#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 41
Mungu akubariki sana mchungaji nabarikiwa nikiwa taveta kenya
Mungu azidi kukufanya mchungaji wa kimataifa
Aki Mungu azidi kuku neemesha Kila uubiripo Nina wimbo mpaka ninashangaa naamia yakua nitaimba na injili ya Yesu isonge mbele
Mungu akutunze mchungaji
Amen
Unatubariki sana mchungaji, Mwenyezi Mungu akulinde na familia yako.🙏
Paster ukuje kenya pls tunakungoja in jesus name,
NAKUPENDA YESU ♥️ ♥️ ♥️
Spika haziko poa kbs zinaleta magwi, fundi mitambo turekebishie sauti, kelele ni nyingi sana tunaomba kesho mitambo iwe na utulivu mbarikiwe
Amina sana nabarikiwa sana MUNGU AKUBALIKI SANA mtumishi niombee naitwa musa
Mungu wa mbinguni akubariki sanaa baba kwa muda mrefu nilikukosa nao nimerejea tena kundini..
Mchungaji Katekela,Mimi naitwa Agnes George naomba niombee naumwa ganzi na pressure siwezi kutembea ningalikuja huko Mbezi.Asante.
Afadhali yni media mbarikiwe sana nafika kwenye mutant chapu
MUNGU azidi kukulinda Katekela na familia Yako bila kuwasahau Promover TV
Mungu akubarikii hakika mchungaji,ata sisi tunakuhitaji uweze kutufikia.
Amen 🙏
Amen Amen nabarikiwa sna
Aminaa
Amen mtumishi wa MUNGU
YESU..YESU....YESU..........IMEKWISHA. Nmemuona Yesu akisema katika anga la Mbezi. Bwana awabariki watu wote.
Mungu akubariki pastor, je vitabu vinapatikana?
Aminaaaaa
Amen amen amen sana
Ubarikiwe mchungaji. Amen amen amen Lakini mchungaji mbona hayo Mafuta kama yamekugeuza usoni? Au ni camera? Ila samahani
@kakanicodemus3632
29 күн бұрын
Nn yamemgeuza
@Obasaniyo
28 күн бұрын
Mafuta
@yeftabisuba3353
28 күн бұрын
Hiyo ni pesa siyo mafuta
@Obasaniyo
28 күн бұрын
Hahahaha. Kumbe. Hapo vizuri. Asante.
Haleluya
Utukufu ni wake bwana
Mm naomba maombi...ni kama baba yangu alichukuliwa msukule sasa ni miaka20 ilio pita,
Jaman muda wa kuanza na kufungwa kwa mkutano ni saa ngapi wapendwa
Hapo camera na kitambaa ndo vina leta lang siyo yeye hivyo ndo nacho o
Mchunaji Katekela kukupata ni kazi kuna mwanangu alikuja mpaka kanisani kwako geita masumbwe lakini hakubahatika kukuona,sijui tufanyeje kukupata
Mchungaji Amiel umerudilia viduku kichwani
@kakanicodemus3632
29 күн бұрын
Viduku ndo nn
Mchungaji unachonga kichwa. Unanyoa kiduku; ili iweje? Punguza nywele kikawaida, salia kama Mungu alivyokuumba. Be you.
@StalloneEligius
28 күн бұрын
Ko hicho ww unaona ni kiduku c ndio
@PatrickMathias-cs9qc
27 күн бұрын
Usiwe mwepesi wa kuhukumu watu jichunguze matendo yako wew mwenyew Ndugu na uombee watu
Aminaa