KIVUMBI! LEMA AITIKISA TANGA AILIPUA SERIKALI AWAITA WAJINGA HADHARANI AWATAJA KWA MAJINA YAO

Пікірлер: 15

  • @venancemartin6734
    @venancemartin673421 күн бұрын

    Ukweli c siku zote huwa kama unatukanwa, message sent and delivery

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659121 күн бұрын

    mnaosema neno ujinga upuuzi ni matusi tafuteni kamusi ya kiswahili itawasaidia

  • @JumaGishanga
    @JumaGishanga21 күн бұрын

    Kweli kabisa Elimu ovyo

  • @ufunuoeliya719
    @ufunuoeliya71921 күн бұрын

    Shida watz tumezoea sna kubembelewa mjinga mpumbavu si matusi unaeza toka kwenye point kisa kuskiliza mjinga nineno kabisa lenyemaana halisi na.ukiona nitusi jua linakuhusu why wtz tunapenda sanaaaa kupelekwa kistarabu kumbe tunapotezwa ustarabu ni njia ikitumika vzr

  • @geraldmanyogoto1358
    @geraldmanyogoto135821 күн бұрын

    Siyo mawaziri na wabunge tu, hata walimu wa shule ya msingi kwa kiwango kikubwa hawapeleki watoto wao zile shule wanazofundisha!

  • @RashidiDaudy-ez6zt
    @RashidiDaudy-ez6zt18 күн бұрын

    Unaongea point tupu ila kwa vile vichwa nyetu vimejaa matope tunaona kama tunatukanwa. ulishawahi kujiuliza kwanini mawazir hawasomeshi watoto wao kwenye shule za serikali?

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi220521 күн бұрын

    Jenga hoja za maana ili tuwafuate cdm kama ni matusi haoana.

  • @obinasimbeye1750

    @obinasimbeye1750

    21 күн бұрын

    Finyu we mchangiaji matusi na hoja Wala huzijui

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615921 күн бұрын

    Hivyo vya tanga huwa sivielewi. Ni viteja vya fisiemu ni kama misukule

  • @MaulidiMsingwa
    @MaulidiMsingwa21 күн бұрын

    matusi yanini sasa?hapo ndio ninaposhindwa kuwaelewa,alafu ongea uongeavyo tanga wanakusikiliza alafu ukitoka hapo,wapo pale pale ccm,tanga huwezi wabadilisha kwa kutukana.

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk20 күн бұрын

    Hao watalii wasipokuja! Huwezi kuwaita watu wajinga. Siasa za wapi hizo!

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye375921 күн бұрын

    Wrong Hypothetical

  • @kayombotv9758
    @kayombotv975821 күн бұрын

    Hawana agenda kazi yao matusi ambayo hayana hata maana kwani amekuja kufanya nini na yeye ni mtu wa Canada? Madaraka yanatoa watu ufahamu kweli.

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    21 күн бұрын

    Wewe mpumbavu kweli yani yamaana aahujaona wala kusikia matusi ulio sikia amka wewe

  • @RashidiDaudy-ez6zt

    @RashidiDaudy-ez6zt

    18 күн бұрын

    Hapo tusi ni lipi kayombo mbon mimi naona point tupu?

Келесі