LUKAMBA AFUNGUKA YOTE/ PENZI LAKE NA PENDEZA/ UCHAWI NA USHIRIKINA/ KULELEWA NA WANAWAKE/ MTOTO WAKE
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 32
Laana ya Shuu itakutafuna hapa duniani mpaka Akhera ugopa sana kumtesa mwanamke aliyekuzalia na kukuvumilia miaka yote mliyoishi kisha uje kumtenda matendo mabaya aisee tukuonee huruma sana
Huyu lumumba nikama ako na kibamia😂😂😂😂😂😂😂 wallah haridhishi wanawake kabsaaa vile namuona😂😂
@aliaden5512
2 ай бұрын
wacha matusi
Duuh,,,Mungu akusaidiee,
Unakoendea umaliooo utakuisha tu Nani anataka kukulea jitu zima .tafuta hela nduguyangu utakuja ingia sehemu tofauti
Jaman. Lukamba 😂😂😂
Pendeza kumbe akukosea
Chokooo
Utaosha sana vyombo kwa mwendo huo😂😂😂
Choko uyu
Ila mwamba mwanzon mwa hii interview nilikua namuona sio ila hapa mbelen amaejielezea fresh ...ukisikiliza interview za pendeza utaona tu vitu vingine ni uongo coz anachonga sana na kumchafua lukamba ila ukiangalia lukamba hapa hajatoa maneno mengi ya kashfa so namuona pendeza Ako na shida
😂😂😂 Mpumbavu huyu kabisaaaa. Kumbe unafanya biashara wakati wewe ni mwanaume badala utafute hela nataka kulelewa. Tafuta hela utakufa kijinga.
Kumbe unatabia chafu ivi .maliooo oyee
😂😂😂😂lukambaaaaaaa
😂😂 Fala ww
unaroga wanawake 😂 kunamwanamke wakukuhudumia kilakitu
Huyu fala kweli yaan
Huyu mwisho wake utakuwa mbaya sana anapenda kulelewa ataolewa na wanaume wenzie 😂😂😂😂 unajisifu wewe mzur utaolewa na mabaharia
MJINGA ANA AKILI HUYO KWANI ANA NINI
@kudrasslaybeautybar8779
4 ай бұрын
Hana ziro
Lukamba embu tafsiri hapo wakiinama ulikuwa unaona nini? Au hawana marinda
Tafuta hela mbwa wee
Kumbe Munira (pendexa) alisema kweli huyu ni house boy?? Kweli pendexa alikuhenyesha kukufanyisha kaxi.Umedeki mpaka vjambo nje2.
Ulienda kwa msaada wa mond nenda sasaiv
Mpumbavu Sana subiri fainali uzeeni.
Ndiyo maana alifukuzwa wasafi kube ana akili😅
Ukiwa mario we sio rijali
Yani nikikumbuka intervew ya yule dada namuona hovyoooo lukamb
Tafuta hela bwege wewe😂😂😂
Shuu msamehe huyu baba,uchizi uleeee unakuja