KIMEUMANA! GAMBO na MKUU wa WILAYA WACHARUANA MBELE ya RC MAKONDA -"ACHA CHOCHOKO TUFANYE KAZI "

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 28

  • @bitumwatemu2731
    @bitumwatemu2731Ай бұрын

    Kama kunamtu wakulindwa na gharama yyte ile kwenye hii nchi n makonda namuona mbali anafanya kazi ambazo sijawahi ona mkuu wa mkoa yyte akifanya.

  • @user-cj4cv3jo6p
    @user-cj4cv3jo6pАй бұрын

    Rc Makonda Mungu akulinde sana na akutunze binafsi nimefurahi sana anavyotatua kero za watu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277Ай бұрын

    Asante sn gambo kutuletea bajaji mwanama mungu akubariki sn

  • @PaulPaul-pg2ej
    @PaulPaul-pg2ejАй бұрын

    Yaani kiukweli mikoa mingine sijui tufanyaje...hongereni Arusha,

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827Ай бұрын

    Binafsi mshiro gambo hua namkubali sana

  • @user-ie6hs3ul2q
    @user-ie6hs3ul2qАй бұрын

    Mhe. Rais aanzishe cheo cha Mkuu wa Mkoa Kiongozi. Ziara iwe kila Mkoa Makonda piga kazi

  • @saidkhatib9146

    @saidkhatib9146

    Ай бұрын

    Duh niliwah kuwaza hii kitu itakuw pw sana

  • @omarmussa5755
    @omarmussa5755Ай бұрын

    CCM Raha sana

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1sАй бұрын

    Duh

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211Ай бұрын

    Very childish that MP, leaders differences are sorted in camera siyo in open meetings

  • @user-sg7it4ig3d

    @user-sg7it4ig3d

    Ай бұрын

    Sometimes kuambizana ukweli hakusubilii mpaka muwe chemba mzee

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579Ай бұрын

    Acha kujisafisha iv ulikuwa unasubili aje makonda au kazi yako kama mbunge ni ipi asante makonda

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    Ай бұрын

    Inchi hi mbunge hananguvu yeyote mbunge akiongea ongea sana anaweza kutupwa ndani na mkuu wa wilaya ndo ndo maana katiba mpya inahitajika mkuu

  • @BakarAbdalla-zl6qn

    @BakarAbdalla-zl6qn

    Ай бұрын

    Kumbuka huyu nyau alikua mkuu wa mkoa Arusha hapo hapo

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    Ай бұрын

    @@BakarAbdalla-zl6qn ndugu yangu ccm niwalewale wezi tu

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    Ай бұрын

    Mrisho ni hodari wa kunanga watu kwenye Hadhara...hapo alitaka DC amjibu,yalimtokea Lema,Meya wa Arusha zamani nk,huku Dar alimtusi sana MhZungu.

  • @faustinombilinyi9809

    @faustinombilinyi9809

    Ай бұрын

    Kasome vizuri kazi za mbunge km huelewi nchi Ina muhimbili mitatu executive, parliament, judicial executive ni utawala serikali mkuu wa serikali ni rais, makamu wa rais ,waziri mkuu, naibu waziri mkuu, Baraza la mawaziri , katibu mkuu kiongoz makatibu wote wanafuata hapo wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya hao nakuendelea hao ndo watendaji wa serikali .... hapo kazi ya mbunge kuwakilisha matatizo ya wananchi, kusimamia na kuishauri serikali.

  • @happymerry8675
    @happymerry8675Ай бұрын

    Mambo ya hovyo kwamba walishindwa kuongea kama viongozi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    Lakini Mh Gambo hakutakana amseme hivi DC mbele ya kadamnasi. mbona sio poa au?

  • @LukasMabena

    @LukasMabena

    Ай бұрын

    Uyo huwa havungagi

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    Ай бұрын

    GAMBO KAWA DC kawa mkuu wa Mkoa pia alafu ni dogo hawa vijana wanamihemko .UKIONA KIONGOZI ALIEPITA HUKO ANAONGEA HIVYO DOGO YUPO NA SHIDA GAMBO SIO MGOMVI

  • @amanijampion3045

    @amanijampion3045

    Ай бұрын

    ​@@AllyMaya-yj3xdni mgomvi amejificha kwenye kichaka cha siasa. Hawezi kuwasema vibaya viongozi wenzie hivyo

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144Ай бұрын

    Makonda anatakiwa arotate mikoa yote

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    eti eh? uko mkoa gani kaka yetu mwema?

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874Ай бұрын

    Gambo ulikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha nini ulifanya?

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    Ай бұрын

    Ulikuepo Arusha enzi zake?

  • @venancemwarabu7168

    @venancemwarabu7168

    Ай бұрын

    Enzi zake hakukuwa na misuguano ya bajaji na hiace na mambo madogomadogo

  • @wangaeliwilfred2919

    @wangaeliwilfred2919

    Ай бұрын

    😳😳

Келесі