KWELI MCHEZA KWAO HUTUNZWA TIZAMA FURAHA YAPOKEZI YA KAYA YA GARE
Жүктеу.....
Пікірлер: 23
@user-ov5xc2sy3qАй бұрын
Mashallah mashallah mashallah natamani ningekuwepo kwenye furaha ya idi lushoto Tanga milima ya kwetu furaha yanidosha machozi nakumbuka enzi zetu
@ShamimHassan-qm1et29 күн бұрын
Eti maajabu gar limejifunua 😂😂😂😂😂nimechek hatar mashallah shekh wetu allah akulinde ktk kila hatua zako tunakupenda kwa ajil ya allah❤❤😂
@shadhilmakameАй бұрын
Allah aendelee kukupa afya zaidi ....Sheikh tulikumiss wengine zikipta siku mbili bila kuona videos zako inatwia shida wallah
@saidkipalo4427Ай бұрын
MAASHALLAH MAASHALLAH ALLAH akuhifadh Shekh Othman Michael hakika ni mfano wa kuigwa
@rahmaanwar7391Ай бұрын
Neema juu ya Neema…a whole movement.Allah akuhifadh akuzidishie palipo pungua akufungulie milango zaidi na zaidi ya Kheyr,barka,neema na furaha.Na muhim zaidi akulinde kutokana na hasad na balaa za aina yoyote Sheikh Othman( Allahuma ameen)🤲🤲
@sulekhan7119Ай бұрын
Sheikh kijana wako amemudu Soni mombo.mashaalah
@athumanikhamisi3377Ай бұрын
Maasha allah
@muddymuzungu4357Ай бұрын
Maa Shaa Allah sheikh! Na sisi atujaalie pia
@falidiamiiamii-jz5pfАй бұрын
Subhanallah iyo Qaswaida inavtia san na inamaudhui makubw san kwakwl nimefrah
@user-mi7cd8ch1bАй бұрын
Ma Sha Allah nampenda huyu shekhe kwa jiri ya Allah wote nawapenda?
@HaxnatiXhekhanАй бұрын
Mashaaallah 🙏 Jambo la kher jaman
@rahimmussa7292Ай бұрын
Tunaotoka Tanga ndy tunajua raha ya ukienda nyumban unaweza ukajihisi mfalme masha Allah
@falidiamiiamii-jz5pfАй бұрын
Sh Othman tunakpend kwel km eanavykupend wt wk
@user-mi7cd8ch1bАй бұрын
Kumbe nimekosea ni tanga ma Sha Allah kwa watani zetu mirima sawa tunafananah
@yusufuheri6524Ай бұрын
Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam
@user-mi7cd8ch1bАй бұрын
Hii morogoro maeneo ya kiloka mbaka mkunyuni nahangaria nikiwa Oman kwetu nakujua milima kama yote
Пікірлер: 23
Mashallah mashallah mashallah natamani ningekuwepo kwenye furaha ya idi lushoto Tanga milima ya kwetu furaha yanidosha machozi nakumbuka enzi zetu
Eti maajabu gar limejifunua 😂😂😂😂😂nimechek hatar mashallah shekh wetu allah akulinde ktk kila hatua zako tunakupenda kwa ajil ya allah❤❤😂
Allah aendelee kukupa afya zaidi ....Sheikh tulikumiss wengine zikipta siku mbili bila kuona videos zako inatwia shida wallah
MAASHALLAH MAASHALLAH ALLAH akuhifadh Shekh Othman Michael hakika ni mfano wa kuigwa
Neema juu ya Neema…a whole movement.Allah akuhifadh akuzidishie palipo pungua akufungulie milango zaidi na zaidi ya Kheyr,barka,neema na furaha.Na muhim zaidi akulinde kutokana na hasad na balaa za aina yoyote Sheikh Othman( Allahuma ameen)🤲🤲
Sheikh kijana wako amemudu Soni mombo.mashaalah
Maasha allah
Maa Shaa Allah sheikh! Na sisi atujaalie pia
Subhanallah iyo Qaswaida inavtia san na inamaudhui makubw san kwakwl nimefrah
Ma Sha Allah nampenda huyu shekhe kwa jiri ya Allah wote nawapenda?
Mashaaallah 🙏 Jambo la kher jaman
Tunaotoka Tanga ndy tunajua raha ya ukienda nyumban unaweza ukajihisi mfalme masha Allah
Sh Othman tunakpend kwel km eanavykupend wt wk
Kumbe nimekosea ni tanga ma Sha Allah kwa watani zetu mirima sawa tunafananah
Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam
Hii morogoro maeneo ya kiloka mbaka mkunyuni nahangaria nikiwa Oman kwetu nakujua milima kama yote
Wapikipiki amefika pia 😂
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 mbaya wew
@sulekhan7119
Ай бұрын
@@user-sv6zy3hc8o Nielewe niñi
Masha Allah 🙏🙏🙏🙏
Mashaallah
Mashallah 💞
Mashallah