KIJANA ALIYEMUUA MAMA YAKE NAKUTUPA MWILI WAKE CHOONI AFIKISHWA MAHAKAMANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 183
@jebellwallace35092 жыл бұрын
Tanzania inachosha,kila kesi upelelezi haujakamilika,ila ukimtukana kiongozi upelelezi unakamilika hapo hapo
@kebbymody5606
2 жыл бұрын
Sijui upelelezi gani wakati wamesema mtuhumiwa alionyesha ushirikiano minachoka
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭shukuru Mungu Kwa ulichokikosa Kwan wanawake msiozaa au mliozaa watoto WA jinsia moja ,mshukuru msihangaike eti nipate WA kiume au wakike, Mungu hutupa anachoona ni Bora kwetu, ndug zangu Hadi wa dam wamenichunia bila sababu nilkuw naumia baadae kuona habar hiz nimefarika kwamba usinganganie undugu wala urafiki binadam utu umeisha kabisa tunathamini Sana Mali kuliko utu 😭😭 Mungu tusamehe
@magrethjulius740
2 жыл бұрын
Hata mm pia sio ww ndugu ni lawama sana
@agriparose3942
2 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
@agriparose3942
2 жыл бұрын
Naishi duniani kama uyoga si ndugu wooote mpaka pacha angu wamenichunia Bora watu baki wallah niliyokutendewa na kuongelewa ba watu wa ndani ni msiba zaidi ya huyo aliemuua mama ake
@ameenaameena1224
2 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole
@beatricekamenge7000
2 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole Sana
@agnellapius81422 жыл бұрын
Sasa havi dunia inaenda mwisho tunaowazaa wanatuuwa tumuamini nani eeh mungu wangu tusamehe waja wako😭😭
@teychriss32482 жыл бұрын
Jamani! Sasa upelelezi gani Tena wakati katoa ushirikiano!! Hii upelelezi haujakamilika mwishoe jiiii!! Imeisha hiyo!!
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Daa 😭
@myunaniniahmad6463
2 жыл бұрын
Mie nashangaa huo upelelezi, nahisi kiasi cha rushwa walicho taka hakijakamilika. Hiyo ndo tz.
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
Ivi ndio huyo anetizana camera kwa ujeuri. Pumbavu sana. Huko gerezani wamfumuwe marinda yote mpumbavu mkubwa huyu
@elizabethbusigara4568
2 жыл бұрын
😂😂😂
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Mmmmmh ashuuuuu
@myunaniniahmad6463
2 жыл бұрын
😎😎😎kweli umevurugwa my.
@ahz6907
2 жыл бұрын
kweli aisee
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Muda mwingine unaweza kuwa mgumba lakini kumbe umeepushwa na majanga makubwa zaidi ya kukosa mtoto ,tupende kumshukuru mungu kwa yotee ndugu zangu kwani yeye anajua kila kitu kuhusu sisi waja wake.
@ummiali8084
2 жыл бұрын
Kweli kabsaa
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
ummi asante my
@ummiali8084
2 жыл бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu karbu
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
@ummi Ali ,Na wewe karibu
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Ummi naona hujalala upo kwenye ibada my na ramadhani hii mashallah
@zebrongondwe2 жыл бұрын
Mtoto akifika umri flani anatakiwaa atoke hapo nyumbani akapambane na maisha,ss unakuta mzaz anajifanya kumpenda sana ndo madhara yake km ya moshii pia kwa yule dada
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Tunaweza kumlaumu mtoto bure kumbe inawezekana mzazi kuna vitu alivifanya kwa wengine yaani dhulma ,na dhulma huwa inarudi kwako kwa njia nyingi sana ,Mtoto kwenda mbali na wewe sio tatizo ,tatizo nikuwa umemuuandaa vip huyo mtoto kimaadili ?na jambo jingine baya zaidi unakuta mtoto anajihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya kwahiyo ni kazi bure kama anania mbaya atakuja tu kwako hata kama upo mbali ,na labda kapewa na mtaji mara kadhaa kashaa kula woteee.
@khadijajuma71422 жыл бұрын
Afu anatembea kwa kuvimba na kujinenepea juuu hili hata bado halijutii kumuua mama yake . Ulaaniwe
@graceezra71052 жыл бұрын
Keshakosa mama keshakosa mali baas tu ngoja wakampe mali gerezani
@mamaahmad86152 жыл бұрын
Linyongwe tu sheetani mkubwa unamuuwa mama yako miezi tisa tumboni kakuzaa kakulea katafuta mali zake kwa jasho lake ww ibilisi mkubwa unamuuwa daaaaah unyongwe na unalaana ww kaka 😭😭😭
@magejuliani52932 жыл бұрын
Kha kijana huyu angekumbuka hata moja tu alilofanya Mama yake ya kumfungia ndani ya tumbo lake miezi tisa asingefanya mauaji hata km aliudhika
@unknownsasha83832 жыл бұрын
Ata wasipomfunga mauti nihalali yake waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heli duniani
@zuwenasalim27942 жыл бұрын
Lilivyo baunsa sasa mwenye kamera kuwa makin akikukaba huchomoi na nimtoto mdg tu Mungu atusaidie na vzaz vyetu jmn ,hakuna alichokuwa anakosa kwa mama yake sasa kamuuwa nn amepata uwiiii😭😭😭😭
@aminaomary55672 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri una projo katika kazi zako ongera sana.
@saidhassan77792 жыл бұрын
Naona Kila siku story ,muna haribu Mafuta tuu ya serekali kwa kwl
@sukariyao6537
2 жыл бұрын
Na wao maaskari awana kazi za kufanya 😂😂😂 si walimalize tuuh nalo 😏
@yustinamartiny32242 жыл бұрын
Nyie Ayo tv mbona habarii nyingi za Arusha kwan morogoro huwa hamfatilii
@Fundi123452 жыл бұрын
Mbona munasema alimuua manake na kutupa choon so mutataka ushahidi upi kenge nyie mbona watu hamukuwagi kiakili kuna nini tz hiyo ni nafa ya wapelelezi kula pesa hakuna upelelezi hapo!
@maryjonh311
2 жыл бұрын
Hii ndo tanzania bhana upelelezi aujakamilika nachokaga
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Kwakweli kuzaa siyo kupata. Pumzika mwanamke mwenzangu, mwendo umeumaliza. Mwenyezi Mungu akuepushe na adhabu zake.
@lifhonlee34272 жыл бұрын
Upelelez upi tena.acheni ushezi.malizaneni na case kama hizi mara moja do iwe fuzo kwa wegn.
@janemhango58842 жыл бұрын
Huyu ndo nilimuona mjinga maana watoto ni wawili yeye ndo wakwanza ndo angefaidika mengine naona ni bange
@hassanfarouq9222 жыл бұрын
HV MTU KESHAUA KILAA SIKU POLISI KUFANYA NN SI AULIWE NA YY
@neemazee1864
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Sheria inakataza kuua
@janethmwanda3572 жыл бұрын
Yaan mom unamuua nyie watu wanatafuta mom jmn khaa
@lucynelsonmungure17192 жыл бұрын
Unajua kuleta habari za maana Sana.. Unaga mambo ya udaku na umbea umbea unatuelimisha sana
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Kuzaa sikupata. Una muwa mamayko aliye kuzaa kwa tabuu😭mm naliya mpaka leo kumkosa mamayangu huyo tena ktk duniya hii. Allaha awarehemu wazee wetu Ameen
@samweliandrea78022 жыл бұрын
Daaa mungu nisaidie mm kijana
@irenenyauhule60172 жыл бұрын
Kweli kikulacho kinguoni mtoto namzaa mwenyewe Tena anakua adui! Mh
@rashdiyange77582 жыл бұрын
sema tu shelia yabongo lusu kuuwa ngekuwa mimi ningekuwa mm shamuwa uyo NAMPELEKA makamani kufnaya mn shez uyo
@sabatosabibi8791 Жыл бұрын
Hatari mtoto anaua mama mzazi pesa ibris kweli hapa bongo dingi wanaomba afariki ili walidhi mali
@aminaomaryaliy32262 жыл бұрын
Uzazi tunaulilia lakin nikiona hivi sitaman yani watoto tunawaogopa wanaume tunawaogopa yani hamna Amani kabisa subuhannallah
@azizamihungo96592 жыл бұрын
Mi kiukwel niwe na mawazo tofauti nahic Kama sio yeye alioua Kuna Siri nyuma ya pazia
@glorychristopher72832 жыл бұрын
Ila sithani kama ni yeye asingesema ila kama angefanya angetoroka KwA hyo kuweni makini
@khadijajuma38872 жыл бұрын
Subhanallah innalilah wainnailayh rajiuun
@rosehillary87422 жыл бұрын
Kijana ni mnyama maana jasiri na hana Woga. Aisee hapana
@marthagabriel34172 жыл бұрын
Hana baba?hawa watt wakulea mwenyewe mwenyewe huenda ni tatizo
@janemhango58842 жыл бұрын
Mtoto unamzaa ndo anaekuuwa 😭😭😭
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Alikuwa ananyanyua vyuma kwajili yakukipanga kumuua mama yke.
@sarahjohntindwa99992 жыл бұрын
Sasa upelelezi wa nn?kwani si ameua mwenyewe na amekubali sasa wanapeleleza nn?yaani hii serkali kipengele hicho mm nakuwaga sielewi kabisaaaaaaaaaaaaa
@njuka3515
2 жыл бұрын
Kumbe alikubali?
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
Mbon kanenep inamaana wanampa kula nyingi eee siwangemnyonga naeakatupwa mtaloni uchunguzi wa nini sasa Tz inafuga mijitu ya ovyo sana
@elvisoscar99122 жыл бұрын
Tanzania kweli ushamba mzingo Yan kijana ananyanyua vyuma alafu anatembea kwa malingo ngoja afike jera aokote sabuni na ku aegemee ukuta wa gereza 😂😂tuone Kama atatembea ivo
@mariammkwabi7101
2 жыл бұрын
😂😂
@verombwambo46832 жыл бұрын
Upekelezi Gani Tena wakati muhusika alishakiri
@salmahabibu39942 жыл бұрын
Mimi siamini kwamba kweli paric alimuua mamaake apana.
@selemankishema57802 жыл бұрын
Unapoona mtu anakosa mtoto usimcheke shukuru mungu kisha omba mungu akuongozee watoto wako laiti kama ni kweli basi kama angeulizwa na mungu tunakupa mtoto lakini ndie atakaekuja kukuua je? Unadhani angekubali? Napia tusisahau mara nyingine unavuna unachopanda.
@victerkanje16972 жыл бұрын
Yaan hii issue nilikuwa naisubiri kwl yaan.
@petronelakiozya57852 жыл бұрын
Kaka unatangaza vizuri sana
@Zaikadena2 жыл бұрын
Mi siamin mtu amuue mama yake kwel afu ni mtoto wa kiume hua inakuaga kipenz cha mama
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Ndo hivyo majitu yamezoea umalaya,kazi hayataki,wanaume wanakula kuondoka,bora mtu ujitahidi kufanya kazi.
@mercycharlesmsiagi17562 жыл бұрын
Kikubwa n kuwa ombea watt wetu n kuwalea ktk misingi ya MUNGU ivyo mi nacho amini MUNGU ajaumba mtu muuwaji wal mwenye tabia mby wazazi tume ji sahau kuombea uzao wetu mpk w2 mn fikia atua y kukufuru ety un juta kuzaa mh
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Jamn!
@samwelijoab34252 жыл бұрын
Anyongwee tuu kifungo chamaisha hakimfai kabisa
@aminaomary55672 жыл бұрын
ITV AYO WOTE MUKO VIZURI JAMAN ONGERENI SANA.
@salumkilongoji59122 жыл бұрын
Jaman kwani sikuzion ukojela wafilaji wametolewa.? Kama wap si wamfile huyu jamaa..
@salumkilongoji5912
2 жыл бұрын
Kesi ya amza pale ambassador..mliipatiamajibu fast mkaendakupiga familia yake vibay sana. Ilakesii unajifany upelelezi haujakamilika...tena siajabu kikaiingilia kati hadi kilekijamaa cha hakizabinaadam.acheni mamboyenu.. miniliwapenda sana ware wanakijiji waliomchinja yule muuwaji..ivyondio lilipaswa ifanyike kwahuyujamaa hapa...
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Dunia imeisha
@fatytz5852 жыл бұрын
Na yeye afe tu
@vesitinarevocatus73332 жыл бұрын
Hivi huu upelelezi huwa niwaaje haliyakuwa amekiri kufanya tukio
@zakhianzuki93482 жыл бұрын
Mmh,uyu atakua kamuuwa kweli mama yake sasa amepata nini zaidi ya kuishia jela.
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
Na yeye tupa chooni aone kama ni patamu.
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Uyu ni mbwa.sasa amepata faida gani.
@ellyitete9382 жыл бұрын
Amenenepaje huko mahabusu
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Kama amemuua aliyemzaa askari jiangalieni atawang'ata meno
@moonaamli68352 жыл бұрын
Sasa upelelezi wa nn ? Na maiti mmeikuta na muuaji ndio huyo?
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Ayoo jitathimi I uanakwenda kupoteza wafanyakazi wako watakupoteza hatukuelewi taarifa za vipande
@jacquelinosmond221
2 жыл бұрын
Sasa kama kesi ndo imetajwa na kuairishwa ulitaka Ayo tv waongezee maneno yao kukurizisha? Yeye katoa kile kilichotokea, ulitaka aongeze nini, kama unacho hicho kilichobaki jiongezee acha lawama
@sadanahimana71932 жыл бұрын
zama za kiama hizo zikikurubia panajitokeza mengi Allahu taupe mwisho mwema wallah
@saidachraf34452 жыл бұрын
Subhanallah
@leticiamapunda33242 жыл бұрын
Analahana kuzaa siyo kupata yaduniani yanatisha
@mariasixmund79642 жыл бұрын
Mbna anaangalia kwa jeuri hivo
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Subhana'Allah nini jamani si binadam tume kumbwa na nini lakini!
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Kwa hiyo kakutwa na hatia mpaka kufikishwa mahakamani? Nch za kiarabu sasa hv kasha nyongwa tu
@najmaulaya8819
2 жыл бұрын
Sana tu
@joycedamiano5034
2 жыл бұрын
Mm kwaushauri wangu munge muua nayeye mumutupe kwenye shimo lachoo
@juliuspantaleo60682 жыл бұрын
Huwezi kumuua mzazi kisa Mali duh
@kadigatanzaniya47922 жыл бұрын
Linazidi kunenepa tuu hilo uwaji siyo tuhuma kamuwaaa ndiyo
@user-gj7dn7vv5s9 ай бұрын
moshi na arusha wanaongoza kwa kesi za namna hii
@asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын
Kesi zaivo ziharakishwe
@beatussagalani13972 жыл бұрын
Kakuzaa, kakulea kwa shida, kakusomesha kakupa hela ya matumizi, mtaji kajitafutia mwenyewe ili akulee, wewe unakuja kumuua kirahisisahisi ivo at!
@kasimuibrahimu23152 жыл бұрын
Miladyo ndo tunayoangalia cyo zingne bhana
@glorychristopher72832 жыл бұрын
Poiisi fanyen kazi
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Jamaa baunsa kavimba hatali
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Subhannallah, Gentlemen, unamuua Mamako, mimi nalia kila siku kwa kumkosa Mamaangu 😢
@reginabeno1904
2 жыл бұрын
Atakua alilogelezewa jaman nguvu za Giza sio nzuri atakua alimuua bila kujijua kwaakili za kawaida mtu hawezi kumuua mzazi wake
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Gentlemen tena🙄
@limymasele212 жыл бұрын
Upelelezi wa nini mnataka kumwachia huru?
@amyreenahmad14042 жыл бұрын
kesi ya mapolisi mtwara kimya
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Aya umepata nn Sasa jela ndo makz yako
@neemasazia-vg9sh Жыл бұрын
Kuzaa kutoa malazi tuu maana!!
@magrethmollel10782 жыл бұрын
Yu mkini saa hizi anajuta Mungu amsamehe
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Sasa Kuna raha gani happy mama umemkosa na kesi ndio hiyo Sasa huyu anaweza kumuua hata ndugu yake
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Tutaifatilia hii kesi hadi tujue mbivu na mbichi. Haiwezekani MUWE mnastilii majambazi ya namna hii
@mohamedmanjanjagara6452 жыл бұрын
Pamojaaaa
@mwanaally32362 жыл бұрын
Kuzaa si kupata
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Hee BAADA ya kukupigia keleke Mlikuwa mmefucha wapi. Hatujawaelewa.
@salamaseif41832 жыл бұрын
Inalilah lahaajuni
@neema_mollel2 жыл бұрын
Daah
@abubakarikisuju802 жыл бұрын
Hadija kopa hajakosea kwamba kuna kuzaa na kunya")
@josephemmanuel388 Жыл бұрын
watoto wakutoka kwa waganga
@tuntufyemwakalukwa90812 жыл бұрын
Alafu inaonesha lina jeuri kwan askari habu liueni na nyie
@jamesminja32732 жыл бұрын
haya ndio matokeo ya kucheza game ukiwa na miaka zaidi ya 25 nyumbani kwa wazazi huku wanakuchekea chekea
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
Hivi ni upelelezi gani unao fanywaga na ikiwa kilakitu kilikua wazi?
@sheriibrahim67532 жыл бұрын
Mnaperereza Nini jaman mbona mnajaza makatas tuu toe hukumu
@zakiamajidi46362 жыл бұрын
Msicha alimua mamayake
@joycemageta48762 жыл бұрын
Duuuuuh
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Hiii duniya inatudanganye nyie
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Angenyongwa tuuu
@evancetilya51402 жыл бұрын
Inasikitisha
@mokeys27162 жыл бұрын
Vijana wa LJS Morogoro (2010-2014) lazma wanamkumbuka huyu
Пікірлер: 183
Tanzania inachosha,kila kesi upelelezi haujakamilika,ila ukimtukana kiongozi upelelezi unakamilika hapo hapo
@kebbymody5606
2 жыл бұрын
Sijui upelelezi gani wakati wamesema mtuhumiwa alionyesha ushirikiano minachoka
😭😭shukuru Mungu Kwa ulichokikosa Kwan wanawake msiozaa au mliozaa watoto WA jinsia moja ,mshukuru msihangaike eti nipate WA kiume au wakike, Mungu hutupa anachoona ni Bora kwetu, ndug zangu Hadi wa dam wamenichunia bila sababu nilkuw naumia baadae kuona habar hiz nimefarika kwamba usinganganie undugu wala urafiki binadam utu umeisha kabisa tunathamini Sana Mali kuliko utu 😭😭 Mungu tusamehe
@magrethjulius740
2 жыл бұрын
Hata mm pia sio ww ndugu ni lawama sana
@agriparose3942
2 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
@agriparose3942
2 жыл бұрын
Naishi duniani kama uyoga si ndugu wooote mpaka pacha angu wamenichunia Bora watu baki wallah niliyokutendewa na kuongelewa ba watu wa ndani ni msiba zaidi ya huyo aliemuua mama ake
@ameenaameena1224
2 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole
@beatricekamenge7000
2 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole Sana
Sasa havi dunia inaenda mwisho tunaowazaa wanatuuwa tumuamini nani eeh mungu wangu tusamehe waja wako😭😭
Jamani! Sasa upelelezi gani Tena wakati katoa ushirikiano!! Hii upelelezi haujakamilika mwishoe jiiii!! Imeisha hiyo!!
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Daa 😭
@myunaniniahmad6463
2 жыл бұрын
Mie nashangaa huo upelelezi, nahisi kiasi cha rushwa walicho taka hakijakamilika. Hiyo ndo tz.
Ivi ndio huyo anetizana camera kwa ujeuri. Pumbavu sana. Huko gerezani wamfumuwe marinda yote mpumbavu mkubwa huyu
@elizabethbusigara4568
2 жыл бұрын
😂😂😂
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Mmmmmh ashuuuuu
@myunaniniahmad6463
2 жыл бұрын
😎😎😎kweli umevurugwa my.
@ahz6907
2 жыл бұрын
kweli aisee
Muda mwingine unaweza kuwa mgumba lakini kumbe umeepushwa na majanga makubwa zaidi ya kukosa mtoto ,tupende kumshukuru mungu kwa yotee ndugu zangu kwani yeye anajua kila kitu kuhusu sisi waja wake.
@ummiali8084
2 жыл бұрын
Kweli kabsaa
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
ummi asante my
@ummiali8084
2 жыл бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu karbu
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
@ummi Ali ,Na wewe karibu
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Ummi naona hujalala upo kwenye ibada my na ramadhani hii mashallah
Mtoto akifika umri flani anatakiwaa atoke hapo nyumbani akapambane na maisha,ss unakuta mzaz anajifanya kumpenda sana ndo madhara yake km ya moshii pia kwa yule dada
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Tunaweza kumlaumu mtoto bure kumbe inawezekana mzazi kuna vitu alivifanya kwa wengine yaani dhulma ,na dhulma huwa inarudi kwako kwa njia nyingi sana ,Mtoto kwenda mbali na wewe sio tatizo ,tatizo nikuwa umemuuandaa vip huyo mtoto kimaadili ?na jambo jingine baya zaidi unakuta mtoto anajihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya kwahiyo ni kazi bure kama anania mbaya atakuja tu kwako hata kama upo mbali ,na labda kapewa na mtaji mara kadhaa kashaa kula woteee.
Afu anatembea kwa kuvimba na kujinenepea juuu hili hata bado halijutii kumuua mama yake . Ulaaniwe
Keshakosa mama keshakosa mali baas tu ngoja wakampe mali gerezani
Linyongwe tu sheetani mkubwa unamuuwa mama yako miezi tisa tumboni kakuzaa kakulea katafuta mali zake kwa jasho lake ww ibilisi mkubwa unamuuwa daaaaah unyongwe na unalaana ww kaka 😭😭😭
Kha kijana huyu angekumbuka hata moja tu alilofanya Mama yake ya kumfungia ndani ya tumbo lake miezi tisa asingefanya mauaji hata km aliudhika
Ata wasipomfunga mauti nihalali yake waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heli duniani
Lilivyo baunsa sasa mwenye kamera kuwa makin akikukaba huchomoi na nimtoto mdg tu Mungu atusaidie na vzaz vyetu jmn ,hakuna alichokuwa anakosa kwa mama yake sasa kamuuwa nn amepata uwiiii😭😭😭😭
Mtangazaji uko vizuri una projo katika kazi zako ongera sana.
Naona Kila siku story ,muna haribu Mafuta tuu ya serekali kwa kwl
@sukariyao6537
2 жыл бұрын
Na wao maaskari awana kazi za kufanya 😂😂😂 si walimalize tuuh nalo 😏
Nyie Ayo tv mbona habarii nyingi za Arusha kwan morogoro huwa hamfatilii
Mbona munasema alimuua manake na kutupa choon so mutataka ushahidi upi kenge nyie mbona watu hamukuwagi kiakili kuna nini tz hiyo ni nafa ya wapelelezi kula pesa hakuna upelelezi hapo!
@maryjonh311
2 жыл бұрын
Hii ndo tanzania bhana upelelezi aujakamilika nachokaga
Kwakweli kuzaa siyo kupata. Pumzika mwanamke mwenzangu, mwendo umeumaliza. Mwenyezi Mungu akuepushe na adhabu zake.
Upelelez upi tena.acheni ushezi.malizaneni na case kama hizi mara moja do iwe fuzo kwa wegn.
Huyu ndo nilimuona mjinga maana watoto ni wawili yeye ndo wakwanza ndo angefaidika mengine naona ni bange
HV MTU KESHAUA KILAA SIKU POLISI KUFANYA NN SI AULIWE NA YY
@neemazee1864
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Sheria inakataza kuua
Yaan mom unamuua nyie watu wanatafuta mom jmn khaa
Unajua kuleta habari za maana Sana.. Unaga mambo ya udaku na umbea umbea unatuelimisha sana
Kuzaa sikupata. Una muwa mamayko aliye kuzaa kwa tabuu😭mm naliya mpaka leo kumkosa mamayangu huyo tena ktk duniya hii. Allaha awarehemu wazee wetu Ameen
Daaa mungu nisaidie mm kijana
Kweli kikulacho kinguoni mtoto namzaa mwenyewe Tena anakua adui! Mh
sema tu shelia yabongo lusu kuuwa ngekuwa mimi ningekuwa mm shamuwa uyo NAMPELEKA makamani kufnaya mn shez uyo
Hatari mtoto anaua mama mzazi pesa ibris kweli hapa bongo dingi wanaomba afariki ili walidhi mali
Uzazi tunaulilia lakin nikiona hivi sitaman yani watoto tunawaogopa wanaume tunawaogopa yani hamna Amani kabisa subuhannallah
Mi kiukwel niwe na mawazo tofauti nahic Kama sio yeye alioua Kuna Siri nyuma ya pazia
Ila sithani kama ni yeye asingesema ila kama angefanya angetoroka KwA hyo kuweni makini
Subhanallah innalilah wainnailayh rajiuun
Kijana ni mnyama maana jasiri na hana Woga. Aisee hapana
Hana baba?hawa watt wakulea mwenyewe mwenyewe huenda ni tatizo
Mtoto unamzaa ndo anaekuuwa 😭😭😭
Alikuwa ananyanyua vyuma kwajili yakukipanga kumuua mama yke.
Sasa upelelezi wa nn?kwani si ameua mwenyewe na amekubali sasa wanapeleleza nn?yaani hii serkali kipengele hicho mm nakuwaga sielewi kabisaaaaaaaaaaaaa
@njuka3515
2 жыл бұрын
Kumbe alikubali?
Mbon kanenep inamaana wanampa kula nyingi eee siwangemnyonga naeakatupwa mtaloni uchunguzi wa nini sasa Tz inafuga mijitu ya ovyo sana
Tanzania kweli ushamba mzingo Yan kijana ananyanyua vyuma alafu anatembea kwa malingo ngoja afike jera aokote sabuni na ku aegemee ukuta wa gereza 😂😂tuone Kama atatembea ivo
@mariammkwabi7101
2 жыл бұрын
😂😂
Upekelezi Gani Tena wakati muhusika alishakiri
Mimi siamini kwamba kweli paric alimuua mamaake apana.
Unapoona mtu anakosa mtoto usimcheke shukuru mungu kisha omba mungu akuongozee watoto wako laiti kama ni kweli basi kama angeulizwa na mungu tunakupa mtoto lakini ndie atakaekuja kukuua je? Unadhani angekubali? Napia tusisahau mara nyingine unavuna unachopanda.
Yaan hii issue nilikuwa naisubiri kwl yaan.
Kaka unatangaza vizuri sana
Mi siamin mtu amuue mama yake kwel afu ni mtoto wa kiume hua inakuaga kipenz cha mama
Ndo hivyo majitu yamezoea umalaya,kazi hayataki,wanaume wanakula kuondoka,bora mtu ujitahidi kufanya kazi.
Kikubwa n kuwa ombea watt wetu n kuwalea ktk misingi ya MUNGU ivyo mi nacho amini MUNGU ajaumba mtu muuwaji wal mwenye tabia mby wazazi tume ji sahau kuombea uzao wetu mpk w2 mn fikia atua y kukufuru ety un juta kuzaa mh
Jamn!
Anyongwee tuu kifungo chamaisha hakimfai kabisa
ITV AYO WOTE MUKO VIZURI JAMAN ONGERENI SANA.
Jaman kwani sikuzion ukojela wafilaji wametolewa.? Kama wap si wamfile huyu jamaa..
@salumkilongoji5912
2 жыл бұрын
Kesi ya amza pale ambassador..mliipatiamajibu fast mkaendakupiga familia yake vibay sana. Ilakesii unajifany upelelezi haujakamilika...tena siajabu kikaiingilia kati hadi kilekijamaa cha hakizabinaadam.acheni mamboyenu.. miniliwapenda sana ware wanakijiji waliomchinja yule muuwaji..ivyondio lilipaswa ifanyike kwahuyujamaa hapa...
Dunia imeisha
Na yeye afe tu
Hivi huu upelelezi huwa niwaaje haliyakuwa amekiri kufanya tukio
Mmh,uyu atakua kamuuwa kweli mama yake sasa amepata nini zaidi ya kuishia jela.
Na yeye tupa chooni aone kama ni patamu.
Uyu ni mbwa.sasa amepata faida gani.
Amenenepaje huko mahabusu
Kama amemuua aliyemzaa askari jiangalieni atawang'ata meno
Sasa upelelezi wa nn ? Na maiti mmeikuta na muuaji ndio huyo?
Ayoo jitathimi I uanakwenda kupoteza wafanyakazi wako watakupoteza hatukuelewi taarifa za vipande
@jacquelinosmond221
2 жыл бұрын
Sasa kama kesi ndo imetajwa na kuairishwa ulitaka Ayo tv waongezee maneno yao kukurizisha? Yeye katoa kile kilichotokea, ulitaka aongeze nini, kama unacho hicho kilichobaki jiongezee acha lawama
zama za kiama hizo zikikurubia panajitokeza mengi Allahu taupe mwisho mwema wallah
Subhanallah
Analahana kuzaa siyo kupata yaduniani yanatisha
Mbna anaangalia kwa jeuri hivo
Subhana'Allah nini jamani si binadam tume kumbwa na nini lakini!
Kwa hiyo kakutwa na hatia mpaka kufikishwa mahakamani? Nch za kiarabu sasa hv kasha nyongwa tu
@najmaulaya8819
2 жыл бұрын
Sana tu
@joycedamiano5034
2 жыл бұрын
Mm kwaushauri wangu munge muua nayeye mumutupe kwenye shimo lachoo
Huwezi kumuua mzazi kisa Mali duh
Linazidi kunenepa tuu hilo uwaji siyo tuhuma kamuwaaa ndiyo
moshi na arusha wanaongoza kwa kesi za namna hii
Kesi zaivo ziharakishwe
Kakuzaa, kakulea kwa shida, kakusomesha kakupa hela ya matumizi, mtaji kajitafutia mwenyewe ili akulee, wewe unakuja kumuua kirahisisahisi ivo at!
Miladyo ndo tunayoangalia cyo zingne bhana
Poiisi fanyen kazi
Jamaa baunsa kavimba hatali
Subhannallah, Gentlemen, unamuua Mamako, mimi nalia kila siku kwa kumkosa Mamaangu 😢
@reginabeno1904
2 жыл бұрын
Atakua alilogelezewa jaman nguvu za Giza sio nzuri atakua alimuua bila kujijua kwaakili za kawaida mtu hawezi kumuua mzazi wake
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Gentlemen tena🙄
Upelelezi wa nini mnataka kumwachia huru?
kesi ya mapolisi mtwara kimya
Aya umepata nn Sasa jela ndo makz yako
Kuzaa kutoa malazi tuu maana!!
Yu mkini saa hizi anajuta Mungu amsamehe
Sasa Kuna raha gani happy mama umemkosa na kesi ndio hiyo Sasa huyu anaweza kumuua hata ndugu yake
Tutaifatilia hii kesi hadi tujue mbivu na mbichi. Haiwezekani MUWE mnastilii majambazi ya namna hii
Pamojaaaa
Kuzaa si kupata
Hee BAADA ya kukupigia keleke Mlikuwa mmefucha wapi. Hatujawaelewa.
Inalilah lahaajuni
Daah
Hadija kopa hajakosea kwamba kuna kuzaa na kunya")
watoto wakutoka kwa waganga
Alafu inaonesha lina jeuri kwan askari habu liueni na nyie
haya ndio matokeo ya kucheza game ukiwa na miaka zaidi ya 25 nyumbani kwa wazazi huku wanakuchekea chekea
Hivi ni upelelezi gani unao fanywaga na ikiwa kilakitu kilikua wazi?
Mnaperereza Nini jaman mbona mnajaza makatas tuu toe hukumu
Msicha alimua mamayake
Duuuuuh
Hiii duniya inatudanganye nyie
Angenyongwa tuuu
Inasikitisha
Vijana wa LJS Morogoro (2010-2014) lazma wanamkumbuka huyu