Uchambuzi wa Kina wa Habari za Michezo, Simba nao wapo #crownsports #crownmedia
Жүктеу.....
Пікірлер: 63
@salamSalehhhhh5 күн бұрын
Nakubali Sana Ayo umekuwa wa 🔥🔥 Hans ndo injinia kabisa Geof umeacha ujinga wa efm nakubali kiza ❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@salamSalehhhhh5 күн бұрын
Am a big fan guys👑👑👑👑👑👑
@ceasarj67614 күн бұрын
Kimasiharamasihara tu #crown is taking over
@MarthaBura-or8fe17 сағат бұрын
Na pia hongera nyingi kwa kocha kikeke big brooo
@mishlay81645 күн бұрын
Kwakweli mmetisha sana
@MarthaBura-or8fe17 сағат бұрын
Hongera kigkiba .big brooo
@manrectorz5 күн бұрын
Crown mmetisha sana, mwanzo mzuri 👏👏👏👏
@gracemtmbulo3605 күн бұрын
nawapenda sanaaaaa
@GiftTarimo5 күн бұрын
Nomaa
@Ashirafa-h9l5 күн бұрын
Crown chukueni maus yenu
@EzidanOmary5 күн бұрын
Hapa ni nyumbani
@abdalahnasibu33004 күн бұрын
Unyama sana crownsport tunapasua mawimbi👑
@morganjamson38764 күн бұрын
Munaupiga mwingi sana crown ni nyumbani nite mo,G au Morgan ni kiwa kariakoo
@HamisGggn4 күн бұрын
Naitwa hamis kutoka kahama tuko pamoja sana crown fm
@cherryjoe95855 күн бұрын
Ududu ni mwingi jioni ya leo
@AidanAdoloph-y3s4 күн бұрын
nawakubali sana
@YusuphJoshua-x6z5 күн бұрын
❤
@salamSalehhhhh5 күн бұрын
Mimi mac muga😁👑👑👑👑👑
@MohamedSaleh-nv6nw5 күн бұрын
Hapa ni nyumban
@ramadhannjolesti5 күн бұрын
Hapa ni nyumbani👑💪🙏
@deusdeditsanga96665 күн бұрын
aisee mko vizuri kipindi kinakua cha moto wachambuzi wanachambua vizuri sana tunaomba muendelee na huu moto msije rudi nyuma tafadhari msije fanya makosa kuwaleta akina jemedari na oruma maana asilimia kubwa wamejitengenezea maadui kwaiyo inaweza kuwa ni rahis kupoteza watazamaji na wafatiliaji watu tuna wafatilia kutokana watangazaji na wachambuzi wako na weledi wajuu sana
@samwelthomas13305 күн бұрын
Jaman naomba paul mkai awe anafungua kipindi kitapendeza sana maana anajua knoma
@gersonDady505 күн бұрын
HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU
@ZakariaMachibula5 күн бұрын
Crown fm ni ya moto vipindi vyote haina mpizani hongera kiba
@dicksontimotheo76175 күн бұрын
Wa 3 kukomenti nauliza tu iv kuna mtu alitegemea kuwa alikiba anaweza kuifanya hii redio kuwa iv mpaka sasa?.....
@salamSalehhhhh
5 күн бұрын
Hakuna dharau zilikua nyingi ila Mungu si wa kwao pekeeyao
@user-uu1ln1hp5u5 күн бұрын
Nawapata kutoka oman vizuri kabisa
@patsonmwenga50765 күн бұрын
❤❤❤❤
@Ashirafa-h9l5 күн бұрын
Crown chukueni maua yenu
@NuruAbdul-w9u5 күн бұрын
🔥🔥
@EduardoNkuni5 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@KHALFAN-m4o5 күн бұрын
❤❤❤
@frankchibago32065 күн бұрын
👑👑👑👑👑👑👑
@mwalimmwalim5454 күн бұрын
Kuna tofauti baina ya mashindano ya kirafiki yanayopangwa na vilabu vyenyewe anayoyaongelea Geof Leah na mashindano ya ushindani yanayoandaliwa na mamlaka za soka za kitaifa/kikanda.
@gatsonmatiko800020 сағат бұрын
Nikweli simba wanaweza kua wazuri musimu huu
@mbwana-fv2ir2 күн бұрын
juma ayo mwisho saa 6 tena braz
@gwamakakamwela95224 күн бұрын
Mbona wasafi siwapati live
@JamalyzoMilanzi5 күн бұрын
Crown Tv 👑 hapo ni nyumbani twashukur sana kwa Abari za michezo na nyinginezo
@user-xl4xi9dk6i5 күн бұрын
Hapa ninyumbani
@philipomkinga4708
5 күн бұрын
YAANI UNAMKATAA JEMEDARI SAID ALIECHEZA MPIRA NA AKAUSIMAMIA KAMA KIONGOZI WA SHIRIKISHO LAKO, AFU UNAWAKUBALI HAO WACHUMIA TUMBO WASIOWAHI ATA KUGUSA MPIRA. AZAM UNAYOIONA LEO MOJA YA MAFANIKIO YAO NI RAMANI YA JEMEDARI SAID ALIPOKUA MENEJA WA AZAM FC AKAWEKA MIUNDOMBINU AMBAO ATA LEO AZAM WANATUMIA. JEMEDARI SAID ANAPENDWA NA WATU WA MPIRA 1000 AFU ANACHUKIWA NA WASIOPENDA MPIRA WATU 12 TU.
Hansi kk nimekufatilia toka wasafi na nimeamua kuamia craun kwajiliyako abari zauwakika unazoww tu apa bongo wengine wachambuz wamchongo😂😂🎉🎉🎉🎉
@HigombeyeBoazi4 күн бұрын
Habari za Leo ndugu zangu, sorry naomba kuuliza kuhusu fei naona mtandaoni imekuwa kelele hivi ni kweli anatarajia kujiunga na Simba au niuoongo?
@ElishaNkunza5 күн бұрын
Duuuu na Mkai tena
@MussaKampize-ni6lx5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@BarakaMwankenja4 күн бұрын
Poul mkai mkali wa dimba
@moudyaliy9425 күн бұрын
Kwann hamueki matangazo kwenye vpnd vyenu au ndio hayajapatikana ???
@philipomkinga47085 күн бұрын
WAMILIKI WA REDIO WAKITAKA KIPINDI HIKI CHA MICHEZO KIWE KIZURI WAAIGE MFANO WA SKY SPORT AU SUPER SPORT WA KUCHUKUA WACHEZAJI WASTAAFU BAADHI KUA KM WACHAMBUZI KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO. MFANO KWENYE KIPINDI ICHO AKIPATIKANA JULIO TU KIPINDI KITANOGA SANA.
@user-uh9xg1pn6i
5 күн бұрын
Umetoa mawazo mazuri sana mkuu.Asante
@issahpaul4510
5 күн бұрын
Jee hawo watu wanauwezo wa ku present vitu hewani? Look at jemedari ni former player lakini hana professionalism yoyote hata ivyo hawezi kudadafua vitu. Ila ni wazo zuri sana
@HassanSaburi-ge6ej5 күн бұрын
Mtuletee radio wa mikoano hswa morogoro mfanye mpango mje mapemaaaaa
@chng19904 күн бұрын
Mpira ni mkakati tu huyo kocha ataondoka 1 .kama hana ushirikiano 2.kama kikos kibovu mtamfukuza tu 3.nabi ukitaka kujua football ni project nabi keshakimbia huko 😂😂😂😂
@abukhamisi50395 күн бұрын
Tunafata 100 kwa 100 cairo egypt
@ismailhassan52095 күн бұрын
Coach mzuri ni yule anayeweza kufundisha mchezaji akaelewa bila kujali kwamba awe funding wewe Coach umfanye mchezaji aweze ku co op Mara moja na mchezaji wenzie kufeli kwa Simba ilikuwa ni wachezaji wabovu baadhi, mbinu za Coach zisizo badilika, uongozi legevu na ubdhirifu
@AishaMohamed-yy1gl5 күн бұрын
Kipndi linaanza saa ngapi
@NemesMasawe
5 күн бұрын
Saa tatuu
@dicksontimotheo76174 күн бұрын
Niulize kwann crown ina namba kubwa kwenye views 1. Kwasababu inapatikana sehem chache ivo inapatikana sana youtube? 2 mapenzi tu ya watu 3 nguvu ya alikiba 4 mvuto wa watangazaji Ni nini zaidi mpaka asaiv sielewi
Пікірлер: 63
Nakubali Sana Ayo umekuwa wa 🔥🔥 Hans ndo injinia kabisa Geof umeacha ujinga wa efm nakubali kiza ❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Am a big fan guys👑👑👑👑👑👑
Kimasiharamasihara tu #crown is taking over
Na pia hongera nyingi kwa kocha kikeke big brooo
Kwakweli mmetisha sana
Hongera kigkiba .big brooo
Crown mmetisha sana, mwanzo mzuri 👏👏👏👏
nawapenda sanaaaaa
Nomaa
Crown chukueni maus yenu
Hapa ni nyumbani
Unyama sana crownsport tunapasua mawimbi👑
Munaupiga mwingi sana crown ni nyumbani nite mo,G au Morgan ni kiwa kariakoo
Naitwa hamis kutoka kahama tuko pamoja sana crown fm
Ududu ni mwingi jioni ya leo
nawakubali sana
❤
Mimi mac muga😁👑👑👑👑👑
Hapa ni nyumban
Hapa ni nyumbani👑💪🙏
aisee mko vizuri kipindi kinakua cha moto wachambuzi wanachambua vizuri sana tunaomba muendelee na huu moto msije rudi nyuma tafadhari msije fanya makosa kuwaleta akina jemedari na oruma maana asilimia kubwa wamejitengenezea maadui kwaiyo inaweza kuwa ni rahis kupoteza watazamaji na wafatiliaji watu tuna wafatilia kutokana watangazaji na wachambuzi wako na weledi wajuu sana
Jaman naomba paul mkai awe anafungua kipindi kitapendeza sana maana anajua knoma
HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU
Crown fm ni ya moto vipindi vyote haina mpizani hongera kiba
Wa 3 kukomenti nauliza tu iv kuna mtu alitegemea kuwa alikiba anaweza kuifanya hii redio kuwa iv mpaka sasa?.....
@salamSalehhhhh
5 күн бұрын
Hakuna dharau zilikua nyingi ila Mungu si wa kwao pekeeyao
Nawapata kutoka oman vizuri kabisa
❤❤❤❤
Crown chukueni maua yenu
🔥🔥
❤❤❤❤❤
❤❤❤
👑👑👑👑👑👑👑
Kuna tofauti baina ya mashindano ya kirafiki yanayopangwa na vilabu vyenyewe anayoyaongelea Geof Leah na mashindano ya ushindani yanayoandaliwa na mamlaka za soka za kitaifa/kikanda.
Nikweli simba wanaweza kua wazuri musimu huu
juma ayo mwisho saa 6 tena braz
Mbona wasafi siwapati live
Crown Tv 👑 hapo ni nyumbani twashukur sana kwa Abari za michezo na nyinginezo
Hapa ninyumbani
@philipomkinga4708
5 күн бұрын
YAANI UNAMKATAA JEMEDARI SAID ALIECHEZA MPIRA NA AKAUSIMAMIA KAMA KIONGOZI WA SHIRIKISHO LAKO, AFU UNAWAKUBALI HAO WACHUMIA TUMBO WASIOWAHI ATA KUGUSA MPIRA. AZAM UNAYOIONA LEO MOJA YA MAFANIKIO YAO NI RAMANI YA JEMEDARI SAID ALIPOKUA MENEJA WA AZAM FC AKAWEKA MIUNDOMBINU AMBAO ATA LEO AZAM WANATUMIA. JEMEDARI SAID ANAPENDWA NA WATU WA MPIRA 1000 AFU ANACHUKIWA NA WASIOPENDA MPIRA WATU 12 TU.
Nasikilza crown sports kutokea malawi 🇲🇼🎧 lilongwe
@Gaciachriss
5 күн бұрын
Lilongwe sehem gan boo
Msije mkasajilii wa kin orum n jemedari said
Hansi kk nimekufatilia toka wasafi na nimeamua kuamia craun kwajiliyako abari zauwakika unazoww tu apa bongo wengine wachambuz wamchongo😂😂🎉🎉🎉🎉
Habari za Leo ndugu zangu, sorry naomba kuuliza kuhusu fei naona mtandaoni imekuwa kelele hivi ni kweli anatarajia kujiunga na Simba au niuoongo?
Duuuu na Mkai tena
🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Poul mkai mkali wa dimba
Kwann hamueki matangazo kwenye vpnd vyenu au ndio hayajapatikana ???
WAMILIKI WA REDIO WAKITAKA KIPINDI HIKI CHA MICHEZO KIWE KIZURI WAAIGE MFANO WA SKY SPORT AU SUPER SPORT WA KUCHUKUA WACHEZAJI WASTAAFU BAADHI KUA KM WACHAMBUZI KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO. MFANO KWENYE KIPINDI ICHO AKIPATIKANA JULIO TU KIPINDI KITANOGA SANA.
@user-uh9xg1pn6i
5 күн бұрын
Umetoa mawazo mazuri sana mkuu.Asante
@issahpaul4510
5 күн бұрын
Jee hawo watu wanauwezo wa ku present vitu hewani? Look at jemedari ni former player lakini hana professionalism yoyote hata ivyo hawezi kudadafua vitu. Ila ni wazo zuri sana
Mtuletee radio wa mikoano hswa morogoro mfanye mpango mje mapemaaaaa
Mpira ni mkakati tu huyo kocha ataondoka 1 .kama hana ushirikiano 2.kama kikos kibovu mtamfukuza tu 3.nabi ukitaka kujua football ni project nabi keshakimbia huko 😂😂😂😂
Tunafata 100 kwa 100 cairo egypt
Coach mzuri ni yule anayeweza kufundisha mchezaji akaelewa bila kujali kwamba awe funding wewe Coach umfanye mchezaji aweze ku co op Mara moja na mchezaji wenzie kufeli kwa Simba ilikuwa ni wachezaji wabovu baadhi, mbinu za Coach zisizo badilika, uongozi legevu na ubdhirifu
Kipndi linaanza saa ngapi
@NemesMasawe
5 күн бұрын
Saa tatuu
Niulize kwann crown ina namba kubwa kwenye views 1. Kwasababu inapatikana sehem chache ivo inapatikana sana youtube? 2 mapenzi tu ya watu 3 nguvu ya alikiba 4 mvuto wa watangazaji Ni nini zaidi mpaka asaiv sielewi
Crown chukueni maus yenu
Hapa ni nyumbani
Crown chukueni maus yenu