Kama kunamtu wakulindwa na gharama yyte ile kwenye hii nchi n makonda namuona mbali anafanya kazi ambazo sijawahi ona mkuu wa mkoa yyte akifanya.
@user-cj4cv3jo6pАй бұрын
Rc Makonda Mungu akulinde sana na akutunze binafsi nimefurahi sana anavyotatua kero za watu
@hanifamziray277Ай бұрын
Asante sn gambo kutuletea bajaji mwanama mungu akubariki sn
@PaulPaul-pg2ejАй бұрын
Yaani kiukweli mikoa mingine sijui tufanyaje...hongereni Arusha,
@bugapeasant1827Ай бұрын
Binafsi mshiro gambo hua namkubali sana
@user-ie6hs3ul2qАй бұрын
Mhe. Rais aanzishe cheo cha Mkuu wa Mkoa Kiongozi. Ziara iwe kila Mkoa Makonda piga kazi
@saidkhatib9146
Ай бұрын
Duh niliwah kuwaza hii kitu itakuw pw sana
@omarmussa5755Ай бұрын
CCM Raha sana
@user-fx3sk9kh1sАй бұрын
Duh
@AdamSaffi211Ай бұрын
Very childish that MP, leaders differences are sorted in camera siyo in open meetings
@user-sg7it4ig3d
Ай бұрын
Sometimes kuambizana ukweli hakusubilii mpaka muwe chemba mzee
@uredmwasembo8579Ай бұрын
Acha kujisafisha iv ulikuwa unasubili aje makonda au kazi yako kama mbunge ni ipi asante makonda
@robertphilip385
Ай бұрын
Inchi hi mbunge hananguvu yeyote mbunge akiongea ongea sana anaweza kutupwa ndani na mkuu wa wilaya ndo ndo maana katiba mpya inahitajika mkuu
@BakarAbdalla-zl6qn
Ай бұрын
Kumbuka huyu nyau alikua mkuu wa mkoa Arusha hapo hapo
@robertphilip385
Ай бұрын
@@BakarAbdalla-zl6qn ndugu yangu ccm niwalewale wezi tu
@wechemakambo2182
Ай бұрын
Mrisho ni hodari wa kunanga watu kwenye Hadhara...hapo alitaka DC amjibu,yalimtokea Lema,Meya wa Arusha zamani nk,huku Dar alimtusi sana MhZungu.
@faustinombilinyi9809
Ай бұрын
Kasome vizuri kazi za mbunge km huelewi nchi Ina muhimbili mitatu executive, parliament, judicial executive ni utawala serikali mkuu wa serikali ni rais, makamu wa rais ,waziri mkuu, naibu waziri mkuu, Baraza la mawaziri , katibu mkuu kiongoz makatibu wote wanafuata hapo wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya hao nakuendelea hao ndo watendaji wa serikali .... hapo kazi ya mbunge kuwakilisha matatizo ya wananchi, kusimamia na kuishauri serikali.
@happymerry8675Ай бұрын
Mambo ya hovyo kwamba walishindwa kuongea kama viongozi
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
Lakini Mh Gambo hakutakana amseme hivi DC mbele ya kadamnasi. mbona sio poa au?
@LukasMabena
Ай бұрын
Uyo huwa havungagi
@AllyMaya-yj3xd
Ай бұрын
GAMBO KAWA DC kawa mkuu wa Mkoa pia alafu ni dogo hawa vijana wanamihemko .UKIONA KIONGOZI ALIEPITA HUKO ANAONGEA HIVYO DOGO YUPO NA SHIDA GAMBO SIO MGOMVI
@amanijampion3045
Ай бұрын
@@AllyMaya-yj3xdni mgomvi amejificha kwenye kichaka cha siasa. Hawezi kuwasema vibaya viongozi wenzie hivyo
@smartonlinetv5144Ай бұрын
Makonda anatakiwa arotate mikoa yote
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
eti eh? uko mkoa gani kaka yetu mwema?
@yusufmohamed8874Ай бұрын
Gambo ulikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha nini ulifanya?
@hijazhija316
Ай бұрын
Ulikuepo Arusha enzi zake?
@venancemwarabu7168
Ай бұрын
Enzi zake hakukuwa na misuguano ya bajaji na hiace na mambo madogomadogo
Пікірлер: 28
Kama kunamtu wakulindwa na gharama yyte ile kwenye hii nchi n makonda namuona mbali anafanya kazi ambazo sijawahi ona mkuu wa mkoa yyte akifanya.
Rc Makonda Mungu akulinde sana na akutunze binafsi nimefurahi sana anavyotatua kero za watu
Asante sn gambo kutuletea bajaji mwanama mungu akubariki sn
Yaani kiukweli mikoa mingine sijui tufanyaje...hongereni Arusha,
Binafsi mshiro gambo hua namkubali sana
Mhe. Rais aanzishe cheo cha Mkuu wa Mkoa Kiongozi. Ziara iwe kila Mkoa Makonda piga kazi
@saidkhatib9146
Ай бұрын
Duh niliwah kuwaza hii kitu itakuw pw sana
CCM Raha sana
Duh
Very childish that MP, leaders differences are sorted in camera siyo in open meetings
@user-sg7it4ig3d
Ай бұрын
Sometimes kuambizana ukweli hakusubilii mpaka muwe chemba mzee
Acha kujisafisha iv ulikuwa unasubili aje makonda au kazi yako kama mbunge ni ipi asante makonda
@robertphilip385
Ай бұрын
Inchi hi mbunge hananguvu yeyote mbunge akiongea ongea sana anaweza kutupwa ndani na mkuu wa wilaya ndo ndo maana katiba mpya inahitajika mkuu
@BakarAbdalla-zl6qn
Ай бұрын
Kumbuka huyu nyau alikua mkuu wa mkoa Arusha hapo hapo
@robertphilip385
Ай бұрын
@@BakarAbdalla-zl6qn ndugu yangu ccm niwalewale wezi tu
@wechemakambo2182
Ай бұрын
Mrisho ni hodari wa kunanga watu kwenye Hadhara...hapo alitaka DC amjibu,yalimtokea Lema,Meya wa Arusha zamani nk,huku Dar alimtusi sana MhZungu.
@faustinombilinyi9809
Ай бұрын
Kasome vizuri kazi za mbunge km huelewi nchi Ina muhimbili mitatu executive, parliament, judicial executive ni utawala serikali mkuu wa serikali ni rais, makamu wa rais ,waziri mkuu, naibu waziri mkuu, Baraza la mawaziri , katibu mkuu kiongoz makatibu wote wanafuata hapo wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya hao nakuendelea hao ndo watendaji wa serikali .... hapo kazi ya mbunge kuwakilisha matatizo ya wananchi, kusimamia na kuishauri serikali.
Mambo ya hovyo kwamba walishindwa kuongea kama viongozi
Lakini Mh Gambo hakutakana amseme hivi DC mbele ya kadamnasi. mbona sio poa au?
@LukasMabena
Ай бұрын
Uyo huwa havungagi
@AllyMaya-yj3xd
Ай бұрын
GAMBO KAWA DC kawa mkuu wa Mkoa pia alafu ni dogo hawa vijana wanamihemko .UKIONA KIONGOZI ALIEPITA HUKO ANAONGEA HIVYO DOGO YUPO NA SHIDA GAMBO SIO MGOMVI
@amanijampion3045
Ай бұрын
@@AllyMaya-yj3xdni mgomvi amejificha kwenye kichaka cha siasa. Hawezi kuwasema vibaya viongozi wenzie hivyo
Makonda anatakiwa arotate mikoa yote
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
eti eh? uko mkoa gani kaka yetu mwema?
Gambo ulikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha nini ulifanya?
@hijazhija316
Ай бұрын
Ulikuepo Arusha enzi zake?
@venancemwarabu7168
Ай бұрын
Enzi zake hakukuwa na misuguano ya bajaji na hiace na mambo madogomadogo
@wangaeliwilfred2919
Ай бұрын
😳😳