KUTANA NA MWALIMU ANAYEFUNDISHA KWA MBWEMBWE,ANAMFUNDISHA MAIZUMO
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@mansourisafa40925 жыл бұрын
very nice my mungu akupe ubunifu zaid na zaid Ayo tv vpi ile habar ya anthon mda sana tuletee tujue kafikia wap
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Hongera sana Mwalimu, hii style yako inamfanya mwanafunzi kuvutiwa na shule na kumpenda sana mwalimu wake. Pia yale ya shuleni anashawishika kuyafanya nyumbani bila shuruti.
@dr.sarahbusongo5 жыл бұрын
"watoto wangu" I love that... Keep it up dada mzuri
@sadockchengula55422 жыл бұрын
What she is doing is part of what she learnt in teaching. But most of teachers leave all when they graduate. In teaching what is insisted is for teacher to be creative. Big up madam
The use of teaching aids contribute a lot on student understanding.
@gervasshayo78365 жыл бұрын
Madam your so creative well
@simbarajabu41575 жыл бұрын
Nimekupenda sana ticha kwa kufundisha kwako
@gomelimoto27515 жыл бұрын
Hongera sana,wewe ni miongoni mwa walimu tunaowahitaji Tanzania
@mwanamutemi5 жыл бұрын
Kenya wamebadilisha style ya kufundisha watoto wadogo. Nursery yaani chekechea HAKUNA KUSOMA BALI NI KUCHEZA NA KUZOEZESHWA KUWA NJE NA NYUMBANI kuanzia darasa la kwanza ndio sasa alfabeti zinaanza kusomeshwa kwa muda mchache sana, Huyu mwalimu amepata upeo huo yeye mwenyewe na nithibitisho la kweli kwamba watoto wadogo wanafaa kusaidiwa kuwa watoto wala sio kuwalimbikiza masomo masomo ili wafaulu mitihani pekeee !!!
@johnmbugani65325 жыл бұрын
Hongera mwalimu kwa ubunifu, Tanzania inahitaji sana watu km ninyi
@upendokariro42522 жыл бұрын
Hongera mwanangu kazi yako ni njema naikubali
@mjuba5 жыл бұрын
Uko vizur sister!!!keep it up
@moseskayan37055 жыл бұрын
Good relation ship with student hongera madam
@jeremiahmwanyika44415 жыл бұрын
“Watoto wangu “ dah nimeipenda iyo
@suzanhumbi41785 жыл бұрын
She is the best
@sophieaden53675 жыл бұрын
Passionate about her career
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Hongera da
@MenTPL5 жыл бұрын
Ongera sana, kweli mwalimu ni lazma awe mbunifu kwa ajili wanafunzi waelewe vizuri
@lucyakinyi51285 жыл бұрын
chinese english teaching style,this is how i teach here in china too
@polycarplazaro84825 жыл бұрын
Private schools ni HATARI.... watu wamechizika kufundisha sio mzaha na WANALIPWA BALAA NA POSHI KIBAO.... WHY NOT TEACHING WELL, CREATIVITY ETC!!!!!???
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
a
@a.8565 жыл бұрын
👏👏👏
@lulumichael87845 жыл бұрын
Safi
@amidumselle56595 жыл бұрын
I see you baby girl Nancy Mselle keep on moving dear. Congratulatiom madam Joyce #patmojuniourschool
@matha77503 жыл бұрын
She is right seriously coz ukimfundisha mtoto kwa michezo anakalili sana afu vtu vingi kwa wakat mmoja
@johntonya4365 жыл бұрын
Nice
@mihatamnyaturu90695 жыл бұрын
safi god
@johnburra49755 жыл бұрын
Millard huyu reporter anaboaaaaa anashusha hadhi ya AyoTV
@winfredbespoke84405 жыл бұрын
Mda mwingi unatumia interview had inaboa
@priscaandrew5545 жыл бұрын
On my side mm pia ni teacher,there is nothing new kwake...labda kwa asiye mwalimu anaweza akaona ni magen
@eliudbrown5
5 жыл бұрын
Ni wivu tu
@racheldauson9471
5 жыл бұрын
Acha wivu
@AishaAisha-xp6je
5 жыл бұрын
Prisca Andrew acha wivu ww kama wajiweza na ww toa ubunifu wako tukuone
@ibrahimhemedy3810
5 жыл бұрын
Teacher kuna tofauti...kubwa...ushaonekane Ayo TV...uchangamfu wake wa pkee ***nyotaaa
@potnews97025 жыл бұрын
Hiyo njia inaitwa Montessori teaching method,, Joyce acha kujifanya huijui!! Ziko shule nyingi sana za Montessori zinatumia hii njia!!!
@kedy82975 жыл бұрын
big up mrembbo
@mashmashmkeyenge92105 жыл бұрын
mbunifu sana lkn acha kujichubua nikuoe
@hawa4968
5 жыл бұрын
Asante
@mashmashmkeyenge9210
5 жыл бұрын
@@hawa4968 umeipenda eee
@andrewkazala92175 жыл бұрын
Napita
@Kidotii5 жыл бұрын
Big up Joyce!
@injili905 жыл бұрын
Punguza kula mafuta mtangazaji unahema sana au maiki nzito
@jojoshavu668
5 жыл бұрын
ambokile mgimbe hahahahha
@marrystellahgulian27714 жыл бұрын
she is suitable but i wanna know which school she teach
@elitegeneration16135 жыл бұрын
mtangazaji unaboa mzee
@kastorkidumu65795 жыл бұрын
ameolewa!?
@mbanguluzito54965 жыл бұрын
Kama mjapani uyu kaka mtangazaji
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
.
@mumybhay65615 жыл бұрын
mbona miaka ulitaka ni kdg lakini sura imekomaa kweli!
@mrautoelectrician89645 жыл бұрын
Huyu dada ako sawa juu anafanya masomo yanakua funny na hiko ndicho kiegezo bora ambacho wanafunzi wanahitaji nimempenda bure angekua kenya angesomesha watoto wangu
@sabrinaramadhani3325 жыл бұрын
She is
@edwardmkwelele5 жыл бұрын
Hii inafanywa sana Ulaya niliona Hii Marekani
@gvanafrica2934
5 жыл бұрын
Marekani sio ulaya!!
@gvanafrica2934
5 жыл бұрын
Marekani sio ulaya
@rkhamis1771
5 жыл бұрын
We nae muongo, marekani tang lini ikawa ulaya
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 Nitakutafutia hiyo vidéo ya huyo mwalimu wa kiume anafanya hiyo na nahisi ndiko huyo dada kaitowa ni kaiwada in Amerika Nipe email yako nikutumie
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 nimekuambia Marekani na Ulaya hiyo inafanyika
@jackyroy29853 жыл бұрын
Kwan mtangazaji ana tatizo gani? Mbona kama kalewa hivi......am sorry lakini.
@raymonddavid40615 жыл бұрын
Huyu jamaa mbona kama yupo high?
@missmoona44975 жыл бұрын
Maashallah unajitahid pia unafanya kaz nzur mno, lkn kwa miaka 25 hapana aisee sura tu inaongoza ww ni wa 30 naaa semann mwembamba lkn usikufanye ukajirudisha miaka mpnz
@upendowakwelinaamani1060
5 жыл бұрын
Huyu inawezekan akawa na umrii huo 25 ila sema nini mikorogo anayotumia ndio imemkomaza sura kakoroga ngozi matokeo anonekana tofauti na umrii wake.
@ashaali7154
5 жыл бұрын
Miss Moons acha kuwapa watu umri kutokana na muonekano wao kila mtu kaumbwa totauti wako walio na umri mkubwa lakini wana baby face hayo ni maumbile tu hata hivyo hapa tunaangalia kazi sio umri.
@hotpotato41915 жыл бұрын
Yaani mm ni mkubwa zaidi yake? Sasa mbona naishi kwa wazazi bado? Nifanyeje?
asia asia ... namie ndo nashangaa shoga angu 25?? Hapungui 32
@ibrahimhemedy3810
5 жыл бұрын
Unaharibu point ,Elimu yako ndogo unaangalia uso ulimzaa wewe kuna maumbile yako tofauti...usi comment ..kama hufikiri..
@pendael025 жыл бұрын
Naomba chagua kuongea lugha moja. Aidha ongea english ama kiswahili. Ukichanganya changanya nakuoneni kama Kiowa_english. Mwl unachanganya changanya hivyo. Wewe ni mswahili au mu england ? Tuache ushamba baadhi yetu watanzania
@iddyamri2629
5 жыл бұрын
Pendael Ulanga Hatujaskia vile lugha anachanganya,Dada yupo vizur
@bomplextv955 жыл бұрын
Fahamu nyimbo za mbele zenye maneno ya Kiswahili kzread.info/dash/bejne/gaVo2raviNO_edY.html
@siwemamichael6905 жыл бұрын
Unamiaka 25 uso umechakaa hivyo
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
Chezea manii wewe😆😆😆
@robertyrwagasanarwagasana7154
5 жыл бұрын
Siwema Michael dada kaz ya ualimu inachosha sana ,nilifundisha mwaka nikazee ,asante mungu nina biashara yangu sasa
@geographyteacher.2961
5 жыл бұрын
Hatuishi namna hiyo.
@winfredbespoke8440
5 жыл бұрын
Hata kama kachakaa ila ni mzr had raha
@siwemamichael690
5 жыл бұрын
@@winfredbespoke8440 mbingu utaisikia tu
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
Usenge mtupu unawafundisha wtt kukata viuono
@winslowzirops3598
5 жыл бұрын
Shika Adabu kutukana watu bila sababu
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
@@winslowzirops3598 Hilo sio tusi ni hali halisi
@winfredbespoke8440
5 жыл бұрын
Naww anza kuwafundisha kukata vichwa
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
Lakin mi simshangai kuwafundisha watoto upuuuzi huo kwani kilicho kua ndani ya debe ndo hicho hicho kitatoka km ni mahind mahind tu
@ashaali7154
5 жыл бұрын
@@zuheorsalim7759 Wanaofundisha wanafunzi kukataa viuno ni wale wasanii Wanaowafuata mashuleni au huwa huauwaoni acheni kumtukana mwalim kwa sababu munapenda tu kudhalilisha watu.
Пікірлер: 121
very nice my mungu akupe ubunifu zaid na zaid Ayo tv vpi ile habar ya anthon mda sana tuletee tujue kafikia wap
Hongera sana Mwalimu, hii style yako inamfanya mwanafunzi kuvutiwa na shule na kumpenda sana mwalimu wake. Pia yale ya shuleni anashawishika kuyafanya nyumbani bila shuruti.
"watoto wangu" I love that... Keep it up dada mzuri
What she is doing is part of what she learnt in teaching. But most of teachers leave all when they graduate. In teaching what is insisted is for teacher to be creative. Big up madam
Namkubali sana Joyce
Comment yangu kwako ni positive.. Wewe dada unajua unachofanya.. Hongera sana!!
The use of teaching aids contribute a lot on student understanding.
Madam your so creative well
Nimekupenda sana ticha kwa kufundisha kwako
Hongera sana,wewe ni miongoni mwa walimu tunaowahitaji Tanzania
Kenya wamebadilisha style ya kufundisha watoto wadogo. Nursery yaani chekechea HAKUNA KUSOMA BALI NI KUCHEZA NA KUZOEZESHWA KUWA NJE NA NYUMBANI kuanzia darasa la kwanza ndio sasa alfabeti zinaanza kusomeshwa kwa muda mchache sana, Huyu mwalimu amepata upeo huo yeye mwenyewe na nithibitisho la kweli kwamba watoto wadogo wanafaa kusaidiwa kuwa watoto wala sio kuwalimbikiza masomo masomo ili wafaulu mitihani pekeee !!!
Hongera mwalimu kwa ubunifu, Tanzania inahitaji sana watu km ninyi
Hongera mwanangu kazi yako ni njema naikubali
Uko vizur sister!!!keep it up
Good relation ship with student hongera madam
“Watoto wangu “ dah nimeipenda iyo
She is the best
Passionate about her career
Hongera da
Ongera sana, kweli mwalimu ni lazma awe mbunifu kwa ajili wanafunzi waelewe vizuri
chinese english teaching style,this is how i teach here in china too
Private schools ni HATARI.... watu wamechizika kufundisha sio mzaha na WANALIPWA BALAA NA POSHI KIBAO.... WHY NOT TEACHING WELL, CREATIVITY ETC!!!!!???
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
a
👏👏👏
Safi
I see you baby girl Nancy Mselle keep on moving dear. Congratulatiom madam Joyce #patmojuniourschool
She is right seriously coz ukimfundisha mtoto kwa michezo anakalili sana afu vtu vingi kwa wakat mmoja
Nice
safi god
Millard huyu reporter anaboaaaaa anashusha hadhi ya AyoTV
Mda mwingi unatumia interview had inaboa
On my side mm pia ni teacher,there is nothing new kwake...labda kwa asiye mwalimu anaweza akaona ni magen
@eliudbrown5
5 жыл бұрын
Ni wivu tu
@racheldauson9471
5 жыл бұрын
Acha wivu
@AishaAisha-xp6je
5 жыл бұрын
Prisca Andrew acha wivu ww kama wajiweza na ww toa ubunifu wako tukuone
@ibrahimhemedy3810
5 жыл бұрын
Teacher kuna tofauti...kubwa...ushaonekane Ayo TV...uchangamfu wake wa pkee ***nyotaaa
Hiyo njia inaitwa Montessori teaching method,, Joyce acha kujifanya huijui!! Ziko shule nyingi sana za Montessori zinatumia hii njia!!!
big up mrembbo
mbunifu sana lkn acha kujichubua nikuoe
@hawa4968
5 жыл бұрын
Asante
@mashmashmkeyenge9210
5 жыл бұрын
@@hawa4968 umeipenda eee
Napita
Big up Joyce!
Punguza kula mafuta mtangazaji unahema sana au maiki nzito
@jojoshavu668
5 жыл бұрын
ambokile mgimbe hahahahha
she is suitable but i wanna know which school she teach
mtangazaji unaboa mzee
ameolewa!?
Kama mjapani uyu kaka mtangazaji
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
.
mbona miaka ulitaka ni kdg lakini sura imekomaa kweli!
Huyu dada ako sawa juu anafanya masomo yanakua funny na hiko ndicho kiegezo bora ambacho wanafunzi wanahitaji nimempenda bure angekua kenya angesomesha watoto wangu
She is
Hii inafanywa sana Ulaya niliona Hii Marekani
@gvanafrica2934
5 жыл бұрын
Marekani sio ulaya!!
@gvanafrica2934
5 жыл бұрын
Marekani sio ulaya
@rkhamis1771
5 жыл бұрын
We nae muongo, marekani tang lini ikawa ulaya
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 Nitakutafutia hiyo vidéo ya huyo mwalimu wa kiume anafanya hiyo na nahisi ndiko huyo dada kaitowa ni kaiwada in Amerika Nipe email yako nikutumie
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 nimekuambia Marekani na Ulaya hiyo inafanyika
Kwan mtangazaji ana tatizo gani? Mbona kama kalewa hivi......am sorry lakini.
Huyu jamaa mbona kama yupo high?
Maashallah unajitahid pia unafanya kaz nzur mno, lkn kwa miaka 25 hapana aisee sura tu inaongoza ww ni wa 30 naaa semann mwembamba lkn usikufanye ukajirudisha miaka mpnz
@upendowakwelinaamani1060
5 жыл бұрын
Huyu inawezekan akawa na umrii huo 25 ila sema nini mikorogo anayotumia ndio imemkomaza sura kakoroga ngozi matokeo anonekana tofauti na umrii wake.
@ashaali7154
5 жыл бұрын
Miss Moons acha kuwapa watu umri kutokana na muonekano wao kila mtu kaumbwa totauti wako walio na umri mkubwa lakini wana baby face hayo ni maumbile tu hata hivyo hapa tunaangalia kazi sio umri.
Yaani mm ni mkubwa zaidi yake? Sasa mbona naishi kwa wazazi bado? Nifanyeje?
@nurudovino288
5 жыл бұрын
Nyoo uuze matunda dukani kwangu utatoka kwenu usijar
penda san dada joi
Uyu anamiaka 45 na hapo kajichubua tu asingejichubua angekuwa kama nani?
@nuruabeid7341
4 жыл бұрын
Jmn 25 cio 45 hahhaahhaah
Jmn jmn jmn hee tuwe wakweli 25hehehehe saw ila usounamsuta 32😬😩😬
@kibibiseif7930
5 жыл бұрын
asia asia ... namie ndo nashangaa shoga angu 25?? Hapungui 32
@ibrahimhemedy3810
5 жыл бұрын
Unaharibu point ,Elimu yako ndogo unaangalia uso ulimzaa wewe kuna maumbile yako tofauti...usi comment ..kama hufikiri..
Naomba chagua kuongea lugha moja. Aidha ongea english ama kiswahili. Ukichanganya changanya nakuoneni kama Kiowa_english. Mwl unachanganya changanya hivyo. Wewe ni mswahili au mu england ? Tuache ushamba baadhi yetu watanzania
@iddyamri2629
5 жыл бұрын
Pendael Ulanga Hatujaskia vile lugha anachanganya,Dada yupo vizur
Fahamu nyimbo za mbele zenye maneno ya Kiswahili kzread.info/dash/bejne/gaVo2raviNO_edY.html
Unamiaka 25 uso umechakaa hivyo
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
Chezea manii wewe😆😆😆
@robertyrwagasanarwagasana7154
5 жыл бұрын
Siwema Michael dada kaz ya ualimu inachosha sana ,nilifundisha mwaka nikazee ,asante mungu nina biashara yangu sasa
@geographyteacher.2961
5 жыл бұрын
Hatuishi namna hiyo.
@winfredbespoke8440
5 жыл бұрын
Hata kama kachakaa ila ni mzr had raha
@siwemamichael690
5 жыл бұрын
@@winfredbespoke8440 mbingu utaisikia tu
Usenge mtupu unawafundisha wtt kukata viuono
@winslowzirops3598
5 жыл бұрын
Shika Adabu kutukana watu bila sababu
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
@@winslowzirops3598 Hilo sio tusi ni hali halisi
@winfredbespoke8440
5 жыл бұрын
Naww anza kuwafundisha kukata vichwa
@zuheorsalim7759
5 жыл бұрын
Lakin mi simshangai kuwafundisha watoto upuuuzi huo kwani kilicho kua ndani ya debe ndo hicho hicho kitatoka km ni mahind mahind tu
@ashaali7154
5 жыл бұрын
@@zuheorsalim7759 Wanaofundisha wanafunzi kukataa viuno ni wale wasanii Wanaowafuata mashuleni au huwa huauwaoni acheni kumtukana mwalim kwa sababu munapenda tu kudhalilisha watu.