KONDE BOY HARMONIZE AKIFUNGUKA YA MOYONI PLANET BONGO
Ойын-сауық
#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #ProfessorJay #VanessaMdee #PaulMakonda #ProfessorJay #AyraStarr
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 101
Konde boy for everyone❤❤
Sema mwanangu mnyama umetisha sana huna baya
Nimependa sana majibu ya harmo umekuwa blooh✌✌
Nimekuelewa Sana mtuzi Rajabu
Ameacha madem anazingatia maokoto ya tuzo ndio maana hata majibu ni ya kubeba tuzo zote msimu ujao❤
@diamondplatnumz649
8 ай бұрын
Hahaha anakumbuka shuka,kumekuchaa😂😂 kwa tuzo bado sana na simba kabakisha grammy na BET tu yote kashabebaaa
@priscamrekoni3451
7 ай бұрын
@@diamondplatnumz649hilo ooooooo wivu tu imba👎👎👎👎😬😬😬😬 ww tuone kama utashinda ht tuzo moja🥶🥶🥶🥶🥶🥶
@hkmeme5437
7 ай бұрын
@@diamondplatnumz649hakuna competition
Akili kubwa mzee ✌🙌
Jmn hii interview nimeanglia nimeridhika yan haina matangazo matangazo yni yan unainjoy kbsa😊😊
@mrsinia3064
7 ай бұрын
Kabisa
Msafi ni mmoja tu #maji yamelowana
Konde boi 🔥🔥🔥❤❤
Yaaaap nakubal bro piga kaz Mungu azidi kukusimamia
I love the lady’s voice 🥰
Hawa watu wana maswali yakisenge sana
Jeshi. Kama jeshi😘😘😘
Harmonize , diamond, mbosso, alikiba, professor jay G. O. A. T rapper in east africa, matonya ndiyo wasani wangu kabisa hata T. I. D( nyota yako) merci beaucoup sur Vous plait Tous le monde
Uy anayesm kuw Hamo han mashabik labd uyo yuk sayar y 50,,Hamo n mkubw I proud to see y'r work harmo
@user-nx5mu4em9m
7 ай бұрын
Aminia Konde majibu ya kiutu uzima
Mwamba uyhoooo Konde boy Nakukubalhi Sana Harmonize
Jeshii kama jeshii killing it
Kongole Harmonize 🎉🎉🎉❤❤❤Umekomaa
Saf sana my brother 👊👊
Jeshiiiiii nakubali mwanangu hunabayaaa
Harmonize now days unawajibu poa sana maana maswali yao hua ni ya kuleta uchokozi ukulungwa neyo
Nyie hua ni wachokozi sana mnapenda kuona watu wakikosana ndo raha yenu acheni unafki 😡 Tanzania iende mbelee
Navakubaki Sana dada ❤❤❤❤
l like the way kondeboy copper ret
Konde boy 2the worldwide na hawaniwezi
Good kondeboy more
Kafanya meng mapya mazuri
jamaa inteviw unaweza kujibu kinom
Nakubar konde❤
Kwel harmonize umekua now
Huyo mtangazaji anahoji maswali muhim sana kifupi ana tallent sana japo na harmo anajibu kiutu uzima zaidi safi sana
Yaaaaap nakubal sana bro
Nakukubali
Yaan anahojiwa maswali ya miaka ming ilopita as iff hamna mapya watangazaj wa bongo bado sana
Tz tunaubinafsi sna kwel, Naigeria wako poa sana kwa kusaidiana.uku kwetu Hasada chuki uchawi tu kufitiniana ..Hamo umesema poa
Pafect
Sawa kaka me ni mtu wako sana kk❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice konde
Like
Afu uyu dogo mbea sanaaa hakomi 😂😂😂😂😂
unakili sana kujibu maswali boy
Sisi watu wa Congo tunakuamini Kaka konde boys
🔥🔥🔥🔥
Yani watu wengine bwana unawezaje kusema hamo hanamashabiki mh
jeshi
That was impossible you make possible thanks Jesus for hamo tz
okey m'y bronzer Harmoniz konde boy jesh I'm comming ❤🇹🇿❤️♥️🙏🦜🇨🇩
@unclephotographer9923
6 ай бұрын
Point 🔥🔥
Kondeee kiboko unawajibu kwa hakili mnooo
Duuu kapuyanga kweli swali gn hilo la kumuulz mtu ..muwe mnaanda maswali kabla ya interview
Kijana ya Wamakonde
Jeshi
Mjeshiiiii
unyama
HAWA WAPUUZI NDO WANACHONGANISHAGA WATU NA CHENI ZAO ZA MBWA
@bonheurbakamare-8719
8 ай бұрын
😢
Acha umpumbavu kunamda unajibu vzr lakini %90 unatuboa
Kaka Rajabu harmonaiz wala usijari usijibu tofauty kbsa
Rich Msafi na maswali yake!!! ingekuwa Baraka angesepa zake, mpemaaaaa. mwana mwenye brown ana maswali makili hadi raha
Rich msafii amechange moods kapoooa😂
Jama yupo vzr kweny IQ,kuna tofauti kua boy na men.na ili uwe mwanaume shujaa ni lazima upitie changamoto nying ndizo zinazo kujenga.
Tuzo akichujua Diamond au rayvany ni tuzo kubwa Ila tuzo akichukua harmonize ni tuzo ndogo, kanunua tuzo😏😏😏 fala kweli wabongo 😅
Belisepenga feki namuona
Mambo
Huyu jamaa ameshakua asee yani Mondi kashamuweza kumkroo
mwambieni huyo dogo aache usenge atambue anafanya interview na nani pumbavu zakke AACHEE UTOTO NA ASIWE ANAPEWA HIZO NAFASI NI MPUMBAVU
❤ like
Mh😀
Ety Konde hanywi kbx🤣🤣
Hahaha rich msafi kapoa🤣🤣🤣🤣 acha maswali chochezi kenge wew
Mkimuhoj msanii mkubwa mnakuwa na adabu San hamchek chek
@mikidadymohammedy7603
7 ай бұрын
Kwel kabixa
Alafu kwanin apigane na waliinzi pale kwa mkapa
Kode uko fersh
The lady should learn to let the guys finish their questions instead of trying to cut them off or finish the questions for them 🤔
Yaw yaw
Alafu huyo mjinga ambaye ajielewi amevaa kofia ya blue nae analipwa kweli au nimtoto wa boss ana miswali ya kijinga naisi vyeti vyake mfatilie vizuri
harmonize kasema ukwei kabisa tuko America harmonize akija america ju tunapenda kiba hatwendi kabisa kabisa kabisa hasa diamond ndo hasaaaaaaaaaaaaaaaa akija hatwendi kabisaaaaaaaaaaaaaaaa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwamatendo yake mabaya kwanza hataki watu wampite yeye awe yeye 2 siyo powa kuwa mubinasi
Kwanza kaa ukijua hauna mashabiki .wasanii wenye mashabiki hapa bongo ni wawili tu. Diamond na ally kiba .wasanii wengine mbawashangiliaji
@beckermbagala8
8 ай бұрын
UNAONAJE HILI BADO LAKO UKAFANYA PUNYETO UKAPOST...MANA AKILI HAUNA
@user-ih2eh1fy1y
8 ай бұрын
Ww nayai trnti
@Semtoto
8 ай бұрын
Diamond na alikiba ni wasanii wenye mashabiki wengi ila harmonize ndio msanii ANAEPENDWA zaidi.....
@RamadhanMatula-vg1wx
8 ай бұрын
Acha uchoko kma aumkubari m2 kaakimya ku......eee
@georgemerere3448
8 ай бұрын
Uyu jamaaa ni mbuzi au 😅
Mwamba huyo maswali yake always ndio ya hivyo jeshi umetisha umemfanya kapoa kudadeki
@noelkabaila3284
8 ай бұрын
Live amekuwa na busala sana kiukweri nipale alipomwambia amuulize yeye kama yeye ya wengine no comment
@innocentmgaya5688
8 ай бұрын
@@noelkabaila3284 achana na hii interview Yan huyo mwamba Huwa anawaongelea wasanii anavyojua yey angeendelea angekula makofi hapo
@gideonmathew5198
7 ай бұрын
Umekua homo big up