LAMI KASULU, NDALICHAKO ASIMAMIA, WANANCHI WAMJIA JUU MKANDARASI "TUHESHIMIANE, TUMIENI LUGHA NZURI"

Mbunge wa jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amewaomba wananchi kuweka heshima kwa watendaji na kutoa lugha za staha ili kuweza kupata maendeleo ambayo ni pamoja na barabara kuwekwa katika viwango vya lami na pia kutoa ushirikiano kwa watendaji hao
Kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea katika mitaa ya Halmashari ya
Nao wananchi wa halmashauri hiyo wamemtaka mkandarasi anayefanya matengenezo ya barabara hizo kufuata utaratibu mzuri ili kuepuka migogoro baina ya wananchi na mkandarasi huyo.
Kwa upande wake Meneja wa TARURA Eng. Baraka Mauya ameshauri barabara hiyo ifungwe ili kuendelea kufanya matengezo kwa ufanisi kwa kutoa udogo ili kupanua ukubwa wa barabara na kukana tuhuma za kupiga watu na kuwazuia wasipite.

Пікірлер: 297

  • @lorenzotrevisani4421
    @lorenzotrevisani44213 жыл бұрын

    Hongera, huyu dada anajua namna wa kufanya mambo kuendelea vizuri bila mgogoro. Kuheshimia contractor na wanainchi.

  • @samuerypaulo5711
    @samuerypaulo57113 жыл бұрын

    Kasulu tumepata jembe la kazi mama ndalichako🙏🙏🔥🔥🔥

  • @kato_tz
    @kato_tz3 жыл бұрын

    Tatizo la waha ni wabishi yaani hata barabarani wengine hawapishi gari wanadai barabara ni ya wote, Ah ah ah ah Yeee mgabo mnataka lami hamtaki??

  • @simeonmvugus2446

    @simeonmvugus2446

    3 жыл бұрын

    😇😇😅😅

  • @mattanofficemusc3535
    @mattanofficemusc35353 жыл бұрын

    Mustafa unaongea vzr nakubali cna kigoma juu shida nin ww mkandalasi💥💥💥😂😂😂🤣😎

  • @sawanjema4889
    @sawanjema48893 жыл бұрын

    Tunduma mjini kuna msongamano sana wa watu lakini lami ilipita.wala hatukusikia malalamiko kama hayo,mkandalasi uwe makini,maisha ya watu yaendelee

  • @chrissmeshack5451

    @chrissmeshack5451

    3 жыл бұрын

    Akil nying

  • @maydayndabisiys783

    @maydayndabisiys783

    3 жыл бұрын

    Kwanza uyo bwana anaonaonekan mwenye dharau sana ilitakiwa apigwe hats banzi

  • @saha20gsupp39

    @saha20gsupp39

    3 жыл бұрын

    @@maydayndabisiys783 Huyo Engineer sijamuelewa kabisa.Huwezi kuwafungia wenda kwa miguu eti kisa lami.Jenga UPANDE mmoja UPANDE mwingine watu wanaendelea na maisha ya kila siku.

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @sonkunomosonso9553
    @sonkunomosonso95533 жыл бұрын

    Aiseeee!! Hawa watani wangu ni wabishi hadi raha

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    3 жыл бұрын

    Kakojoe kwanza

  • @sixbertmwakaluwa5665

    @sixbertmwakaluwa5665

    3 жыл бұрын

    Eti barabara zenyewe anazotengeneza barabara 😂😂😂😂😂

  • @burundishallsmile1day109

    @burundishallsmile1day109

    3 жыл бұрын

    Waha haooo🤣🤣🤣

  • @davidntahindwa752

    @davidntahindwa752

    3 жыл бұрын

    Siku zote mtu akikuita mbishi..ni dharau ..anahisi wewe sio level yake katika argument.

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus85823 жыл бұрын

    Engineer unaonyesha uwezo mdogo kabisa unalumbana na wananchi Kama mtu asiyekuwa na utaalam

  • @rashidalshaid445
    @rashidalshaid4453 жыл бұрын

    Uko vizuri sana mheshimiwa waziri. Waha tuache ushamba wacheni wafanye kazi watendaji

  • @mathiasmsese6128

    @mathiasmsese6128

    3 жыл бұрын

    hawa janmaa ni shida usiombe upate mradi

  • @roshanbanu8980

    @roshanbanu8980

    3 жыл бұрын

    Noma sana

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16603 жыл бұрын

    Asante sana Mama yetu Ndalichako. Kazi yako ni njema sana tunaiona. Mimi naishi Dar lakini ni mwenyeji wa hapo Kasulu na ni mpigakura wako. Asante sana kwa maendeleo unayotuletea. Mungu akubariki sana. Ila kusema kweli huyo jamaa msimamizi wa ujenzi wa barabara hana hekima. Anatakiwa atumie busara kuongea na watu kwa lugha njema watamuelewa. Sisi waha asili yetu hatutaki kudharauliwa na wewe ni Mha unajua. Kwahiyo naomba umshauri asitumie usomi wake wala uwezo wowote anaodhani anao kuwasukuma wananchi bali atumie lugha laini ataona kila kitu kinakuwa chepesi. Watu wa Kasulu ni waelewa na wana upendo sana ila hawataki kero. Asante sana na Mungu azidi kukulinda uendelee kuleta maendeleo wilayani kwetu. BARIKIWA.

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11703 жыл бұрын

    Lami nyepesi itakuwa na viwango kweli? Na hao wasumbufu wote ambao hawaelewi lami ikiwekwa lazima ufuate maelekezo ya wataalam wachapwe viboko, wataelewa.

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    3 жыл бұрын

    Kwa nini huwa Mnapenda ku doubt vitu vinavyoweza kuwapatia maendeleo? Shukuruni Kwa kila jambo jamani.

  • @meshackmihayo7480

    @meshackmihayo7480

    3 жыл бұрын

    @Edwin Alexander Lami nyepesi huwekwa kwenye Barabara yenye magari machache mzee (Low Traffic Loading)....dhumuni lake ni kuwa economical yaani kuweka lami ambayo ina correspond to the demand (Ambayo ndio kama traffic load yaani idadi ya magari na design life yaani muda ambao hiyo barabara inategemea kutumika kabla haijajengwa nyingine, ambayo hua inakua miaka 20)......Haihusiani na Ubora chief....

  • @fortdasfidell8862

    @fortdasfidell8862

    3 жыл бұрын

    😂😂😂watani zangu wabishi sana

  • @puttenyanthony9284
    @puttenyanthony92843 жыл бұрын

    Kigoma kwetu napapenda

  • @marcelpaschal7554
    @marcelpaschal75543 жыл бұрын

    Shida iko wapi huyo engineer anafeli wapi kwani mbona sehem zenye population kubwa kama huku dar wanajenga lami huku watu tunapita shida iko wapi kwa kasulu ko watu wasitembee???

  • @halisimediatz
    @halisimediatz3 жыл бұрын

    Kasulu Kigoma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc83423 жыл бұрын

    Hekima kubwa sana. Mungu akubariki sana Mh. Ndalichako

  • @assoum_N
    @assoum_N3 жыл бұрын

    Wise woman ever❤

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @leeisaac9540

    @leeisaac9540

    2 жыл бұрын

    I know it is kinda randomly asking but do anybody know a good website to watch new movies online ?

  • @marcelobishop293

    @marcelobishop293

    2 жыл бұрын

    @Lee Isaac flixportal

  • @leeisaac9540

    @leeisaac9540

    2 жыл бұрын

    @Marcelo Bishop thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there =) I appreciate it!!

  • @marcelobishop293

    @marcelobishop293

    2 жыл бұрын

    @Lee Isaac You are welcome :)

  • @dominickmhangwa
    @dominickmhangwa3 жыл бұрын

    dah hawa ndugu zetu nao wako nyuma sanaa c wapishe ujenzi uendeleee duh

  • @devdnzeyman1985

    @devdnzeyman1985

    3 жыл бұрын

    wewe upo mbele sio?

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @mkemia_magege5816

    @mkemia_magege5816

    3 жыл бұрын

    @@devdnzeyman1985 Jamaa wewe mbishi kweli. Duh! Ngo Kigoma ni hatari!

  • @mkemia_magege5816

    @mkemia_magege5816

    3 жыл бұрын

    Tena wangepisha maana ni mwezi mmoja tu. Ila tatizo na wao wakandalazi wanaweza kuchukua hadi miezi tisa kumaliza hako kakipande yaani inakuwa ni kero.

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa52723 жыл бұрын

    ASANTE SANA mwl wangu Joyce Ndalichako

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    3 жыл бұрын

    Amekufundisha shule gan

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy81373 жыл бұрын

    Mama ndalichako.hako kamkoa kanataka moyo sana..Ni kweli ni kwetu ,lkn ubish na ukaid ni mwingi sana.Yabid usimamie kibabe mambo yende.huo ndo mkoa ambao watu wake hawanaga woga kujib ama kumtumbua mtu hadharani,km ulivyosema sio kila jambo lzm likosolewe,kaz hazitamalizwa kw wakati

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa37283 жыл бұрын

    Waha wenzangu acheni upumbavu sogeeni lami ijengwe mbona mnaniabisha!

  • @robartmwangomalecharnel7860
    @robartmwangomalecharnel78603 жыл бұрын

    Sio kweli mama mkandalasi atengeneze mazingira mazuri kwa watembea kwa miguu ,,,mji km dar unajengwa kila siku na una watu wengi sana lakini kazi zote zinaendelea vizuri ,,,watu nao wanaendelea na shughuli zao vizuri

  • @gastorypatrmusoma626
    @gastorypatrmusoma6263 жыл бұрын

    Millard hongera taarifa zako zimenyooka

  • @johnmalambo1738
    @johnmalambo17383 жыл бұрын

    Sema kweli

  • @ntemieellys4370
    @ntemieellys43703 жыл бұрын

    Waha🙋

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020243 жыл бұрын

    Fanyeni kazi usiku basi kwani wewe unachokisema hujaangalia ni namna gani mnaweza kutatua matatizo ya kufanya kazi. Engineer ulienda shule unaweza kuja na utaratibu wa kufanya kazi jioni mpaka asubuhi. Makampuni mengine yanafanya kazi vizuri, kajifunze kwa wengine.

  • @jacobmakono6983

    @jacobmakono6983

    3 жыл бұрын

    ..hivi ina maana hata kulikuwa hakuna hata notice kwa wananchi kuwa waondoke..

  • @swedinjaidi4658

    @swedinjaidi4658

    3 жыл бұрын

    Kaka watanzania tuwazembe kwani wakifanya lain moja wakahamia lain ya pili inakuwaje,

  • @DM_15
    @DM_153 жыл бұрын

    Vzuri mama

  • @ramazubery2641
    @ramazubery26413 жыл бұрын

    Nimeipenda hii

  • @fadhilikaphiz4023
    @fadhilikaphiz40233 жыл бұрын

    Hongera sana rais magufuli

  • @mtumishiwamungunelson1684
    @mtumishiwamungunelson16843 жыл бұрын

    Ndalichako unaonekana una hekima , sana Mama Mungu akutunze sana sana Mama utunzwe na Kutunzwa na Mungu aliye hai

  • @karyori69
    @karyori693 жыл бұрын

    Watu wa Kigoma? Dah. . Sasa napata picha Zitto kwann yupo vile?

  • @peterkalii5939
    @peterkalii59393 жыл бұрын

    Mama umeongea kama wazee Mia moja. Hongera sana Wananchi asa kwa kipindi hiki wanaujuaji mwingi sana wakusumbua wataalam. For a short time they will have the road tarmacked let them wait

  • @shannelika718
    @shannelika7183 жыл бұрын

    Wow!

  • @chriseliakim9425
    @chriseliakim94253 жыл бұрын

    Tatizo waha washamba sana tulieni wananchi wa2 wafanye kazi

  • @ezradaniel4613

    @ezradaniel4613

    3 жыл бұрын

    Ww kabla gan usiye mshamba

  • @johnmalambo1738
    @johnmalambo17383 жыл бұрын

    Watani zangu waha njooni tuwape uwelewe wabishi wakijinga

  • @lidyamathayo8343

    @lidyamathayo8343

    3 жыл бұрын

    Nyie jitambuweni pisheni ujenzi

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @davidntahindwa752

    @davidntahindwa752

    3 жыл бұрын

    Siku zote mtu akikuita mbishi ni dharau..

  • @yasinishekallahakusaidi8766
    @yasinishekallahakusaidi87663 жыл бұрын

    Dar barabara zinajengwa na shughuli za kiuchumi zinaendelea

  • @sarahamos8524

    @sarahamos8524

    3 жыл бұрын

    Waonyeshe njia ya ziada

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Safi sana profesa ndalichako

  • @mohammedmmari5459
    @mohammedmmari54593 жыл бұрын

    Kasulu pazuri kuliko kigoma mjini

  • @bukurubenjamin6813
    @bukurubenjamin68133 жыл бұрын

    Ongera sanaaaaa watu wakasulu nakumbuka kipindi nilikuwa nacapa kazi 2006 uterezi navumbi kinoma ivi itakuwa safi kwelikweli.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    3 жыл бұрын

    Hongera kwa lipi wakati jamaa wabisha kujengewa lami

  • @bukurubenjamin6813

    @bukurubenjamin6813

    3 жыл бұрын

    Si ni ushamba mtu ambae hajatumia lami hawez kujua mana yake.

  • @hamisikadege5867
    @hamisikadege58673 жыл бұрын

    Hongera sana mbunge

  • @gehazzedson6428
    @gehazzedson64283 жыл бұрын

    Nice

  • @judithmgaya7733
    @judithmgaya77333 жыл бұрын

    Wise leader

  • @novatusabond9253
    @novatusabond92533 жыл бұрын

    Barabara ifungwe,maendeleo hayana chama

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47343 жыл бұрын

    Watu wakigoma wabishi balaaa aisee

  • @hancemichael6303
    @hancemichael63033 жыл бұрын

    Kigoma ni wabishi aisee

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    3 жыл бұрын

    Ndiyo maana ikaitwa kigoma, maana ni mgomo mda wowote

  • @petermatabwa5085

    @petermatabwa5085

    3 жыл бұрын

    We kwenu kila kitu ni ndio tu hakuna hapana

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Hawa wananchi wanajicheleweshea wenyewe maendeleo

  • @hivemutongore7638
    @hivemutongore76383 жыл бұрын

    Walinde kazi za wenzako hadi hapo Mh Ndalichako Umeona Waha Wenzangu

  • @tz7976
    @tz79763 жыл бұрын

    Mkandarasi mbishi raia nao ndo kabisaaa!

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🙉

  • @yusuphhusseni3337
    @yusuphhusseni33373 жыл бұрын

    Ndalichako nakupenda sana mamaangu

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga36263 жыл бұрын

    Napenda tu lafudhi ya waha,eti hii ni lami basi😂

  • @simonchambo1230

    @simonchambo1230

    3 жыл бұрын

    Lugha zao ata me zinanifrahisha eti hii lam bas😂😂😂

  • @kingmagoha281
    @kingmagoha2813 жыл бұрын

    Engineer Baraka Mkuya

  • @markosikudhani799
    @markosikudhani7993 жыл бұрын

    WAHA MNAFAHAMIKA KWA UBISHI.

  • @eliudmkondo4290

    @eliudmkondo4290

    3 жыл бұрын

    Kajinyonge

  • @petrojohn8250
    @petrojohn82503 жыл бұрын

    Waha bwana

  • @jacksonchiwalanga4817
    @jacksonchiwalanga48173 жыл бұрын

    Bishana na wengine....sio wahaaa 😂

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    3 жыл бұрын

    Hahaha waha nomaaa saana

  • @jacobmakono6983

    @jacobmakono6983

    3 жыл бұрын

    ..hahahaha!ni kweli ni wabishi vibaya sana!

  • @lidyamathayo8343

    @lidyamathayo8343

    3 жыл бұрын

    Mlete Moshi vijijini atujengee barabara yetu

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Hawa wananchi ni washenzi Kama hawataki lami wache wabaki na vumbi

  • @okokamdimbwaokoka2179
    @okokamdimbwaokoka21793 жыл бұрын

    Mama yuko vizur hogera sana mama

  • @bakariyusufu735
    @bakariyusufu7353 жыл бұрын

    Engineer hafai, angelikuwa anatengeneza barabara za Dar asingeweza angegombana na machinga

  • @davidntahindwa752

    @davidntahindwa752

    3 жыл бұрын

    Mhandisi anadharau

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven62413 жыл бұрын

    shida siyo waha wabishi wanacholalamikia ni sahihi, barabara lazima ijengwe lakini pia shughuli lazima ziendelee kama kawaida. Hapo nilitegemea Engineer agefanya namna watu wanaweza wakapita ili shughuli ziendelee na siyo kulalamika upande wangu hapo hakuna Engineer

  • @eliudmkondo4290

    @eliudmkondo4290

    3 жыл бұрын

    Chukua soda 10 hapo kwa mangi nakuja kulipa. Una akili nyingi wengine wamekariri eti waha wabishi

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili21303 жыл бұрын

    Nyumban kwetu hatubuluzwi buluzwi waha utubishia ukweli siku zote💪💪

  • @rajabmasoud3137
    @rajabmasoud31373 жыл бұрын

    Kasulu punguzeni Ushamba acheni mkandarasi afanye kazi yake

  • @eliudmkondo4290

    @eliudmkondo4290

    3 жыл бұрын

    Mshamba mwenyewe , hapo Kuna ushamba gani?

  • @jafariharuna6536
    @jafariharuna65363 жыл бұрын

    What wabishi sana

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict53783 жыл бұрын

    Mmmm

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude78693 жыл бұрын

    Ila wakazi wakasulu wanajuwa kujieleza yaani maelezo yao ni grade one

  • @sifasanga7866

    @sifasanga7866

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaaa

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi60663 жыл бұрын

    Siaondoke mkandarasi nihuyohuyotuu mama tafutamwingine au nawewe unapata chochote

  • @djamanzacharia
    @djamanzacharia2 жыл бұрын

    Waha jaman wagumu kuelewa duh kama wanyama jaman

  • @georgeigogo2426
    @georgeigogo24263 жыл бұрын

    Eng hewa

  • @geewara6385
    @geewara63853 жыл бұрын

    Niko radhi nikabishane na Mchina yeye aongee kichina Mimi niongee kiswahili Ila tukanfyenge tu hivyo² ila KUBISHANA NA MUHAA 😆😆😆😆🙌 hio wacha ikae

  • @pungopungo411
    @pungopungo4113 жыл бұрын

    Kabla hujaanza kubomoa barabara ni lazima uwachongee wananchi kabarabara kando ili waweze kupita

  • @emanueliotto8248
    @emanueliotto82483 жыл бұрын

    Kasulu mmepata, sifa mojawapo ya Mbunge ni kuwasikiliza wananchi na kuwa na utiyari wa kutatua kero zao

  • @sawanjema4889
    @sawanjema48893 жыл бұрын

    Nashangaa jambo hili no LA kwanza kusikia eti mkandalasi analalamika watu wengi,

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka75333 жыл бұрын

    Eti lami oyeee

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25133 жыл бұрын

    Kwelii uyo mkabdaras hawezi kazi

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa92683 жыл бұрын

    Msiseme waha semeni Watu wa kasulu

  • @cavoo4get649

    @cavoo4get649

    3 жыл бұрын

    Wale wale tu

  • @majaliwamussa9268

    @majaliwamussa9268

    3 жыл бұрын

    @@cavoo4get649 kama nyie

  • @CyimSky

    @CyimSky

    3 жыл бұрын

    NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html

  • @eliudmkondo4290

    @eliudmkondo4290

    3 жыл бұрын

    Mwenye akili ubishi uko wapi hapo.

  • @ndalelias3195
    @ndalelias31952 жыл бұрын

    Engineer gan haweki sehemu ya watu kupita?

  • @christianchando7041
    @christianchando70413 жыл бұрын

    We Mkandarasi jiongeze, sehemu yenye population kubwa kama hiyo, unatakiwa kufanya kazi usiku, washa taa. Mchana waachie wananchi wafanye shughuli zao

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa86993 жыл бұрын

    NYUMBA NYINGI LASULU ZIKO.BARABARANI .MKANDARASI ATAPATA SHIDA SANA

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1093 жыл бұрын

    Mama Busara 👍🏾

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter38943 жыл бұрын

    Waha wabishi baraaaaa na hao ni sampuli ya ZITO

  • @makutaahcastory661

    @makutaahcastory661

    3 жыл бұрын

    Usituseme jamani

  • @edisonpeter3894

    @edisonpeter3894

    3 жыл бұрын

    @@makutaahcastory661 uzuri nawajua nimeishi nao wengi tu

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha42683 жыл бұрын

    Wananchi wanabishana na mashiney. Tanzania bana

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka5173 жыл бұрын

    MHESHIMIWA KWELI UNAKAZI, HAO WANANCHI MBONA WABISHI? MTOE AKAFANYE KAZI KWINGINE.

  • @moteswafwalu1655

    @moteswafwalu1655

    3 жыл бұрын

    Waha ndo wabishi dunia nzima inajua

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Ndomana walitelekezwa kumbe kosa nilao

  • @smartworld6153
    @smartworld61532 жыл бұрын

    Kayeeee😄😄😄😄😄

  • @veronicakidolezi6822
    @veronicakidolezi68223 жыл бұрын

    Engineer hajitambui!

  • @hamismaulid270

    @hamismaulid270

    3 жыл бұрын

    Ni kweli, hata usiku pia aweza fanya ujenzi

  • @barakaduma2398

    @barakaduma2398

    3 жыл бұрын

    @@hamismaulid270 mkataba arousaini sio wakufamya kazi usiku

  • @hamismaulid270

    @hamismaulid270

    3 жыл бұрын

    @@barakaduma2398 hata kama ni wa mchana, bado aweza ubadili, hatokuwa wa kwanza kufanya hivyo

  • @barakaduma2398

    @barakaduma2398

    3 жыл бұрын

    Mimi sikatai kufanya kazi usiku ninacho sema nikwamba bajeti ya mchana na usiku no tofauti Kama wako tiari afanye kazi usiku wamuonge zee bajeti

  • @jactanjonathan5596
    @jactanjonathan55963 жыл бұрын

    Waha tunanongwa

  • @anacretsindabaha9395

    @anacretsindabaha9395

    3 жыл бұрын

    Labda ww

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Ndugu zangu waha nawajua hy ndio kigoma

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi84513 жыл бұрын

    Hahahahaha waha nawajua, nimekaa nao, walikuwa vibarua wa nyumbani kwetu, ni wabishi hatari, hawanaga ile kuongea kwa sekunde ili akuelewe, Kama una bageini nao labda kukufanyia kazi , anza kuongea nao mwezi mmoja kabla ya kazi, huo mwezi mmoja ni wa kubishana tu, ndiyo sasa baadae wanaanza kukuelewa, la sivyo utachemka nao.

  • @husnahussen4247

    @husnahussen4247

    3 жыл бұрын

    Perfectly.... hao ndo waha ..... kuishi nao inahitaji akili na uvumilivu sanaa

  • @ugaboy4736
    @ugaboy47363 жыл бұрын

    Lami huwa inapigwa mpaka katikati ya miji ..kariokoo..dodoma ...bara bara ya 1 mpaka ya sitta hapo na watu wanapita hapo mnafeli wapi

  • @omarrama559
    @omarrama5593 жыл бұрын

    Hayu -engineer sijui katoka wapi kweli anazuia watu kwa maneno.

  • @oswaldgerelo477
    @oswaldgerelo4773 жыл бұрын

    Mbona dsm barabara zinajengwa nawatu wanafanya shughuli zao tu daah

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    KUNA POINT JAMAA AMESEMA HAPO BARABARA INAJIGWA HAIPITI MUDA MASHIMO...PLZZZZ

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65753 жыл бұрын

    Duuuh kumbe kasulu kuna watu wabishi wamasai wakasome na ndio mana hakuna maendeleo

  • @graceedson5133
    @graceedson51333 жыл бұрын

    Mutuleke abhahaaaa kigoma leka dutigite wishavu ameneke 😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁

  • @goodluckmacha3740
    @goodluckmacha37403 жыл бұрын

    Jamanii waha wabishi jamanii duuuh

  • @twilamtumbi5351
    @twilamtumbi53513 жыл бұрын

    Rami nyepesi 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @nehemiadaudi6449
    @nehemiadaudi64493 жыл бұрын

    Lami oyeeee😂😂😂😂

  • @yasinishekallahakusaidi8766
    @yasinishekallahakusaidi87663 жыл бұрын

    Tumia sheria sio utashi umeshindwaje kuonyeshea njia ya dharula

  • @sarahamos8524

    @sarahamos8524

    3 жыл бұрын

    Ety eee!?

  • @tegezdomin8363

    @tegezdomin8363

    3 жыл бұрын

    Njia nyembamba hiyo,

  • @flaviankiria8251
    @flaviankiria82517 ай бұрын

    Waweke lami ngumu

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani6142 жыл бұрын

    kigoma hoyeee!ha ha ha he he

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler28473 жыл бұрын

    Ndio maana Kasulu ipo nyuma kimaendeleo mpaka mda huu kwa sababu ya ubishi wa waha.

  • @ezekiamahwa6582

    @ezekiamahwa6582

    3 жыл бұрын

    Unaijua kasulu?

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    3 жыл бұрын

    @@ezekiamahwa6582 naijua na nimekaa sana Kasulu

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome3593 жыл бұрын

    Waha wabishi...

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70523 жыл бұрын

    Huyu engineer hana busara za kiutawala analeta kiburi utadhan pesa ni za mfukon mwake

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita63863 жыл бұрын

    Waha hawa watani zangu ni wabishi balaaaaaaa

  • @abalfadhilabdulqahari3018
    @abalfadhilabdulqahari30183 жыл бұрын

    Gubu la waha🤣🤣🤣😂

  • @samwelombeni6850

    @samwelombeni6850

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase11143 жыл бұрын

    Uku ukileta ubishi tunabishana adi keshoo alafu wote atujui

Келесі