAMU WA RAIS ASHTUKIZA KWENYE MRADI WA MAJI SAME, ALICHOKIKUTA HIKI

#ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi
MOSHI: MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ameagiza uongozi wa Wizara ya Maji pamoja na watendaji wa Wizara hiyo kuhakikisha miji ya Same na Mwanga inapatiwa huduma ya maji safi na salama kupitia mradi wa Maji wa Same - Mwanga - Korogwe ifikapo mwezi juni mwaka huu 2024.
Makamu wa Rais amesema hayo wakati alipotembelea chanzo cha mradi huo kilichopo eneo la Nyumba ya Mungu Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Amewataka watendaji wa Wizara ya Maji kujipanga vizuri kuwasimamia wakandarasi kwa kufanya kazi usiku na mchana ili adhma na maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa juu ya mradi huo yaweze kutekelezwa.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 2

  • @HalimaMfanga
    @HalimaMfanga4 ай бұрын

    Same yetu ❤❤

  • @user-oe6gb6yt4v
    @user-oe6gb6yt4v4 ай бұрын

    Mkuu wametuchosha na ahadi za uongo

Келесі