#KUMBUKIZI
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Пікірлер: 15
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina Baba yetu wa Taifa letu la Tanzania daima Tutakukubuka kwenye sala
We cannot thank you enough. Mwalimu is an African hero, a servant of God. A prophet of humility and integrity that other African leaders should emulate. He left state house as poor as he entered it while others become billionaires from public money.
Tunaishi katika Bwana na Tunakufa katika Bwana.
Nimeipenda hii Liturujia hasa mpangilio wa nyimbo. Nyimbo zilizoimbwa ni za Mazishi au za Misa ya Wafu. Ni kwa bahati mbaya mahali pengi siku hizi wanadhani Nyimbo za Kwaresma ndizo za mazishi au Wafu.
Asante Jugo midia Barikiwa kwa Utume
Thanks for this classic recording
JUGO MEDIA MBARIKIWE SANA
Pumzika kwa amani Baba yetu Nyerere
R.I.P Baba wa taifa kwa mema uliyotuachia wa Tz , Pia kiukwl najivunia kumshuhudia kwa macho yangu Baba mwadhama Cardinal Pengo ni askofu wa kipekee sana Mungu azidi kumpa umri mrefu tuzidi kupata mafundisho mema
Ila Kardinali pengo ni mnyenyekevu mno
Apumzike Kwa Amani.
Aminaaa 🙏
Asante Jugo media
Rest In Peace Mwalimu Nyerere
Hii ndo misa ya wafu kweli