KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI PROF. RIZIKI SHEMDOE KATIKA MKUTANO MKUU WA WADAU WA KUKU.

Ойын-сауық

Katibu mkuu wizara ya mifugo na uvuvi prof. Riziki Shemdoe alipokuwa akitoa hotuba yake katika mkutano mkuu wa wadau wa kuku Tanzania uliofanyika jijini Dodoma 08.12.2023. Mkutano huo ambao ulihudhuriwa na maafisa mifugo wa nchi nzima na wadau wa sekta za kuku, ulikuwa mahususi katika kuzindua rasmi kamati iliyoundwa ili kutekeleza makubali kati ya sekta binafsi na serikali kupitia wizara ya mifugo na uvuvi.

Пікірлер

    Келесі