#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 41

  • @user-ge4dz1re7e
    @user-ge4dz1re7e27 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji nabarikiwa nikiwa taveta kenya

  • @princessprecious6995
    @princessprecious699528 күн бұрын

    Mungu azidi kukufanya mchungaji wa kimataifa

  • @NancyNaomi-od6ng
    @NancyNaomi-od6ngАй бұрын

    Aki Mungu azidi kuku neemesha Kila uubiripo Nina wimbo mpaka ninashangaa naamia yakua nitaimba na injili ya Yesu isonge mbele

  • @princessprecious6995
    @princessprecious699528 күн бұрын

    Mungu akutunze mchungaji

  • @judyokumu8439
    @judyokumu843925 күн бұрын

    Amen

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w29 күн бұрын

    Unatubariki sana mchungaji, Mwenyezi Mungu akulinde na familia yako.🙏

  • @enidkanini
    @enidkanini27 күн бұрын

    Paster ukuje kenya pls tunakungoja in jesus name,

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi668129 күн бұрын

    NAKUPENDA YESU ♥️ ♥️ ♥️

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi501129 күн бұрын

    Spika haziko poa kbs zinaleta magwi, fundi mitambo turekebishie sauti, kelele ni nyingi sana tunaomba kesho mitambo iwe na utulivu mbarikiwe

  • @MaduhumchibyaBuhuru
    @MaduhumchibyaBuhuru29 күн бұрын

    Amina sana nabarikiwa sana MUNGU AKUBALIKI SANA mtumishi niombee naitwa musa

  • @JulianaTryphony
    @JulianaTryphony29 күн бұрын

    Mungu wa mbinguni akubariki sanaa baba kwa muda mrefu nilikukosa nao nimerejea tena kundini..

  • @AgnesKarara
    @AgnesKarara29 күн бұрын

    Mchungaji Katekela,Mimi naitwa Agnes George naomba niombee naumwa ganzi na pressure siwezi kutembea ningalikuja huko Mbezi.Asante.

  • @luciasteven3314
    @luciasteven331428 күн бұрын

    Afadhali yni media mbarikiwe sana nafika kwenye mutant chapu

  • @nallymwamba1330
    @nallymwamba133029 күн бұрын

    MUNGU azidi kukulinda Katekela na familia Yako bila kuwasahau Promover TV

  • @jeremiarichard-rw1nc
    @jeremiarichard-rw1nc29 күн бұрын

    Mungu akubarikii hakika mchungaji,ata sisi tunakuhitaji uweze kutufikia.

  • @HannahNjoroge-dd8fg
    @HannahNjoroge-dd8fg29 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana29 күн бұрын

    Amen Amen nabarikiwa sna

  • @RehemaGodfrey
    @RehemaGodfrey29 күн бұрын

    Aminaa

  • @rahelkimario1497
    @rahelkimario149729 күн бұрын

    Amen mtumishi wa MUNGU

  • @_expertworldcombination5845
    @_expertworldcombination584529 күн бұрын

    YESU..YESU....YESU..........IMEKWISHA. Nmemuona Yesu akisema katika anga la Mbezi. Bwana awabariki watu wote.

  • @rosemerlupanga8730
    @rosemerlupanga873029 күн бұрын

    Mungu akubariki pastor, je vitabu vinapatikana?

  • @failanangeso26
    @failanangeso2629 күн бұрын

    Aminaaaaa

  • @ZianaKangalawe
    @ZianaKangalawe29 күн бұрын

    Amen amen amen sana

  • @Obasaniyo
    @Obasaniyo29 күн бұрын

    Ubarikiwe mchungaji. Amen amen amen Lakini mchungaji mbona hayo Mafuta kama yamekugeuza usoni? Au ni camera? Ila samahani

  • @kakanicodemus3632

    @kakanicodemus3632

    29 күн бұрын

    Nn yamemgeuza

  • @Obasaniyo

    @Obasaniyo

    28 күн бұрын

    Mafuta

  • @yeftabisuba3353

    @yeftabisuba3353

    28 күн бұрын

    Hiyo ni pesa siyo mafuta

  • @Obasaniyo

    @Obasaniyo

    28 күн бұрын

    Hahahaha. Kumbe. Hapo vizuri. Asante.

  • @fathima7617
    @fathima761729 күн бұрын

    Haleluya

  • @SudaNyalupagi
    @SudaNyalupagi29 күн бұрын

    Utukufu ni wake bwana

  • @juliannapasama
    @juliannapasama29 күн бұрын

    Mm naomba maombi...ni kama baba yangu alichukuliwa msukule sasa ni miaka20 ilio pita,

  • @Mtaasisi97jr
    @Mtaasisi97jr29 күн бұрын

    Jaman muda wa kuanza na kufungwa kwa mkutano ni saa ngapi wapendwa

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob813725 күн бұрын

    Hapo camera na kitambaa ndo vina leta lang siyo yeye hivyo ndo nacho o

  • @adventinandyanabo1615
    @adventinandyanabo161525 күн бұрын

    Mchunaji Katekela kukupata ni kazi kuna mwanangu alikuja mpaka kanisani kwako geita masumbwe lakini hakubahatika kukuona,sijui tufanyeje kukupata

  • @zawadiEsther-gt2iw
    @zawadiEsther-gt2iw29 күн бұрын

    Mchungaji Amiel umerudilia viduku kichwani

  • @kakanicodemus3632

    @kakanicodemus3632

    29 күн бұрын

    Viduku ndo nn

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi546428 күн бұрын

    Mchungaji unachonga kichwa. Unanyoa kiduku; ili iweje? Punguza nywele kikawaida, salia kama Mungu alivyokuumba. Be you.

  • @StalloneEligius

    @StalloneEligius

    28 күн бұрын

    Ko hicho ww unaona ni kiduku c ndio

  • @PatrickMathias-cs9qc

    @PatrickMathias-cs9qc

    27 күн бұрын

    Usiwe mwepesi wa kuhukumu watu jichunguze matendo yako wew mwenyew Ndugu na uombee watu

  • @user-eb2eh6rj7e
    @user-eb2eh6rj7e29 күн бұрын

    Aminaa

Келесі