🔴LIVE: CROWN SPORTS, UCHAMBUZI KOCHA MPYA WA SIMBA NA MCHEZAJI MPYA WA SIMBA/ GEOFF LEA, HANS RAFAEL

Спорт

Uchambuzi wa Kina wa Habari za Michezo, Simba nao wapo #crownsports #crownmedia

Пікірлер: 63

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh5 күн бұрын

    Nakubali Sana Ayo umekuwa wa 🔥🔥 Hans ndo injinia kabisa Geof umeacha ujinga wa efm nakubali kiza ❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh5 күн бұрын

    Am a big fan guys👑👑👑👑👑👑

  • @ceasarj6761
    @ceasarj67614 күн бұрын

    Kimasiharamasihara tu #crown is taking over

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe17 сағат бұрын

    Na pia hongera nyingi kwa kocha kikeke big brooo

  • @mishlay8164
    @mishlay81645 күн бұрын

    Kwakweli mmetisha sana

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe17 сағат бұрын

    Hongera kigkiba .big brooo

  • @manrectorz
    @manrectorz5 күн бұрын

    Crown mmetisha sana, mwanzo mzuri 👏👏👏👏

  • @gracemtmbulo360
    @gracemtmbulo3605 күн бұрын

    nawapenda sanaaaaa

  • @GiftTarimo
    @GiftTarimo5 күн бұрын

    Nomaa

  • @Ashirafa-h9l
    @Ashirafa-h9l5 күн бұрын

    Crown chukueni maus yenu

  • @EzidanOmary
    @EzidanOmary5 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani

  • @abdalahnasibu3300
    @abdalahnasibu33004 күн бұрын

    Unyama sana crownsport tunapasua mawimbi👑

  • @morganjamson3876
    @morganjamson38764 күн бұрын

    Munaupiga mwingi sana crown ni nyumbani nite mo,G au Morgan ni kiwa kariakoo

  • @HamisGggn
    @HamisGggn4 күн бұрын

    Naitwa hamis kutoka kahama tuko pamoja sana crown fm

  • @cherryjoe9585
    @cherryjoe95855 күн бұрын

    Ududu ni mwingi jioni ya leo

  • @AidanAdoloph-y3s
    @AidanAdoloph-y3s4 күн бұрын

    nawakubali sana

  • @YusuphJoshua-x6z
    @YusuphJoshua-x6z5 күн бұрын

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh5 күн бұрын

    Mimi mac muga😁👑👑👑👑👑

  • @MohamedSaleh-nv6nw
    @MohamedSaleh-nv6nw5 күн бұрын

    Hapa ni nyumban

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti5 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani👑💪🙏

  • @deusdeditsanga9666
    @deusdeditsanga96665 күн бұрын

    aisee mko vizuri kipindi kinakua cha moto wachambuzi wanachambua vizuri sana tunaomba muendelee na huu moto msije rudi nyuma tafadhari msije fanya makosa kuwaleta akina jemedari na oruma maana asilimia kubwa wamejitengenezea maadui kwaiyo inaweza kuwa ni rahis kupoteza watazamaji na wafatiliaji watu tuna wafatilia kutokana watangazaji na wachambuzi wako na weledi wajuu sana

  • @samwelthomas1330
    @samwelthomas13305 күн бұрын

    Jaman naomba paul mkai awe anafungua kipindi kitapendeza sana maana anajua knoma

  • @gersonDady50
    @gersonDady505 күн бұрын

    HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU HUMU TUUUUU

  • @ZakariaMachibula
    @ZakariaMachibula5 күн бұрын

    Crown fm ni ya moto vipindi vyote haina mpizani hongera kiba

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo76175 күн бұрын

    Wa 3 kukomenti nauliza tu iv kuna mtu alitegemea kuwa alikiba anaweza kuifanya hii redio kuwa iv mpaka sasa?.....

  • @salamSalehhhhh

    @salamSalehhhhh

    5 күн бұрын

    Hakuna dharau zilikua nyingi ila Mungu si wa kwao pekeeyao

  • @user-uu1ln1hp5u
    @user-uu1ln1hp5u5 күн бұрын

    Nawapata kutoka oman vizuri kabisa

  • @patsonmwenga5076
    @patsonmwenga50765 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @Ashirafa-h9l
    @Ashirafa-h9l5 күн бұрын

    Crown chukueni maua yenu

  • @NuruAbdul-w9u
    @NuruAbdul-w9u5 күн бұрын

    🔥🔥

  • @EduardoNkuni
    @EduardoNkuni5 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @KHALFAN-m4o
    @KHALFAN-m4o5 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @frankchibago3206
    @frankchibago32065 күн бұрын

    👑👑👑👑👑👑👑

  • @mwalimmwalim545
    @mwalimmwalim5454 күн бұрын

    Kuna tofauti baina ya mashindano ya kirafiki yanayopangwa na vilabu vyenyewe anayoyaongelea Geof Leah na mashindano ya ushindani yanayoandaliwa na mamlaka za soka za kitaifa/kikanda.

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko800020 сағат бұрын

    Nikweli simba wanaweza kua wazuri musimu huu

  • @mbwana-fv2ir
    @mbwana-fv2ir2 күн бұрын

    juma ayo mwisho saa 6 tena braz

  • @gwamakakamwela9522
    @gwamakakamwela95224 күн бұрын

    Mbona wasafi siwapati live

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi5 күн бұрын

    Crown Tv 👑 hapo ni nyumbani twashukur sana kwa Abari za michezo na nyinginezo

  • @user-xl4xi9dk6i
    @user-xl4xi9dk6i5 күн бұрын

    Hapa ninyumbani

  • @philipomkinga4708

    @philipomkinga4708

    5 күн бұрын

    YAANI UNAMKATAA JEMEDARI SAID ALIECHEZA MPIRA NA AKAUSIMAMIA KAMA KIONGOZI WA SHIRIKISHO LAKO, AFU UNAWAKUBALI HAO WACHUMIA TUMBO WASIOWAHI ATA KUGUSA MPIRA. AZAM UNAYOIONA LEO MOJA YA MAFANIKIO YAO NI RAMANI YA JEMEDARI SAID ALIPOKUA MENEJA WA AZAM FC AKAWEKA MIUNDOMBINU AMBAO ATA LEO AZAM WANATUMIA. JEMEDARI SAID ANAPENDWA NA WATU WA MPIRA 1000 AFU ANACHUKIWA NA WASIOPENDA MPIRA WATU 12 TU.

  • @AllyMgosiTz
    @AllyMgosiTz5 күн бұрын

    Nasikilza crown sports kutokea malawi 🇲🇼🎧 lilongwe

  • @Gaciachriss

    @Gaciachriss

    5 күн бұрын

    Lilongwe sehem gan boo

  • @johnmjirah4057
    @johnmjirah40575 күн бұрын

    Msije mkasajilii wa kin orum n jemedari said

  • @AhmadiManjaule-sz5hc
    @AhmadiManjaule-sz5hc3 күн бұрын

    Hansi kk nimekufatilia toka wasafi na nimeamua kuamia craun kwajiliyako abari zauwakika unazoww tu apa bongo wengine wachambuz wamchongo😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @HigombeyeBoazi
    @HigombeyeBoazi4 күн бұрын

    Habari za Leo ndugu zangu, sorry naomba kuuliza kuhusu fei naona mtandaoni imekuwa kelele hivi ni kweli anatarajia kujiunga na Simba au niuoongo?

  • @ElishaNkunza
    @ElishaNkunza5 күн бұрын

    Duuuu na Mkai tena

  • @MussaKampize-ni6lx
    @MussaKampize-ni6lx5 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @BarakaMwankenja
    @BarakaMwankenja4 күн бұрын

    Poul mkai mkali wa dimba

  • @moudyaliy942
    @moudyaliy9425 күн бұрын

    Kwann hamueki matangazo kwenye vpnd vyenu au ndio hayajapatikana ???

  • @philipomkinga4708
    @philipomkinga47085 күн бұрын

    WAMILIKI WA REDIO WAKITAKA KIPINDI HIKI CHA MICHEZO KIWE KIZURI WAAIGE MFANO WA SKY SPORT AU SUPER SPORT WA KUCHUKUA WACHEZAJI WASTAAFU BAADHI KUA KM WACHAMBUZI KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO. MFANO KWENYE KIPINDI ICHO AKIPATIKANA JULIO TU KIPINDI KITANOGA SANA.

  • @user-uh9xg1pn6i

    @user-uh9xg1pn6i

    5 күн бұрын

    Umetoa mawazo mazuri sana mkuu.Asante

  • @issahpaul4510

    @issahpaul4510

    5 күн бұрын

    Jee hawo watu wanauwezo wa ku present vitu hewani? Look at jemedari ni former player lakini hana professionalism yoyote hata ivyo hawezi kudadafua vitu. Ila ni wazo zuri sana

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej5 күн бұрын

    Mtuletee radio wa mikoano hswa morogoro mfanye mpango mje mapemaaaaa

  • @chng1990
    @chng19904 күн бұрын

    Mpira ni mkakati tu huyo kocha ataondoka 1 .kama hana ushirikiano 2.kama kikos kibovu mtamfukuza tu 3.nabi ukitaka kujua football ni project nabi keshakimbia huko 😂😂😂😂

  • @abukhamisi5039
    @abukhamisi50395 күн бұрын

    Tunafata 100 kwa 100 cairo egypt

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52095 күн бұрын

    Coach mzuri ni yule anayeweza kufundisha mchezaji akaelewa bila kujali kwamba awe funding wewe Coach umfanye mchezaji aweze ku co op Mara moja na mchezaji wenzie kufeli kwa Simba ilikuwa ni wachezaji wabovu baadhi, mbinu za Coach zisizo badilika, uongozi legevu na ubdhirifu

  • @AishaMohamed-yy1gl
    @AishaMohamed-yy1gl5 күн бұрын

    Kipndi linaanza saa ngapi

  • @NemesMasawe

    @NemesMasawe

    5 күн бұрын

    Saa tatuu

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo76174 күн бұрын

    Niulize kwann crown ina namba kubwa kwenye views 1. Kwasababu inapatikana sehem chache ivo inapatikana sana youtube? 2 mapenzi tu ya watu 3 nguvu ya alikiba 4 mvuto wa watangazaji Ni nini zaidi mpaka asaiv sielewi

  • @Ashirafa-h9l
    @Ashirafa-h9l5 күн бұрын

    Crown chukueni maus yenu

  • @nasuefendkhamis409
    @nasuefendkhamis4095 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani

  • @Ashirafa-h9l
    @Ashirafa-h9l5 күн бұрын

    Crown chukueni maus yenu

Келесі