LISSU AFUNGUKA MAZITO WARAKA WA OPARESHENI YA KIJESHI, "JWTZ IMEGEUZA BUNDUKI DHIDI YA WANANCHI"

#TANZANIA: #Tundu #Lissu afunguka mazito kuhusiana na #Waraka unaotembea wa #Oparesheni ya #Kijeshi #Kusini mwa Tanzania, "#JWTZ imegeuza bunduki dhidi ya #Wananchi"

Пікірлер: 71

  • @AmericaSwahiliNews
    @AmericaSwahiliNews7 ай бұрын

    Mzee Mwinyi, Peter Kisumo, Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Timothy Shindika

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32316 ай бұрын

    Sasa umeanza kuliingilia jeshi badala ya mama Samia.Unamaana jeshi letu ni baya sasa ulete jeshi lako. Kwa kifupi unapoongea hayo unataka watu walichukie jeshi uwalete Wasenge wako au vip Ii😢 Huyu chizi kweli😢 Huyu Lissu akomeshwe.Amezidi.

  • @kristogontesha6036
    @kristogontesha60367 ай бұрын

    Huyo mzee alikuwa anaitwa Peter kisumo

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid80217 ай бұрын

    Mbona hizo Nchi Zingine hatuonagi Waraka zao zikilalamika kwenye mataifa yetu

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa91317 ай бұрын

    Watanzania bado tumejawa na upumbavu

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96376 ай бұрын

    Lisu maneno yako unataka uchochezi kwenye nchi yetu lakin tz nchi ya amani na utulivu hapijani mtu hp tz%

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    Yaani ati jeshi linfanye maandakizi ya kivita kwa raia wake wenyewe ambao hawana hata silaha? Why? Haiwezekani bwana. Kwani majeshi yetu yameingiwa na ukichaa? Siamini. Na Kama ni kweli basi haya ni maajabu ya dunia. Wanajeshi wanaweza kweli kushiriki ukiukwaji huo mkubwa wa haki za kibinadamu kwa raia wao? Haiwezekani mbona?

  • @innocentzablon4682
    @innocentzablon46827 ай бұрын

    Tanzania ina Mambo Sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32316 ай бұрын

    Unamsikua fara huyo. Na hiyo media yake ifungwe

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt7 ай бұрын

    Huyoheshimiwa aliitwa Peter Kisumo.

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu88737 ай бұрын

    Lengo Lao ni kuwafukuza wamasai Wa ngorongoro na loliondo.Hii ni dhambi mbaya sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything7 ай бұрын

    👍✌️👊.

  • @ChristerShao
    @ChristerShao7 ай бұрын

    Eee mungu tunusuru na hili kama ni kweli.Sasa hiyo mapambano kati ya nani na nani.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61597 ай бұрын

    Ccm jamani majeshi dhidi ya raia wema

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel16437 ай бұрын

    Lengo la vitendo hivi ni kututoa kwenye mstari wa kujadili miswaada iliyoko bungeni ili waovu waipitishe kirahisi yale wanayotaka. Waraka huu jinsi ulivyowekewa vifaa viiingi vya kiutendaji, mie nauona ni fake. Raia hawa hawa wa Tz ndio wapigwe na weapons nzito kama hizo? Sio kweli ni fake fake fake.

  • @mohamedmillanzi9070
    @mohamedmillanzi90707 ай бұрын

    Tunashukuru serikali kwa kusikia kilio cha wakulima dhidi ya wafugaji wanaolisha wanyama wao mazao yetu.Tundu lissu hujaonesha njia ya kutatua tatizo umetoa lawama tu.Wakulima hatukuelewi kamwe.

  • @user-sq3cn1nc2x
    @user-sq3cn1nc2x7 ай бұрын

    Pia kati walio jiuzuru wakati huo ni aliyekua waziri katika ofisi ya rais muungano amefariki juzi tu Mzee Hassan nasoro moto(alikuwa anatoka Zanzibar).

  • @bavongabriel8420
    @bavongabriel84207 ай бұрын

    Tupia hizo links zenye waraka huo

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya16867 ай бұрын

    Huyu Lisu anatamani siku moja amani itoweke wakati wanae wanaenjoy Marekani! Historia kama mtu yupk shule asome hapo! Hawana hoja tena!😂😂

  • @MiziziMti

    @MiziziMti

    7 ай бұрын

    Lisu anaongea ukweli

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo7797 ай бұрын

    Peter Kisumu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano70677 ай бұрын

    Kumbe watZ mmerogwa upumbavu inawezekana je kwenye nchi yenye watuwengi kiasihiko halafu watu wachachewawasunmbuwemiakanendarud

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32316 ай бұрын

    Acheni kufuata mkumbo wa lissu hana la maana zaidi ya kutaka kumwaga damu.Baada ya vurugu ndipo umasikini utazidi wakati yeye atapewa billions za dolla na akina wasenge wake atakuwa a meitimiza ahadi ya kuichafua tz.Ndiyo maana karudi Anaongea kwa kujiamini kwa sababu ana wasenge wa huko alikotoka nyuma yake.😢 Balaa kabisa 😢

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya16867 ай бұрын

    Huyu mtu kiila kitu ni kibaya na anakijua yeye! Kila siku ni kulalamika! Sema basi wewe umetufanyia nini na kitambi unacho??😂😂😂

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko58037 ай бұрын

    Sasa mbona hawakushtakiwa Mwiinyi akawa raisi?

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    What?

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana79577 ай бұрын

    Sijuwi kana kweli

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu88737 ай бұрын

    Peter kisumo

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    Inatisha sana lakini

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i7 ай бұрын

    Kuvuruga wafugaji kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia55667 ай бұрын

    NALUDI TENA MAFIA ISLAND MKOA WA PWANI PIA WANAITAJI MSAADA WA KISHERIA PIA DADA MARIA TUNAOMBA MSAADA PIA

  • @myself4128
    @myself41287 ай бұрын

    JWTZ,polisi,Usalama wa Viongozi wa Ccm(Taifa), mpaka mahakama na magereza wote wanacard za ccm,Hakuna Uzalendo ila wana wanafanya kazi kwa kupokea maelekezo ya CCM tuu,hii nchi imeshaoza,angalia Bunge limejaa Misukule tu inapiga makofi kishangilia ujinga!!

  • @judicatendengerio-ndossi1583
    @judicatendengerio-ndossi15837 ай бұрын

    Tunaomba huo waraka tafadhali

  • @IsaacNyato-dt9we
    @IsaacNyato-dt9we7 ай бұрын

    Huko unagusa kwingine na sidhani kama utajibiwa.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    Tumechoka amani?

  • @rithaurassa
    @rithaurassa7 ай бұрын

    Ee Mungu tunusuru na hili tatizo la kijeshi,Mungu sikiliza kilio cha walio wengi,WTZ hatujui vita, Tunusur Eeee Mungu uliyeko juu ya vyote natunakuabudu kushinda vyote,

  • @barack.A-Mtulo

    @barack.A-Mtulo

    7 ай бұрын

    Sio kazi ya Mungu

  • @myself4128

    @myself4128

    7 ай бұрын

    ujinga wa Watanzania ni Kumuachia Mungunkila kitu,Ni kazi yetu kuamka na Kutoa tongo tongo akilini mwetu na kudai na kupambania haki zetu

  • @leonadurasa6641
    @leonadurasa66417 ай бұрын

    Public coments

  • @michaelmeshaki9931
    @michaelmeshaki99317 ай бұрын

    HUO NI UZUSHI TU HAKUNA JAMBO KAMA HILO

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r7 ай бұрын

    Nchi inakoelekea sio salama majeshi yetu yanapambanaje na raia wakati ni jeshi la wananchi wa Tanzania?

  • @Michael-kd8yw

    @Michael-kd8yw

    7 ай бұрын

    Fatilia utajua tu....

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq7 ай бұрын

    Tumefika kubaya

  • @erastoleonard8625
    @erastoleonard86257 ай бұрын

    Kiukweli rais samia machozi ya watanzania yapo mikononi mwako na kwa uwezo wa mungu ipo siku utayalipa kwa ghalama kubwa sana

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    7 ай бұрын

    Kabisa

  • @leonadurasa6641
    @leonadurasa66417 ай бұрын

    Public. Coments

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32316 ай бұрын

    Hizo ndizo sera za uchaguzi su vipi.😮

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Tumia sindano jingine. Sera zenu zipi? Bora huyu anatufungua macho. Kama wewe kìpogu endelea kuto kuona

  • @user-sq3cn1nc2x
    @user-sq3cn1nc2x7 ай бұрын

    Naona Jina la waziri huyo naona Hassan nasoro moyo nimeiandika kama:Hassan nasoro moto Kwa makosa.waziri ktk ofisi ya ris aliye jiuzuru na mwinyi wakati huo.hassan nasoro moyo amefariki wakati wakipindi Cha corona.sisemi alifariki Kwa corona.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    Huu waraka ni wa kweli lakini? Nashindwa kuaminika hizi habari. Haiwezrkani katika akili za kawaida

  • @chrissymarcus5051
    @chrissymarcus50517 ай бұрын

    Tuwekeen waraka huo

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa92647 ай бұрын

    Hivi mbona vitu vingine ni logic tu. Hivi mbona maneno mengi namnajivua nguo

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza56557 ай бұрын

    Lisu. Ni. Mwambie. Mungu. Am Urinde sssssa

  • @marialesulie6798
    @marialesulie67987 ай бұрын

    Huo waraka unaweza kuwa feki kwa ajili ya kuchafua sifa ya majeshi ya nchi yetu. Uchekiwe kwa umakini kama ni wa kweli au ni feki news. Inawezekanaje hayo yote? Inawezekana vipi?

  • @mickgeofreyjoachim1580

    @mickgeofreyjoachim1580

    7 ай бұрын

    Siwatoke wakanushe hao wajeshi,hii nchi tumechezewa kwa miaka mingi sana suluhisho ni ccm waondoke madarakanii

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32316 ай бұрын

    L I ssu ulaaniwe😢

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Wewe ndiyo uĺaaniwe

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw7 ай бұрын

    Nyie ni wehu mbona uliyoyaona Belgium ubaguzi wewe Lissu unavuta bagi watu wanalinda nchi zao nyie mnachafua nchi waafrica vichwa vyetu hata kama umesoma hamna kitu wewe vizuri njoo washauli serikali.

  • @idiphoncekiimbi2021

    @idiphoncekiimbi2021

    7 ай бұрын

    Upeo wako ni mdogo kufikiri

  • @PhillipMwakibolwa-kp2fd

    @PhillipMwakibolwa-kp2fd

    7 ай бұрын

    Wewe ni Mjinga

  • @user-if9gi2rx8f

    @user-if9gi2rx8f

    7 ай бұрын

    Jibu hoja

  • @user-ss1ph9vp7h

    @user-ss1ph9vp7h

    7 ай бұрын

    Kwahiyo unataka akae kimya ilituendelee kuteswa. Au nawe ni mmojawapo Kati ya hao watesaji na wanyanyasaji wa CCM

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r7 ай бұрын

    Tundu umebaki peke yako kuliokoa taifa letu Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana.

  • @marialesulie6798

    @marialesulie6798

    7 ай бұрын

    Kivipi?

  • @fauzseif7344
    @fauzseif73447 ай бұрын

    Huyo nimwehu sahizi nibeberu asie panda

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana79577 ай бұрын

    Peter Kisumu

Келесі