KIVUMBI! LEMA AITIKISA TANGA AILIPUA SERIKALI AWAITA WAJINGA HADHARANI AWATAJA KWA MAJINA YAO
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@venancemartin673421 күн бұрын
Ukweli c siku zote huwa kama unatukanwa, message sent and delivery
@odoieriasmonga659121 күн бұрын
mnaosema neno ujinga upuuzi ni matusi tafuteni kamusi ya kiswahili itawasaidia
@JumaGishanga21 күн бұрын
Kweli kabisa Elimu ovyo
@ufunuoeliya71921 күн бұрын
Shida watz tumezoea sna kubembelewa mjinga mpumbavu si matusi unaeza toka kwenye point kisa kuskiliza mjinga nineno kabisa lenyemaana halisi na.ukiona nitusi jua linakuhusu why wtz tunapenda sanaaaa kupelekwa kistarabu kumbe tunapotezwa ustarabu ni njia ikitumika vzr
@geraldmanyogoto135821 күн бұрын
Siyo mawaziri na wabunge tu, hata walimu wa shule ya msingi kwa kiwango kikubwa hawapeleki watoto wao zile shule wanazofundisha!
@RashidiDaudy-ez6zt18 күн бұрын
Unaongea point tupu ila kwa vile vichwa nyetu vimejaa matope tunaona kama tunatukanwa. ulishawahi kujiuliza kwanini mawazir hawasomeshi watoto wao kwenye shule za serikali?
@verdianabanabi220521 күн бұрын
Jenga hoja za maana ili tuwafuate cdm kama ni matusi haoana.
@obinasimbeye1750
21 күн бұрын
Finyu we mchangiaji matusi na hoja Wala huzijui
@rebekakulwa615921 күн бұрын
Hivyo vya tanga huwa sivielewi. Ni viteja vya fisiemu ni kama misukule
@MaulidiMsingwa21 күн бұрын
matusi yanini sasa?hapo ndio ninaposhindwa kuwaelewa,alafu ongea uongeavyo tanga wanakusikiliza alafu ukitoka hapo,wapo pale pale ccm,tanga huwezi wabadilisha kwa kutukana.
@Eliaskasanya-hm5yk20 күн бұрын
Hao watalii wasipokuja! Huwezi kuwaita watu wajinga. Siasa za wapi hizo!
@yonassngonye375921 күн бұрын
Wrong Hypothetical
@kayombotv975821 күн бұрын
Hawana agenda kazi yao matusi ambayo hayana hata maana kwani amekuja kufanya nini na yeye ni mtu wa Canada? Madaraka yanatoa watu ufahamu kweli.
Пікірлер: 15
Ukweli c siku zote huwa kama unatukanwa, message sent and delivery
mnaosema neno ujinga upuuzi ni matusi tafuteni kamusi ya kiswahili itawasaidia
Kweli kabisa Elimu ovyo
Shida watz tumezoea sna kubembelewa mjinga mpumbavu si matusi unaeza toka kwenye point kisa kuskiliza mjinga nineno kabisa lenyemaana halisi na.ukiona nitusi jua linakuhusu why wtz tunapenda sanaaaa kupelekwa kistarabu kumbe tunapotezwa ustarabu ni njia ikitumika vzr
Siyo mawaziri na wabunge tu, hata walimu wa shule ya msingi kwa kiwango kikubwa hawapeleki watoto wao zile shule wanazofundisha!
Unaongea point tupu ila kwa vile vichwa nyetu vimejaa matope tunaona kama tunatukanwa. ulishawahi kujiuliza kwanini mawazir hawasomeshi watoto wao kwenye shule za serikali?
Jenga hoja za maana ili tuwafuate cdm kama ni matusi haoana.
@obinasimbeye1750
21 күн бұрын
Finyu we mchangiaji matusi na hoja Wala huzijui
Hivyo vya tanga huwa sivielewi. Ni viteja vya fisiemu ni kama misukule
matusi yanini sasa?hapo ndio ninaposhindwa kuwaelewa,alafu ongea uongeavyo tanga wanakusikiliza alafu ukitoka hapo,wapo pale pale ccm,tanga huwezi wabadilisha kwa kutukana.
Hao watalii wasipokuja! Huwezi kuwaita watu wajinga. Siasa za wapi hizo!
Wrong Hypothetical
Hawana agenda kazi yao matusi ambayo hayana hata maana kwani amekuja kufanya nini na yeye ni mtu wa Canada? Madaraka yanatoa watu ufahamu kweli.
@abubakarimussa9131
21 күн бұрын
Wewe mpumbavu kweli yani yamaana aahujaona wala kusikia matusi ulio sikia amka wewe
@RashidiDaudy-ez6zt
18 күн бұрын
Hapo tusi ni lipi kayombo mbon mimi naona point tupu?