Kumbukizi ya Rais Magufuli alipoeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi
#Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
Kumbukizi ya Rais Magufuli alipoeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi
Licensed under a Creative Commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https
Пікірлер: 57
Ruto come and look at thiss
@kkrotich
16 күн бұрын
Many thought Ruto would even do better than Magufuli but little did people know that he will be biggest puppet of the West
@JosephMoshman-kd7uv
15 күн бұрын
zakayo eeish na bado miaka nane 😂😂
Mi Bado nakulilia sana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Sasa Mama anasafiri kutwa kucha na Makundi ya watu kuanzia wa awamu ya nne mpakq ya sita kama hana wasaidizi Watanzania wamechoka vibaya sanaaaa
Genius human being
Rip king pompe Mangufuli
❤❤ You will forever live in our hearts mkuu!
Hakika Utakumbukwa kwa Mazuri mengi Uliyo ya fanya kwenye Taifa Hili la Tanzania
@hassanmfaume4522
27 күн бұрын
Huko kuzuru kanchi kadooogo siyo
R.i.p H.E John pombe magufuli we love you so much ❤❤
Babu ,huku mama Safari haziishi katoka juzi ufaransa wewe ulikomea Rwanda tu wezio Wana enjoy
Tunakukumbuka wanyarwanda tulikupenda sana, Mungu akulalishe pahari pema mheshimiwa
Mama habani matumiZi uku baba leo korea kesho china kesho kutwa marekani..............n.k
The best Tanzania president after Julius Nyerere.
@user-sh3tr8cm1v
Ай бұрын
Exactly
Namimi nakuja kuwa raisi mafisad mjipange 😅
@srj36119
12 күн бұрын
Nakusapoti
The best president in east Africa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ruto wa huko kenya ni iblis mwenyewe.
huyu ndie kiogozi....
Innalillah wa inna ilaih radjiouna 😓
HUYO KAGAME HATA MSIBA WAKO HAKUJA
We missing your leaders
Kenya?ndani ya miaka miwili?
RIP FATHER AFRICA
Ni mfano wa kuigwa
Mbana matumizi kwa maslahi ya nchi
Ruto wa kenya nimejoka sana safari
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tumempoteza kiongozi ambae pengo lake halitazibika kirahisi!
Wapi ruto hope ameskia hii😂😂😂😂
❤❤😢😢
Ruto
Nimejoka na ruto wa kenya
Mama anasafiri zaidi ya safari????😅
Urwanda ruremerwa❤😂
BABA BORA NI MWENYE KULINDA NYUMBA YAKE...
@rogerabdallah439
Ай бұрын
Sana
@user-oh6pc7zd4s
Ай бұрын
Baba mwema hauwi watoto wako,kuwateka,kuwapiga risasi,kuwabambikizia kesi,na kutopenda kukosolewa.
@user-oh6pc7zd4s
Ай бұрын
Baba mwema hauwi watoto wake,kuwateka,kuwapig risasi,
Mfalme Magufuli pumzika kwa amani
Pumzkka kwa amani magufuli
Uncle
Uku Kenya Rais wetu hasimami 😅😅,ametembea Dunia mzima
@MACHOYATAI-jk6fu
Ай бұрын
Hamfikii samia hata robo
Daima
Jiwe letu
R,I,P pumzika kwa amani Mzee wetu
Mmmmmh !!!
Pigia mstari neno nimekuja kama ndugu yenu
@ElizabethBeny
Ай бұрын
Lala salama pumzika baba yangu mwendo umeumaliza
@ElizabethBeny
Ай бұрын
Ila baba uliachaga maagizo tuciuze Mali za nchi lkn Samia ameuza halafu hataki kutucikiliza baba tumekukumbuka mpaka akil inastak
Duhu
Mwamba uyo