hii ngoma imenikumbusha mbali sana ilala mtaa wa morogoro mpaka kkoo
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Shukran Sana, Naomba ile,Ngoma Yako Ya Kitoto Haikeshi ikilia,CD 1 Na Hii Gendaeka.
@KhalidKhalid-ox4pg2 жыл бұрын
Aisha Oman wewe ni mtu wa watu utabaki kupenda na watu hongera mama
@RioIpo3 жыл бұрын
Kajivalia mpaka chachandu hahaha kibuda stara huna weye
@RioIpo3 жыл бұрын
Pwaku pwaku huna kitu huna kitu siri ishajulikanaa
@RioIpo3 жыл бұрын
Uzuri wangu maleshi uzuri wa natural ngoma zimemzingua x 2 Anatoa cash cash ananipa cash cash x 2 Sio mkopo kama unavofanyiwa x 2 Wewe humbabaishi wee gendaeka wee wahangaika na jua Wala humtishi tishi wee gendaeka wee wahangaika na jua Waishi wewe waishii waishi mwenzangu wewe waishi mabwana wa kudandia
@arafahabibu72582 жыл бұрын
Nyambiz ya hadija kopa jaman
@zizou99593 жыл бұрын
Merci pour ce morceau Hadidja kopa djuu❤❤❤❤
@khamisjuma5481
3 жыл бұрын
Mama kopa huna mpinzani
@johnkahekwa8962
3 жыл бұрын
Qui es tu mon frère pour commenter ce morceau? Tu es du Congo comme moi? Toka Bukavu Congo Kinshasa.
@bifathima20953 жыл бұрын
Marshalls mamangu🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️
@RioIpo3 жыл бұрын
Kiasi uone choyo choyo icho choyo Kwa manofu nilopewa x 2 Lakini bibi si hayo x 4 Kwa mitikiso kasa amesingiziwa Na macho niliyonayo wee yakuita wee mwenyewe si unajua Si yako si yako bibi si yako uliyonayo ndani yalotumbukia
@maimunaathman46642 жыл бұрын
Babsule nakuaminia sana
@KhalidKhalid-ox4pg2 жыл бұрын
Marijan asante hongera bi hadija mtafute uyu mtunzi wako wa nyimbo za zamani hakuna mbaya jamani zamani au owongo
@KhalidKhalid-ox4pg
2 жыл бұрын
Aisha Oman asante marijan hongera bi hadija mtafute uyu mtunzi wako wa nyimbo za zamani hakuna mbaya jamani zamani au owongo
@RioIpo
Жыл бұрын
@@KhalidKhalid-ox4pgAlikuwa ndio mumewe baba ake na Zuchu
@fatmaabdallah1560 Жыл бұрын
Mashaallah
@maimunaathman46642 жыл бұрын
Wayooooppp 😍😍😍
@ashasarai81623 жыл бұрын
Si yako ulionayo ndani yaliyotumbukia
@musakibwana45962 жыл бұрын
Ninatafuta sana video ya hii album kama yupo mwenye nayo tafadhali up-load
@khamismkamba5900 Жыл бұрын
😀😀kipindi nina miaka 12
@KhalidKhalid-ox4pg2 жыл бұрын
Asante marijan kopa hana chafu aturejeshee vitu vyetu huyu mtunzi wake yuko wp 🙄
Пікірлер: 22
hii ngoma imenikumbusha mbali sana ilala mtaa wa morogoro mpaka kkoo
Shukran Sana, Naomba ile,Ngoma Yako Ya Kitoto Haikeshi ikilia,CD 1 Na Hii Gendaeka.
Aisha Oman wewe ni mtu wa watu utabaki kupenda na watu hongera mama
Kajivalia mpaka chachandu hahaha kibuda stara huna weye
Pwaku pwaku huna kitu huna kitu siri ishajulikanaa
Uzuri wangu maleshi uzuri wa natural ngoma zimemzingua x 2 Anatoa cash cash ananipa cash cash x 2 Sio mkopo kama unavofanyiwa x 2 Wewe humbabaishi wee gendaeka wee wahangaika na jua Wala humtishi tishi wee gendaeka wee wahangaika na jua Waishi wewe waishii waishi mwenzangu wewe waishi mabwana wa kudandia
Nyambiz ya hadija kopa jaman
Merci pour ce morceau Hadidja kopa djuu❤❤❤❤
@khamisjuma5481
3 жыл бұрын
Mama kopa huna mpinzani
@johnkahekwa8962
3 жыл бұрын
Qui es tu mon frère pour commenter ce morceau? Tu es du Congo comme moi? Toka Bukavu Congo Kinshasa.
Marshalls mamangu🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️
Kiasi uone choyo choyo icho choyo Kwa manofu nilopewa x 2 Lakini bibi si hayo x 4 Kwa mitikiso kasa amesingiziwa Na macho niliyonayo wee yakuita wee mwenyewe si unajua Si yako si yako bibi si yako uliyonayo ndani yalotumbukia
Babsule nakuaminia sana
Marijan asante hongera bi hadija mtafute uyu mtunzi wako wa nyimbo za zamani hakuna mbaya jamani zamani au owongo
@KhalidKhalid-ox4pg
2 жыл бұрын
Aisha Oman asante marijan hongera bi hadija mtafute uyu mtunzi wako wa nyimbo za zamani hakuna mbaya jamani zamani au owongo
@RioIpo
Жыл бұрын
@@KhalidKhalid-ox4pgAlikuwa ndio mumewe baba ake na Zuchu
Mashaallah
Wayooooppp 😍😍😍
Si yako ulionayo ndani yaliyotumbukia
Ninatafuta sana video ya hii album kama yupo mwenye nayo tafadhali up-load
😀😀kipindi nina miaka 12
Asante marijan kopa hana chafu aturejeshee vitu vyetu huyu mtunzi wake yuko wp 🙄