LIVE : Jamuhuri ya Kariakoo | Power Breakfast

afanyabiashara Kariakoo Jijini Dar es salaam na katika baadhi ya Mikoa nchini wameendesha mgomo wa kutofungua Maduka, wakishinikiza madai yao kufanyiwa kazi.
Kuanzia dai lao la Matumizi ya Task Force kwenye ukusanyaji Wa Mapato, na madai mengine, Tayari jitihada zinaendelea kuchukuliwa na Viongozi mbalimbali Serikali.
Pamoja na hatua hiyo kwanini bado migomo inashuhudiwa, tatizo liko wapi, kama issue ni Kodi ni za namna gani na kitaalamu zinatazamwaje...? Tukutane kesho kwenye #PBCloudsFM kuanzia Saa 12 Alfajiri
#Tumekuverify

Пікірлер: 5

  • @jimsonmdenye7468
    @jimsonmdenye746812 күн бұрын

    Clouds mbona maeneo mengi huwa hapatikani Kwa njia ya radio...Niko Rungwe mashariki

  • @exaudrevadison-hn6oo
    @exaudrevadison-hn6oo12 күн бұрын

    Hi

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx304312 күн бұрын

    tatzo lipo wap

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx304312 күн бұрын

    uyo mchangiqj wapilinemuelewa.... waweke kodi ndogo ili watumiaj wawe weng na sio kla sku n kuongeza kod ty.... mfano mtaan kwet uku tabata wanakuja mara3 kwa week.... na ata makadlio yao ya kodi ni wanazngua .... mtu una fram unalipa kod 50k... msingi wko unathaman wa 900k ad 1mil.... wanakukadria kodi laki3😂😂 serious apo natakiw ilipe kod nnapokaa na nnafamilia nasomesha sas iyo laki3 inatok wap

  • @exaudrevadison-hn6oo
    @exaudrevadison-hn6oo12 күн бұрын

    Hi

Келесі