Maarifa ft Ngwea + Quick Rocka - Old Is Gold Freestyle - Episode 13
Музыка
#Maarifa #OldIsGold #FreeStyle
Maarifa ft Ngwea + Quick Rocka - Old Is GoldFreestyle - Episode 13
i did this video for the appreciation of the late Albert Mangwea ‘ Quick Rocka and whoever involved in the making of this masterpiece
Пікірлер: 64
Ebwanae sija wahi kujutuia kua shabiki wa maarifa nakukubali sana mtoto wa baba
Kifo kimekufa 🧤
TheBigThinker.... Kibahaa ni kubwa kuliko pwani 🔥
Mbuzi awe ngwea atali sana umetisha
Oya we jamaaa wa Kibaha unajua hadi unaboa sema nini, kitu napenda kwako unabadirika sana na MISTARI we ni mnoma mzeee KIBAHA FINANCE
...Anaheleza na sio Bifu, Maarifa Anan'gata na kupuliza🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Unajua sana
Da me ndo like ya 500 unyama
Old ft new track😂😂😂😂😂😂
Tangu Frank anaitwa Datto mpaka Gari linauzwa 🥵🫡 U kill it
Nice song
Hard work pays mzee kaza kazana man mtoto wa baba
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu.. 🙌🙌❤❤🔥🔥
🙌🙌🙌hii ya moto sana baada ya nipepee
MH BONGO KUNA MA RAPPER ALAFU KUNA MAARIFA MTOTO WA BABA KIBAHA FINEST ✌️✌️✌️✌️ MTU ANACHANA MPAKA UNATAMANI AWE NDUGU YAKO WA DAMU 😂
here for ngwea
Salute kwako kaka 🔥🔥 we ni balaa na zaid 🔥🔥🔥
Maarifa ft khaligraph jone❤❤itapendeza sana
Umetisha sana kibaha big up
Unachokifanya ni cha kwako kabisa🙌🏽
Rapper wangu bora tangu anaanza👑
Kasuku awe mwewe kweli 🤔🙌
Safi sana ladha ninazozipenda izi
Inatoka lini Mzee umeuwa
🔥 🔥 ili jamaaaaaa htr
Huku sherehe, kawaambie kifo kimekufa.
Maarifa 🔥🔥🔥
🎉upewe maua Yako unajua
Maarifa fanya ya Z-Antony Mpenzi Jini
Umekuwa🔥🔥🔥
Endelea kuwasha moto broo maana lunya anazingua
Powerful
🔥🔥🔥
Big thinker
Kaliiii
🔥🔥🔥🔥
Good music mtoto wa wababa
Uyu jamaa anajua xana
Kibaha finest
❤❤
The big thinker
🔥💯💯💯🔥🔥🔥
Maaarifa
Good
Uandishi mkubwa snaa huu
Safi sana kaka unaturudisha mbali sana 🎉🎉🎉
sana kak
Mnaharibu sana ngoma za ngwair nyie watoto wadogo'
@SolomonKatanga
Ай бұрын
hahaahah Iko mkao sana wanaifanyia modification😄😄😅😂😂 nakuifufia watu waione tena
Rapcha ajatoa ngoma baada lissa😂
atar
mwanangu adi chozii haha
Naomba nikutukane..we mse** unajua mpka unaboa😅
Ni maarifa from kibaha
Na Sio diss labda mkitaka Baada ya hii😂😂
Huyu mtu mwingine kabsa
Mbuzi awe NGEA yaani ka KASUKU awe mwewe
@user-dx8bk9oj4g
Ай бұрын
Kasuku awe mwewe sio sugu
Malifa mtoto wa baba
Raptcha hajatoa ngoma baada ya Lissa
🔥🔥🔥🔥🔥🫶🏾
🎉upewe maua Yako unajua