KIONGOZI WA WATU “DKT NZUNDA” AZIKWA

Фильм және анимация

Hali ya majonzi ilitanda kwa takribani dakika 10 wakati jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Dkt Tixon Nzunda likishushwa kwenye nyumba yake ya milele ,wanafamilia wakishindwa kuzuia hisia kwa kuangua vilio huku wakifuta machozi .

Пікірлер: 1

  • @user-ne1ni8cp4b
    @user-ne1ni8cp4bАй бұрын

    Ntakukumbuka

Келесі