Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022
Спорт
Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Пікірлер: 115
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
@suleimanhabib7072
Жыл бұрын
mashallah kabisa an
@wilfredelimeleki4543
Жыл бұрын
Cha msingi fuata nini Mungu anataka,usilewe dini ukaacha maazigo ya Mungu
Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu
Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Outtara hamna kitu
Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango. Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi
@allymtungunyu2425
Жыл бұрын
Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Rejea ile mechi ya ngao Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu
Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja
Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup
Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo
Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.
Adhana maa shaa Allah
Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.
@amriamraan2612
Жыл бұрын
Wapi?
@malugukushaha6764
Жыл бұрын
@@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.
Mpira safi kabisa hongera simba
Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭
Ivi Azam mnajua highlights nyinyi
Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba
Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa
Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa
@sngrafx
Жыл бұрын
Hujui mpira Wewee kaa kimya
SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
Sasa yupo kwetu unyamani watakomaaa🎉🦁🦁
Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii
Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.
Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi
Mukwala yupo hapo?
Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏
Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Ampishe onyango Tu
Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda
Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango
Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema
Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba
Sakho kiukweli Yuko vzuli
Kumbe huyu mukwara alishawahi kutukanda wooooiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣 utopolo njooni uwanjani tutawapa pipi ya kijiti
Triplex CSS CCC, Umeshakuwa Mtanzania kabisa
Chama ni KDB wa bongo
Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono
🔥🔥🔥
Inonga anaanza kuvuja saana
Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?
Mashallah
Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.
Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute
Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana
Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?
Huyu Outtara mzitoo
Sijamuelewa msudani kbx mzito xan
Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake
Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu
Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa
This defender quatarra was very poor.. So tired
🦁🦁👍👍🔥🔥
Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Mpe nyekundu
Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote
🔥🔥
Simba ni chama Simba ni inonga
Good pre season for Asante kotoko
Hatali
Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.
Hii ni Asante Kotoko gani?
@leahgabriel5089
Жыл бұрын
ya ghana
yes now ni ni familia sas😂😂😂😂😂
Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi
I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania Only in Sudan
@mduda_i
Жыл бұрын
we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed
@salihalash4111
Жыл бұрын
@@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy
@issackntacho710
Жыл бұрын
Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums
@mokaamohammed2441
Жыл бұрын
don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa
@Abasiyacity
Жыл бұрын
Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥
Ouattara hapo nado hafai
@mamutz5479
Жыл бұрын
Kwili kabisa hanakasi kabisa
@mzeewajambo8293
Жыл бұрын
Sana
Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Жыл бұрын
Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster
@thomasabelmwakipesile5280
Жыл бұрын
Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!
Onyango n beki kuliko waliopo
Inonga n mchezaji
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana yan uyu jamaa anajua
Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.
@yohanamchekwa1803
Жыл бұрын
ndo ulicho kiona wewe?
@alimohammedomar3412
Жыл бұрын
@@yohanamchekwa1803 . Ndiyo nimeona hicho kwani mpira ni uadui? Wewe hukukiona?
@Saidkhel
Жыл бұрын
Andamana
@Saidkhel
Жыл бұрын
Kumbe mnafuatilia simba nyie utopolo
@NellyWaKidato
Жыл бұрын
@@Saidkhel kumanyoko Shoga Wewe 🖕🖕🖕🖕
kzread.info/dash/bejne/dY6Mwa2vpNq7csY.html USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.
@Saidkhel
Жыл бұрын
Tuliza kinyeo
@beriasmasanga6859
Жыл бұрын
ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA
@beriasmasanga6859
Жыл бұрын
Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?
@yusuphabsaid8151
Жыл бұрын
Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
@benjaminchakwe9815
Жыл бұрын
Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe
Mashallah
Chama ni KDB wa bongo
Mashallah