MADAI YA 'UVAMIZI' WA CLOUDS TV 2017; VITA YA MAKONDA NA GWAJIMA ILIYOMG'OA NAPE NNAUYE
#CharlesWilliam #Zungu #Day2NewsTV
Ikiwa leo ni siku ya Alhamis, sisi Day 2 News tunakuletea kumbukumbu ya matukio makubwa yaliyowahi kujiri na kutikisa katika miaka ya nyuma. Karibu tukusimulie.
Пікірлер: 148
Shida ya wanadamu.Ukifanya mema hawakumbuki kabisa.Nawakati Mungu atakuinua wao wataanza kukumbushia mambo ambayo ulikosea kipindi cha huko nyuma.Lengo ni kuharibu kile Mungu amefanya kwa maisha ya mtu.Au kuinuliwa kwako ionekane Mungu amekosea.Muacheni Makonda.Duniani kila mwanadamu anapande mbili.Upande wa kupatia na upande wakukosea.Makonda nikiongozi bora naamini anakamilishwa na Mungu kupitia sehemu alizokosea.Maana makosa ndiyo Baba na Mama anaemkamilisha kila mwanadamu.Mtu hujifunza kutokana na makosa.
@kisangageorgethomasi2830
8 ай бұрын
Ata shetani uinua watu kwa muda fulani shida ipo kwenye kutafsiri kazi ipi ni ya Mungu na ipi ya shetani
@blandinamwarabu5025
8 ай бұрын
Kweli kabisa
Jembe makonda is back 🔙🙌
Hii taarifa inatia kichefuchefu, hivi ccm inatuonaje watz? Jambazi huyu anapewa kueneza itikadi ya chama!, ni aibu kubwa chama chao,
sidhan kama hat mh wazir anayakumbuka vzur yaliyomtokea
Makonda hana tofauti na jangili, hafai kupewa hata ujumbe wa nyumba kumi
@geraldrobert1801
8 ай бұрын
Trueth
@rogersiddy
8 ай бұрын
Sio nyumba kumi tu hata kiongozi wa Jumuiya hafai kbs
Kweli Makonda ni dume yani hajali kitu wala mtu
Clouds wenyewe wanampenda Makonda😂😂😂😂
Zungu nimeelewaaa Leo
@d2n tunaomba mtuletee historia ya professor palamakamba kabudi
Kazi nzuri
Watu wana vinyongo
👊✌👍.
Fala wewe. Hatutakiwi kumsema vibaya marehemu lakini jamaa ni fala.
Licha ya yooote hayo ila namkubali makonda sana ...... Mbona clouds waliimfanyia umafia sana diamond...... Ukimfanyia baya binadam malipo yake apa apa dunian.... Hivooo tutulie
@RamadhaniLukambuzi
8 ай бұрын
Umafia upi alifanyiwa Diamond?
@RamadhaniLukambuzi
8 ай бұрын
Umafia upi alifanyiwa Diamond?
Ccm Haina jipya ni walewale Kila siku mumludishe sabaya😂
Hatari sana
Jpm nambari one
@rebeccaagunda1417
8 ай бұрын
Makonda anafaa sana kuwa kiongozi ,ni mchapa kazi mzuri sio mwoga
Hi ndo selikali ya kijambaz tunaongozwa na majambaz mungu tuokoe shugulik nao ulimshughulikia mhalifu mku utashindweje kuwashugulikia Hawa wanao tutisha Kwa sasa bwan tulinde
@nassercurtis9579
8 ай бұрын
Acha kumdhihaki Mungu kwa maneo ya makasiriko na yakinafiki, tumia akili ya kuzaliwa ukiona raisi wa Afrika anapigiwa kelele na mataifa ya nje ya afrika ujue kiongozi huyo ni bora na ukiona wanakaa kimya ujue kiongozi huyo ni mbulula.
Hii ni istoria ya maovu yamakonda
Alikuwa na kiburi sana makonda
Hii ingetakiwa Makonda kufungwa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Madaraka ni ulevi mbaya sana haswa usipomuomba mwenyezimungu akujaalie hekima na busara maana cheo ni dhamana tu hakuna aijuaye sekunde ijayo
Imenikumbusha kifo cha ndugu yetu Ruge
Jamaniii
Tanzania hii natamani irudi tena😃😃😃
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika serikali hakuna,amebaki Mungu peke yake ndoanaye tuangalia waTanzania,sijui hata kwanini watu wanajipenda wenyewe tu
Akuna mazur ya kuyakumbusha zaidi ya hata au chuki binafsi
Jamani sasa haya yalipita yalipita sikunyingi sana sidhani kama yana mashiko Kwa sasa
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Badala wajadili changamoto ya umeme nchini wanazuga na kuleta uchochezi
Nawapongeza kwa wazo zuri la maudhui. Lakini mjitahidi kuongeza "uchunguzi" mengi yaliyozungumzwa hapa ni mambo ambayo tunaweza kuyapata online. Ni sawa na simulizi tu ya tukio zima. Ni vichache sana ambavyo hatukuwa tunavijua.
@frankfrank1361
8 ай бұрын
Hivyo vichache vinakutosha , vingine jiongeze boss
@day2newsTV
8 ай бұрын
Ahsante sana. Kwenye segment yetu ya #TBT Lengo letu pia ni kutunza kumbukumbu sahihi za matukio. Si rahisi watanzania wengi kupitia ripoti tofauti tofauti na kuchambua mkasa uliodumu kwa zaidi ya miezi 6, na mtu akitaka kuujua mkasa kamili atumie nusu saa tu kufahamu kupitia #Day2News
@AgnessKabamanywa-sd2dw
8 ай бұрын
Makonda alitakiwa kuwa jela na siyokuwa kongozo hakika nchi hii inatisha
Hapo ndipo mutafakali kwamba jambo lamungu nilamungutu huwezi kubishana namutu wamungu enyi wana wamungu kaeni pamoja
Wenye moyo hatusahau kirahisi
Makonda nikiongozi mzuri na nafasi aliyopewa inamfaa sana , navitu vingine kunachuki binafis
Hii Tanzanian
Makonda ni kiongozi mzuri kwa sasa na siku zijazp!
@JackKanyigo
8 ай бұрын
Ujielewi
Kunashida kubwa hapa tafakali
Mnakua kimy san mpk tunawamic
Magu alikuwa kiboko
@gazzomaster9462
8 ай бұрын
Ahahahaa 😂
Mmmmmmmh darkness is real😢
Tafuta jingine
Huna unachokijua. Labda ngoja tukuletee wanaopeleka madawa clouds alafu utuambie makonda alivamia au ni clouds wauza ngada
@saidimega9615
8 ай бұрын
Wee jamaa unaongeaa ongeaa tu kwasababu ulipi maneno au ndio umeshiba ugali na maharage ukiambiwa leta ushahidi utaonesha ww
Tunahitaji muendelezo
Reporter number naomba
Acheni roho mbaya
@shabanitingisha2501
2 ай бұрын
Kumbe jamaa wana roho mbaya
Hapa tupepigwa kwa huyu bwana
Nonsense 😢
Mmeona makonda karud kazin unaleta umbeya Aliopewa kapewa kila mtu acheze anako chezaga kazi kugufua makaburi 2.uchonganishi uwo
Bado hamjasema mtabanwa mpaka mseme meeeeeeeeh
Makonda alikuwa na utoto
We ulishawahi kuona askali kubeba bunduki ni shida?
Mbona mnahangaika sana....😂
😂😂😂😂😂😂😂hamorapa
P
Duu
Utakamwatwa😂😂
@JackKanyigo
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kastomahenge7343
8 ай бұрын
@@JackKanyigo 🤣
USISEME WATU HAO, SEMA ASIKARI. ACHENI.UCHONGANISHI NA UMBEYA.
Duu Asante Sana nilikuwa namsikia tu Gwajima akifoka kanisani kumbe mkasa mzito Hivi
Hahaha bongo vituko kila siku
Amekuibia nini? Kwani huwo uwizi unaushahidi au porojo
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Wezi hawaoni kamuona makonda 😂😂
Ache umbea ninyi. Acha watu wafanyekazi
Yaani media za bongo punguzeni kutoa chumvi habari zenu... Yani hapo mmesema kipindi kilikiwa live na kilikuwa kiishe saa tano lkn kikaisha saa nne na nusu, halafu mnakuja kutudanganya Makonda alikuja usiku wa saa nane na silaha😁😁😁, Sasa tuwaeleweje?
@littlesakhoiv1893
8 ай бұрын
kuna umuhimu wa kusikiliza.....mtangazaji kamnukuu mlinzi ambae ndio kasema walivamiwa saa 8 usiku. Ukiangalia video tuu unaona makonda aliingia saa 4 na madakika kwaiyo msimuliaji yupo makini
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
😂😂😂😂mtoa habari Mungu anakuona kwa kuaminisha watu uongo
Inasikitisha, halafu mtu huyu anateuliwa tena?
Kwa uchafu aliyoo ufanya makonda akiwa mkuu WA mkowa isingee faa CCM kumpa uwongozi tena inamana CCM amna watu wengine ndani ya CCM kuongoza CCM zaidi yamakonda hii ni hatari Sana naona CCM aijipendi wananchi wamepigwa na butwaa jambazi mtekaji muwaji kumpa uwongozi mwee CCM sikio lakufa
@mkibandulo1231
8 ай бұрын
Hakuna anaweza kuzibacrizk ya mtu ww unae faa ikowap?
@adammbaruku2499
8 ай бұрын
Ni unafiki tu,
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Ndo wale wale wavuta na wauza dona ndo hawamtaki rizki ya mtu anayo Allah tuache majungu
@adammbaruku2499
8 ай бұрын
Kama mazuri kikwenu ni Uchafu basi mtuachie sisi tuendelee kupata machafu yake.
Nchi ili[itia kuongozwa na wajinga waliosoma ndio shida yake
Kwani huyo mwanamke aliezaa na Gwajiboy anasemaje?
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
ITACHUKUA MUDA LKN ATARUDI KAZINI,,HUWEZI KUCHUKIWA NA WOTE
@aloycesamba998
8 ай бұрын
Mbona amesharudishiwa
@Ambwene
8 ай бұрын
Makonda kawa boss mkubwa wa CCM sasa hivi
@yohanamagehematictok
8 ай бұрын
Sema wanao mchukia ni wale wabaya tu
Sasa naanza kupata picha kuwa; huenda kifo cha mengi na ruge huenda kuna mkono wa makonda, maana hili jitu limakonda lilikuwa uaji balaa, na lazima alitumwa na Magufuri
@rehemakanyere4188
8 ай бұрын
Hata mm huwa nawaza kuwa kifo cha Ruge
@Ambwene
8 ай бұрын
Bado hamjasema na mpaka museme na Mwamba karudi tena 👊 🤜 🤛
Nape waachie chama kama makonda kapewa cheo ccm ali kufezeesha sana ila kama unatafutakula bak
@blandinamwarabu5025
8 ай бұрын
Hakupotezwa jamani Ila ali kuwa mgonjwa kwa miaka mingi jamani familia ilieleza
@blandinamwarabu5025
8 ай бұрын
Kapewa rungu sasa itakuwaje lakini Ila msameheane tu
Nani asiyejua. kuwa magufuli alimuona makonda kama mtoto wake kwa kuwa hata mabaya.yote ya magofuli,mtu aliyeyaratibu ni makonda.huu ni muda wao ni muda wao pia utaisha,na itabaki historia
MAKALA NZURI SANA, USHAURI WANGU JITAHIDI KWENDA SLOW KIDOGO NA UCHA GEP YA SOUD TRACK AMA BED KUTAMALAKI KIDOGO NA KUBEBA HISIA ZETU ILI KUJENGA TENTION ZETU KAMA WASILIZAJI AMA WATAZAMAJI, Rejea kwa jicho pevu
Huyu mtu hafai anakiburi sana
Ongelea Lissu aliyekimbilia Ubeljiji Tena baada ya kushindwa uraisi na kuanza kuitukana Tanzania 🇹🇿 na watu wake wote kwawazungu.Leo karudi tena Tanzania 😢
@saidimega9615
8 ай бұрын
We jamaa umeshiba ugali na maharage unaropoka tu
@gibsonjosephat6352
8 ай бұрын
Mzee hii comment yako kama itaonwa na watu 1,000,000 nadhani ni wazazi wako tu ndio watakuunga mkono
@jamessiame5169
8 ай бұрын
Una akili
@Ernestlaiza
8 ай бұрын
Natako
Haka kastory katamu balaa yan
Kilichoniuma kwenye hii taarifa ni Kumpoteza Luge Mtahaba nguli wa mpambanaji na muonesha njia R.I.P LUGE,
@mullahmasudy2622
8 ай бұрын
Sio Luge ni Ruge 🙄
Mbona hutukumbishi matukio mazuri na mambo makubwa mazuri aliyo yafanya makonda Kwa ajili ya taifa?tuwache I chuki tushikamane tulipeleke taifaletu mbele na kumuunga mkono raisi wetu chifu angaya jamani.watanzania tubadilike.mana haya hayatusaidii chochote.
@blandinamwarabu5025
8 ай бұрын
Yes yes
@JamaliAmour-jp9dd
7 ай бұрын
hana sasa warushe nn?
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Watu hatuwezi kusahau mambo mabaya sana alioyafanya makonda.hatutaacha kusema ukweli kwa kuogopa kitu,au mtu yeyote kama makonda.mama amefanya kosa kubwa sana kwa kumteua makonda.ili nchi irudi kule tulikotoka.ccm mnalinda watu waovu,ila siku inakuja kilio cha watu kitakapomfikia Mwenyezi Mungu.
@davidmasanja6107
8 ай бұрын
huna ushahid wa moja kwa moja ww tulia na roho mbaya yako
@raymondmushi9019
8 ай бұрын
Unataka ushahidi gani wewe ?tiririka na hizo video zilizopo humu mtandaoni zinakutosha.
Kitendo cha kutamka na kutishia atawapoteza wandishi wa habari na kuwafunga jela bila kupitia mahakamani uyu mtu hafai leo mnamrudisha hatumtaki hafai msikitini hafai kanisani wewe ni mtu gani uchukiwe na kila mtu
Makonda we haya
0:06 m I'll l
Mbona siku zote husimulii mzee acha kulalia liziki ya mwenzako mlango wazi umeona Kala shavu unaanza kuponda Makonda mpigakazi piga kazi kaka usiwasikilize hata kidogo
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Hao ndo wanga wenyewe hawajui riziki ya mtu anayo Mungu
@lusakaone7782
8 ай бұрын
Pumbavu
Muhuni tu makonda, na atalipia tu eti anajifanya ameokoka😅😅😅😅😅
Mataahira tu ndo wamesahau jinai za BASHITE, PUMBAVU!!
@rogersiddy
8 ай бұрын
Kweli kbs tena wachumia matumbo yao lkn huyu mtu sio mtu mzuri kbs
@ndawiyesimwinga8197
8 ай бұрын
@@rogersiddy waandishi wa habar ni waongo balaa wanataka waabudiwe km wao maraika mnawasema watu na kuharibu kazi za watu na na za watu mkisemwa kidogo tu mnamtengene,zea mtu issue mungu amejibu maombi ya makonda licha ya kudhalilishwa km kule Moshi kwenye msiba wa marehemu askofu mzima kaingia na kusema makonda aombe radhi kwa wachanga baadala ya kumuombea
Achen mambo ya uchonganishi makonda sas ni kiongoz na nape nikiongoz na ngwajima ni kiongoz wa kidin
@uwezomayonko5101
8 ай бұрын
Bashite ni kiongoz wa shangaz yako
Mi ni Mburundi ila siasa ya Tz nilikuw naiftaliya sana hasa kuhusu iy ishu ya Bashite naMagu kiufupi tu hata Bashite Angesulubiwa tu hana maana amewatesan san watanzania kipind hicho....
@mamboshepea8888
8 ай бұрын
Baki na urundi wako uko kwenu ya tz hayakuhusu...mkachinjane huko huko na ukome!!!
@MichaelHaule-ex9ns
8 ай бұрын
Alimtesa na mama yako
@Ambwene
8 ай бұрын
Pumbavu zako fatilia siasa za kwenu BURUNDI 🇧🇮, hii TANZANIA 🇹🇿 ni ya watanzania hatuwapendi hata kidogo mbwa nyinyi........
@queenpiscator6117
8 ай бұрын
Wee mlundi Jali ya kwenye watusi na wahima Tena komaa watanzania nyingi ni chawa kumbuka mnavyotengana wautu na wanyarwanda Sisi ni makabira mengi pamoja na tofauti zetu lakini hatubagiani km nyinyi koma Tz ni baba lao
@Ambwene
8 ай бұрын
Kuma la mamaako mkundu wewe tanzania haikuhusu hata kidogo kwanza hatuwapendi waburundi kaeni kwenu huko musije tanzania 🇹🇿