LAZIMA UCHEKE, TIN WHITE AKIELEZEA UNDUGU WAKE NA RICH MAVOKO, ANANIAMKIA SHKAMOO KAKA ANAPITA HIVI
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 46
Nimecheka 😄😄 eti mbona nyie amutangazi ndugu zenu
Fact sana Tin White. Presenter jifunze kuhoji hapo umezingua sana maana mnakariri jinsi ya kuhoji
Uyo n kaka lazima aoneshe utofaut na mdg wake
Na nyinyi watangazaji swali ni lile lile tu kwa huyu mwamba..kila siku mnamuuliza kuhusu undugu wake na Rich Mavoko then ukaribu wake na Ringo..hamnaga maswali mengine ya msingi? Kila interview ya tini caption ni ile ile
@dianerditto
Жыл бұрын
Wanakeraaaaa
@IsHenryTz
Жыл бұрын
Ndio watu wanachopenda kusikia
@ramadhankakai7303
Жыл бұрын
@@IsHenryTz ko watu wanapenda swali hilo hilo na jibu hilo hilo moja?
Tin is the best, ninamkubali Sana, nesikia yeye akiongelea kuusu manatengeneza movie kwajiri yawa Tanzania, lakini mimi ninataka nimsibitishie kwamba sio Tz tu lakini movie zake zinaangaliwa inje pia ya inshi. Kwa mfano Mimi ninacoment ninaishi Mozambique na uku pia tuna fatiliaga Sana movie zake.
Mbona nyiye hamtangzaj ndugu zenu 🤣🤣 Tin kachok nahili swali kila siku
Tin yupo sawa kabisa
Umewajibu vizuri watangazaji wambeambea
Ndio mjifunze sasa kwa kuona na kusikia sio kila jambo lazima uweke to the public wakati ni issues personal 🤔😄😄😄😄🤔
Wakati mwingine mnashangaza,,Utamuulizaje Tin swali moja leo kesho keshokutwa wiki mwezi,,Maanake nini sasa😂😂😂
Sawa
👁️🔥🔥🔥
Huyu jamaa ukimuangalia lazima ucheke maan anachekesha
@NasraSaid-qc5hf
10 ай бұрын
😂😂kweliii
Wale wapenzi wa simulizi za mapenzi na mikasa karibu kusubscribe ukurasa wangu
Kweri
Ata akiwa serious anachekesha😂
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂
Mtangazaji kasema “potraytation”🙆🏾♂️ hiyo ngeli ya wapi😢😢
@bwanabrainex433
Жыл бұрын
🤣🤣🤣Ya kiuandishi🤣🤣🤣
@juliusmaricha8836
Жыл бұрын
😂kidhungu bhana…
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
Dah bora tu kuendelea kiswahili coz hawajui jinsi wanavyotuonesha kuwa hamna kitu kichwani😥 ndo walikuaga wanasugua mikono darasani afu wananusa ka inanuka mavi ya kuku😁😁
@joshua.mhando
Жыл бұрын
Sifa ya lugha ni l kukua, kukua ni pamoja na kuzaliwa vocabularies mpya, kama potraytation, mi nimemwelewa kamaanisha nini, ametisha 🙌🏼
@mudathirubwa
Жыл бұрын
Maana yake ni uchafuzi nenda katranclate
Tin mkal
Potreitesheni..........😂😂😂 Watangazaji achani kulazimisha kingereza wakati hamjui Eti potreitesheni 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
@HimidKombo-di6yt
Жыл бұрын
Ni kweli na nynyi Kwann watangazaji hamsemi family zeny