Magoli | Simba 4-2 Asante Kotoko | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022
Спорт
Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Augustine Okrah na Pape Sakho yameipa Simba ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Haya hapa magoli yote....
Пікірлер: 170
Huyu chama kila goli la simba lazims ahusike, halaf kuna mpuuz anakwambia hana speed hafai. Jaman ifikr mahsl tuheshome vipaji vya watu
Goli la kwanza la Kotoko linaendelea kutukumbusha partner ya Ouatarra na Inonga haina muunganiko! Wanajikutaga kwenye mazingira magumu kwa kuzubaa kwao
@kedyjohn1848
Жыл бұрын
In a footballing eye, midfielder kapoteza mpira sehemu hatari sana na ilitosha kwa mpinzani kugusa mpira mara moja tu kuamua pasi ya goli. Siyo kabisa kosa la kipatnashipu...
@thomasabelmwakipesile5280
Жыл бұрын
Simba tusije tukafanya kosa la kumwacha Onyango ! Huyu Quatarra namwona ni mzuri zaidi akacheza as defensive midfielder na Inonga akasimama kati pamoja na Onyango!
@dullyjabri8393
Жыл бұрын
Magoli tunayo fungwa ni ya aina moja hata la yanga ni hivi hivi
@hajiussi9290
Жыл бұрын
Kwl kk
@kedyjohn1848
Жыл бұрын
@@thomasabelmwakipesile5280 Duuh ulimwona wapi akicheza defensive midfielder bro ?
Yani huyu Outtara tutafungwa mengi sana na watu wenye speed yy km hawez kukimbizana na watu atulie nyuma kule kwny position yke sio lazima asogee mbele sanaa,acheze onyango tu maana huyo outarra uchezeji wake km pascal wawa na huyo alikuwa anakaa benchi kwny combination ya onyango na inonga, kocha anazingua. But all in all good performance 👏 👏👏👏👏👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥
Congratulations, this is Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ila sio siri jamni simba ikufunga mashabiki tunapata usingiz mnono
BRAVO SIMBA.S.C🇹🇿🇬🇷🙏
Faulo ya Kapama ni ya kizembe sana. Kulikuwa hakuna haja ya kucheza vile na kusababisha penati ambayo nadhani haikuwa ya lazima
Hii mech sio ya kuijaj sana kikos sio chenyewe wangetimia awa wangepgwa paka 10 awa team awana kabsa
Banda yuko fresh sana
@jacksonmoses9428
Жыл бұрын
Dogo anacheza mpira wa kizungu hana parapara za kufunga goli
Walivyoshanglia goli la kwanza dah wangejua nne zinakuja wangetulia tu
@brenderdennis4186
Жыл бұрын
Hahahahaha niache nicheke this is simba on 🔥😁😁😁😁
Hpa ndo naamin kam kinyes fc wanaturoga
@eddula1756
Жыл бұрын
Umeona eee
@halidimgonza5945
Жыл бұрын
😂😂
@fauziahamiss7612
Жыл бұрын
Umeona he
@karaoglan9444
Жыл бұрын
Hapana...Kuna Umafia unaoendelea ambao kamwe hautaufahamu mpaka uwe ndani ya hizi Klabu mbili
Ivi mnamfuatilia moses kila gemu anatupia jamaa cio poa , ila chama salute
@mamutz5479
Жыл бұрын
Jamani Mimi hatasielewi goli lakusawazisha kafunga okra au phili simuelewi mtangazaji simuelewi
@costasendama113
Жыл бұрын
@@mamutz5479 okrah siyo Moses
@mhandomhina5503
Жыл бұрын
Yah ana mwendelezo mzuri na wastani mkubwa wa magoli kuliko washambuliaji wote wapya wa ligi hii yetu. Lakini unamfuatilia vp Mo Ouatara?
Hivi huyu mzungu mbona mi simsisomi
Ila jamani huyu beki wetu wakat hua mm simuelewagi kocha anampenda tu ila shuhuli ya onyango haiwezi kabisa na viongzi wakimuacha onyango wamebugi
@obadiahnkwale124
Жыл бұрын
Hata mm sjamuelewa onyango ni mtu na nusu
@gidionmtende8252
Жыл бұрын
Onyango bado ana umuhimu wake huyu mzito kukimbia
Shikamooo Simbafc hivyo ndio vipimo sio cha Mwamnyeto mzee wa kuchomesha😂😂😂😂😂
Chama atabaki kuwa yeye🔥🔥🔥
Hatariiii sana msimbazi
The brain master
Chama is one bad news football brain... Naona kapania kweli msimu huu !
Hongereni Simba mechi saf ya maandalizi
Simba nguvu moja
👏🏼👏🏼👏🏼
❤️
Okwiii????au masikio yangu
@saidsuleiman1753
Жыл бұрын
Hata mimi nilishtuka nikafikiri naangalia mpira wa zamani ila nikaona kina Moses Phiri, Okra na wengine nikajua mtangazaji kapagawa na pira biriani
Kikosi Cha leo simba
3-2
Umoja n mguv kocha atulie t.na.atumie malf na akl
Nimesikia Emanuel Okwi???
@hemedkagodah1436
Жыл бұрын
Daah uyu mwamba ukiwa unaskiliza redio adi raha ata kwe tv ukiskia jina lake tu ..
Asante kotoko imeshuka kiwango saivi sio kama zamani tusibweteke sana
@danielchalamila2395
Жыл бұрын
@@RED.4G-staff_12 Hapana uwezo hana ndio maana amefungwa
Kwa mlichokifnya ndo tunakitaka kwahyo pgeni kaz wanarunyasi
مرحباً بكم في ارض النيلين 🇸🇩
@pepchallanga3626
Жыл бұрын
شكرا جزيلا
Ongera chama
Simba Yangu imesha NIKOSHA moyo mapemaaa Sina shida na mtu
Inonga wewe ni Bek punguza mbwembwe.
Chama cletous
Coash wa Simba kwa hakika hana sababu ya kulaumiwa Victor Akpan hana Msaada kwa Timu .Kiungo cha chini Simba hawana mtu zaidi ya Kanoute. Hata Mkude nimemuona kule Stars alikuwa anarukaruka tu. Nassoro Kapama anaweza anafanya vizuri. So Mzungu Akpan na Mkude Simba wajipange hakuna watu pale.Ila Okwa apewe sana nafasi
nommà sana
Chama huyu ndo simba Yani kaibeba kama yote
Ila akipani mmhhh
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
Wep vyaoooo
Kwa maoni yangu naona ni bora simba ikawa Taifa stars vile
@isackyohana2707
Жыл бұрын
c itakuwa inafungwa na mayele kila ck!!
@ernesticrispin5825
Жыл бұрын
Umeongea pwenti muhumu sana
@timothmwakakusyu4563
Жыл бұрын
@@isackyohana2707 hahahaha
Mechi imejaa penalty
Chama
@kingyeskingyes2263
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/h215pMN8pKrQfps.html Ty hi
Huyu mzee hata anachokifundisha hakuna hawa ni makocha wamafungu
Chama ndiye kiungo simba
Kweli tumeshinda ila akpan mmmh n janga l taifa
Simba hatar xn
Magoli yote chama kahusika
@josephjohn2114
Жыл бұрын
Halaf Kuna wajinga watakuambia chama ameisha eti anapoozesha Mpira ...Halaf unarudi kumshangaa kocha wa Simba kumtoa chama kwenye mechi ya ngao ya hisani...nilimmind sana kocha huyu alifanya ujinga sana Yanga wasingeshinda ile mechi Kama chama asingetoka ..ile mechi chama lazima angepiga pasi za mwisho au kufunga tungetoka droo au tungeshinda
@rashidimkongewa3927
Жыл бұрын
Kwani chama ndio Nani
@josephjohn2114
Жыл бұрын
@@rashidimkongewa3927 angalia clip hiyo utamjua tu
Ndio maana simba sihami hata vp
Jaman mbona mashabiki hamna
@omaryhajji1393
Жыл бұрын
Friend match
Kotoko timu laini sana,beki uchochoro
@adamjuma5556
Жыл бұрын
Simba mbovu
@adamjuma5556
Жыл бұрын
Hamna kit
Magoli yote manne Chama kahusika. Halafu mtu anasema Chama ameisha! Pasi ya Chama kwa Israel,akampa Okrah. Chama kampa Sakho katupia. Penalty kaijaza,kisha kamalizia hesabu ya 4 kwa kuwachekecha.
Hii nfo ximbaa
Kwan hawa utpolo kawaalika nani uku 🐸🐸 🐸 wapite kushoto haiwahusu axe 😃😃😃
@allyzahir7998
Жыл бұрын
Kwa nn mnatuogopa sana watani cc Sio maadui ndo Mana tunashiriki shuhuli zenu
Goli la kwanza alikuwa phili
kwenye goli la 4 banda alikuwa na uwezo wakufunga akiwa amefumba macho lakini akampa tena chama!
@kingyeskingyes2263
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/h215pMN8pKrQfps.html St Ty
Ligi mbovu
@hemedkagodah1436
Жыл бұрын
Hii sio lig n bonanza mkuu
Chama kama de bruyne
@geofreybahema5118
Жыл бұрын
He is good but not like kdb please have some respect
@janethjackson7704
Жыл бұрын
Kiboko yenu ni yanga nyie paparukeni mtakuja tu tuwanyooshe vizur vizur
@simonlaizer6942
Жыл бұрын
We naweee kwn unatesk ukiw wp Janet??🤣🤣🤣
@pepchallanga3626
Жыл бұрын
daah..yaani jana nilikuwa nafikiria hivohivo kila nkiona pass zake elekezi...ni KDB kabisa wa bongo
Namuno inacheza saa ngapi
Yani hivi vyura vinawazaga dabi tu 🐸🐸🐸wanasimba sisi tucheke jamaniiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mayumbifrednand4802
Жыл бұрын
Vijinga saana
Aina ya goli la kwanza simba wanafungwa ni aina ya magoli aliofungwa na yanga mabek hasa wa kati bado rotation kubwa inaitajika onyango mpka leo hakuna kucheza kwann
@hajiussi9290
Жыл бұрын
Umesem k2 kk hap ni vzr tukjitathmin nn 2fanye
@ezekiajamess4977
Жыл бұрын
Pale kosa ni la Yule beki mpya hakabi kabisa bola angekua onyango
@hajiussi9290
Жыл бұрын
@@ezekiajamess4977 lamsing koch kuna w2 awap nafasi waonesh uwezo wao nawo onyango hkun 7bu y kmba asingie maan nimra y tat kosa moj ilo ilo
@Stavanger-cr3ee
Жыл бұрын
Jerome, wewe unaujua mpira. Wewe Shabiki wakweli
@isihakabanda589
Жыл бұрын
Kila hatua Dua..kaka ondoa shaka
Asante Kotoko jamvi la wageni, watu wanajipigia tu, sio kipimo sahihi, mechi na El-hilal ndio itaonyesha hali halisi ya Simba
@abuushaymaatz
Жыл бұрын
Huwezi jua uhalisia wa Simba bila wachezaji Zaid ya 6 wa kikosi Cha kwanza
@emariusrush3285
Жыл бұрын
@@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawajasafiri na kikosi (kakolanya, manula, kapombe, mkude, Mohamed Hussein, kyombo,kibu Denis, onyango hajasafiri, kanoute yupo kwao,
@emariusrush3285
Жыл бұрын
@@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawapo, 9 wapo team ya taifa, onyango yupo dar kwasababu ya mgomo, kanoute yupo kwao kimatatizo ya familiar
@alymansury
Жыл бұрын
Kwahiyo liverpool juzi goals 9 alicheza na mtibwa
@emmadora7848
Жыл бұрын
Kwenye viwango vya CAF asante kotoko wako juu ya yanga
Sisi tupo avic tunawasubir makolo
@atupelemsyani7411
Жыл бұрын
Misukule tuu hamna kitu nyie utopolo
@salim02tv24
Жыл бұрын
@@atupelemsyani7411 mishono ya mayele imeponaa ??
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
tv mshono wa mayele uwe kwetu??? Hv mzma kwel ww😁😁😁😁
@salim02tv24
Жыл бұрын
@@salamasaidi6620 kumbe ulitaka awe nao boss wako mo
I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania Only in Sudan🇸🇩🇸🇩
@vitalismarunda6760
Жыл бұрын
Have u ever reached in tanzaniaa
@jonathanntare4787
Жыл бұрын
Bangi
@salihalash4111
Жыл бұрын
@@vitalismarunda6760 yea you only have one stadium and its govt stadium
@jeremiahsanare8754
Жыл бұрын
Benjamin mkapa stadium dar es salaam
@Abasiyacity
Жыл бұрын
@@vitalismarunda6760 he is talking about Simba FC club stadium. Simba has no stadium like Alhilal. Yea Tanzania has a nice government owned stadium, Sudan also has one that is due to open later this year. East Africa ❤️
Emmanoeli okwi karud simba au nimesikia vibay
@zainabumushi2756
Жыл бұрын
Sikiliza vizuri
@girionpantaleo5881
Жыл бұрын
@@zainabumushi2756 kwahyo nkmesikiliza vibaya
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@girionpantaleo5881 sasa mbona mkal😆😆😆😆😆😆
@zainabumushi2756
Жыл бұрын
Jamn
Simba imefulia ukitaka kuhakiki klabu yetu haina hela tazama usajili wetu na huyu mzee mnomuita kocha huyu mzee wa mchongo haifikishi popote simba huyu kacheza dili na wale wazee wadili
@CyimSky
Жыл бұрын
Acha kutafuta kiki kwa kusema wengine pambana kujua thamani yako
@huseinmuya2651
Жыл бұрын
sio kosa lasimba nikosa la uongozi
@furahajacob9110
Жыл бұрын
twachie simba yetu kenge mjamzito ww
@omarymahanyu5748
Жыл бұрын
Yaani umeongea pumba utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!
@mahengomwenyewe4204
Жыл бұрын
@@CyimSky Hatuwezi kuzungumzia kingine itakua haiendani hapo tupo kwenye mchezo wa simba na Asante kotoko unataka tuongelee tim gani na kwa munasaba gani ??
Haya Off side na huku nako wanabebwaaaa..?Watu buanaa
@iTelephone820
Жыл бұрын
Offside iko wap au unatafta kiki mzee
Goli la nne offside
@davidmbaga2998
Жыл бұрын
Sawa kibendera tumekuelewa
@treezybrown9647
Жыл бұрын
Toa ilo moja
@simonlaizer6942
Жыл бұрын
Kajarib na ww km utapt at hy of side nyangum ww😝
@iTelephone820
Жыл бұрын
Offside kwa sakho au banda 3:48 em tizama hapo banda yupo onside na Sakho kaukwepa mpira na nyuma kulikua na beki enhe offside inatoka wap
Magoli 3 yote off side
@iTelephone820
Жыл бұрын
3:48 araf pause uone km ni offside km inauma chomoa
Tiba mbadala inawasiubir
Chama ni chama tu
Kiboko yenu ni yanga nyie zurureni tu lakini tunawasubili mrudi tz tuwanyooshe vizur vizur,nawakumbusha tu naona kama mmejisahaulisha
@athumaniramadhani4975
Жыл бұрын
Bila Shaka mtacheza na Simba game 30 ata kimataifa mtacheza na Simba 😁😁
@bujashidaniel5537
Жыл бұрын
@@athumaniramadhani4975 we jitoe akir ila najua umeelewa nn mrembo Janeth anasema
@jumakassim8718
Жыл бұрын
Waambie hao makolo
@omaryhajji1393
Жыл бұрын
@@bujashidaniel5537 ok mwezi wa 10 sio mbali
@jovinesalvatore4055
Жыл бұрын
@@athumaniramadhani4975 kuna waatu akili huw hawana ujue...yan wao wanawaza daby kila kukicha ujue😃😃
Otaraa bado sana
ila kwa phiri napo naona kama tulipigwa tu..hana kashi kashi kama striker yani😕
@tausimvila2174
Жыл бұрын
Hapna ila Koch nmba anayompnga kwake sio sahihi phir mzuli akitokea kma wing
@anoldjohn1757
Жыл бұрын
Huna akili wala soka hulijui pumbafu
@pepchallanga3626
Жыл бұрын
@@anoldjohn1757 basi samahani kaka unisamehe nimekosa
@pepchallanga3626
Жыл бұрын
@@tausimvila2174 nadhani itakuwa hivo maana daah..unamuona mara chache sana
@jovinesalvatore4055
Жыл бұрын
kam Phiri anafunga bas inatosha kuwa ni striker mzur kwetu
Sapot tusonge naitwa japhetizo nafanya Muzik ingia youb Sachi japhetizo utapata Ngoma Kali zote usisahau subscribe