Magoli | Simba 4-2 Asante Kotoko | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

Спорт

Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Augustine Okrah na Pape Sakho yameipa Simba ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Haya hapa magoli yote....

Пікірлер: 170

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 Жыл бұрын

    Huyu chama kila goli la simba lazims ahusike, halaf kuna mpuuz anakwambia hana speed hafai. Jaman ifikr mahsl tuheshome vipaji vya watu

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 Жыл бұрын

    Goli la kwanza la Kotoko linaendelea kutukumbusha partner ya Ouatarra na Inonga haina muunganiko! Wanajikutaga kwenye mazingira magumu kwa kuzubaa kwao

  • @kedyjohn1848

    @kedyjohn1848

    Жыл бұрын

    In a footballing eye, midfielder kapoteza mpira sehemu hatari sana na ilitosha kwa mpinzani kugusa mpira mara moja tu kuamua pasi ya goli. Siyo kabisa kosa la kipatnashipu...

  • @thomasabelmwakipesile5280

    @thomasabelmwakipesile5280

    Жыл бұрын

    Simba tusije tukafanya kosa la kumwacha Onyango ! Huyu Quatarra namwona ni mzuri zaidi akacheza as defensive midfielder na Inonga akasimama kati pamoja na Onyango!

  • @dullyjabri8393

    @dullyjabri8393

    Жыл бұрын

    Magoli tunayo fungwa ni ya aina moja hata la yanga ni hivi hivi

  • @hajiussi9290

    @hajiussi9290

    Жыл бұрын

    Kwl kk

  • @kedyjohn1848

    @kedyjohn1848

    Жыл бұрын

    @@thomasabelmwakipesile5280 Duuh ulimwona wapi akicheza defensive midfielder bro ?

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Жыл бұрын

    Yani huyu Outtara tutafungwa mengi sana na watu wenye speed yy km hawez kukimbizana na watu atulie nyuma kule kwny position yke sio lazima asogee mbele sanaa,acheze onyango tu maana huyo outarra uchezeji wake km pascal wawa na huyo alikuwa anakaa benchi kwny combination ya onyango na inonga, kocha anazingua. But all in all good performance 👏 👏👏👏👏👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amanichodo1141
    @amanichodo1141 Жыл бұрын

    Congratulations, this is Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Жыл бұрын

    Ila sio siri jamni simba ikufunga mashabiki tunapata usingiz mnono

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын

    BRAVO SIMBA.S.C🇹🇿🇬🇷🙏

  • @tumpaleluhanga1396
    @tumpaleluhanga1396 Жыл бұрын

    Faulo ya Kapama ni ya kizembe sana. Kulikuwa hakuna haja ya kucheza vile na kusababisha penati ambayo nadhani haikuwa ya lazima

  • @mariam5617
    @mariam5617 Жыл бұрын

    Hii mech sio ya kuijaj sana kikos sio chenyewe wangetimia awa wangepgwa paka 10 awa team awana kabsa

  • @alwaysinprofit5750
    @alwaysinprofit5750 Жыл бұрын

    Banda yuko fresh sana

  • @jacksonmoses9428

    @jacksonmoses9428

    Жыл бұрын

    Dogo anacheza mpira wa kizungu hana parapara za kufunga goli

  • @allanalex8822
    @allanalex8822 Жыл бұрын

    Walivyoshanglia goli la kwanza dah wangejua nne zinakuja wangetulia tu

  • @brenderdennis4186

    @brenderdennis4186

    Жыл бұрын

    Hahahahaha niache nicheke this is simba on 🔥😁😁😁😁

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Жыл бұрын

    Hpa ndo naamin kam kinyes fc wanaturoga

  • @eddula1756

    @eddula1756

    Жыл бұрын

    Umeona eee

  • @halidimgonza5945

    @halidimgonza5945

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @fauziahamiss7612

    @fauziahamiss7612

    Жыл бұрын

    Umeona he

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    Жыл бұрын

    Hapana...Kuna Umafia unaoendelea ambao kamwe hautaufahamu mpaka uwe ndani ya hizi Klabu mbili

  • @bennedicthillary500
    @bennedicthillary500 Жыл бұрын

    Ivi mnamfuatilia moses kila gemu anatupia jamaa cio poa , ila chama salute

  • @mamutz5479

    @mamutz5479

    Жыл бұрын

    Jamani Mimi hatasielewi goli lakusawazisha kafunga okra au phili simuelewi mtangazaji simuelewi

  • @costasendama113

    @costasendama113

    Жыл бұрын

    @@mamutz5479 okrah siyo Moses

  • @mhandomhina5503

    @mhandomhina5503

    Жыл бұрын

    Yah ana mwendelezo mzuri na wastani mkubwa wa magoli kuliko washambuliaji wote wapya wa ligi hii yetu. Lakini unamfuatilia vp Mo Ouatara?

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven7350 Жыл бұрын

    Hivi huyu mzungu mbona mi simsisomi

  • @kidukakiduka680
    @kidukakiduka680 Жыл бұрын

    Ila jamani huyu beki wetu wakat hua mm simuelewagi kocha anampenda tu ila shuhuli ya onyango haiwezi kabisa na viongzi wakimuacha onyango wamebugi

  • @obadiahnkwale124

    @obadiahnkwale124

    Жыл бұрын

    Hata mm sjamuelewa onyango ni mtu na nusu

  • @gidionmtende8252

    @gidionmtende8252

    Жыл бұрын

    Onyango bado ana umuhimu wake huyu mzito kukimbia

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Жыл бұрын

    Shikamooo Simbafc hivyo ndio vipimo sio cha Mwamnyeto mzee wa kuchomesha😂😂😂😂😂

  • @nuhuswalehe6690
    @nuhuswalehe6690 Жыл бұрын

    Chama atabaki kuwa yeye🔥🔥🔥

  • @kibasatv1524
    @kibasatv1524 Жыл бұрын

    Hatariiii sana msimbazi

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Жыл бұрын

    The brain master

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 Жыл бұрын

    Chama is one bad news football brain... Naona kapania kweli msimu huu !

  • @evaristkiiza1938
    @evaristkiiza1938 Жыл бұрын

    Hongereni Simba mechi saf ya maandalizi

  • @hbrtv3345
    @hbrtv3345 Жыл бұрын

    Simba nguvu moja

  • @Trendzzzzzzz
    @Trendzzzzzzz Жыл бұрын

    👏🏼👏🏼👏🏼

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Жыл бұрын

    ❤️

  • @dotoomary6889
    @dotoomary6889 Жыл бұрын

    Okwiii????au masikio yangu

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    Жыл бұрын

    Hata mimi nilishtuka nikafikiri naangalia mpira wa zamani ila nikaona kina Moses Phiri, Okra na wengine nikajua mtangazaji kapagawa na pira biriani

  • @hassanmsilu146
    @hassanmsilu146 Жыл бұрын

    Kikosi Cha leo simba

  • @eddula1756
    @eddula1756 Жыл бұрын

    3-2

  • @ibrahimmohanmed6569
    @ibrahimmohanmed6569 Жыл бұрын

    Umoja n mguv kocha atulie t.na.atumie malf na akl

  • @maryrweyemamu7825
    @maryrweyemamu7825 Жыл бұрын

    Nimesikia Emanuel Okwi???

  • @hemedkagodah1436

    @hemedkagodah1436

    Жыл бұрын

    Daah uyu mwamba ukiwa unaskiliza redio adi raha ata kwe tv ukiskia jina lake tu ..

  • @danielchalamila2395
    @danielchalamila2395 Жыл бұрын

    Asante kotoko imeshuka kiwango saivi sio kama zamani tusibweteke sana

  • @danielchalamila2395

    @danielchalamila2395

    Жыл бұрын

    @@RED.4G-staff_12 Hapana uwezo hana ndio maana amefungwa

  • @paulsamarini11
    @paulsamarini11 Жыл бұрын

    Kwa mlichokifnya ndo tunakitaka kwahyo pgeni kaz wanarunyasi

  • @alielmahdi7
    @alielmahdi7 Жыл бұрын

    مرحباً بكم في ارض النيلين 🇸🇩

  • @pepchallanga3626

    @pepchallanga3626

    Жыл бұрын

    شكرا جزيلا

  • @abasirajabu5917
    @abasirajabu5917 Жыл бұрын

    Ongera chama

  • @ahadiyamungualdos8344
    @ahadiyamungualdos8344 Жыл бұрын

    Simba Yangu imesha NIKOSHA moyo mapemaaa Sina shida na mtu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Жыл бұрын

    Inonga wewe ni Bek punguza mbwembwe.

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 Жыл бұрын

    Chama cletous

  • @joshuataramo7317
    @joshuataramo7317 Жыл бұрын

    Coash wa Simba kwa hakika hana sababu ya kulaumiwa Victor Akpan hana Msaada kwa Timu .Kiungo cha chini Simba hawana mtu zaidi ya Kanoute. Hata Mkude nimemuona kule Stars alikuwa anarukaruka tu. Nassoro Kapama anaweza anafanya vizuri. So Mzungu Akpan na Mkude Simba wajipange hakuna watu pale.Ila Okwa apewe sana nafasi

  • @mkuyasmkuki6220
    @mkuyasmkuki6220 Жыл бұрын

    nommà sana

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Жыл бұрын

    Chama huyu ndo simba Yani kaibeba kama yote

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 Жыл бұрын

    Ila akipani mmhhh

  • @Marioo_official
    @Marioo_official Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @zubedaibrahim7865
    @zubedaibrahim7865 Жыл бұрын

    Wep vyaoooo

  • @dullyjabri8393
    @dullyjabri8393 Жыл бұрын

    Kwa maoni yangu naona ni bora simba ikawa Taifa stars vile

  • @isackyohana2707

    @isackyohana2707

    Жыл бұрын

    c itakuwa inafungwa na mayele kila ck!!

  • @ernesticrispin5825

    @ernesticrispin5825

    Жыл бұрын

    Umeongea pwenti muhumu sana

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    Жыл бұрын

    @@isackyohana2707 hahahaha

  • @antygaspergabriel403
    @antygaspergabriel403 Жыл бұрын

    Mechi imejaa penalty

  • @jumayusuph6342
    @jumayusuph6342 Жыл бұрын

    Chama

  • @kingyeskingyes2263

    @kingyeskingyes2263

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h215pMN8pKrQfps.html Ty hi

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Huyu mzee hata anachokifundisha hakuna hawa ni makocha wamafungu

  • @asifiwevenus4083
    @asifiwevenus4083 Жыл бұрын

    Chama ndiye kiungo simba

  • @parambili1382
    @parambili1382 Жыл бұрын

    Kweli tumeshinda ila akpan mmmh n janga l taifa

  • @frankjacob971
    @frankjacob971 Жыл бұрын

    Simba hatar xn

  • @omaryhajji1393
    @omaryhajji1393 Жыл бұрын

    Magoli yote chama kahusika

  • @josephjohn2114

    @josephjohn2114

    Жыл бұрын

    Halaf Kuna wajinga watakuambia chama ameisha eti anapoozesha Mpira ...Halaf unarudi kumshangaa kocha wa Simba kumtoa chama kwenye mechi ya ngao ya hisani...nilimmind sana kocha huyu alifanya ujinga sana Yanga wasingeshinda ile mechi Kama chama asingetoka ..ile mechi chama lazima angepiga pasi za mwisho au kufunga tungetoka droo au tungeshinda

  • @rashidimkongewa3927

    @rashidimkongewa3927

    Жыл бұрын

    Kwani chama ndio Nani

  • @josephjohn2114

    @josephjohn2114

    Жыл бұрын

    @@rashidimkongewa3927 angalia clip hiyo utamjua tu

  • @eliudeustace8830
    @eliudeustace8830 Жыл бұрын

    Ndio maana simba sihami hata vp

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 Жыл бұрын

    Jaman mbona mashabiki hamna

  • @omaryhajji1393

    @omaryhajji1393

    Жыл бұрын

    Friend match

  • @cathbertmitoga9713
    @cathbertmitoga9713 Жыл бұрын

    Kotoko timu laini sana,beki uchochoro

  • @adamjuma5556

    @adamjuma5556

    Жыл бұрын

    Simba mbovu

  • @adamjuma5556

    @adamjuma5556

    Жыл бұрын

    Hamna kit

  • @haidaris.kalunga9541
    @haidaris.kalunga9541 Жыл бұрын

    Magoli yote manne Chama kahusika. Halafu mtu anasema Chama ameisha! Pasi ya Chama kwa Israel,akampa Okrah. Chama kampa Sakho katupia. Penalty kaijaza,kisha kamalizia hesabu ya 4 kwa kuwachekecha.

  • @bensonmeritis4108
    @bensonmeritis4108 Жыл бұрын

    Hii nfo ximbaa

  • @chiddybanda4598
    @chiddybanda4598 Жыл бұрын

    Kwan hawa utpolo kawaalika nani uku 🐸🐸 🐸 wapite kushoto haiwahusu axe 😃😃😃

  • @allyzahir7998

    @allyzahir7998

    Жыл бұрын

    Kwa nn mnatuogopa sana watani cc Sio maadui ndo Mana tunashiriki shuhuli zenu

  • @loysamwely4574
    @loysamwely4574 Жыл бұрын

    Goli la kwanza alikuwa phili

  • @sifaomary1490
    @sifaomary1490 Жыл бұрын

    kwenye goli la 4 banda alikuwa na uwezo wakufunga akiwa amefumba macho lakini akampa tena chama!

  • @kingyeskingyes2263

    @kingyeskingyes2263

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h215pMN8pKrQfps.html St Ty

  • @charlesfrancis8253
    @charlesfrancis8253 Жыл бұрын

    Ligi mbovu

  • @hemedkagodah1436

    @hemedkagodah1436

    Жыл бұрын

    Hii sio lig n bonanza mkuu

  • @alwaysinprofit5750
    @alwaysinprofit5750 Жыл бұрын

    Chama kama de bruyne

  • @geofreybahema5118

    @geofreybahema5118

    Жыл бұрын

    He is good but not like kdb please have some respect

  • @janethjackson7704

    @janethjackson7704

    Жыл бұрын

    Kiboko yenu ni yanga nyie paparukeni mtakuja tu tuwanyooshe vizur vizur

  • @simonlaizer6942

    @simonlaizer6942

    Жыл бұрын

    We naweee kwn unatesk ukiw wp Janet??🤣🤣🤣

  • @pepchallanga3626

    @pepchallanga3626

    Жыл бұрын

    daah..yaani jana nilikuwa nafikiria hivohivo kila nkiona pass zake elekezi...ni KDB kabisa wa bongo

  • @mnkubaafmily8095
    @mnkubaafmily8095 Жыл бұрын

    Namuno inacheza saa ngapi

  • @angleemanuelhassan6048
    @angleemanuelhassan6048 Жыл бұрын

    Yani hivi vyura vinawazaga dabi tu 🐸🐸🐸wanasimba sisi tucheke jamaniiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mayumbifrednand4802

    @mayumbifrednand4802

    Жыл бұрын

    Vijinga saana

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 Жыл бұрын

    Aina ya goli la kwanza simba wanafungwa ni aina ya magoli aliofungwa na yanga mabek hasa wa kati bado rotation kubwa inaitajika onyango mpka leo hakuna kucheza kwann

  • @hajiussi9290

    @hajiussi9290

    Жыл бұрын

    Umesem k2 kk hap ni vzr tukjitathmin nn 2fanye

  • @ezekiajamess4977

    @ezekiajamess4977

    Жыл бұрын

    Pale kosa ni la Yule beki mpya hakabi kabisa bola angekua onyango

  • @hajiussi9290

    @hajiussi9290

    Жыл бұрын

    @@ezekiajamess4977 lamsing koch kuna w2 awap nafasi waonesh uwezo wao nawo onyango hkun 7bu y kmba asingie maan nimra y tat kosa moj ilo ilo

  • @Stavanger-cr3ee

    @Stavanger-cr3ee

    Жыл бұрын

    Jerome, wewe unaujua mpira. Wewe Shabiki wakweli

  • @isihakabanda589

    @isihakabanda589

    Жыл бұрын

    Kila hatua Dua..kaka ondoa shaka

  • @ip_header
    @ip_header Жыл бұрын

    Asante Kotoko jamvi la wageni, watu wanajipigia tu, sio kipimo sahihi, mechi na El-hilal ndio itaonyesha hali halisi ya Simba

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    Жыл бұрын

    Huwezi jua uhalisia wa Simba bila wachezaji Zaid ya 6 wa kikosi Cha kwanza

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    Жыл бұрын

    @@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawajasafiri na kikosi (kakolanya, manula, kapombe, mkude, Mohamed Hussein, kyombo,kibu Denis, onyango hajasafiri, kanoute yupo kwao,

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    Жыл бұрын

    @@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawapo, 9 wapo team ya taifa, onyango yupo dar kwasababu ya mgomo, kanoute yupo kwao kimatatizo ya familiar

  • @alymansury

    @alymansury

    Жыл бұрын

    Kwahiyo liverpool juzi goals 9 alicheza na mtibwa

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    Жыл бұрын

    Kwenye viwango vya CAF asante kotoko wako juu ya yanga

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Жыл бұрын

    Sisi tupo avic tunawasubir makolo

  • @atupelemsyani7411

    @atupelemsyani7411

    Жыл бұрын

    Misukule tuu hamna kitu nyie utopolo

  • @salim02tv24

    @salim02tv24

    Жыл бұрын

    @@atupelemsyani7411 mishono ya mayele imeponaa ??

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    tv mshono wa mayele uwe kwetu??? Hv mzma kwel ww😁😁😁😁

  • @salim02tv24

    @salim02tv24

    Жыл бұрын

    @@salamasaidi6620 kumbe ulitaka awe nao boss wako mo

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Жыл бұрын

    I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania Only in Sudan🇸🇩🇸🇩

  • @vitalismarunda6760

    @vitalismarunda6760

    Жыл бұрын

    Have u ever reached in tanzaniaa

  • @jonathanntare4787

    @jonathanntare4787

    Жыл бұрын

    Bangi

  • @salihalash4111

    @salihalash4111

    Жыл бұрын

    @@vitalismarunda6760 yea you only have one stadium and its govt stadium

  • @jeremiahsanare8754

    @jeremiahsanare8754

    Жыл бұрын

    Benjamin mkapa stadium dar es salaam

  • @Abasiyacity

    @Abasiyacity

    Жыл бұрын

    @@vitalismarunda6760 he is talking about Simba FC club stadium. Simba has no stadium like Alhilal. Yea Tanzania has a nice government owned stadium, Sudan also has one that is due to open later this year. East Africa ❤️

  • @girionpantaleo5881
    @girionpantaleo5881 Жыл бұрын

    Emmanoeli okwi karud simba au nimesikia vibay

  • @zainabumushi2756

    @zainabumushi2756

    Жыл бұрын

    Sikiliza vizuri

  • @girionpantaleo5881

    @girionpantaleo5881

    Жыл бұрын

    @@zainabumushi2756 kwahyo nkmesikiliza vibaya

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    @@girionpantaleo5881 sasa mbona mkal😆😆😆😆😆😆

  • @zainabumushi2756

    @zainabumushi2756

    Жыл бұрын

    Jamn

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Simba imefulia ukitaka kuhakiki klabu yetu haina hela tazama usajili wetu na huyu mzee mnomuita kocha huyu mzee wa mchongo haifikishi popote simba huyu kacheza dili na wale wazee wadili

  • @CyimSky

    @CyimSky

    Жыл бұрын

    Acha kutafuta kiki kwa kusema wengine pambana kujua thamani yako

  • @huseinmuya2651

    @huseinmuya2651

    Жыл бұрын

    sio kosa lasimba nikosa la uongozi

  • @furahajacob9110

    @furahajacob9110

    Жыл бұрын

    twachie simba yetu kenge mjamzito ww

  • @omarymahanyu5748

    @omarymahanyu5748

    Жыл бұрын

    Yaani umeongea pumba utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    Жыл бұрын

    @@CyimSky Hatuwezi kuzungumzia kingine itakua haiendani hapo tupo kwenye mchezo wa simba na Asante kotoko unataka tuongelee tim gani na kwa munasaba gani ??

  • @aronatv47
    @aronatv47 Жыл бұрын

    Haya Off side na huku nako wanabebwaaaa..?Watu buanaa

  • @iTelephone820

    @iTelephone820

    Жыл бұрын

    Offside iko wap au unatafta kiki mzee

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Жыл бұрын

    Goli la nne offside

  • @davidmbaga2998

    @davidmbaga2998

    Жыл бұрын

    Sawa kibendera tumekuelewa

  • @treezybrown9647

    @treezybrown9647

    Жыл бұрын

    Toa ilo moja

  • @simonlaizer6942

    @simonlaizer6942

    Жыл бұрын

    Kajarib na ww km utapt at hy of side nyangum ww😝

  • @iTelephone820

    @iTelephone820

    Жыл бұрын

    Offside kwa sakho au banda 3:48 em tizama hapo banda yupo onside na Sakho kaukwepa mpira na nyuma kulikua na beki enhe offside inatoka wap

  • @rachelmfeti3465
    @rachelmfeti3465 Жыл бұрын

    Magoli 3 yote off side

  • @iTelephone820

    @iTelephone820

    Жыл бұрын

    3:48 araf pause uone km ni offside km inauma chomoa

  • @abbasmashomo5978
    @abbasmashomo5978 Жыл бұрын

    Tiba mbadala inawasiubir

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Жыл бұрын

    Chama ni chama tu

  • @janethjackson7704
    @janethjackson7704 Жыл бұрын

    Kiboko yenu ni yanga nyie zurureni tu lakini tunawasubili mrudi tz tuwanyooshe vizur vizur,nawakumbusha tu naona kama mmejisahaulisha

  • @athumaniramadhani4975

    @athumaniramadhani4975

    Жыл бұрын

    Bila Shaka mtacheza na Simba game 30 ata kimataifa mtacheza na Simba 😁😁

  • @bujashidaniel5537

    @bujashidaniel5537

    Жыл бұрын

    @@athumaniramadhani4975 we jitoe akir ila najua umeelewa nn mrembo Janeth anasema

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    Жыл бұрын

    Waambie hao makolo

  • @omaryhajji1393

    @omaryhajji1393

    Жыл бұрын

    @@bujashidaniel5537 ok mwezi wa 10 sio mbali

  • @jovinesalvatore4055

    @jovinesalvatore4055

    Жыл бұрын

    @@athumaniramadhani4975 kuna waatu akili huw hawana ujue...yan wao wanawaza daby kila kukicha ujue😃😃

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 Жыл бұрын

    Otaraa bado sana

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Жыл бұрын

    ila kwa phiri napo naona kama tulipigwa tu..hana kashi kashi kama striker yani😕

  • @tausimvila2174

    @tausimvila2174

    Жыл бұрын

    Hapna ila Koch nmba anayompnga kwake sio sahihi phir mzuli akitokea kma wing

  • @anoldjohn1757

    @anoldjohn1757

    Жыл бұрын

    Huna akili wala soka hulijui pumbafu

  • @pepchallanga3626

    @pepchallanga3626

    Жыл бұрын

    @@anoldjohn1757 basi samahani kaka unisamehe nimekosa

  • @pepchallanga3626

    @pepchallanga3626

    Жыл бұрын

    @@tausimvila2174 nadhani itakuwa hivo maana daah..unamuona mara chache sana

  • @jovinesalvatore4055

    @jovinesalvatore4055

    Жыл бұрын

    kam Phiri anafunga bas inatosha kuwa ni striker mzur kwetu

  • @nurumgohelen3867
    @nurumgohelen3867 Жыл бұрын

    Sapot tusonge naitwa japhetizo nafanya Muzik ingia youb Sachi japhetizo utapata Ngoma Kali zote usisahau subscribe

Келесі