MAAMUZI YAKO NDIO MAFANIKIO YAKO
Utofauti mkubwa kati ya watu waliofanikiwa na watu wasiofanikiwa upo katika maamuzi wanayoyafanya. Watu walliofanikiwa wamekuwa na tabia ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kwa ujasiri. Jifunze maamuzi matano katika somo hili linaloletwa kwako na Victor Mwambene.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / victor_mwambene
For Business please send an email to
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#VictorMwambene #MaamuziSahihi
Пікірлер: 97
Ezden Huyu kijana mzuri sana na anajua kuongea uwe unamueka mara kwa mara
Upo vizuri kijana
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi, Basi msipo wasamehe watu makosa yao wala Baba yenu hata wasamehe ninyi makosa yenu Mathew 6;14-15
OK mwanzo nilifikiri sitokuelewa kumbe upo vizuri hivo
Haki ya Mungu huyu Jamaa shida ..anajua aisee ... Hii ndiyo tanzanite au ruby au shaba ..haha
Absolute brother
Good speech
Safi sana broo nimekuelewa👏👏😍
vizur Sana'a. Nimejifunza vitu
Upo vizr sana bro Ila ushauri wangu punguza kasi ktk kuzungumza.
Absolutely true talk..may God help us all .
@amriomarymtabazi5419
3 жыл бұрын
Nimeipenda dirayako
Asante kaka. Kwa darasa sahihi
Barikiwa sana victor
Nimeipenda
Asante sana
nimekupata kaka. big up sana kwako.
True talk I like your speech na nimejifunza kityu thncx bro 🙋
Thank you so much my Brother for the Lesson nimejifunza jambo
Asante sana brother Victor uko vizur
Ezden nakuelewa sana watu makini hufanya Nazi na watu makini
Safi kabisa tumekuelewa
Thanks brother 🙏🏽
Respect brother
Ubarikiwe Zaid kaka
Thanks brother mungu akulinde
@successpathnetwork
Жыл бұрын
Amiin..
Hii content ni balaa
Endelea kutupatia madini kaka, kimsingi unaweza.
Thanks ❤❤❤
Kaka uko sawa kabisa Mungu akupe maisha malefu sana
Kweli kabisa kaka Mungu akupe maisha malefu sana
Shukran bro
very great bro
@merykyungai2551
9 ай бұрын
Amen nimeguswa
Madini tupu....safi sana
Nimekukubali sana bro
Thank you broo
Asante sana kaka yangu
Thank you brother
Sawasawa hi nzur
Narudia Tena apo hongera bro kwa msisitzo huo
Broo Mimi ni mgumu Sana kutoa sifa, ila kwa hii point imenigusa Sana, yaani umepita mule mule
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Asante sana Abel Sangura kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
@mmbatizaji8075
4 жыл бұрын
Tuko pamoja Kaka, kwa umoja tunasonga mbele kuikomboa Jamii
Nimeelewa somo mwalimu Ila ujatoa puiz
@qambayt
4 жыл бұрын
Fact
Unajua ila upo speed sana bro umezi mate!!!
Asante sana kwa elimu hyo
@evarestosimon3211
4 жыл бұрын
Good
Well . talking true
Asante broo
AMINA
Uko vizur xaana kaka!!
Thanks bro
2kings 7:3-4
Habari,Naitwa Omer nilkua nashauri kuwa ni vyema mukaunda account ya tiktok kwasabab wapo watu weng Sana ambao huwa wanaipenda media hiyo
Sound track iko juu kaka
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Shukrani kwa feedback yako. TUnalifanyia kazi hili
Asante kaka
Nakusoma Kaka
Ndaga fijo nnuguna!
Hii ni Kweli kabsa....
Thanks
Thanks for
Nice bro
Nimejifunza kitu
safi sana kaka
Brooo hogela san kwakutoa som zur so kam mtu atawez kulitumia som lako hili atapat mafanukio
Safi
@serapiadaniel8480
3 жыл бұрын
Nzuri
@serapiadaniel8480
3 жыл бұрын
Good
@kelvinmalewo120
3 жыл бұрын
Yes bro victor big up. long time bro but I remembered one things from you about your dream since you are my class director.2018 to 2020.thanks brother God bless you for more reason to your citizen
Ezdini mpeshavu kijana huyo
Jikubali
Kaka Ezden hii Background sound iliyo tumika hapa inaitwa je ??
Fact
🙏
👍👍👍👍👍
Reduce background music.
Akili nyingi umetumia
Asante
@ramadhaniathumani1601
4 жыл бұрын
Exactly
Asant
Ndaga baba
Ndaga fijo gwa kukaja.kyala akutule
@augustinomwamasinga2200
4 жыл бұрын
Eena kalumbu!!!
@janethpallangyo2633
4 жыл бұрын
😊😊
@thomasmwamkinga4018
2 жыл бұрын
Wanyaki tuko juu
@thomasmwamkinga4018
2 жыл бұрын
Wanyaki tuko juu
Kijana huyu kaifungua asubuhi yangu vizuri
@successpathnetwork
4 ай бұрын
naam yuko vizuri
Shkrn ndg
Ndagha baba
@joasssbaraka1072
4 жыл бұрын
Saf sana brother
@selemanmziray5284
3 жыл бұрын
Safi broo uko vizuri MUngu akubariki
Fact