KWANINI HATUKUSWALI NA MWEZI WA NIGER NA MALI - Sheikh Salim Barahiyan

💫 KALIMA BAADA YA SWALA YA EID EL FITR
‼ KWANINI HATUKUSWALI NA MWEZI WA NIGER NA MALI ‼
▪️ Uwanja wa Tangamano umevamiwa na Wafanya Biashara
▪️ Je Kauli ya Watu wa Falaki inazingatiwa katika Mwezi Muandamo?
▪️ Kwanini hatuswali swala ya kupatwa na Jua ikitokea popote Duniani?
🎤🎙
SHEIKH SALIM BARAHIYAN 🇹🇿
(حفظه الله ورعاه)
📍📍 Uwanja wa Tangamano - Tanga
🗓 01 - Shawwal - 1445H
🗓 10 - April - 2024M
✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
📡🎥📸📰
IDARA YA HABARI NA UTANGAZAJI - MARKAZ KUU
ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE

Пікірлер: 209

  • @KiangiShimbo
    @KiangiShimbo3 ай бұрын

    shekhe pambana na dini utaenda kufaulu kesho inshaallah

  • @amirinho3861
    @amirinho38613 ай бұрын

    Kuna mwanazuoni wa kumshinda Mtume?? Kama mtume kasema jua likipatwa swalin na mwez mkiona fungeni maelezo yapo clear kabisa kwaiy mpak ufate kaul ya mwanazuon gan ndo uswal jua kupatwa? Kama mwez wa kimataifa kwann jua lisiwe la kimataifa?

  • @mzeemwinyihassan9774
    @mzeemwinyihassan97743 ай бұрын

    Shehe Mungu hamfichi mnafiki na wewe naona unaendea kwenye njia hio maana Sasa imekua falaki sio Mungu tena

  • @msarama5406
    @msarama54063 ай бұрын

    Uzuri wa barahiyan anasoma sana yani anajua sana vitu huyu sheikh Allah amuhifadhi hakika haongei bila ushahidi

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt3 ай бұрын

    Oooh allah jaalia amani mola wangu

  • @KhatibKhamis-nj7nk
    @KhatibKhamis-nj7nk3 ай бұрын

    😢sheikh umezungumza vizur sana tunakuomba utupatiehayo maandishiya kuwapa kipaumbele watu wa falaq dhidi ya alouona mwezi

  • @user-je6qh6it5w
    @user-je6qh6it5w3 ай бұрын

    Mbona hao wanachuoni wa elimu ya falaq walisema katika muandamo wa mwezi wa Ramadhaan hii 1445 hakuna uwezekano wa kuonekana mwezi popote pale lakini saudia walitangaza mwezi umeonekana na watu huku wakaanza kutangulia kufunga. Kutawaliwa ni kubaya sana, Mbona hao saudia wao hawaulizii mwezi sehemu yoyote ile, wao wanafuata mwezi wa matwlai ndivo walivomuelewa Mtume katika muandamo wa mwezi, iweje sisi tuhangaike kufuata mwezi wao. ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA YA SAWA. AAMIN.

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy41583 ай бұрын

    Wewe Barahamia ni myahudi

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    Hamuna maaaaaaana kweli nyie ni wapuuzi kweli kazi kuvuruga waisalam lkn mtawapata wasiojielewa na kuelewa uislamu waoooo

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,unajiona wewe kama uko juu sheria

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    Mashaaallah Allah karimu wenye akili watambue wazijue mbivu na mbichi ,ukweli uko pale pale

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma91693 ай бұрын

    Kumbe mnashirikiana na mayaudi.

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi47013 ай бұрын

    Kwahio shekh haufuati mwezi wakimataifa tena unafuata watu wafaraq? huu nimsiba😭😭😭😭

  • @ahmadirajabu257
    @ahmadirajabu2573 ай бұрын

    Sheikh inawezekanaje mwezi uwe mmoja jua lisiwemoja, kwenye ibada ya funga kokote tufunge ila ibada ya kupatwa kwa jua isiwezekana, hiyo sikweki kwabiasa

  • @pillyzubery5031
    @pillyzubery50313 ай бұрын

    Mcheni AllaahU. MtukufU Mtume(Sunna)yasema KWA KUONEKANA MWEZI;hii watU wa falaqi imetokea wapi sasa???

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын

    Alllha akulipe heri Shehewetu akupe Afya njema❤

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely25583 ай бұрын

    Wewe BARAHAYAWANI fitna sana, sijui kitu gani unachotafuta,

  • @binkhalifa6956

    @binkhalifa6956

    3 ай бұрын

    Wewe acha kushamnulia masheikh hii nidini acha ushabiki mzee haki itabaki kuwa haki mzee wewe kama uko sawa shukuru mungu mzee

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    3 ай бұрын

    Subhaanallah, yaani leo shekh akitoa ilimu inshakuwa fitna tena..,,alhamdulillaahi lladhii hadaanaa li haadha,

  • @kimaroabduli

    @kimaroabduli

    3 ай бұрын

    Huna sababu ya kumfuata, fuata sheikh wako unayemuamini

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    Hivi wingu linaweza likatanda dunia nzima kiasi kwamba mwezi ujifiche ucionekane dunia nzima ,hii inamaana kuna mahala utaonekana lkn kwa wale ambao hawajauona kutokana na mawingu basi wakamilishe 30

  • @sulaymanqasim6186
    @sulaymanqasim61863 ай бұрын

    Nimekuelewa vizuri shekhe,kumbe tunategemea watu wa falaki na sio kuuuona au kuonekana kama alivyo sema mtume.

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    3 ай бұрын

    Yashike hayo maneno mwakani atayageuka hayo maneno

  • @jumajuma1324
    @jumajuma13243 ай бұрын

    Mbona muda wa swala kigoma na kuzama na kuchomoza kwa jua nitofauti na mikoa mengine jee kuna tz kunamajua mawili ?

  • @user-mk1qz1mn7w

    @user-mk1qz1mn7w

    3 ай бұрын

    Huku nchi ya senegali time swali saaa tatu asubuhi ndiyo utalatibu wahuku

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t3 ай бұрын

    Kwa Allah S.W. hakuna lisilowezekana. Mwezi ni wa Mungu sio wanazuoni afadhali mkiri tu mna makosa

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    Tupe hadith wapi mtume tutumie watu wa falaq kwenye mwezi

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w3 ай бұрын

    Shekh wangu sasa niwakati wa kununuwa maeneo ya kufanyiwa ibada yawe lasmi kwa ajili ya ibada namichezo mingine ya kislam

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k3 ай бұрын

    Kisha unajichanganya kweli kweli kwa kusema swala yakupatwa jua na mwezi ni sunna kuswali jee swala ya idd nayo ni sunna vile vile kama swala ya kupatwa jua na mwezi sheikh barhiyaan kuwa na inswaf na mche mola hii ni dhima unajibebesha na kesho mbele ya mola utakwenda kujibu

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    3 ай бұрын

    BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzread.info/dash/bejne/dKKGy8STZMyxfqQ.htmlsi=pgMhUUvEIAYACLTT

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын

    Wafanya biashalamlopohapo. Jitazameni vizuri msichezee na ibada anaeabudiwa Allah

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    NYINYI WATU JEE HUYU MZEE ALIKUKUSANYENI KUSWALI SWALA YA KUSUUFI?

  • @khatibumsekeni322
    @khatibumsekeni3223 ай бұрын

    ALLAH atupe mmoja waislam tusifarakane kwa hitilafu ya mwezi

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,rudisha haki ya marhum janjira muogope mola wako unawadhulum yatima na mjane warudishie haki zao kumbuka kuna kufa wewe nabaradha lako la wadhamini😊

  • @user-dy9mi8td8s
    @user-dy9mi8td8s3 ай бұрын

    Barahiyan. Ikiwa uislam ni mmoja. Ni vipk hamumuamini kiongozi 21:35 wa waislam nchini. 😢 kutangaza mwezi. Na nyinyi mnatangaza? Nyinyi mna sera za kuugawa uislam.

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s3 ай бұрын

    Mbona hamkuswali swala ya kupatwa jua?au hakuna jua la kimataifa

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    KAMA KWELI WAMEUONA HAMUKUFUNGA WALA KUFUNGUA

  • @marwawickama7742
    @marwawickama77423 ай бұрын

    kweli hii dunia ata ukijiita mungu hutokosa wafuasi,masuala ya kufata hadithi za mtume unafuata wataalamu wakisasa wa falaq

  • @salumtakao9828
    @salumtakao98283 ай бұрын

    Waislami wengi wanapelekeshwa na ushabiki. Leo engelikuwa watu wanaongea baada ya kutafuta aquali tofaut za wanawazuoni naamini wasengekuwa wanaongea hayo maneno . Lkin watu wanazungumza tu bila kujifunza kwanza matokeo yake wanadhalilika wakiambiwa ufafanuzi ulio sahihi wa hizo hoja zao. Ila yote shekhe usichoke. Madamu unaegemea kwenye Rai za wanawazuoni bc intutosheleza sisi .Muhammad idi na wezake watasema na hawatafanikiwa tumeshuhudia Leo Kila kukicha watu wa sunna wankuuw weng na wanaohonga mkonon Rai hii ya mwezi ni weng pia mashallah.

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao40043 ай бұрын

    Acha kutuzuga mnafata saudia tu mabwana zenu

  • @user-ix8jb7oc4q
    @user-ix8jb7oc4q3 ай бұрын

    Salaam. Hotuba nzuri sana lkn mbona unajichanganya?

  • @RamadhaniKuteya
    @RamadhaniKuteya3 ай бұрын

    15:15 kwa wanasayansi wanajua ghaibu?

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy41583 ай бұрын

    Jamani msibabaishwe na jina, masalafi ni wafuasi wa Mayahudi

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddy3 ай бұрын

    Hata Ramadhani watu wafalaki walisema mwezi hauwezekani kuonekana lakin mkafunga

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    lete aya au hadith wapi mtume kasema tutumie watu wa falaq ikiwa mwezi utafikana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh3 ай бұрын

    Nipo Zanzibar Natarajia kua Muft baadae ila ukweli huyu sheikh yupo sahihi sana sana asiemuelewa bc anaupungufu wa elimu na kufata mkumbo

  • @mahammoudhaji

    @mahammoudhaji

    3 ай бұрын

    Kushawahi kuona mufti wa kiwahabi Zanzibar?

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein41803 ай бұрын

    Acheni upotevu msiwafarakanishe waislamu wa Tanzania

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    3 ай бұрын

    BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzread.info/dash/bejne/dKKGy8STZMyxfqQ.htmlsi=pgMhUUvEIAYACLTT

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly79003 ай бұрын

    Jua la kimataifa hakuna ?

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын

    Idi ya mwaka huu tumeswali pamoja mpaka na sisi ambao SI answari suna tulikuwepo uwanjani hapa

  • @mattarmohd6617
    @mattarmohd66173 ай бұрын

    Ukweli ukizihiri uongo hujitenga Mungu katuonesha wazi wazi kwa matukio mawili makubwa kwa wakati mmoja. tena yoote ni mwezi wakimataifa najua lakimataifa. Mwezi umeonekana nchi za afrika magharibi sisi hatukufungua(jee sio wakimataifa?) najua limeliwa hatukuswali (jee sio lakimataifa?) Jee watu wafalaq sio bidaaa?. Jee saudia inafuata huu muandamo wakimataifa? Au ni aluta kontinyua ndio tuifuate badala Qur ani na sunna sahihi.

  • @jumajuma1324

    @jumajuma1324

    3 ай бұрын

    Hizo hoja sio za kielimu zakuijah

  • @jumajuma1324

    @jumajuma1324

    3 ай бұрын

    Mbona jua huliwa kigoma zanzibar na mikoa mingine hawaswali jee tanzania kuna majua mawili?

  • @mattarmohd6617

    @mattarmohd6617

    3 ай бұрын

    Saudia inafuata muandamo wakimataifa?

  • @mattarmohd6617

    @mattarmohd6617

    3 ай бұрын

    Aluta kontinua ndio hoja zasawasawa.

  • @mattarmohd6617

    @mattarmohd6617

    3 ай бұрын

    mwaka ulio liwa jua kigoma pekeyake ni mwaka gani?

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely25583 ай бұрын

    Mku unakuwasha

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    WANAVYUONI GANI WALIOSEMA KUA MWEZI UKIONEKANA SEHEMU ITAWAPASA DUNIA NZIMA WATU WAFUNGE?

  • @lusajomwakabana6139
    @lusajomwakabana61393 ай бұрын

    Kwahyo ukionekana saudia hua hamna hata shida ya kuwatafuta wafu wa falaki ila ikiwa sehem nyengne mnapekua hassa yaani mpaka mtoe dosari

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe.3 ай бұрын

    Kama ni msingi kuangalia kwa macho,mbona mawahabi wanatumia maskio kuskiliza

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull343 ай бұрын

    Mbona mnajichanganya kama mwezi mmoja na jua moja kwanini vifungike kwenye ibada moja nyengine zisihusike vijana amken huyu atawapeleka kubaya

  • @user-bc9jm1jj4k
    @user-bc9jm1jj4k3 ай бұрын

    Huyu sheikh kasoma anaempinga anawivu tu

  • @salumrashidabdullashmely2558

    @salumrashidabdullashmely2558

    3 ай бұрын

    Barahayawani alihudhuria darsa kule saud Arabia, ila hakuelimika, fatwa anazotoa ni za chuki na ugombanishi tu. Hana hekma wala busara wala adabu.

  • @adamuchebe9307

    @adamuchebe9307

    3 ай бұрын

    @salumrashid wewe ni jadida mtupu yan😅

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    KWAIYO WATU WA FALAKI WAPO SAHIHI ZAIDI KULIKO MTUME MUHAMMAD(SAW)ALOSEMA KUA FUNGENI KWA KUUONA NA FUNGUWENI KWA KUUONA? AKASEMA PIA MUTAKAPOUONA FUNGENI NA MUTAKAPOUONA FUNGUWENI?

  • @user-ng7fi7nl2r
    @user-ng7fi7nl2r3 ай бұрын

    Wewe ndio usiejielewa

  • @musayahaya4281
    @musayahaya42813 ай бұрын

    Falaq

  • @sirillahyusuph9523
    @sirillahyusuph95233 ай бұрын

    FALAQ OYEEEEEEEEEEE

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein41803 ай бұрын

    Sasa hiyo ni hadithi ya nani tufunge na tufungue kwa rai ya watu wa falaki

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    3 ай бұрын

    HalafU wanawadanganya watU kuwa wao ni watU wa Suuna ...

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89733 ай бұрын

    Mawahabi ni vichaa kabisa

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka3 ай бұрын

    Hivi mnatuona sisi waisalam ni mazuzu sana kiasi kwamba mchezee akili zetu hivi inaingia akili mtume kasema ikiwa mwezi utafichikana kutokana kutokana na mawingu tukamilishe 30 kwanini hakusema hakusema tutumie watu wa falaq

  • @user-uy4yj2yj9w
    @user-uy4yj2yj9w3 ай бұрын

    Wewe mnafiki tu huna jipya,sasaivi falaki unaikubali

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    3 ай бұрын

    Achachuki. Za kijinga

  • @ahmadjuma2538

    @ahmadjuma2538

    3 ай бұрын

    Sheikh amezungumzia falaq akimaanisha astronomy sio falaq ya uchawi. Mbona mnakuwa na chuki kiasi hicho na mnajifanya hamuelewi yani Mambo siku hizi yapo wazi sana anaeongea fact anajulikana na mbabaishaji ambae bado anaamini yupo zama za mawe mpk sasa hv nae anajulikana

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    3 ай бұрын

    Yaani chuki imekuwa kubwa hadi anachosema sheikh hakisikiki masikioni mwa wenye chuki? Alhamdulillaahi rabbi l aalamiin. HAQQI HAIJIFICHI. Hata rasuulu llah s.a.w alipoanza kuitangaza haqqi walitokezea wakumpinga hivi hivi,hadi ilipowabainikia kuwa hii ni haqqi.

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @jumakitato4248
    @jumakitato42483 ай бұрын

    Hukusali na watu wa mali na nchi nyingine kwa kua una fata watu wako wasaudia

  • @user-nt6zo4no5l
    @user-nt6zo4no5l3 ай бұрын

    wote, mnaotoa, koment, mnaelimu, au, mnafuata, mihemko, hii, sio, siasa, tafadhalini, jaman

  • @KhatibKhamis-nj7nk
    @KhatibKhamis-nj7nk3 ай бұрын

    Hiyo ni ijmaa ilohalifu suna kama wanavosema au ni vipi

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t3 ай бұрын

    Mipango ya Mungu na sayansi kipi Cha kufuatwa mbona hivi nyie 😭😭😭

  • @ahmadjuma2538

    @ahmadjuma2538

    3 ай бұрын

    Science without religion is lame and Religion without science is blind

  • @lusakaone7782

    @lusakaone7782

    3 ай бұрын

    Siku ukiskia utabiri watetemeko watu wakimbilie sehemu salama wewe baki ndani

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv4593 ай бұрын

    BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzread.info/dash/bejne/dKKGy8STZMyxfqQ.htmlsi=pgMhUUvEIAYACLTT

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg3 ай бұрын

    Tusiwalaumu wafanyanyabiadha, Mwambie aliwatuma, sio makusudi ni mpango maalumu,

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    Kuna watu wanavaa tu Vasi la Kiislamu lakini mmmmh

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53073 ай бұрын

    mwezi saudia haukuonekana ila serkali ya saudia ililazimisha utangazwe ndugu zetu waliokuwa macca hawakufunga sababu hawakuuona

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k3 ай бұрын

    Sheikh barhiyyan nenda ukasome kitabu kiitwacho qararat majmaul fiqhi alislami cha makkatul mukarama kinapinga utumizi wa hisabu za falaki na wewe una shika kauli za wanafaki kuacha kauli ya mtume fungeni kwa kuonekana na fungueni kwa kuonekana mwezi

  • @Zainabnoor0087-ze

    @Zainabnoor0087-ze

    3 ай бұрын

    Msikilize vzr fanya insaaf, ametanabaisha kua si wapiga Ramli bali wataalamu walisomea astrology c horoscopes

  • @GSaleh-xr3vn
    @GSaleh-xr3vn3 ай бұрын

    Kwama kweli sheikh upo sahihi na mwezi wa kimataif (mwezi wa kimataif).Ivi waislam waliokua wakiishi kabla ya sayansi na teknolojia hii tulionayo walikua wakifuata vip mwezi wa kimataif?

  • @nabiljumaothman5912

    @nabiljumaothman5912

    3 ай бұрын

    Ata mwezi wa kitaifa ukionekana kigoma wa dar hawafungi na Dar kwanza hawafungi

  • @GSaleh-xr3vn

    @GSaleh-xr3vn

    3 ай бұрын

    @@nabiljumaothman5912 ungetoa jib kuusu ilo swali kwanz na kuacha ushabik hii teknolojia ni ya miaka ya karibuni tu

  • @jumafaki2891

    @jumafaki2891

    3 ай бұрын

    je ule wa Mali na Nigeria vipi mbona mumeukataa tatizo nini

  • @salumtakao9828

    @salumtakao9828

    3 ай бұрын

    Watu hao walikuwa na hakki yakufata mwez wa maeneo yao. Labda yengelichukua siku nzima na Zaid kugikish taarifa ya mwez kutok sehm moja kwenda nyengine. Hivo walifunga na kufungua kwa sehem zao. Ila kwa waislmu wa sasa ni vizur kufata mwez wakimataifa habr zinfik kwa wakti na ni dk chache t. Hata hivo hii Rai imethibiti kwa hadithi na imetiliw nguvu na wanazuoni wengi kwa sababu inaendan na mazingira ya sasa. Tofaut na Ile ya zamni ambyo inaonesh dhahiri kuwa inpelekea utofaut maan miezi inaaandam tofaut toft kwa baadhi ya nchi. Kwaiy hii ya popote ndo Ina nguvu na inadhihirisha kuwa na ubora zaidi na hata ingesababisha kufanya jambo hil la ibada kwa pmoja

  • @user-qm2of7vd3k

    @user-qm2of7vd3k

    3 ай бұрын

    Tatizo lenu nihili Muna kwenda na Hawa nafsi idd ya mwaka jana idul fitri jua lilipatwa huko Australia siku ya alkhamis na mwezi haukuandama lakini ijumaa muliswali Swalah ya idd kwa sababu Saudi Arabia na nchi za arabuni walitangaza idd itakuwa ijumaa wiki moja kala ramadhan kwisha

  • @KomboBakari-gz7hf
    @KomboBakari-gz7hf3 ай бұрын

    Mimi nashauri masheikh wasiwe kama Abraham kusema Saudia(Makkah au Kaaba) haifai kuwepo pale watadhalilika kama alivyodhalilika Abraham na jeshi lake!!! [Maana kila siku saudia,Saudia hatari hiyo hayaa langu jicho]

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani52283 ай бұрын

    Huo mwaka unaoema shekhe kuwa wanachuoni wameeleza kuwa mwezi ukionekana ni mwaka mmoja toka hizi fitna za uwahabi kuanza nchini kwetu 1985 hapa Tz kwa hiyo hizi fitna zimepangwa na ant Islam

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89733 ай бұрын

    Mwaka huu Mmezidi kuumbuka ... BARAHIYANI unakosea sana

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u3 ай бұрын

    Astronomy ndio suna Unaropoka mzee

  • @MohdIsmail-ud1gl
    @MohdIsmail-ud1gl3 ай бұрын

    KWAHIYO SASA TUITEGEMEE FALAKI SIO KUANGALIA MWEZI HALAFU MNAJIITA WATU WA SUNNA

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,lini ulipoijua haki mpeni singo haki yake na familia marehem janjira kama unamwogopa allahuu

  • @khaledsuleiman9819
    @khaledsuleiman98193 ай бұрын

    Tuangalie hapa, JUA Litatangulia kuzama kabla ya mwezi , hapo mwezi hakuna uwezekano kuonekana, sasa je jua limetangulia kuzama wapii yaani lizame nchi ipii ? tunafahamu jua linazama kulingana na nchi tofauti

  • @pillyzubery5031
    @pillyzubery50313 ай бұрын

    Kwani ninyi mnafuata maneno ya wanachuoni ama ya Mtume ???

  • @saidkabwana1831

    @saidkabwana1831

    3 ай бұрын

    Jua kuwa wanazuoni ni warith sahh wa mtume

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    3 ай бұрын

    @@saidkabwana1831 fahamu maana ya urithi. Wamerithi mafunzo yake sio kuyapinga. Wee huoni hili wamempinga?

  • @pillyzubery5031

    @pillyzubery5031

    3 ай бұрын

    @@saidkabwana1831 4:59:-Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.

  • @sirillahyusuph9523

    @sirillahyusuph9523

    3 ай бұрын

    Maa Shaa Allah Leo imekubalika kuwa mashekh nao wanazua Didaa, safi kaka shukran

  • @GSaleh-xr3vn

    @GSaleh-xr3vn

    3 ай бұрын

    @@saidkabwana1831 jua kua aliesema wanazuoni ni warith wa mtume ndio uyo uyo aliesema kua amikamilisha dini (uislam)

  • @abdinkuro-my4ij
    @abdinkuro-my4ij3 ай бұрын

    Hanahoja huyo

  • @OthmanZuberi-gp2np
    @OthmanZuberi-gp2np3 ай бұрын

    Mhhh jamani Salim Barahiyani kweli ameishiwa hoja, Hivi kweli mwezi huohuo ukionekana popote watu wafunge na kufungua, lakini ukipatwa hukumu yake NI kwa wale walio katika eneo Hilo????????

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata1703 ай бұрын

    Sasa Kati ya mtume MUHAMMAD S. A. W na wanazuoni nani tumfuate? Yaani unataka kutwambia kuwa huu mgawanyiko wa mwezi ulikuwepo toka enzi za mtume MUHAMMAD S. A. W? Tueleze mtume alikuwa akifungaje wakati huo yupo! Tuambie jee alifunga kwa mwezi wa mataifa au kitaifa. Tupe faida tujifunze.

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad27063 ай бұрын

    Huyu Hana ukweli awaambie watu yeye anafuata mwezi wa Saudia tu haya mengine anadanganya watu tu.

  • @coolvoices6608
    @coolvoices66083 ай бұрын

    Hivi hawa wanachuoni wa falaq hawakua zama za maswahaba

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein41803 ай бұрын

    Fujo nyingi tu mlizifanya labda kwa vijana wa skuiz lkn zamani mlikua mnapita na gari na kispika kwamba asiefunga na nyinyi ni kafiri wazee wanajua hilo

  • @rashidyahya99
    @rashidyahya993 ай бұрын

    hii sasa hajabu mwezi unapopatwa unakuwa sio wa kimataifa lakin ukiandama unakuwa wa kimataifa" inabidi tutafakali vzr kwa mwny kutumia akili"

  • @saido.bakari2877

    @saido.bakari2877

    3 ай бұрын

    Jifundishe kutofautisha masaa na siku

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    NYINYI WATU KUWENI NA AKILI HUYU MZEE ANAKUPELEKENI KUBAYAAA...YAANI HAMUZINDUKI TUU

  • @amaniabdallah1359
    @amaniabdallah13593 ай бұрын

    YAANI MKISIKIA MWEZI SAUDIA TU NDİO MNAWAFUATA LAKİNİ NCHI ZINGINE MWEZI UKIANDAMA MNAJIDAI KAMA HAMJASIKIA

  • @bintahaaljunayd1166
    @bintahaaljunayd11663 ай бұрын

    Bado haujaelezra kitu apo

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv89733 ай бұрын

    Acha kutudanganya😂😂😂😂 wanachuoni gani

  • @SaleemASalim
    @SaleemASalim3 ай бұрын

    Kwahiyo hata kama tungeuona hapa Tanga haturuhusiwi kifungua mpaka watu wa falaq

  • @khadijanurdin3163

    @khadijanurdin3163

    3 ай бұрын

    Wé nawe hata huelewi

  • @SaleemASalim

    @SaleemASalim

    3 ай бұрын

    @@khadijanurdin3163 nafikiri wewe ndo uelewi maana mwezi umeonekana then sheikh atangazi Lisa watu wa falaq???? Si akubali tuu kuwa anafata mwezi muandamo wa Arabic county

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu3 ай бұрын

    Yaani kweli nimeamini mawahabi hufuata mkumbo haya watu wa falaqi na mwezi wapi na wapi

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir3 ай бұрын

    JUWA LIMEPATWA JEE MUMESWALI? JUA LA KIMATAIFA AU NI MWEZI TUU

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k3 ай бұрын

    Sheikh barhiyyan mche mola wallahi hizi zako ni chuki hoja huna unajichangnya mwenyewe kwenye hii clip unsema wanafalaki walitabiri jua kupatwa huko marekani na likipatwa mtume s.a.w. amesema mutakapo liona jua au mwezi umepatwa basi kabirini na swalini jee lilipopatwa jua huko marekani wewe na wafuasi wako hapa Tanzania muliswali Swalah ya kupatwa jua huko marekani na ilhali Tanzania ni usiku huu wako ni upotoshaji kweli kweli Wacha taasub zako mwezi wa kimataifa hakuna wala jua LA kimataifa mwezi ukipatwa marekani huku kwetu Tanzania ni mchana mbona huswali Swalah ya kupatwa mwezi ili hadithi ya mtume itekelezeke huna hojja wala huwezi funja hojja abuu idd kuhusu mwezi wa kimataifa yako wewe in ubabaishaji tuu

  • @hassandido8879

    @hassandido8879

    3 ай бұрын

    Hata mwaka jana ilmu falaki walisema hivo na Australia watapata solar eclipse giza totoro kwa hivo mwezi hautaonekena .mbona sudi wakatangaza mwezi umeonekana kwa hivo elimu falaki hawakuanza mwaka huu siku zote wake 😂😂😂😂

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman41183 ай бұрын

    BARAHIYANI UMEPOTEA NA UNAPOTEZA WATU YAANI UNASEMA IMEFIKA HATUA WATU WAWATEGEMEE WATU WA FALAKI TENA WAMEFIKIA HATUA YA UHAKIKA?! SIJASOMA ILA KWAHILI UNISAMEHE.

  • @farijala1
    @farijala13 ай бұрын

    Sheikh Amewakana Walioona Na Kaamini Wanafeleki.😅😅

  • @HamisiNasib
    @HamisiNasib3 ай бұрын

    FALAK FALAK FALAK, kama hii sio Bid-a potevu ambayo mwisho wake Ni motoni basi Hakuna Bid-a nyingine

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,mwingine angeona haya kuongea hayo uliyowafanyia waislam kuwadhulu haki zao ukinufaika wewe na baradha lako la wadhamini muñgu yupo haho gei wala harogeki

  • @user-uy4yj2yj9w
    @user-uy4yj2yj9w3 ай бұрын

    Wewe ndio unaleta Farka kwa kuwaita wale ambao hawako upande wako makafiri na washirikina

  • @SaidAlawi-sv1op
    @SaidAlawi-sv1op3 ай бұрын

    Daah hapa kuna ukakasi mkubwa. Nikusema kwamba sheikh hapa anatwambia kwamba Niger na Mali waliokula Eid jumanne wamekula mchana wa ramadhani. Kwa hiyo mufti wao huko kawadanganya watu kwamba mwezi umeonekana. Je amejiridhisha kwamba kweli mwezi haukuonekana huko? Au ndio amefuata FALAK tu moja kwa moja...?

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53073 ай бұрын

    😂fujo zilifanyika kugombania misikiti

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm3 ай бұрын

    Sheikh acha kuwafadhalisha watu wa Falak mbele ya Nchi za Kiislamu zinazotangaza mwezi. Maadam ushapata ushahidi kutoka katika nchi ya Kiislamu ambayo mufti wake keshathibitisha kuonekana kwa mwezi, basi kwa mujibu wa Sunnah ya Mtume ni kufunga na sio kufuata watu wa Falak.

  • @user-jn1fn2dv3p
    @user-jn1fn2dv3p3 ай бұрын

    Shekhe ww ni mtu ghadili sana umoja wa waisilam ni bora kuliko kitu kingine tumshukuru allah tumeswali pamoja maneno yote ya nini?

Келесі