MADAI YA 'UVAMIZI' WA CLOUDS TV 2017; VITA YA MAKONDA NA GWAJIMA ILIYOMG'OA NAPE NNAUYE

#CharlesWilliam #Zungu #Day2NewsTV
Ikiwa leo ni siku ya Alhamis, sisi Day 2 News tunakuletea kumbukumbu ya matukio makubwa yaliyowahi kujiri na kutikisa katika miaka ya nyuma. Karibu tukusimulie.

Пікірлер: 148

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43568 ай бұрын

    Shida ya wanadamu.Ukifanya mema hawakumbuki kabisa.Nawakati Mungu atakuinua wao wataanza kukumbushia mambo ambayo ulikosea kipindi cha huko nyuma.Lengo ni kuharibu kile Mungu amefanya kwa maisha ya mtu.Au kuinuliwa kwako ionekane Mungu amekosea.Muacheni Makonda.Duniani kila mwanadamu anapande mbili.Upande wa kupatia na upande wakukosea.Makonda nikiongozi bora naamini anakamilishwa na Mungu kupitia sehemu alizokosea.Maana makosa ndiyo Baba na Mama anaemkamilisha kila mwanadamu.Mtu hujifunza kutokana na makosa.

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    8 ай бұрын

    Ata shetani uinua watu kwa muda fulani shida ipo kwenye kutafsiri kazi ipi ni ya Mungu na ipi ya shetani

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    8 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz35068 ай бұрын

    Jembe makonda is back 🔙🙌

  • @fadhilmaundu1578
    @fadhilmaundu15788 ай бұрын

    Hii taarifa inatia kichefuchefu, hivi ccm inatuonaje watz? Jambazi huyu anapewa kueneza itikadi ya chama!, ni aibu kubwa chama chao,

  • @godsson5954
    @godsson59548 ай бұрын

    sidhan kama hat mh wazir anayakumbuka vzur yaliyomtokea

  • @akramissa3393
    @akramissa33938 ай бұрын

    Makonda hana tofauti na jangili, hafai kupewa hata ujumbe wa nyumba kumi

  • @geraldrobert1801

    @geraldrobert1801

    8 ай бұрын

    Trueth

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    8 ай бұрын

    Sio nyumba kumi tu hata kiongozi wa Jumuiya hafai kbs

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22348 ай бұрын

    Kweli Makonda ni dume yani hajali kitu wala mtu

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga62878 ай бұрын

    Clouds wenyewe wanampenda Makonda😂😂😂😂

  • @jumbekibindo3021
    @jumbekibindo30218 ай бұрын

    Zungu nimeelewaaa Leo

  • @tadeibaraka6201
    @tadeibaraka62012 ай бұрын

    @d2n tunaomba mtuletee historia ya professor palamakamba kabudi

  • @InnocentStephano-lz8jc
    @InnocentStephano-lz8jc8 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50258 ай бұрын

    Watu wana vinyongo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything18 күн бұрын

    👊✌👍.

  • @doellatv6807
    @doellatv68078 ай бұрын

    Fala wewe. Hatutakiwi kumsema vibaya marehemu lakini jamaa ni fala.

  • @simbatv5203
    @simbatv52038 ай бұрын

    Licha ya yooote hayo ila namkubali makonda sana ...... Mbona clouds waliimfanyia umafia sana diamond...... Ukimfanyia baya binadam malipo yake apa apa dunian.... Hivooo tutulie

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    8 ай бұрын

    Umafia upi alifanyiwa Diamond?

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    8 ай бұрын

    Umafia upi alifanyiwa Diamond?

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w8 ай бұрын

    Ccm Haina jipya ni walewale Kila siku mumludishe sabaya😂

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta96978 ай бұрын

    Hatari sana

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd8 ай бұрын

    Jpm nambari one

  • @rebeccaagunda1417

    @rebeccaagunda1417

    8 ай бұрын

    Makonda anafaa sana kuwa kiongozi ,ni mchapa kazi mzuri sio mwoga

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije36038 ай бұрын

    Hi ndo selikali ya kijambaz tunaongozwa na majambaz mungu tuokoe shugulik nao ulimshughulikia mhalifu mku utashindweje kuwashugulikia Hawa wanao tutisha Kwa sasa bwan tulinde

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    8 ай бұрын

    Acha kumdhihaki Mungu kwa maneo ya makasiriko na yakinafiki, tumia akili ya kuzaliwa ukiona raisi wa Afrika anapigiwa kelele na mataifa ya nje ya afrika ujue kiongozi huyo ni bora na ukiona wanakaa kimya ujue kiongozi huyo ni mbulula.

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete36928 ай бұрын

    Hii ni istoria ya maovu yamakonda

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame95428 ай бұрын

    Alikuwa na kiburi sana makonda

  • @Djroja_mo
    @Djroja_mo8 ай бұрын

    Hii ingetakiwa Makonda kufungwa

  • @chungwenlameck1048
    @chungwenlameck10488 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allyomary2271
    @allyomary22718 ай бұрын

    Madaraka ni ulevi mbaya sana haswa usipomuomba mwenyezimungu akujaalie hekima na busara maana cheo ni dhamana tu hakuna aijuaye sekunde ijayo

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa30518 ай бұрын

    Imenikumbusha kifo cha ndugu yetu Ruge

  • @MengiMhelela
    @MengiMhelela8 ай бұрын

    Jamaniii

  • @believeboy2150
    @believeboy21507 ай бұрын

    Tanzania hii natamani irudi tena😃😃😃

  • @petermichael1297
    @petermichael12979 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @monicamsile2284
    @monicamsile22848 ай бұрын

    Hakika serikali hakuna,amebaki Mungu peke yake ndoanaye tuangalia waTanzania,sijui hata kwanini watu wanajipenda wenyewe tu

  • @isaackambofi1241
    @isaackambofi12418 ай бұрын

    Akuna mazur ya kuyakumbusha zaidi ya hata au chuki binafsi

  • @zaitunijumamkwazu5531
    @zaitunijumamkwazu55318 ай бұрын

    Jamani sasa haya yalipita yalipita sikunyingi sana sidhani kama yana mashiko Kwa sasa

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    Badala wajadili changamoto ya umeme nchini wanazuga na kuleta uchochezi

  • @gulinjaezekiel8489
    @gulinjaezekiel84898 ай бұрын

    Nawapongeza kwa wazo zuri la maudhui. Lakini mjitahidi kuongeza "uchunguzi" mengi yaliyozungumzwa hapa ni mambo ambayo tunaweza kuyapata online. Ni sawa na simulizi tu ya tukio zima. Ni vichache sana ambavyo hatukuwa tunavijua.

  • @frankfrank1361

    @frankfrank1361

    8 ай бұрын

    Hivyo vichache vinakutosha , vingine jiongeze boss

  • @day2newsTV

    @day2newsTV

    8 ай бұрын

    Ahsante sana. Kwenye segment yetu ya #TBT Lengo letu pia ni kutunza kumbukumbu sahihi za matukio. Si rahisi watanzania wengi kupitia ripoti tofauti tofauti na kuchambua mkasa uliodumu kwa zaidi ya miezi 6, na mtu akitaka kuujua mkasa kamili atumie nusu saa tu kufahamu kupitia #Day2News

  • @AgnessKabamanywa-sd2dw

    @AgnessKabamanywa-sd2dw

    8 ай бұрын

    Makonda alitakiwa kuwa jela na siyokuwa kongozo hakika nchi hii inatisha

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx8 ай бұрын

    Hapo ndipo mutafakali kwamba jambo lamungu nilamungutu huwezi kubishana namutu wamungu enyi wana wamungu kaeni pamoja

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp8 ай бұрын

    Wenye moyo hatusahau kirahisi

  • @zaitunijumamkwazu5531
    @zaitunijumamkwazu55318 ай бұрын

    Makonda nikiongozi mzuri na nafasi aliyopewa inamfaa sana , navitu vingine kunachuki binafis

  • @JamaliAmour-jp9dd
    @JamaliAmour-jp9dd7 ай бұрын

    Hii Tanzanian

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis23888 ай бұрын

    Makonda ni kiongozi mzuri kwa sasa na siku zijazp!

  • @JackKanyigo

    @JackKanyigo

    8 ай бұрын

    Ujielewi

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx8 ай бұрын

    Kunashida kubwa hapa tafakali

  • @AyubuMbuba-pu6tf
    @AyubuMbuba-pu6tf8 ай бұрын

    Mnakua kimy san mpk tunawamic

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50258 ай бұрын

    Magu alikuwa kiboko

  • @gazzomaster9462

    @gazzomaster9462

    8 ай бұрын

    Ahahahaa 😂

  • @nuruosward8161
    @nuruosward81618 ай бұрын

    Mmmmmmmh darkness is real😢

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony55258 ай бұрын

    Tafuta jingine

  • @doellatv6807
    @doellatv68078 ай бұрын

    Huna unachokijua. Labda ngoja tukuletee wanaopeleka madawa clouds alafu utuambie makonda alivamia au ni clouds wauza ngada

  • @saidimega9615

    @saidimega9615

    8 ай бұрын

    Wee jamaa unaongeaa ongeaa tu kwasababu ulipi maneno au ndio umeshiba ugali na maharage ukiambiwa leta ushahidi utaonesha ww

  • @mwenyasa_jr
    @mwenyasa_jr8 ай бұрын

    Tunahitaji muendelezo

  • @MOBIGO2F
    @MOBIGO2F8 ай бұрын

    Reporter number naomba

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18998 ай бұрын

    Acheni roho mbaya

  • @shabanitingisha2501

    @shabanitingisha2501

    2 ай бұрын

    Kumbe jamaa wana roho mbaya

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina638 ай бұрын

    Hapa tupepigwa kwa huyu bwana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32318 ай бұрын

    Nonsense 😢

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo12318 ай бұрын

    Mmeona makonda karud kazin unaleta umbeya Aliopewa kapewa kila mtu acheze anako chezaga kazi kugufua makaburi 2.uchonganishi uwo

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony55258 ай бұрын

    Bado hamjasema mtabanwa mpaka mseme meeeeeeeeh

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we8 ай бұрын

    Makonda alikuwa na utoto

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku47148 ай бұрын

    We ulishawahi kuona askali kubeba bunduki ni shida?

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki878 ай бұрын

    Mbona mnahangaika sana....😂

  • @Pemba680
    @Pemba68020 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂hamorapa

  • @user-dh2oh6ge3l
    @user-dh2oh6ge3l8 ай бұрын

    P

  • @deborakasuva5009
    @deborakasuva50098 ай бұрын

    Duu

  • @kastomahenge7343
    @kastomahenge73438 ай бұрын

    Utakamwatwa😂😂

  • @JackKanyigo

    @JackKanyigo

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @kastomahenge7343

    @kastomahenge7343

    8 ай бұрын

    @@JackKanyigo 🤣

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92188 ай бұрын

    USISEME WATU HAO, SEMA ASIKARI. ACHENI.UCHONGANISHI NA UMBEYA.

  • @user-ic4cg5fx2f
    @user-ic4cg5fx2f8 ай бұрын

    Duu Asante Sana nilikuwa namsikia tu Gwajima akifoka kanisani kumbe mkasa mzito Hivi

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12564 ай бұрын

    Hahaha bongo vituko kila siku

  • @zaitunijumamkwazu5531
    @zaitunijumamkwazu55318 ай бұрын

    Amekuibia nini? Kwani huwo uwizi unaushahidi au porojo

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    Wezi hawaoni kamuona makonda 😂😂

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku47148 ай бұрын

    Ache umbea ninyi. Acha watu wafanyekazi

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper8 ай бұрын

    Yaani media za bongo punguzeni kutoa chumvi habari zenu... Yani hapo mmesema kipindi kilikiwa live na kilikuwa kiishe saa tano lkn kikaisha saa nne na nusu, halafu mnakuja kutudanganya Makonda alikuja usiku wa saa nane na silaha😁😁😁, Sasa tuwaeleweje?

  • @littlesakhoiv1893

    @littlesakhoiv1893

    8 ай бұрын

    kuna umuhimu wa kusikiliza.....mtangazaji kamnukuu mlinzi ambae ndio kasema walivamiwa saa 8 usiku. Ukiangalia video tuu unaona makonda aliingia saa 4 na madakika kwaiyo msimuliaji yupo makini

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂mtoa habari Mungu anakuona kwa kuaminisha watu uongo

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2238 ай бұрын

    Inasikitisha, halafu mtu huyu anateuliwa tena?

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete36928 ай бұрын

    Kwa uchafu aliyoo ufanya makonda akiwa mkuu WA mkowa isingee faa CCM kumpa uwongozi tena inamana CCM amna watu wengine ndani ya CCM kuongoza CCM zaidi yamakonda hii ni hatari Sana naona CCM aijipendi wananchi wamepigwa na butwaa jambazi mtekaji muwaji kumpa uwongozi mwee CCM sikio lakufa

  • @mkibandulo1231

    @mkibandulo1231

    8 ай бұрын

    Hakuna anaweza kuzibacrizk ya mtu ww unae faa ikowap?

  • @adammbaruku2499

    @adammbaruku2499

    8 ай бұрын

    Ni unafiki tu,

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    Ndo wale wale wavuta na wauza dona ndo hawamtaki rizki ya mtu anayo Allah tuache majungu

  • @adammbaruku2499

    @adammbaruku2499

    8 ай бұрын

    Kama mazuri kikwenu ni Uchafu basi mtuachie sisi tuendelee kupata machafu yake.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11408 ай бұрын

    Nchi ili[itia kuongozwa na wajinga waliosoma ndio shida yake

  • @oyay2821
    @oyay28218 ай бұрын

    Kwani huyo mwanamke aliezaa na Gwajiboy anasemaje?

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z8 ай бұрын

    ITACHUKUA MUDA LKN ATARUDI KAZINI,,HUWEZI KUCHUKIWA NA WOTE

  • @aloycesamba998

    @aloycesamba998

    8 ай бұрын

    Mbona amesharudishiwa

  • @Ambwene

    @Ambwene

    8 ай бұрын

    Makonda kawa boss mkubwa wa CCM sasa hivi

  • @yohanamagehematictok

    @yohanamagehematictok

    8 ай бұрын

    Sema wanao mchukia ni wale wabaya tu

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa83568 ай бұрын

    Sasa naanza kupata picha kuwa; huenda kifo cha mengi na ruge huenda kuna mkono wa makonda, maana hili jitu limakonda lilikuwa uaji balaa, na lazima alitumwa na Magufuri

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    8 ай бұрын

    Hata mm huwa nawaza kuwa kifo cha Ruge

  • @Ambwene

    @Ambwene

    8 ай бұрын

    Bado hamjasema na mpaka museme na Mwamba karudi tena 👊 🤜 🤛

  • @user-ng6jb9gq1d
    @user-ng6jb9gq1d8 ай бұрын

    Nape waachie chama kama makonda kapewa cheo ccm ali kufezeesha sana ila kama unatafutakula bak

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    8 ай бұрын

    Hakupotezwa jamani Ila ali kuwa mgonjwa kwa miaka mingi jamani familia ilieleza

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    8 ай бұрын

    Kapewa rungu sasa itakuwaje lakini Ila msameheane tu

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi90198 ай бұрын

    Nani asiyejua. kuwa magufuli alimuona makonda kama mtoto wake kwa kuwa hata mabaya.yote ya magofuli,mtu aliyeyaratibu ni makonda.huu ni muda wao ni muda wao pia utaisha,na itabaki historia

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami52248 ай бұрын

    MAKALA NZURI SANA, USHAURI WANGU JITAHIDI KWENDA SLOW KIDOGO NA UCHA GEP YA SOUD TRACK AMA BED KUTAMALAKI KIDOGO NA KUBEBA HISIA ZETU ILI KUJENGA TENTION ZETU KAMA WASILIZAJI AMA WATAZAMAJI, Rejea kwa jicho pevu

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana28288 ай бұрын

    Huyu mtu hafai anakiburi sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32318 ай бұрын

    Ongelea Lissu aliyekimbilia Ubeljiji Tena baada ya kushindwa uraisi na kuanza kuitukana Tanzania 🇹🇿 na watu wake wote kwawazungu.Leo karudi tena Tanzania 😢

  • @saidimega9615

    @saidimega9615

    8 ай бұрын

    We jamaa umeshiba ugali na maharage unaropoka tu

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    8 ай бұрын

    Mzee hii comment yako kama itaonwa na watu 1,000,000 nadhani ni wazazi wako tu ndio watakuunga mkono

  • @jamessiame5169

    @jamessiame5169

    8 ай бұрын

    Una akili

  • @Ernestlaiza

    @Ernestlaiza

    8 ай бұрын

    Natako

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster94628 ай бұрын

    Haka kastory katamu balaa yan

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63528 ай бұрын

    Kilichoniuma kwenye hii taarifa ni Kumpoteza Luge Mtahaba nguli wa mpambanaji na muonesha njia R.I.P LUGE,

  • @mullahmasudy2622

    @mullahmasudy2622

    8 ай бұрын

    Sio Luge ni Ruge 🙄

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын

    Mbona hutukumbishi matukio mazuri na mambo makubwa mazuri aliyo yafanya makonda Kwa ajili ya taifa?tuwache I chuki tushikamane tulipeleke taifaletu mbele na kumuunga mkono raisi wetu chifu angaya jamani.watanzania tubadilike.mana haya hayatusaidii chochote.

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    8 ай бұрын

    Yes yes

  • @JamaliAmour-jp9dd

    @JamaliAmour-jp9dd

    7 ай бұрын

    hana sasa warushe nn?

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi90198 ай бұрын

    Ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Watu hatuwezi kusahau mambo mabaya sana alioyafanya makonda.hatutaacha kusema ukweli kwa kuogopa kitu,au mtu yeyote kama makonda.mama amefanya kosa kubwa sana kwa kumteua makonda.ili nchi irudi kule tulikotoka.ccm mnalinda watu waovu,ila siku inakuja kilio cha watu kitakapomfikia Mwenyezi Mungu.

  • @davidmasanja6107

    @davidmasanja6107

    8 ай бұрын

    huna ushahid wa moja kwa moja ww tulia na roho mbaya yako

  • @raymondmushi9019

    @raymondmushi9019

    8 ай бұрын

    Unataka ushahidi gani wewe ?tiririka na hizo video zilizopo humu mtandaoni zinakutosha.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana28288 ай бұрын

    Kitendo cha kutamka na kutishia atawapoteza wandishi wa habari na kuwafunga jela bila kupitia mahakamani uyu mtu hafai leo mnamrudisha hatumtaki hafai msikitini hafai kanisani wewe ni mtu gani uchukiwe na kila mtu

  • @DanielSkamba
    @DanielSkamba8 ай бұрын

    Makonda we haya

  • @michaelchonde6578
    @michaelchonde65788 ай бұрын

    0:06 m I'll l

  • @yassinitupa5819
    @yassinitupa58198 ай бұрын

    Mbona siku zote husimulii mzee acha kulalia liziki ya mwenzako mlango wazi umeona Kala shavu unaanza kuponda Makonda mpigakazi piga kazi kaka usiwasikilize hata kidogo

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    8 ай бұрын

    Hao ndo wanga wenyewe hawajui riziki ya mtu anayo Mungu

  • @lusakaone7782

    @lusakaone7782

    8 ай бұрын

    Pumbavu

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo77028 ай бұрын

    Muhuni tu makonda, na atalipia tu eti anajifanya ameokoka😅😅😅😅😅

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai4828 ай бұрын

    Mataahira tu ndo wamesahau jinai za BASHITE, PUMBAVU!!

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    8 ай бұрын

    Kweli kbs tena wachumia matumbo yao lkn huyu mtu sio mtu mzuri kbs

  • @ndawiyesimwinga8197

    @ndawiyesimwinga8197

    8 ай бұрын

    @@rogersiddy waandishi wa habar ni waongo balaa wanataka waabudiwe km wao maraika mnawasema watu na kuharibu kazi za watu na na za watu mkisemwa kidogo tu mnamtengene,zea mtu issue mungu amejibu maombi ya makonda licha ya kudhalilishwa km kule Moshi kwenye msiba wa marehemu askofu mzima kaingia na kusema makonda aombe radhi kwa wachanga baadala ya kumuombea

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z8 ай бұрын

    Achen mambo ya uchonganishi makonda sas ni kiongoz na nape nikiongoz na ngwajima ni kiongoz wa kidin

  • @uwezomayonko5101

    @uwezomayonko5101

    8 ай бұрын

    Bashite ni kiongoz wa shangaz yako

  • @destroyerban7364
    @destroyerban73648 ай бұрын

    Mi ni Mburundi ila siasa ya Tz nilikuw naiftaliya sana hasa kuhusu iy ishu ya Bashite naMagu kiufupi tu hata Bashite Angesulubiwa tu hana maana amewatesan san watanzania kipind hicho....

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    8 ай бұрын

    Baki na urundi wako uko kwenu ya tz hayakuhusu...mkachinjane huko huko na ukome!!!

  • @MichaelHaule-ex9ns

    @MichaelHaule-ex9ns

    8 ай бұрын

    Alimtesa na mama yako

  • @Ambwene

    @Ambwene

    8 ай бұрын

    Pumbavu zako fatilia siasa za kwenu BURUNDI 🇧🇮, hii TANZANIA 🇹🇿 ni ya watanzania hatuwapendi hata kidogo mbwa nyinyi........

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    8 ай бұрын

    Wee mlundi Jali ya kwenye watusi na wahima Tena komaa watanzania nyingi ni chawa kumbuka mnavyotengana wautu na wanyarwanda Sisi ni makabira mengi pamoja na tofauti zetu lakini hatubagiani km nyinyi koma Tz ni baba lao

  • @Ambwene

    @Ambwene

    8 ай бұрын

    Kuma la mamaako mkundu wewe tanzania haikuhusu hata kidogo kwanza hatuwapendi waburundi kaeni kwenu huko musije tanzania 🇹🇿