Usidanganye watu kuwa Sayyid Said aliamuwa kuhamia na kutawala Zanzibar kwa ajili ya karafuu. Yeye Sayyid Said ndie aliye ileta karafuu Zanzibar kutoka mashariki ya mbali. Usifundishe vizazi vipya historia ya Uongo. Mfalme Sayyid Said ndie aliye ifanya Zanzibar kujulikana duniani.
@zahiribrahim831928 күн бұрын
Wonderful 🎉❤
@hajjism3 жыл бұрын
Muandishi ni vyema uisome vizuri historia. Haukuwa na haja ya ku-influence story ya huyo bwana mganga. Yaani unasema kwamba enzi za Sayyid Said watu walijificha pangoni kwa sababu ya utumwa. Wacha kutoa historia isiyo ya kweli kaka.
@sayidabdillah8505 Жыл бұрын
Wacha kusema uwongo mungu anakuona sema ukweli iwe sababu ya mungu kukuingiza peponi usiseme kwa matamnio ya nafsi kwa kupta ugali na kusifiwa na kundi la watu
@khalidibrahim4579Ай бұрын
Sayyid Barghsh mama ake ni suriya maana mjakazi wa nyumbani ni Muhabsh Ethippia
@UmmyLubna-rp6rvАй бұрын
Inakitisha sana kuona serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kushindwa kuyafanyia ukarabati wa majumba ya historia ya nchi hii .Jumba la BAITUL AJAIB ilipo Forodhani..Ile ilikua km ni nembo yetu ya Zanzibar ukiingia lazma uone mnara wa jumba hillo. Tangu lilivoanguka mwaka wa 6 huu wameshindwa kuli karabati.Ni aibu kwa kweli .
@MumusuSuley-iv5mi10 ай бұрын
Propaganda!!!,suitan said alipokuja hakuzikuta karafuu na wala Wazanzibar hawajawah kuwa watumwa na hakuna hata muandish yyte token Ibnu batata na wengineo waliodai upuuzi wko.Wazanzibar tunaijuwa histor vyeema tu,Na Karume alirithi hela zilizoachwa na Sultan ndio akawa na uwezo.wa kujenga nyumba za michenzan nk.
@wedmoosa35032 ай бұрын
Udini ndio uliwafanya hivi
@alialamoudi9729Ай бұрын
Kusema kweli wa oman NA wazanzibari ni mchanganiko wa damu kwa undugu NA kwa uslaam sasa mapinduzi matukufu hiyo utukufu maana yake umewauwa myahudi au washirikina wa oman ni ndugu zetu kwa uslaam sasa nchi emetawaliwa NA wakrsto tena anaye zaliwa zanzibari ni mzanzibari tu
@salumhassanallymkurdistan700625 күн бұрын
BANIANI MBAYA LAKINI KIATU CHAKE DAWA ZANZIBAR INAINGIZA PESA ZA KIGENI KWA SABABU YA HISTORIA YA WAFALME WALIO TAWALA ZANZIBAR WAFALME WA ZANZIBAR WAMETUEKEA WAZANZIBARI VITEGA UCHUMI ENDELEVU HADI HII LEO WAMESHA TOWEKA ALIYE BAKIA SULTAN JEMSHIDI BIN ABDALAH BIN KHALIFA ALLAH AMJAALIYE MWISHO MWEMA AMIN WAMEJENGA MAJENGO STON TOWN NA WAMETUPANDIA MITI YA NATUNDA HADI LEO TUNANUFAIKA NAYO KWA MAKAAZI HADI PATO LA TAIFA KUPITIA WATALII NA WAMETULETEA ZAO LA KARAFUU NA MINAZI NA MIEMBE KUTOKA MASHARIKI YA KATI HADI MIFENESI NA MASHELI SHELI NA KILA AAINA YA MATUNDA LENGO WAZANZIBARI WASIPATE TABU YA CHAKULA KILA MSIMU WAZANZIBARI WALIKUWA WANAFAIDIKA NA VYAKULA VYA MATUNDA MBALI MBALI NDIYO MANA WAZANZIBARI WANAAKILI NYINGI KWA SABABU YAKULA VITU ASILI PAMOJA NA SAMAKI WA BAHARINI ALLAH AWASAMEHE MAKOSA YAO YOTE NA AWALAZE MAHALI PEMA PEPONI AMIN AMIN AMIN ZANZIBAR ILIJULIKANA KAMA ZANZIBAR EMPER ILITAWALA KARIBU PWANI YOTE YA AFRICA MASHARIKI KIANZIA SOMALIA NA MOMBASA NA TANGA NA BAGAMOYO NA DARESALAM NA KILWA NA KUSINI KUELEKE MTWARA HADI KONGO HADI BURUNDI NK HIYO NDIYO ZANZIBAR EMPER ZANZIBAR INAFANANA NA OSMAN EMPER ILIYO TAWALA HADI SPEN NA ZANZIBAR ILITAWALA HADI OMAN ZANZIBAR NI TAIFA KUBWA DUNIANI ALLAH IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE AMIN AMIN AMIN NA URITHI MKUBWA WALIO TUACHI WAZANZIBARI UFALME WA SAID BIN SAID ALBUSAID NI DINI YETU TUKUFU YA UISLAM NA AKATUACHIA UMOJA KATIKA DINI YETU NA KILA DHEHEBU WALIKUWA NA MISIKITI YAO STON TOWN NA AKATUWACHIA UMOJA WA WAZANZIBARI WENYE KUPENDANA NA KUHESHIMIANA SANA NA ZANZIBAR KAWA KISIWA CHA AMANI NA WAAMINIFU ZANZIBAR NNJEMA ATAKAYE AJE HIYO NDIYO ZANZIBAR TAIFA KUBWA DUNIANI ALLAH AWALAZE MAHALI PEMA WATAWALA WOTE WALIO TUTAWALA ZANZIBAR AMIN AMIN AMIN
@msanifukatunzi84343 жыл бұрын
Nunueni camera nzuri HD kama azam TV
@imraniqbal00765 Жыл бұрын
Hawa jamaa wsnapotosha badala Ya kuelimisha
@salumhassanallymkurdistan700625 күн бұрын
SULTAN ALIYE PIGWA KATIKA VITA FUPI KULIKO ZOTE DUNIANI NI SULTAN KHALID NA ALIKAMATWA NA KUWEKWA CHINI YA KIFUNGO KATIKA KISWA KIMOJA NAFIKIRI HUKO KARIBIAN
@ashuashu38433 жыл бұрын
Kumbe kipindi kile ulizaliwa na mpk leo wewe ndio unaishi kumbe una umri mrefu sana na una kumbukumbu sana.
@alhabsi6430
Жыл бұрын
Kama alikuwepo enzi hiyoo,hata akaeleza kumbu kumbu ya masultan😂
Пікірлер: 17
Usidanganye watu kuwa Sayyid Said aliamuwa kuhamia na kutawala Zanzibar kwa ajili ya karafuu. Yeye Sayyid Said ndie aliye ileta karafuu Zanzibar kutoka mashariki ya mbali. Usifundishe vizazi vipya historia ya Uongo. Mfalme Sayyid Said ndie aliye ifanya Zanzibar kujulikana duniani.
Wonderful 🎉❤
Muandishi ni vyema uisome vizuri historia. Haukuwa na haja ya ku-influence story ya huyo bwana mganga. Yaani unasema kwamba enzi za Sayyid Said watu walijificha pangoni kwa sababu ya utumwa. Wacha kutoa historia isiyo ya kweli kaka.
Wacha kusema uwongo mungu anakuona sema ukweli iwe sababu ya mungu kukuingiza peponi usiseme kwa matamnio ya nafsi kwa kupta ugali na kusifiwa na kundi la watu
Sayyid Barghsh mama ake ni suriya maana mjakazi wa nyumbani ni Muhabsh Ethippia
Inakitisha sana kuona serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kushindwa kuyafanyia ukarabati wa majumba ya historia ya nchi hii .Jumba la BAITUL AJAIB ilipo Forodhani..Ile ilikua km ni nembo yetu ya Zanzibar ukiingia lazma uone mnara wa jumba hillo. Tangu lilivoanguka mwaka wa 6 huu wameshindwa kuli karabati.Ni aibu kwa kweli .
Propaganda!!!,suitan said alipokuja hakuzikuta karafuu na wala Wazanzibar hawajawah kuwa watumwa na hakuna hata muandish yyte token Ibnu batata na wengineo waliodai upuuzi wko.Wazanzibar tunaijuwa histor vyeema tu,Na Karume alirithi hela zilizoachwa na Sultan ndio akawa na uwezo.wa kujenga nyumba za michenzan nk.
Udini ndio uliwafanya hivi
Kusema kweli wa oman NA wazanzibari ni mchanganiko wa damu kwa undugu NA kwa uslaam sasa mapinduzi matukufu hiyo utukufu maana yake umewauwa myahudi au washirikina wa oman ni ndugu zetu kwa uslaam sasa nchi emetawaliwa NA wakrsto tena anaye zaliwa zanzibari ni mzanzibari tu
BANIANI MBAYA LAKINI KIATU CHAKE DAWA ZANZIBAR INAINGIZA PESA ZA KIGENI KWA SABABU YA HISTORIA YA WAFALME WALIO TAWALA ZANZIBAR WAFALME WA ZANZIBAR WAMETUEKEA WAZANZIBARI VITEGA UCHUMI ENDELEVU HADI HII LEO WAMESHA TOWEKA ALIYE BAKIA SULTAN JEMSHIDI BIN ABDALAH BIN KHALIFA ALLAH AMJAALIYE MWISHO MWEMA AMIN WAMEJENGA MAJENGO STON TOWN NA WAMETUPANDIA MITI YA NATUNDA HADI LEO TUNANUFAIKA NAYO KWA MAKAAZI HADI PATO LA TAIFA KUPITIA WATALII NA WAMETULETEA ZAO LA KARAFUU NA MINAZI NA MIEMBE KUTOKA MASHARIKI YA KATI HADI MIFENESI NA MASHELI SHELI NA KILA AAINA YA MATUNDA LENGO WAZANZIBARI WASIPATE TABU YA CHAKULA KILA MSIMU WAZANZIBARI WALIKUWA WANAFAIDIKA NA VYAKULA VYA MATUNDA MBALI MBALI NDIYO MANA WAZANZIBARI WANAAKILI NYINGI KWA SABABU YAKULA VITU ASILI PAMOJA NA SAMAKI WA BAHARINI ALLAH AWASAMEHE MAKOSA YAO YOTE NA AWALAZE MAHALI PEMA PEPONI AMIN AMIN AMIN ZANZIBAR ILIJULIKANA KAMA ZANZIBAR EMPER ILITAWALA KARIBU PWANI YOTE YA AFRICA MASHARIKI KIANZIA SOMALIA NA MOMBASA NA TANGA NA BAGAMOYO NA DARESALAM NA KILWA NA KUSINI KUELEKE MTWARA HADI KONGO HADI BURUNDI NK HIYO NDIYO ZANZIBAR EMPER ZANZIBAR INAFANANA NA OSMAN EMPER ILIYO TAWALA HADI SPEN NA ZANZIBAR ILITAWALA HADI OMAN ZANZIBAR NI TAIFA KUBWA DUNIANI ALLAH IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE AMIN AMIN AMIN NA URITHI MKUBWA WALIO TUACHI WAZANZIBARI UFALME WA SAID BIN SAID ALBUSAID NI DINI YETU TUKUFU YA UISLAM NA AKATUACHIA UMOJA KATIKA DINI YETU NA KILA DHEHEBU WALIKUWA NA MISIKITI YAO STON TOWN NA AKATUWACHIA UMOJA WA WAZANZIBARI WENYE KUPENDANA NA KUHESHIMIANA SANA NA ZANZIBAR KAWA KISIWA CHA AMANI NA WAAMINIFU ZANZIBAR NNJEMA ATAKAYE AJE HIYO NDIYO ZANZIBAR TAIFA KUBWA DUNIANI ALLAH AWALAZE MAHALI PEMA WATAWALA WOTE WALIO TUTAWALA ZANZIBAR AMIN AMIN AMIN
Nunueni camera nzuri HD kama azam TV
Hawa jamaa wsnapotosha badala Ya kuelimisha
SULTAN ALIYE PIGWA KATIKA VITA FUPI KULIKO ZOTE DUNIANI NI SULTAN KHALID NA ALIKAMATWA NA KUWEKWA CHINI YA KIFUNGO KATIKA KISWA KIMOJA NAFIKIRI HUKO KARIBIAN
Kumbe kipindi kile ulizaliwa na mpk leo wewe ndio unaishi kumbe una umri mrefu sana na una kumbukumbu sana.
@alhabsi6430
Жыл бұрын
Kama alikuwepo enzi hiyoo,hata akaeleza kumbu kumbu ya masultan😂