No video

Kiswahili kinazungumzwa sana Msumbiji- Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji

#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili #kiswahili #KiswahiliDay #FilipeNyusi
Pata taarifa ya habari, makala, habari kwa picha , mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.

Пікірлер: 10

  • @ayubkaiyongi5187
    @ayubkaiyongi518728 күн бұрын

    Hongera sana rais kwa swahili sanifu

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Жыл бұрын

    Ninachangamkia sana kumwona rais wa nchi ya Msumbiji akizungumza Kiswahili sanifu na kwa ufasaha bora. Kongole kwako rais Nyusi.

  • @fiacrenubuniyo9493
    @fiacrenubuniyo9493 Жыл бұрын

    Mzee Nyusi anaoengea kiswahili sanifu kabisa,hongera mzee

  • @aboubakaromar652
    @aboubakaromar6522 жыл бұрын

    Hongera sana mh. Rais upo juu sana kwenye hii lugha, wasaidie wanamsumbiji waijue hii lugha

  • @oliverantonioarmandoantoni2683
    @oliverantonioarmandoantoni2683 Жыл бұрын

    Mais um dia vou na Tanzania

  • @aboubakaromar652
    @aboubakaromar6522 жыл бұрын

    Mhe. Wamalawi wameamka sana wanakuja sana kusoma vyuo vya zanzibar, pamoja na mambo mengine wanashauku na wanatafuta kujuwa lugha ya kiswahili hivyo basi nawashauri wanamsumbiji kusoma vyuo vyetu vya zanzibar

  • @barakabahati6600
    @barakabahati66002 жыл бұрын

    Watu wengi wanapendaga sana Tanzania lakini watanzania ni wanafiki sana tena wenye wivu dhidi ya wageni

  • @douglasmodrax4608

    @douglasmodrax4608

    7 ай бұрын

    Sio kweli tembelea Tz utaona

  • @user-jo3cs3yu3o

    @user-jo3cs3yu3o

    29 күн бұрын

    Tatizo Elimu

  • @thanksrjhood9508

    @thanksrjhood9508

    5 күн бұрын

    Mgeni uwe na wivu nae ili iweje, kusemea watanzania wote, ukisema baadhi utaeleweka, ndio tuseme na ww ni mnafiki

Келесі