LAMI KASULU, NDALICHAKO ASIMAMIA, WANANCHI WAMJIA JUU MKANDARASI "TUHESHIMIANE, TUMIENI LUGHA NZURI"
Mbunge wa jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amewaomba wananchi kuweka heshima kwa watendaji na kutoa lugha za staha ili kuweza kupata maendeleo ambayo ni pamoja na barabara kuwekwa katika viwango vya lami na pia kutoa ushirikiano kwa watendaji hao
Kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea katika mitaa ya Halmashari ya
Nao wananchi wa halmashauri hiyo wamemtaka mkandarasi anayefanya matengenezo ya barabara hizo kufuata utaratibu mzuri ili kuepuka migogoro baina ya wananchi na mkandarasi huyo.
Kwa upande wake Meneja wa TARURA Eng. Baraka Mauya ameshauri barabara hiyo ifungwe ili kuendelea kufanya matengezo kwa ufanisi kwa kutoa udogo ili kupanua ukubwa wa barabara na kukana tuhuma za kupiga watu na kuwazuia wasipite.
Пікірлер: 297
Hongera, huyu dada anajua namna wa kufanya mambo kuendelea vizuri bila mgogoro. Kuheshimia contractor na wanainchi.
Kasulu tumepata jembe la kazi mama ndalichako🙏🙏🔥🔥🔥
Tatizo la waha ni wabishi yaani hata barabarani wengine hawapishi gari wanadai barabara ni ya wote, Ah ah ah ah Yeee mgabo mnataka lami hamtaki??
@simeonmvugus2446
3 жыл бұрын
😇😇😅😅
Mustafa unaongea vzr nakubali cna kigoma juu shida nin ww mkandalasi💥💥💥😂😂😂🤣😎
Tunduma mjini kuna msongamano sana wa watu lakini lami ilipita.wala hatukusikia malalamiko kama hayo,mkandalasi uwe makini,maisha ya watu yaendelee
@chrissmeshack5451
3 жыл бұрын
Akil nying
@maydayndabisiys783
3 жыл бұрын
Kwanza uyo bwana anaonaonekan mwenye dharau sana ilitakiwa apigwe hats banzi
@saha20gsupp39
3 жыл бұрын
@@maydayndabisiys783 Huyo Engineer sijamuelewa kabisa.Huwezi kuwafungia wenda kwa miguu eti kisa lami.Jenga UPANDE mmoja UPANDE mwingine watu wanaendelea na maisha ya kila siku.
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
Aiseeee!! Hawa watani wangu ni wabishi hadi raha
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@salumjumaruhaga2513
3 жыл бұрын
Kakojoe kwanza
@sixbertmwakaluwa5665
3 жыл бұрын
Eti barabara zenyewe anazotengeneza barabara 😂😂😂😂😂
@burundishallsmile1day109
3 жыл бұрын
Waha haooo🤣🤣🤣
@davidntahindwa752
3 жыл бұрын
Siku zote mtu akikuita mbishi..ni dharau ..anahisi wewe sio level yake katika argument.
Engineer unaonyesha uwezo mdogo kabisa unalumbana na wananchi Kama mtu asiyekuwa na utaalam
Uko vizuri sana mheshimiwa waziri. Waha tuache ushamba wacheni wafanye kazi watendaji
@mathiasmsese6128
3 жыл бұрын
hawa janmaa ni shida usiombe upate mradi
@roshanbanu8980
3 жыл бұрын
Noma sana
Asante sana Mama yetu Ndalichako. Kazi yako ni njema sana tunaiona. Mimi naishi Dar lakini ni mwenyeji wa hapo Kasulu na ni mpigakura wako. Asante sana kwa maendeleo unayotuletea. Mungu akubariki sana. Ila kusema kweli huyo jamaa msimamizi wa ujenzi wa barabara hana hekima. Anatakiwa atumie busara kuongea na watu kwa lugha njema watamuelewa. Sisi waha asili yetu hatutaki kudharauliwa na wewe ni Mha unajua. Kwahiyo naomba umshauri asitumie usomi wake wala uwezo wowote anaodhani anao kuwasukuma wananchi bali atumie lugha laini ataona kila kitu kinakuwa chepesi. Watu wa Kasulu ni waelewa na wana upendo sana ila hawataki kero. Asante sana na Mungu azidi kukulinda uendelee kuleta maendeleo wilayani kwetu. BARIKIWA.
Lami nyepesi itakuwa na viwango kweli? Na hao wasumbufu wote ambao hawaelewi lami ikiwekwa lazima ufuate maelekezo ya wataalam wachapwe viboko, wataelewa.
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@mgallason...5686
3 жыл бұрын
Kwa nini huwa Mnapenda ku doubt vitu vinavyoweza kuwapatia maendeleo? Shukuruni Kwa kila jambo jamani.
@meshackmihayo7480
3 жыл бұрын
@Edwin Alexander Lami nyepesi huwekwa kwenye Barabara yenye magari machache mzee (Low Traffic Loading)....dhumuni lake ni kuwa economical yaani kuweka lami ambayo ina correspond to the demand (Ambayo ndio kama traffic load yaani idadi ya magari na design life yaani muda ambao hiyo barabara inategemea kutumika kabla haijajengwa nyingine, ambayo hua inakua miaka 20)......Haihusiani na Ubora chief....
@fortdasfidell8862
3 жыл бұрын
😂😂😂watani zangu wabishi sana
Kigoma kwetu napapenda
Shida iko wapi huyo engineer anafeli wapi kwani mbona sehem zenye population kubwa kama huku dar wanajenga lami huku watu tunapita shida iko wapi kwa kasulu ko watu wasitembee???
Kasulu Kigoma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hekima kubwa sana. Mungu akubariki sana Mh. Ndalichako
Wise woman ever❤
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@leeisaac9540
2 жыл бұрын
I know it is kinda randomly asking but do anybody know a good website to watch new movies online ?
@marcelobishop293
2 жыл бұрын
@Lee Isaac flixportal
@leeisaac9540
2 жыл бұрын
@Marcelo Bishop thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there =) I appreciate it!!
@marcelobishop293
2 жыл бұрын
@Lee Isaac You are welcome :)
dah hawa ndugu zetu nao wako nyuma sanaa c wapishe ujenzi uendeleee duh
@devdnzeyman1985
3 жыл бұрын
wewe upo mbele sio?
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mkemia_magege5816
3 жыл бұрын
@@devdnzeyman1985 Jamaa wewe mbishi kweli. Duh! Ngo Kigoma ni hatari!
@mkemia_magege5816
3 жыл бұрын
Tena wangepisha maana ni mwezi mmoja tu. Ila tatizo na wao wakandalazi wanaweza kuchukua hadi miezi tisa kumaliza hako kakipande yaani inakuwa ni kero.
ASANTE SANA mwl wangu Joyce Ndalichako
@samwelimoshi5614
3 жыл бұрын
Amekufundisha shule gan
Mama ndalichako.hako kamkoa kanataka moyo sana..Ni kweli ni kwetu ,lkn ubish na ukaid ni mwingi sana.Yabid usimamie kibabe mambo yende.huo ndo mkoa ambao watu wake hawanaga woga kujib ama kumtumbua mtu hadharani,km ulivyosema sio kila jambo lzm likosolewe,kaz hazitamalizwa kw wakati
Waha wenzangu acheni upumbavu sogeeni lami ijengwe mbona mnaniabisha!
Sio kweli mama mkandalasi atengeneze mazingira mazuri kwa watembea kwa miguu ,,,mji km dar unajengwa kila siku na una watu wengi sana lakini kazi zote zinaendelea vizuri ,,,watu nao wanaendelea na shughuli zao vizuri
Millard hongera taarifa zako zimenyooka
Sema kweli
Waha🙋
Fanyeni kazi usiku basi kwani wewe unachokisema hujaangalia ni namna gani mnaweza kutatua matatizo ya kufanya kazi. Engineer ulienda shule unaweza kuja na utaratibu wa kufanya kazi jioni mpaka asubuhi. Makampuni mengine yanafanya kazi vizuri, kajifunze kwa wengine.
@jacobmakono6983
3 жыл бұрын
..hivi ina maana hata kulikuwa hakuna hata notice kwa wananchi kuwa waondoke..
@swedinjaidi4658
3 жыл бұрын
Kaka watanzania tuwazembe kwani wakifanya lain moja wakahamia lain ya pili inakuwaje,
Vzuri mama
Nimeipenda hii
Hongera sana rais magufuli
Ndalichako unaonekana una hekima , sana Mama Mungu akutunze sana sana Mama utunzwe na Kutunzwa na Mungu aliye hai
Watu wa Kigoma? Dah. . Sasa napata picha Zitto kwann yupo vile?
Mama umeongea kama wazee Mia moja. Hongera sana Wananchi asa kwa kipindi hiki wanaujuaji mwingi sana wakusumbua wataalam. For a short time they will have the road tarmacked let them wait
Wow!
Tatizo waha washamba sana tulieni wananchi wa2 wafanye kazi
@ezradaniel4613
3 жыл бұрын
Ww kabla gan usiye mshamba
Watani zangu waha njooni tuwape uwelewe wabishi wakijinga
@lidyamathayo8343
3 жыл бұрын
Nyie jitambuweni pisheni ujenzi
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@davidntahindwa752
3 жыл бұрын
Siku zote mtu akikuita mbishi ni dharau..
Dar barabara zinajengwa na shughuli za kiuchumi zinaendelea
@sarahamos8524
3 жыл бұрын
Waonyeshe njia ya ziada
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
Safi sana profesa ndalichako
Kasulu pazuri kuliko kigoma mjini
Ongera sanaaaaa watu wakasulu nakumbuka kipindi nilikuwa nacapa kazi 2006 uterezi navumbi kinoma ivi itakuwa safi kwelikweli.
@J4UPro
3 жыл бұрын
Hongera kwa lipi wakati jamaa wabisha kujengewa lami
@bukurubenjamin6813
3 жыл бұрын
Si ni ushamba mtu ambae hajatumia lami hawez kujua mana yake.
Hongera sana mbunge
Nice
Wise leader
Barabara ifungwe,maendeleo hayana chama
Watu wakigoma wabishi balaaa aisee
Kigoma ni wabishi aisee
@jacksonmathayo6510
3 жыл бұрын
Ndiyo maana ikaitwa kigoma, maana ni mgomo mda wowote
@petermatabwa5085
3 жыл бұрын
We kwenu kila kitu ni ndio tu hakuna hapana
Hawa wananchi wanajicheleweshea wenyewe maendeleo
Walinde kazi za wenzako hadi hapo Mh Ndalichako Umeona Waha Wenzangu
Mkandarasi mbishi raia nao ndo kabisaaa!
@jacksonmathayo6510
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙉
Ndalichako nakupenda sana mamaangu
Napenda tu lafudhi ya waha,eti hii ni lami basi😂
@simonchambo1230
3 жыл бұрын
Lugha zao ata me zinanifrahisha eti hii lam bas😂😂😂
Engineer Baraka Mkuya
WAHA MNAFAHAMIKA KWA UBISHI.
@eliudmkondo4290
3 жыл бұрын
Kajinyonge
Waha bwana
Bishana na wengine....sio wahaaa 😂
@iviejustified8109
3 жыл бұрын
Hahaha waha nomaaa saana
@jacobmakono6983
3 жыл бұрын
..hahahaha!ni kweli ni wabishi vibaya sana!
@lidyamathayo8343
3 жыл бұрын
Mlete Moshi vijijini atujengee barabara yetu
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Hawa wananchi ni washenzi Kama hawataki lami wache wabaki na vumbi
Mama yuko vizur hogera sana mama
Engineer hafai, angelikuwa anatengeneza barabara za Dar asingeweza angegombana na machinga
@davidntahindwa752
3 жыл бұрын
Mhandisi anadharau
shida siyo waha wabishi wanacholalamikia ni sahihi, barabara lazima ijengwe lakini pia shughuli lazima ziendelee kama kawaida. Hapo nilitegemea Engineer agefanya namna watu wanaweza wakapita ili shughuli ziendelee na siyo kulalamika upande wangu hapo hakuna Engineer
@eliudmkondo4290
3 жыл бұрын
Chukua soda 10 hapo kwa mangi nakuja kulipa. Una akili nyingi wengine wamekariri eti waha wabishi
Nyumban kwetu hatubuluzwi buluzwi waha utubishia ukweli siku zote💪💪
Kasulu punguzeni Ushamba acheni mkandarasi afanye kazi yake
@eliudmkondo4290
3 жыл бұрын
Mshamba mwenyewe , hapo Kuna ushamba gani?
What wabishi sana
Mmmm
Ila wakazi wakasulu wanajuwa kujieleza yaani maelezo yao ni grade one
@sifasanga7866
3 жыл бұрын
Hahahaaaaa
Siaondoke mkandarasi nihuyohuyotuu mama tafutamwingine au nawewe unapata chochote
Waha jaman wagumu kuelewa duh kama wanyama jaman
Eng hewa
Niko radhi nikabishane na Mchina yeye aongee kichina Mimi niongee kiswahili Ila tukanfyenge tu hivyo² ila KUBISHANA NA MUHAA 😆😆😆😆🙌 hio wacha ikae
Kabla hujaanza kubomoa barabara ni lazima uwachongee wananchi kabarabara kando ili waweze kupita
Kasulu mmepata, sifa mojawapo ya Mbunge ni kuwasikiliza wananchi na kuwa na utiyari wa kutatua kero zao
Nashangaa jambo hili no LA kwanza kusikia eti mkandalasi analalamika watu wengi,
Eti lami oyeee
Kwelii uyo mkabdaras hawezi kazi
Msiseme waha semeni Watu wa kasulu
@cavoo4get649
3 жыл бұрын
Wale wale tu
@majaliwamussa9268
3 жыл бұрын
@@cavoo4get649 kama nyie
@CyimSky
3 жыл бұрын
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 21: ZAKIA MWENDELEZO. kzread.info/dash/bejne/qGiK3LiOe7HTf84.html
@eliudmkondo4290
3 жыл бұрын
Mwenye akili ubishi uko wapi hapo.
Engineer gan haweki sehemu ya watu kupita?
We Mkandarasi jiongeze, sehemu yenye population kubwa kama hiyo, unatakiwa kufanya kazi usiku, washa taa. Mchana waachie wananchi wafanye shughuli zao
NYUMBA NYINGI LASULU ZIKO.BARABARANI .MKANDARASI ATAPATA SHIDA SANA
Mama Busara 👍🏾
Waha wabishi baraaaaa na hao ni sampuli ya ZITO
@makutaahcastory661
3 жыл бұрын
Usituseme jamani
@edisonpeter3894
3 жыл бұрын
@@makutaahcastory661 uzuri nawajua nimeishi nao wengi tu
Wananchi wanabishana na mashiney. Tanzania bana
MHESHIMIWA KWELI UNAKAZI, HAO WANANCHI MBONA WABISHI? MTOE AKAFANYE KAZI KWINGINE.
@moteswafwalu1655
3 жыл бұрын
Waha ndo wabishi dunia nzima inajua
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Ndomana walitelekezwa kumbe kosa nilao
Kayeeee😄😄😄😄😄
Engineer hajitambui!
@hamismaulid270
3 жыл бұрын
Ni kweli, hata usiku pia aweza fanya ujenzi
@barakaduma2398
3 жыл бұрын
@@hamismaulid270 mkataba arousaini sio wakufamya kazi usiku
@hamismaulid270
3 жыл бұрын
@@barakaduma2398 hata kama ni wa mchana, bado aweza ubadili, hatokuwa wa kwanza kufanya hivyo
@barakaduma2398
3 жыл бұрын
Mimi sikatai kufanya kazi usiku ninacho sema nikwamba bajeti ya mchana na usiku no tofauti Kama wako tiari afanye kazi usiku wamuonge zee bajeti
Waha tunanongwa
@anacretsindabaha9395
3 жыл бұрын
Labda ww
Ndugu zangu waha nawajua hy ndio kigoma
Hahahahaha waha nawajua, nimekaa nao, walikuwa vibarua wa nyumbani kwetu, ni wabishi hatari, hawanaga ile kuongea kwa sekunde ili akuelewe, Kama una bageini nao labda kukufanyia kazi , anza kuongea nao mwezi mmoja kabla ya kazi, huo mwezi mmoja ni wa kubishana tu, ndiyo sasa baadae wanaanza kukuelewa, la sivyo utachemka nao.
@husnahussen4247
3 жыл бұрын
Perfectly.... hao ndo waha ..... kuishi nao inahitaji akili na uvumilivu sanaa
Lami huwa inapigwa mpaka katikati ya miji ..kariokoo..dodoma ...bara bara ya 1 mpaka ya sitta hapo na watu wanapita hapo mnafeli wapi
Hayu -engineer sijui katoka wapi kweli anazuia watu kwa maneno.
Mbona dsm barabara zinajengwa nawatu wanafanya shughuli zao tu daah
KUNA POINT JAMAA AMESEMA HAPO BARABARA INAJIGWA HAIPITI MUDA MASHIMO...PLZZZZ
Duuuh kumbe kasulu kuna watu wabishi wamasai wakasome na ndio mana hakuna maendeleo
Mutuleke abhahaaaa kigoma leka dutigite wishavu ameneke 😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁
Jamanii waha wabishi jamanii duuuh
Rami nyepesi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Lami oyeeee😂😂😂😂
Tumia sheria sio utashi umeshindwaje kuonyeshea njia ya dharula
@sarahamos8524
3 жыл бұрын
Ety eee!?
@tegezdomin8363
3 жыл бұрын
Njia nyembamba hiyo,
Waweke lami ngumu
kigoma hoyeee!ha ha ha he he
Ndio maana Kasulu ipo nyuma kimaendeleo mpaka mda huu kwa sababu ya ubishi wa waha.
@ezekiamahwa6582
3 жыл бұрын
Unaijua kasulu?
@africanmandetraveler2847
3 жыл бұрын
@@ezekiamahwa6582 naijua na nimekaa sana Kasulu
Waha wabishi...
Huyu engineer hana busara za kiutawala analeta kiburi utadhan pesa ni za mfukon mwake
Waha hawa watani zangu ni wabishi balaaaaaaa
Gubu la waha🤣🤣🤣😂
@samwelombeni6850
3 жыл бұрын
Hahaha
Uku ukileta ubishi tunabishana adi keshoo alafu wote atujui