LISSU AFUNGUKA MAZITO WARAKA WA OPARESHENI YA KIJESHI, "JWTZ IMEGEUZA BUNDUKI DHIDI YA WANANCHI"
#TANZANIA: #Tundu #Lissu afunguka mazito kuhusiana na #Waraka unaotembea wa #Oparesheni ya #Kijeshi #Kusini mwa Tanzania, "#JWTZ imegeuza bunduki dhidi ya #Wananchi"
Пікірлер: 71
Mzee Mwinyi, Peter Kisumo, Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Timothy Shindika
Sasa umeanza kuliingilia jeshi badala ya mama Samia.Unamaana jeshi letu ni baya sasa ulete jeshi lako. Kwa kifupi unapoongea hayo unataka watu walichukie jeshi uwalete Wasenge wako au vip Ii😢 Huyu chizi kweli😢 Huyu Lissu akomeshwe.Amezidi.
Huyo mzee alikuwa anaitwa Peter kisumo
Mbona hizo Nchi Zingine hatuonagi Waraka zao zikilalamika kwenye mataifa yetu
Watanzania bado tumejawa na upumbavu
Lisu maneno yako unataka uchochezi kwenye nchi yetu lakin tz nchi ya amani na utulivu hapijani mtu hp tz%
Yaani ati jeshi linfanye maandakizi ya kivita kwa raia wake wenyewe ambao hawana hata silaha? Why? Haiwezekani bwana. Kwani majeshi yetu yameingiwa na ukichaa? Siamini. Na Kama ni kweli basi haya ni maajabu ya dunia. Wanajeshi wanaweza kweli kushiriki ukiukwaji huo mkubwa wa haki za kibinadamu kwa raia wao? Haiwezekani mbona?
Tanzania ina Mambo Sana
Unamsikua fara huyo. Na hiyo media yake ifungwe
Huyoheshimiwa aliitwa Peter Kisumo.
Lengo Lao ni kuwafukuza wamasai Wa ngorongoro na loliondo.Hii ni dhambi mbaya sana
👍✌️👊.
Eee mungu tunusuru na hili kama ni kweli.Sasa hiyo mapambano kati ya nani na nani.
Ccm jamani majeshi dhidi ya raia wema
Lengo la vitendo hivi ni kututoa kwenye mstari wa kujadili miswaada iliyoko bungeni ili waovu waipitishe kirahisi yale wanayotaka. Waraka huu jinsi ulivyowekewa vifaa viiingi vya kiutendaji, mie nauona ni fake. Raia hawa hawa wa Tz ndio wapigwe na weapons nzito kama hizo? Sio kweli ni fake fake fake.
Tunashukuru serikali kwa kusikia kilio cha wakulima dhidi ya wafugaji wanaolisha wanyama wao mazao yetu.Tundu lissu hujaonesha njia ya kutatua tatizo umetoa lawama tu.Wakulima hatukuelewi kamwe.
Pia kati walio jiuzuru wakati huo ni aliyekua waziri katika ofisi ya rais muungano amefariki juzi tu Mzee Hassan nasoro moto(alikuwa anatoka Zanzibar).
Tupia hizo links zenye waraka huo
Huyu Lisu anatamani siku moja amani itoweke wakati wanae wanaenjoy Marekani! Historia kama mtu yupk shule asome hapo! Hawana hoja tena!😂😂
@MiziziMti
7 ай бұрын
Lisu anaongea ukweli
Peter Kisumu
Kumbe watZ mmerogwa upumbavu inawezekana je kwenye nchi yenye watuwengi kiasihiko halafu watu wachachewawasunmbuwemiakanendarud
Acheni kufuata mkumbo wa lissu hana la maana zaidi ya kutaka kumwaga damu.Baada ya vurugu ndipo umasikini utazidi wakati yeye atapewa billions za dolla na akina wasenge wake atakuwa a meitimiza ahadi ya kuichafua tz.Ndiyo maana karudi Anaongea kwa kujiamini kwa sababu ana wasenge wa huko alikotoka nyuma yake.😢 Balaa kabisa 😢
Huyu mtu kiila kitu ni kibaya na anakijua yeye! Kila siku ni kulalamika! Sema basi wewe umetufanyia nini na kitambi unacho??😂😂😂
Sasa mbona hawakushtakiwa Mwiinyi akawa raisi?
What?
Sijuwi kana kweli
Peter kisumo
Inatisha sana lakini
Kuvuruga wafugaji kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa
NALUDI TENA MAFIA ISLAND MKOA WA PWANI PIA WANAITAJI MSAADA WA KISHERIA PIA DADA MARIA TUNAOMBA MSAADA PIA
JWTZ,polisi,Usalama wa Viongozi wa Ccm(Taifa), mpaka mahakama na magereza wote wanacard za ccm,Hakuna Uzalendo ila wana wanafanya kazi kwa kupokea maelekezo ya CCM tuu,hii nchi imeshaoza,angalia Bunge limejaa Misukule tu inapiga makofi kishangilia ujinga!!
Tunaomba huo waraka tafadhali
Huko unagusa kwingine na sidhani kama utajibiwa.
Tumechoka amani?
Ee Mungu tunusuru na hili tatizo la kijeshi,Mungu sikiliza kilio cha walio wengi,WTZ hatujui vita, Tunusur Eeee Mungu uliyeko juu ya vyote natunakuabudu kushinda vyote,
@barack.A-Mtulo
7 ай бұрын
Sio kazi ya Mungu
@myself4128
7 ай бұрын
ujinga wa Watanzania ni Kumuachia Mungunkila kitu,Ni kazi yetu kuamka na Kutoa tongo tongo akilini mwetu na kudai na kupambania haki zetu
Public coments
HUO NI UZUSHI TU HAKUNA JAMBO KAMA HILO
Nchi inakoelekea sio salama majeshi yetu yanapambanaje na raia wakati ni jeshi la wananchi wa Tanzania?
@Michael-kd8yw
7 ай бұрын
Fatilia utajua tu....
Tumefika kubaya
Kiukweli rais samia machozi ya watanzania yapo mikononi mwako na kwa uwezo wa mungu ipo siku utayalipa kwa ghalama kubwa sana
@helencyprian8745
7 ай бұрын
Kabisa
Public. Coments
Hizo ndizo sera za uchaguzi su vipi.😮
@monicamwita7865
Ай бұрын
Tumia sindano jingine. Sera zenu zipi? Bora huyu anatufungua macho. Kama wewe kìpogu endelea kuto kuona
Naona Jina la waziri huyo naona Hassan nasoro moyo nimeiandika kama:Hassan nasoro moto Kwa makosa.waziri ktk ofisi ya ris aliye jiuzuru na mwinyi wakati huo.hassan nasoro moyo amefariki wakati wakipindi Cha corona.sisemi alifariki Kwa corona.
Huu waraka ni wa kweli lakini? Nashindwa kuaminika hizi habari. Haiwezrkani katika akili za kawaida
Tuwekeen waraka huo
Hivi mbona vitu vingine ni logic tu. Hivi mbona maneno mengi namnajivua nguo
Lisu. Ni. Mwambie. Mungu. Am Urinde sssssa
Huo waraka unaweza kuwa feki kwa ajili ya kuchafua sifa ya majeshi ya nchi yetu. Uchekiwe kwa umakini kama ni wa kweli au ni feki news. Inawezekanaje hayo yote? Inawezekana vipi?
@mickgeofreyjoachim1580
7 ай бұрын
Siwatoke wakanushe hao wajeshi,hii nchi tumechezewa kwa miaka mingi sana suluhisho ni ccm waondoke madarakanii
L I ssu ulaaniwe😢
@monicamwita7865
Ай бұрын
Wewe ndiyo uĺaaniwe
Nyie ni wehu mbona uliyoyaona Belgium ubaguzi wewe Lissu unavuta bagi watu wanalinda nchi zao nyie mnachafua nchi waafrica vichwa vyetu hata kama umesoma hamna kitu wewe vizuri njoo washauli serikali.
@idiphoncekiimbi2021
7 ай бұрын
Upeo wako ni mdogo kufikiri
@PhillipMwakibolwa-kp2fd
7 ай бұрын
Wewe ni Mjinga
@user-if9gi2rx8f
7 ай бұрын
Jibu hoja
@user-ss1ph9vp7h
7 ай бұрын
Kwahiyo unataka akae kimya ilituendelee kuteswa. Au nawe ni mmojawapo Kati ya hao watesaji na wanyanyasaji wa CCM
Tundu umebaki peke yako kuliokoa taifa letu Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana.
@marialesulie6798
7 ай бұрын
Kivipi?
Huyo nimwehu sahizi nibeberu asie panda
Peter Kisumu