KIONGOZI WA WATU “DKT NZUNDA” AZIKWA
Фильм және анимация
Hali ya majonzi ilitanda kwa takribani dakika 10 wakati jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Dkt Tixon Nzunda likishushwa kwenye nyumba yake ya milele ,wanafamilia wakishindwa kuzuia hisia kwa kuangua vilio huku wakifuta machozi .
Пікірлер: 1
Ntakukumbuka