Majambazi 3 Wauawa Barabara Kuu Ya Mombasa

Washukiwa watatu wa ujambazi waliuawa na polisi usiku wa kuamkia leo kwenye barabara kuu ya kuelekea Mombasa. Washukiwa hao wanadaiwa kuwa miongoni mwa genge la majamabzi 6 waliokuwa wameteka nyara basi la abiria lililokuwa likelekea Githurai. Tukio hili limejiri saa chache tu baada ya kikao cha maafisa wakuu wa usalama hapa jijini Nairobi waliowataka wahudumu wote wa matatu kuhakikisha wamewakagua abiria wanaoabiri magari yao.

Пікірлер: 10

  • @marywambui519
    @marywambui5194 жыл бұрын

    Mungu ambariki jamaa alive hatarisha maisha yake kupitia ndirishani na kupiga ripoti kwa polisi ili kuokoa maisha ya wenzake

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza58135 жыл бұрын

    I like your English sir👍

  • @samuelgitau8467

    @samuelgitau8467

    5 жыл бұрын

    Winrose Iminza amen

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza58135 жыл бұрын

    Mnaniogopesha kusafiri usiku😬😬😬😬😬

  • @amashamsauge5686
    @amashamsauge56864 жыл бұрын

    Maka

  • @chaxyibra4858
    @chaxyibra48584 жыл бұрын

    We nawe kaa hujui kuongea kizungu bora unymaze to...waongea English na hujui...kujilazisha to...kubli una jua kiswahili to...mmmh bas wachekesha ak wooie

  • @binttsulu647
    @binttsulu6475 жыл бұрын

    yaani huyu amekunywa sanaa

  • @stevevosty_orlando

    @stevevosty_orlando

    2 жыл бұрын

    Ni stammerer

  • @chelseaktbffh2510
    @chelseaktbffh25109 жыл бұрын

    was up man...Go home you're already drunk,,,

  • @evamumia1788

    @evamumia1788

    4 жыл бұрын

    Ni kikukumizi si drunk