LAZIMA UCHEKE, TIN WHITE AKIELEZEA UNDUGU WAKE NA RICH MAVOKO, ANANIAMKIA SHKAMOO KAKA ANAPITA HIVI

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 46

  • @zakhialibanangu9490
    @zakhialibanangu9490 Жыл бұрын

    Nimecheka 😄😄 eti mbona nyie amutangazi ndugu zenu

  • @bongostorytz
    @bongostorytz Жыл бұрын

    Fact sana Tin White. Presenter jifunze kuhoji hapo umezingua sana maana mnakariri jinsi ya kuhoji

  • @emmanuelmashauri1430
    @emmanuelmashauri1430 Жыл бұрын

    Uyo n kaka lazima aoneshe utofaut na mdg wake

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 Жыл бұрын

    Na nyinyi watangazaji swali ni lile lile tu kwa huyu mwamba..kila siku mnamuuliza kuhusu undugu wake na Rich Mavoko then ukaribu wake na Ringo..hamnaga maswali mengine ya msingi? Kila interview ya tini caption ni ile ile

  • @dianerditto

    @dianerditto

    Жыл бұрын

    Wanakeraaaaa

  • @IsHenryTz

    @IsHenryTz

    Жыл бұрын

    Ndio watu wanachopenda kusikia

  • @ramadhankakai7303

    @ramadhankakai7303

    Жыл бұрын

    @@IsHenryTz ko watu wanapenda swali hilo hilo na jibu hilo hilo moja?

  • @user-rf3bu4qi4w
    @user-rf3bu4qi4w Жыл бұрын

    Tin is the best, ninamkubali Sana, nesikia yeye akiongelea kuusu manatengeneza movie kwajiri yawa Tanzania, lakini mimi ninataka nimsibitishie kwamba sio Tz tu lakini movie zake zinaangaliwa inje pia ya inshi. Kwa mfano Mimi ninacoment ninaishi Mozambique na uku pia tuna fatiliaga Sana movie zake.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Жыл бұрын

    Mbona nyiye hamtangzaj ndugu zenu 🤣🤣 Tin kachok nahili swali kila siku

  • @Vematv248
    @Vematv248 Жыл бұрын

    Tin yupo sawa kabisa

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын

    Umewajibu vizuri watangazaji wambeambea

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Жыл бұрын

    Ndio mjifunze sasa kwa kuona na kusikia sio kila jambo lazima uweke to the public wakati ni issues personal 🤔😄😄😄😄🤔

  • @poleclassic
    @poleclassic Жыл бұрын

    Wakati mwingine mnashangaza,,Utamuulizaje Tin swali moja leo kesho keshokutwa wiki mwezi,,Maanake nini sasa😂😂😂

  • @DILLYDONEWIZ
    @DILLYDONEWIZ Жыл бұрын

    Sawa

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers Жыл бұрын

    👁️🔥🔥🔥

  • @azaziazawardmwachai1069
    @azaziazawardmwachai1069 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ukimuangalia lazima ucheke maan anachekesha

  • @NasraSaid-qc5hf

    @NasraSaid-qc5hf

    10 ай бұрын

    😂😂kweliii

  • @Simulizi_nzuri
    @Simulizi_nzuri Жыл бұрын

    Wale wapenzi wa simulizi za mapenzi na mikasa karibu kusubscribe ukurasa wangu

  • @user-do8jp4tc4p
    @user-do8jp4tc4p8 ай бұрын

    Kweri

  • @paulpetroupdates6173
    @paulpetroupdates6173 Жыл бұрын

    Ata akiwa serious anachekesha😂

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @Scott_adi
    @Scott_adi Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Жыл бұрын

    Mtangazaji kasema “potraytation”🙆🏾‍♂️ hiyo ngeli ya wapi😢😢

  • @bwanabrainex433

    @bwanabrainex433

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣Ya kiuandishi🤣🤣🤣

  • @juliusmaricha8836

    @juliusmaricha8836

    Жыл бұрын

    😂kidhungu bhana…

  • @aminmohammed4249

    @aminmohammed4249

    Жыл бұрын

    Dah bora tu kuendelea kiswahili coz hawajui jinsi wanavyotuonesha kuwa hamna kitu kichwani😥 ndo walikuaga wanasugua mikono darasani afu wananusa ka inanuka mavi ya kuku😁😁

  • @joshua.mhando

    @joshua.mhando

    Жыл бұрын

    Sifa ya lugha ni l kukua, kukua ni pamoja na kuzaliwa vocabularies mpya, kama potraytation, mi nimemwelewa kamaanisha nini, ametisha 🙌🏼

  • @mudathirubwa

    @mudathirubwa

    Жыл бұрын

    Maana yake ni uchafuzi nenda katranclate

  • @QuickerMan
    @QuickerMan Жыл бұрын

    Tin mkal

  • @henrybaraka5258
    @henrybaraka5258 Жыл бұрын

    Potreitesheni..........😂😂😂 Watangazaji achani kulazimisha kingereza wakati hamjui Eti potreitesheni 😂😂😂😂😂😂

  • @mkp8455
    @mkp8455 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @guccij6236
    @guccij6236 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @HimidKombo-di6yt

    @HimidKombo-di6yt

    Жыл бұрын

    Ni kweli na nynyi Kwann watangazaji hamsemi family zeny

Келесі