LIVE:MAZINGIRA SAHIHI YA KUMTAFUTA MUNGU //
Isaya 55:6-7
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu; Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 131
MUNGU nisaidie nikutafute kwa bidii siku zote unitie nguvu Baba, 😭😭😭😭🖐️🖐️🖐️
Amen 🙏🙏
Asante Yesu kwakuni tengenezeya hushuuda 🙏🙏🙏
Amen,mungu nakushukuru kwa uzima ambao umenipa,barikiwa sana mtumishi kwa ujumbe huu wa ukweli
Amen Amen Amen 🙏
Amen neno la Leo limenigusa sana mungu bila wew hatuwezi neno lako likathibithike mbele zetu tukazijue njia zako utukumbushe wema wako mtumishi mungu akubariki sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Asante Mungu kwa kunipa kibali cha kuwepo madhabahu pako 🙏🙏🙏
Glory to God 🙏🙏
Amina
Bwana wetu yesu Kristo aendeleye kukutiya nguvu Mtumishi wa Mungu.
Mtumishi wa Mungu hakika Mungu na akubariki kwa jumbe hizi ulizoambiwa na roho mtakatifu uwajulishe watu wa Mungu. Mungu akukumbuke siku zote za maisha yako.
Mungu yu mwema .jina naitwa simon frm south africa
AMEN AMEN
Gusa imani yangu Babaa mwemaaa
Niko hapa yesu naomba uniguse
Amen mtumishi jina la BWANA libarikiwe ubarikiwe sana kwa neno zuri
Amen Baba Mungu wetu tunakuhitaji ututendee na kutufariji kwa rehema zako.
MUNGU nisaidie nilijue na kulishika neno lako siku zote za maisha yangu
Nko Saudi Arabia nakupata vizuri lakini sadaka haifiki lakini Nina Imani nikirudi kenya nitakufikia
Ameeeeen amen
Amen 🙏
Mungu ni mwema amen amen
Shalom 🙏🙏🙏🙏
Mungu nisaidie unishike mkono nivushe katika mazingila niliomo niweke sehemu sahihi yamaisha mapya nilioyanza katika jina lako takatifu.
Yesu tulinde siku hii ya Leo nikumbuke yesu mahitaji yangu unyajua nitakaze roho mtakatifu
Ee baba wa mbinguni, niongezee Iman yahwee! Niinue Mungu wa miungu nakuomba Mungu mwenyezi ninyanyue ktk misukosiko yote yesu nipee moyo wa kulishika neno lako na kukujua Zaid aminaa🙏🙏
AMEN and amen asante Mungu kwa nehema huu kubwa
Nashukuru mungu nauona vipawa VYA mungu shetan alivyo viiba vinarudi jmn asante KWA mfungo wa BARAKA zake KRISTO YESU
Amen
Haleluyah hakika mm ni mumoja wao umenisaida sana nilikuwa nimekufa kiroho.... lakini toka jana nimesikiliza haya mafundiyo nimeingia nguvu za kuomba... sitaruhusu shetana aingie katika maisha yangu 🙏🙏🙏
Amen🙏,
Amen Ameeeen
Usianiaje nipotee mungu,,nikianguka lord uniinue tena😭😭😭thank you lord
Eee Mungu naomba unisaidie niweze kukukaribia kipindi hiki ambacho nina nguvu🧘 😭😭😭🙌🙌
Niongoze mungu wangu...nimalize mwendo wangu salama pekeyangu siwezi 😢😢😢😢
Help me oh God, nizidi kukutafuta Kwa bidii! Amen and Amen 🙏
Amina mtu wa Mungu,nabarikiwa sana kwa kweli tangia nianze kusikiliza mafundisho yako nimeinuliwa kiroho,shalom
Ameni hahika ni kweli mutumishi wa mungu toka jana nabarikiwa sana na mahubiri yako... nilikuwa nachukulia vitu vya kawaida lakini natabua maneno yako ni kweli.... haki mungu ni mwema wacha nimutafute mungu kwa bidi ningali bado na afya yangu..,.ubarikiwe mutumishi wa bwana 🙏🙏🙏🙏
Ameni
wee mungu wangu nakutegemea wewe unisimamie uniongoze bila wewe kwa akili yangu siwezi🙏🙏
Amen🙏🙏
Amina Mtumishi wa Mungu azidi kukubalik maana neno la Mungu kupitia kwako nimefaidika sn Amina
Mungu Naomba neema ya kukutafuta Kwa bidii
Ameeen asante sana mtumishi kwa ujumbe huu Mungu atuyuyenguvu pale hatuwexi atuwezeshee ameen 🙏 ❤️
Mungu naomba unipe moyo wa kutii ....na kukujua wewe...❤❤
Amen mtumishi naomba niwe miongon mwatakao toa shuhuda🙏
Ameen
Glory to God
Ameen Mungu nisaidie kukutafuta kwa roho na kweli
Bwana yesu asifiwe
Amen ameeeen 🙏🙏
Ameen shukran Sana 🙏
Ameeen
Hata sasa wewe ni Ebenezer! Nakushukuru Mungu wangu kwa kujibu maombi yangu, Amen.
Amen asante yesu kwa wema wako
Amen ubarikiwe Sana kwa neno roho mtakatifu nazidi kukutumia ili kupitia wewe uzidi kumjua Mungu zaidi na kumpenda naipenda Sana hii madhabahu imenifanya nikamrudia Mungu wangu kwa kishindo barikiwa
Mungu nisaidiwe niweze kuwa na bidii katika kutafuta ww
Amen thank God for another chance
Asante Mungu wangu.
Nimejiona Bure nitajirekebisha mungu akubariki nimetoamachozi❤
Baba yangu Mimi moja wa watoto wako nakuomba Baba,usiniache pekee yangu,
AMEEEEN
Asante mutumishi,namimi Mungu namushukulu amenitendeya maajabu
Asante Mungu 🙏🙏🙏
Amen,Mungu ndie muweza wayote
Amen amen amen mtumishi.
Amen Amen usinipite utakapongusa wagine naminiwemo
God bless you so much paster mashauri
Mungu wangu anisamehe nilikuwatu nabidii yakusali isiku malanyingi kwa sanabu sielewane n'a ndugu zangu paka Sasa ninamshukuru munngu umojatu ndo kashidikana
Yaani narudia maubiri kilasaa mpaka nimeshtuka yaani sjui ❤
Amen mungu naomba unitie nguvu zakukutafuta zaidi
Mungu ni wezeshe bidii
Amen mtumishi
Amina mungu ni mwema ❤🙏🙏🙏
Mchungaji Barikiwa sana. Duniani Kuna dhiki.. God help me
Mungu akubariki mm Niko hapa mungu asaidie niinuke Tena maana ujumbe wangu Asante baba,
Chalom!!! Mungu ni mwema sana
Amen mtumishi barikiwa sana
Amen Mungu nirehemu unikumbuke na mm
Amen Mungu fanya kitu kipya ndani yangu
Shalom shalom mtumishi nimeota na mhombea mama yangu mama naye anashangilia kuwa amepona chakusikitisha ni kwamba alisha faliki mda mrefu sana
Amen Amen 🙏 🙌 👏 kwakweli
Ameen barikiwa sana mutumishi wa Mungu asante 🙏🙏🙏
Shalom mtumishi kiukweli naminabarikiwa sana na mafundisho yako mie nipo Dodoma.ilanamba sana uniombee kwenye huduma pamoja na uchumi na Roho za madeni naniko nasiku ya kumi nafarijika sana.barikiwa sana.
Ujumbe wenye nguvu Asante sana Mubarikiwe sana ❤❤
Mungu hatusaidie sana 🙏😔😔🙏🙏
Mungu tuhurumie baba🙏
Ameee
Amina amina sana mungu akubariki sana mchngaji.
Yesu tusaidie
Lord forgive me 😢😢😢😢😢 show me the direction of your wright hand 🖐 so I can stand by you 😢
Asifiwe Mungu
Mungu nisaidie nivuke ili jaribu kwa mkono wako😊
Amen,, MUNGU akubariki Pastor
Amen mungu hatatenda kwaimani kwenye maisha yangu
Sophia ❤
MUNGU anisaidie nimjue sana MUNGU ili mema yaje kwangu
Eeeh Mungu nisaidie peke yangu siwezi baba
Amen, MUNGU Awe pamoja nasi tuwe imara roho mtakatifu atujulishe Hila za shetani asiibe Imani zetu, 🙏🙏
Eee MUNGU wangu nisaidie nitengeneze nawewe nikujue wewe niwe sawa na wewe niwe na mwisho mwema 🙌