Kanisa La Ibilisi Part 3

Пікірлер: 160

  • @xaliimoxasan5460
    @xaliimoxasan54604 жыл бұрын

    Masha Allah mungu awabariki sh Suleiman mazinge na sh Ismail gitau

  • @prettygrl2793
    @prettygrl27938 жыл бұрын

    ukweli utabaki pale pale mkatae mkubali ila majuto mtayapata na amtapa muda wa kutubia mtakua mmechelewa sanaa kwa nnao pinga uislaam ila mtajuta inshaallah mungu awaweke adi siku ya kiama achen ubishi

  • @khadijakibwana5278
    @khadijakibwana52789 жыл бұрын

    Ishaallah mungu atawalipa tunawaombea afya njema ili mzidi kutupa daawaa.amin

  • @Halimabintmafitah
    @Halimabintmafitah8 жыл бұрын

    Allah atawalipeni masheikh wetu

  • @tatuomary6745

    @tatuomary6745

    2 жыл бұрын

    Ameeen ya RABBY

  • @aliabu5163
    @aliabu516310 жыл бұрын

    Mashaallah am proud of you

  • @kasairamazani4437
    @kasairamazani44375 жыл бұрын

    Jamani mungu atuhurumie sana atujuwi tulitendalo

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan47076 жыл бұрын

    Mungu awasaidie sana masheikh wetu

  • @rakiaelmi862
    @rakiaelmi8624 жыл бұрын

    Alhamdullilah tumejua mengi

  • @joelwaii5771
    @joelwaii57712 жыл бұрын

    Mafunzo manzuri ndugu zetu waislamu ,mwatupa mafunzo mazuri pia sisi wakristo

  • @rakiaelmi862
    @rakiaelmi8624 жыл бұрын

    Allah awalipe tumejua mengi masheikh wetu

  • @linegreen23
    @linegreen2311 жыл бұрын

    Sub hana llah, hii madda ilikuwa ni nzuri sana ila nasikitika msikiti ulikuwa mtupu kabisa waislam tuko wapi jamani?

  • @tatuomary6745
    @tatuomary67452 жыл бұрын

    SubhanaALLAH

  • @prettygrl2793
    @prettygrl27938 жыл бұрын

    Ama kweli Iman imetoweka mkiambiwa kweli amtaki mkidanganywa mwafulaiya inna lillah wainna ilahi rajiun Alla awape kivuri adi siku ya kiama waja awa na mtabak watu wa majuto siku ya kiama

  • @boywakitui3857
    @boywakitui38572 жыл бұрын

    I 100% support Muslim brothers...... extra love my people

  • @alawithebestconcept231
    @alawithebestconcept2312 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH blessing you long inchallah . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands

  • @saloummatano6184
    @saloummatano61849 жыл бұрын

    May Allah b upon you people I really appreciate you ppl"

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti70372 жыл бұрын

    Shukrani ma sheihk wetu mwisho mwema kwenu Insha'Allah

  • @margaretmacharia9323
    @margaretmacharia93238 жыл бұрын

    so because am left handed Mimi in devil? may God give u wisdom and knowledge .......Jesus is the Way

  • @japhethmbusya1479

    @japhethmbusya1479

    3 жыл бұрын

    Mambo na maumbile haina shida,,,,just hata mimi ni wa kushoto,but kuna ukweli kwa yale anayoyaongea. Mm ni mkristo

  • @jumanurdini9814

    @jumanurdini9814

    2 жыл бұрын

    Sjrkheihdhrukfh

  • @otungaferdnand1009

    @otungaferdnand1009

    2 жыл бұрын

    ahaaaaa

  • @hawakigembe6205

    @hawakigembe6205

    2 жыл бұрын

    He never said u are...

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma37563 жыл бұрын

    Mashaallah ustadh mazinge mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah 🙏

  • @djaffro
    @djaffro5 жыл бұрын

    Utukufu ni gwa yesu kristo.aliye kufa msalabani ili binadamu yeyote aweze kushinda maofu zote mungu utuhurumie sisi na dunia

  • @carlson4195
    @carlson41955 жыл бұрын

    This is more of comedy this guys should do stand up

  • @yacinabdi9057

    @yacinabdi9057

    Жыл бұрын

    ISLAM IS THE TRUTH BROTHER CARLSON COME AND JOIN ISLAM

  • @imrizzy9668

    @imrizzy9668

    Жыл бұрын

    Open your eyes

  • @twahasaid1172
    @twahasaid1172 Жыл бұрын

    Allah awape umri mrefu mtujuze habari zito

  • @kulsumfarhan4735
    @kulsumfarhan47357 жыл бұрын

    mungu awape uwezo zaidi

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo74269 жыл бұрын

    Mengine yanaelimisha mengine ni rabish. Akili kichwani kila mtu ana zake

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77866 жыл бұрын

    tatizo ni kumkataa Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wetu ndio maana mnaongea vitu vya ajabu

  • @allyhdad5248

    @allyhdad5248

    5 жыл бұрын

    We akli un

  • @omaniallybakari2372

    @omaniallybakari2372

    4 жыл бұрын

    We muabudu yesu yesu anamuabudu mungu yesu katumwa hajasema abudiwe, na ndio mana kasema mkisali salin hivi, baba yangu ulie mbinguni, yesu alijua mungu yupo, kwann hakufundisha mkisali salini hivi baba yangu ulio dunian kwann aseme mbingun

  • @timothymusyoka7233
    @timothymusyoka72332 жыл бұрын

    Continue conceiving the world

  • @jorossi1174
    @jorossi11745 жыл бұрын

    Imani sio vazi imani ni moyo wako.

  • @metalcombat4470
    @metalcombat44707 жыл бұрын

    Sheikh, logo ya kappa ina ashiria kupinga maingiliano(sex) ya mwanamke na mwana mume. Means ina support mapenzi (sex)ya jinsia moja (mume kwa mume/mke kwa mke)!

  • @washamoto7664
    @washamoto76645 жыл бұрын

    Allah Akbar 😥😥😥

  • @japhethmbusya1479
    @japhethmbusya14793 жыл бұрын

    Kenya sio mchezo unafinywa uku chini🤣🤣🤣🤣

  • @imalawoche
    @imalawoche4 жыл бұрын

    Taaaaaakbir mashaallah

  • @nishnish4845
    @nishnish48455 жыл бұрын

    Asanteni.Mungu awabariki

  • @hawakigembe6205
    @hawakigembe62052 жыл бұрын

    May the Lord forgive us for the sin we are aware of and not aware of

  • @ozzie9523
    @ozzie952310 жыл бұрын

    We kweli mnaffiq...... Na ndio maan unajiita JAH ThE King 17th..... Huna imani wewe.. Anza kuomba Tawbah Kama ni pesa zikushughulishe niniwewe, sikiliza daawah upate faida sio kukosoa wanaojitahidi

  • @SALMIN11
    @SALMIN1111 жыл бұрын

    heisright. Eli ni ki hebrew meaning allah. jesus cried eli eli lamma sabachtani !! Allah Allah mbona umenitupa!! wakati ametundikwa msalabani. Usiwatkane hawa mashekhe . they know what they r talking abt. hata kama hawana elimu lakini wanaye jazba ya dini Islamu kama masahaba. pia hawakuwa na elimu kama yenu lakini walipenda dini ya kiislamu na wakaisambaza dunia kote.

  • @linetkwamboka3597
    @linetkwamboka35978 жыл бұрын

    Good message but I would like you to educate your fellow Muslims to believe in Jesus Christ, He is the true son of God.

  • @issajunior491
    @issajunior4912 жыл бұрын

    God bless uh

  • @phyliskhalayi5860
    @phyliskhalayi58607 жыл бұрын

    kweli mnaelimisha but the only way is Jesus christ

  • @lulesharif5523

    @lulesharif5523

    7 жыл бұрын

    Phylis Khalayi

  • @bichuq8488

    @bichuq8488

    5 жыл бұрын

    Hujielew

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 Жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @issajunior491
    @issajunior4912 жыл бұрын

    Mashallah

  • @happyarooun6037
    @happyarooun60375 жыл бұрын

    mashaalah uislam ndo dini ya haki nasema bila kupepesa macho😘😘

  • @joelmlavi400

    @joelmlavi400

    5 жыл бұрын

    Then prove it..?! En prove others are not..!! If you knw wat yu saying.

  • @davidmaingi874
    @davidmaingi8745 жыл бұрын

    Its true although am a Chelsea fan

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1255 жыл бұрын

    Tafuteni elimu vizuri, no research no right to speak

  • @ibnukheyre3154

    @ibnukheyre3154

    5 жыл бұрын

    We ndio hajui kitu cha duniani unakunya bobe kilawakati

  • @byboytrezor5339
    @byboytrezor53392 жыл бұрын

    Asante Sana mwalimu

  • @aminitu3766
    @aminitu3766Ай бұрын

    Sawa bwana ngoja tufunge tubomoe viwanja vyote tufugie mbuzi

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын

    Majini walisilimu na dini Yao ni Islamic. Quran 72;14

  • @SALMIN11
    @SALMIN1111 жыл бұрын

    dajjal ashadhihirika ma masihi wakumu uwa dajjal ameshakuja naye ni mirza ghulam ahmad(a.s) mwanzilishi wa jumuiya ahmadiyya.

  • @aishasuleiman5941
    @aishasuleiman59419 жыл бұрын

    Takbir huu ndio uislam

  • @shabaniassani2819
    @shabaniassani28192 жыл бұрын

    Niatar kwakweli

  • @josphineatieno6230
    @josphineatieno62307 жыл бұрын

    God is the way he wil show as the truth

  • @anababdulahi4339
    @anababdulahi43395 жыл бұрын

    Inalilahi

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka17122 жыл бұрын

    Wewe jamaa Ni muongo Sana na mchonganishi mkubwa.

  • @firdausalbarwani4683
    @firdausalbarwani468311 жыл бұрын

    Assalaamu Alaikum. Ndugu Wa Islaamu, anaposimama ndugu kuwailimisha juu ya Uislam musi shugulike kutafuta makosa ili kuyapa nguvu makosa yenu bali jiungeni na hao wanaowaelimisha ili kuisimamisha dini ya Mungu. "Wa'tasweemu bi hablil jameean wala tafarraqu." Mimi nawaombea ndugu zangu hawa wawazidishe iman, afya na taqwa kutekeleza dini yetu. Tuelekezeni wapi Mombasa na nani Mombasa anapokea mchango ili kuwaunga? JazaakumuLLAAHU Khairan

  • @jazilahsaidi9818

    @jazilahsaidi9818

    2 жыл бұрын

    May Allah bless you... May people think they are wise and ignorance will lead many to hell fire

  • @brianoichoe47
    @brianoichoe4710 ай бұрын

    We should pay keen attention to symbols displayed. Those celebration signs are not in vain

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1255 жыл бұрын

    Kwa kiswahili ndio hakuna wingi kwenye rangi ila unatumia neno rangi nyingi kwa maana rangi zaidi ya moja au wingi wa rangi, Ila the blues kwa maana ya timu ingekua mtu mmoja ingekua blue.....

  • @juliusmatalotv5996

    @juliusmatalotv5996

    5 жыл бұрын

    Good

  • @ramadhanikaucha4362

    @ramadhanikaucha4362

    5 жыл бұрын

    Mm naon bila yesu akun maisha wa2 wanau mpend yesu wote watakatif na wala sio magaid na awapend damu

  • @sokarealwirs7923
    @sokarealwirs79235 жыл бұрын

    Mungu awepe nguvu

  • @piusdataservicecentre5946
    @piusdataservicecentre59465 жыл бұрын

    Kwakuwa umesema karbia kila kitu kinatokana na Freemason kama magari, ndege, na watu wote maarufu ni Freemason ushauri wangu ni kwmba ukiona kitu nikibaya achakutumia au tengeneza chakwako iliuwe uru na kumpendeza Muumba wako kuliko kuendelea kutumia na unajua inapotoka kuwa siyo salama...............

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu73335 жыл бұрын

    mimi ambae ninaye tumia mukono wakushoto nimulaumu nani mungu ao mama yangu

  • @aminamfaume8992
    @aminamfaume89922 жыл бұрын

    Takbiriiii!!!!!

  • @arestideoyombe3291
    @arestideoyombe32912 жыл бұрын

    Kweli

  • @ideamuslim1004
    @ideamuslim100411 жыл бұрын

    bill gates is nothing compared to the world richest peple in the world ownere of man city ana pesa karibuni 556 billion pounds kama huamini tizama kwenye internet

  • @ramazecha2877
    @ramazecha28772 жыл бұрын

    Ukweli mtupu

  • @mashiabdul4997
    @mashiabdul499711 жыл бұрын

    kwani hawa jamaa ni wa Tanzania? si wanajieleza vizuri tu kuwa wao ni wa Kenya?

  • @ejtjr2647
    @ejtjr26475 жыл бұрын

    Arsene Wenger was granted shares by the Queen?

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl2 жыл бұрын

    Duuuuu!

  • @deejaymustaphar2544
    @deejaymustaphar25445 жыл бұрын

    What do you mean by kuuwa, Waislamu wenzenu?

  • @francayub
    @francayub5 жыл бұрын

    chelsea ilianzishwa 1905...wacha uwongo..

  • @ideamuslim1004
    @ideamuslim100411 жыл бұрын

    wakwanza kwa hela ana zaidi zinaweza pita 560 billion pounds

  • @ruqaiyaibrahim1865

    @ruqaiyaibrahim1865

    6 жыл бұрын

    ideal muslim Assalaam alaykum warahmatullah wabarakaatuh,mashaallah mko vizur,naomba namba za mazinge inshaallah

  • @africandreamchaser8676
    @africandreamchaser86765 жыл бұрын

    macho yako yanatisha sawasawa na drama yenye unaperform, daah! kwa hzo kamba lazma waislam wawegaid maana mnawalisha sumu

  • @saramss7262

    @saramss7262

    3 жыл бұрын

    Wapeeeee SoMo

  • @olisecharo6128
    @olisecharo61282 жыл бұрын

    Comedians

  • @janetshiunza3010
    @janetshiunza30108 жыл бұрын

    only son of God

  • @ibnukheyre3154

    @ibnukheyre3154

    5 жыл бұрын

    Sister Allah have not any son pasta anekudanganya sanaa sister

  • @jamleckgatembe5856
    @jamleckgatembe58564 жыл бұрын

    They will never accept the truth!

  • @johnjoshua2485
    @johnjoshua24858 жыл бұрын

    ulimuona wapi

  • @reaganonyango2367
    @reaganonyango23678 жыл бұрын

    religion is man made and political as long as you think and want to reason based on a script of any man holly or an holly who died. lets know how we persive the knowledge of history.. this proves the word Ellite

  • @hemedhashim8968

    @hemedhashim8968

    7 жыл бұрын

    Reagan odhiambo

  • @danielinzovu1189

    @danielinzovu1189

    6 жыл бұрын

    Reagan odhiambo

  • @dennissalamba2458
    @dennissalamba24587 жыл бұрын

    uongo huo mpira ni kipawa kutoka kwa mungu wacheni kupotosha wakristo

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1255 жыл бұрын

    Muhammad alikataza mwanamume na mwanamke baada ya kuoa mke wa mtu ambae alikua mke wa mtoto wake wa kupanga ,, kwa maana ya mkwewe... Kabla ya hapo watu walikua wanaenda kwake na bi Hadija alikua anapika watu wanakula na kukaa kitako na kupiga soga ila baada ya kuonekana watu wanapenda kukaa na kuongea na wale warembo kuliko bi khadija ndio akajifanya allah kasema...... Hahahahahahahajajaja

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil98353 жыл бұрын

    Ushoga usagaji uchawi ulevi uzinzi ushirikina ni matendo ya sheitan na anayoyafanya ni mfuwasi wake pia.

  • @francisnoel1091
    @francisnoel10916 жыл бұрын

    Jesus is God

  • @abdulrahimtwahir7142

    @abdulrahimtwahir7142

    5 жыл бұрын

    Francis Noel ,Jesus/Nabbi Issa(A.S) is not God.He himself told people to worship the one who sent him

  • @eafricatv449
    @eafricatv4492 жыл бұрын

    Uongo Sana

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын

    Kama Kuna church of Satan basi ujue Kuna church of Jesus Christ

  • @fadhilimbwambo6425
    @fadhilimbwambo64253 жыл бұрын

    Mbona walioandika koroani wenyewe walevi

  • @abdillahathumani1801

    @abdillahathumani1801

    2 жыл бұрын

    acha uwongo

  • @MrCeejay64
    @MrCeejay6410 жыл бұрын

    this is great comedy

  • @josephatmemba1197

    @josephatmemba1197

    8 жыл бұрын

    😄😂

  • @aliyusug8862

    @aliyusug8862

    6 жыл бұрын

    Fuck you

  • @rosemutinda4671
    @rosemutinda46715 жыл бұрын

    Waislamu ndio huuwa ama kuuawa?

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu11 жыл бұрын

    Ati mtu wa Kwanza anazaidi ya pounds 560? Anaitwa nani? Hivi unajua unacho zungumzia wewe? Mtu wa Kwanza kwa pesa duniani anaitwa Bill Gates ana dollar billion 72.7 ambazo ni sawa na pounds 47.9, mtu wa pili ni Carlos Slim ana dollar billion 72.1 ambazo ni sawa na pounds billion 47.5. Rudi shule Kijana, usikubali kudanganywa na wajinga kama huyu muhubiri. Anaongea pumba tupu.

  • @makumbikitana
    @makumbikitana5 жыл бұрын

    Hahaha eti hata cartoon?

  • @japhethmbusya1479

    @japhethmbusya1479

    3 жыл бұрын

    Nafurahia kukuona dungu yangu,,uyu kaka ako sawa sana,anawaelimisha watu wote wakristo kwa waislaam

  • @keithkithusi7626
    @keithkithusi76262 жыл бұрын

    Stop lying to people surely

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu11 жыл бұрын

    Labda ungeenda shule ukajifunze kufanya research. Website gani ulio soma wakakwambia kuna mtu anabillioni 500? Kuna kampuni zenye zaidi ya dollar billion 500 lakini hizi ni companies sio mtu binafsi. Endeleeni kuwadanganya wapumbavu.

  • @vinanizani3409

    @vinanizani3409

    2 жыл бұрын

    Pumbavu ni ww mwehuu

  • @shabaniassani2819
    @shabaniassani28192 жыл бұрын

    Allah tukinge

  • @jm650m
    @jm650m2 жыл бұрын

    God said whoever follows and bows to a fellow human being is cursed.stop preaching hatred bro rem there are rewards for the ones who preach and seek peace instead of preaching hatred .

  • @makumbikitana
    @makumbikitana5 жыл бұрын

    Eti mchezo wa mpira ni haramu...eish acheni comedy

  • @joelmlavi400

    @joelmlavi400

    5 жыл бұрын

    Kwan kuteseka unatesekaa.. mwambie alete proof za kueleweka za uo uharam co maneno matupu yasiyo na mana.

  • @festusmwangi2866
    @festusmwangi28662 жыл бұрын

    Y

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1255 жыл бұрын

    Pia ukizungumzia minala hata makkah kuna minala cjui nayo unasemaje hapo........

  • @bichuq8488

    @bichuq8488

    5 жыл бұрын

    Hujielew

  • @promiseemmanuel6885
    @promiseemmanuel68855 жыл бұрын

    Wewe wacha uhuni. Mkono wa kuchoto was created by Almighty God the Holy Bible say in the Book of job that you can't counsel Almighty God. Let asume the left hand is unholy as you claim why then when Muslims pray they l lift their two hands to Heaven when praying???

  • @aloysnt
    @aloysnt11 жыл бұрын

    Jamani, kila mwaka vichaa wanatokea Tanzania. Alafu waisilamu wote!!!! hii ni asara kubwa jamani. Tuwaombee kweli.

  • @banditsailorokidoki8229

    @banditsailorokidoki8229

    2 жыл бұрын

    Yaani ni Aibu.

  • @ideamuslim1004
    @ideamuslim100411 жыл бұрын

    mirrorfootball.co.uk/news/Trillion-dollar-wealth-of-new-Manchester-City-owner-Sheikh-Mansour-bin-Zayed-Al-Nahyan-article38353.html read it and dont be posting rubbish on my page

  • @hemedhashim8968

    @hemedhashim8968

    7 жыл бұрын

    ideal muslim

  • @user-hs3ln8ni1v
    @user-hs3ln8ni1v5 жыл бұрын

    Mashakh wa kisenge wajinga WATU wana plan kuishi nje ya arthi na haw wanaishi kupata pesa za waislamu wa kijinnga

  • @celinacharo7045

    @celinacharo7045

    2 жыл бұрын

    SubhanAllah

  • @keithkithusi7626
    @keithkithusi76262 жыл бұрын

    I wish I can preach to this two misleading men. Please if you see this. You need to change your content. It is misleading.

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu11 жыл бұрын

    Magaidi tu hawa. Wanawadanganya waliokosa elimu. Ati Ela ni Allah kwa kispanish. Hahahaha. Jamaa shoga kweli huyu. Utafikiri anajua kuongea kispanish. Na walivyo wajinga maskini wanakubali tu. Eti kucha wa Manchester analipwa pounds billion 70 kwa mwaka alafu ni mtu wa 22 kwa hela duniani. Hahaha hata wakwanza kwa hela hana pounds billion 70. Du! Ujinga mzigo kweli kweli.

  • @maxwellkipkoech6614
    @maxwellkipkoech66148 жыл бұрын

    Rubbish why killing Christians if you're holly,second thing you say that don't harm your fellow Muslims, kuanzia lini mkaskia wakristo wakisema usidhulumu mkristo mwenzako it's always love your enemies as you love yourself. so stop fooling other keep that for yourself .

  • @johnstonemwesiga236
    @johnstonemwesiga2369 жыл бұрын

    JAMAA MUONGO HUYU

  • @arafamohammedy7653

    @arafamohammedy7653

    9 жыл бұрын

    muongo wake nn

  • @naimasharif294

    @naimasharif294

    8 жыл бұрын

    ni wewe

  • @hemedhashim8968

    @hemedhashim8968

    7 жыл бұрын

    Naima Sharif suud