Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

Спорт

Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.

Пікірлер: 115

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy Жыл бұрын

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

  • @suleimanhabib7072

    @suleimanhabib7072

    Жыл бұрын

    mashallah kabisa an

  • @wilfredelimeleki4543

    @wilfredelimeleki4543

    Жыл бұрын

    Cha msingi fuata nini Mungu anataka,usilewe dini ukaacha maazigo ya Mungu

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 Жыл бұрын

    Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Жыл бұрын

    Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Outtara hamna kitu

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Жыл бұрын

    Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango. Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi

  • @allymtungunyu2425

    @allymtungunyu2425

    Жыл бұрын

    Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Rejea ile mechi ya ngao Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu

  • @tmagoti
    @tmagoti Жыл бұрын

    Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Жыл бұрын

    Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Жыл бұрын

    Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo

  • @zuberikupaza1184
    @zuberikupaza1184 Жыл бұрын

    Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 Жыл бұрын

    Adhana maa shaa Allah

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Жыл бұрын

    Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.

  • @amriamraan2612

    @amriamraan2612

    Жыл бұрын

    Wapi?

  • @malugukushaha6764

    @malugukushaha6764

    Жыл бұрын

    @@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.

  • @athanasevaristmahega7488
    @athanasevaristmahega7488 Жыл бұрын

    Mpira safi kabisa hongera simba

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 Жыл бұрын

    Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭

  • @StarDugs
    @StarDugs Жыл бұрын

    Ivi Azam mnajua highlights nyinyi

  • @sulemaanmarika7087
    @sulemaanmarika7087 Жыл бұрын

    Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba

  • @Othman496
    @Othman496 Жыл бұрын

    Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Жыл бұрын

    Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa

  • @sngrafx

    @sngrafx

    Жыл бұрын

    Hujui mpira Wewee kaa kimya

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Жыл бұрын

    SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪

  • @alitante4279
    @alitante427922 күн бұрын

    Sasa yupo kwetu unyamani watakomaaa🎉🦁🦁

  • @hilaryngonyani6750
    @hilaryngonyani675026 күн бұрын

    Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 Жыл бұрын

    Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Жыл бұрын

    Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella220223 күн бұрын

    Mukwala yupo hapo?

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 Жыл бұрын

    Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Жыл бұрын

    Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Ampishe onyango Tu

  • @CyimSky
    @CyimSky Жыл бұрын

    Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda

  • @zubedaramadhani1289
    @zubedaramadhani1289 Жыл бұрын

    Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Жыл бұрын

    Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema

  • @grederoperater7970
    @grederoperater7970 Жыл бұрын

    Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Жыл бұрын

    Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba

  • @ramadhanikatumbati8386
    @ramadhanikatumbati8386 Жыл бұрын

    Sakho kiukweli Yuko vzuli

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn863818 күн бұрын

    Kumbe huyu mukwara alishawahi kutukanda wooooiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣 utopolo njooni uwanjani tutawapa pipi ya kijiti

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Жыл бұрын

    Triplex CSS CCC, Umeshakuwa Mtanzania kabisa

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Жыл бұрын

    Chama ni KDB wa bongo

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Жыл бұрын

    Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono

  • @worshipperstalk
    @worshipperstalk Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Жыл бұрын

    Inonga anaanza kuvuja saana

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Жыл бұрын

    Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @daddynamombas3898
    @daddynamombas3898 Жыл бұрын

    Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.

  • @eliyamloy3490
    @eliyamloy3490 Жыл бұрын

    Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Жыл бұрын

    Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana

  • @leeobite5657
    @leeobite5657 Жыл бұрын

    Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Жыл бұрын

    Huyu Outtara mzitoo

  • @ramadhanirajabu8932
    @ramadhanirajabu8932 Жыл бұрын

    Sijamuelewa msudani kbx mzito xan

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 Жыл бұрын

    Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake

  • @mohamedisalumu5135
    @mohamedisalumu5135 Жыл бұрын

    Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu

  • @klangeniustz5767
    @klangeniustz5767 Жыл бұрын

    Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa

  • @cat-kr1ro
    @cat-kr1ro Жыл бұрын

    This defender quatarra was very poor.. So tired

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 Жыл бұрын

    🦁🦁👍👍🔥🔥

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 Жыл бұрын

    Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.

  • @mswakisaid2320

    @mswakisaid2320

    Жыл бұрын

    Mpe nyekundu

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 Жыл бұрын

    Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 Жыл бұрын

    Simba ni chama Simba ni inonga

  • @denisekenwhite7766
    @denisekenwhite7766 Жыл бұрын

    Good pre season for Asante kotoko

  • @stevesayoni7455
    @stevesayoni7455 Жыл бұрын

    Hatali

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 Жыл бұрын

    Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising Жыл бұрын

    Hii ni Asante Kotoko gani?

  • @leahgabriel5089

    @leahgabriel5089

    Жыл бұрын

    ya ghana

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw21 күн бұрын

    yes now ni ni familia sas😂😂😂😂😂

  • @djibrilsaidikagambaje97
    @djibrilsaidikagambaje97 Жыл бұрын

    Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Жыл бұрын

    I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania Only in Sudan

  • @mduda_i

    @mduda_i

    Жыл бұрын

    we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed

  • @salihalash4111

    @salihalash4111

    Жыл бұрын

    @@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy

  • @issackntacho710

    @issackntacho710

    Жыл бұрын

    Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums

  • @mokaamohammed2441

    @mokaamohammed2441

    Жыл бұрын

    don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa

  • @Abasiyacity

    @Abasiyacity

    Жыл бұрын

    Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Жыл бұрын

    Ouattara hapo nado hafai

  • @mamutz5479

    @mamutz5479

    Жыл бұрын

    Kwili kabisa hanakasi kabisa

  • @mzeewajambo8293

    @mzeewajambo8293

    Жыл бұрын

    Sana

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Жыл бұрын

    Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster

  • @thomasabelmwakipesile5280

    @thomasabelmwakipesile5280

    Жыл бұрын

    Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Жыл бұрын

    Onyango n beki kuliko waliopo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Жыл бұрын

    Inonga n mchezaji

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Sana yan uyu jamaa anajua

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Жыл бұрын

    Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.

  • @yohanamchekwa1803

    @yohanamchekwa1803

    Жыл бұрын

    ndo ulicho kiona wewe?

  • @alimohammedomar3412

    @alimohammedomar3412

    Жыл бұрын

    @@yohanamchekwa1803 . Ndiyo nimeona hicho kwani mpira ni uadui? Wewe hukukiona?

  • @Saidkhel

    @Saidkhel

    Жыл бұрын

    Andamana

  • @Saidkhel

    @Saidkhel

    Жыл бұрын

    Kumbe mnafuatilia simba nyie utopolo

  • @NellyWaKidato

    @NellyWaKidato

    Жыл бұрын

    @@Saidkhel kumanyoko Shoga Wewe 🖕🖕🖕🖕

  • @wajawemaonlineTv
    @wajawemaonlineTv Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dY6Mwa2vpNq7csY.html USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI

  • @jamalhatibu777
    @jamalhatibu777 Жыл бұрын

    Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.

  • @Saidkhel

    @Saidkhel

    Жыл бұрын

    Tuliza kinyeo

  • @beriasmasanga6859

    @beriasmasanga6859

    Жыл бұрын

    ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA

  • @beriasmasanga6859

    @beriasmasanga6859

    Жыл бұрын

    Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?

  • @yusuphabsaid8151

    @yusuphabsaid8151

    Жыл бұрын

    Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy Жыл бұрын

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

  • @benjaminchakwe9815

    @benjaminchakwe9815

    Жыл бұрын

    Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe

  • @sophiahussein8858
    @sophiahussein8858 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Жыл бұрын

    Chama ni KDB wa bongo

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 Жыл бұрын

    Mashallah

Келесі