MADAM ELIZABETH SWAI, MWENYEKITI WA KAMATI YA WADAU WA KUKU TANZANIA

Ойын-сауық

Madam Elizabeth Swai alipokuwa akiongea katika mkutano wa uzinduzi wa kamati ya wadau wa kuku ya makubaliano kati ya sekta binafsi na serikali na katika uzinduzi huo mgeni rasmi akiwa ni katibu mkuu wizara ya mifugo na uvuvi Prof. Riziki Shemdoe. Mkutano huo wa uzinduzi wa kamati ulifanyika jijini dodoma tarehe 08.12.2023 na kuhudhuriwa na maafisa mifugo wa nchi nzima, wadau wa sekta binafsi na wadau kutoka serikalini, mkutano huo ukifadhiliwa na taasisi ya SAGCOT.

Пікірлер

    Келесі