Masha Allah mungu awabariki sh Suleiman mazinge na sh Ismail gitau
@prettygrl27938 жыл бұрын
ukweli utabaki pale pale mkatae mkubali ila majuto mtayapata na amtapa muda wa kutubia mtakua mmechelewa sanaa kwa nnao pinga uislaam ila mtajuta inshaallah mungu awaweke adi siku ya kiama achen ubishi
@khadijakibwana52789 жыл бұрын
Ishaallah mungu atawalipa tunawaombea afya njema ili mzidi kutupa daawaa.amin
@Halimabintmafitah8 жыл бұрын
Allah atawalipeni masheikh wetu
@tatuomary6745
2 жыл бұрын
Ameeen ya RABBY
@aliabu516310 жыл бұрын
Mashaallah am proud of you
@kasairamazani44375 жыл бұрын
Jamani mungu atuhurumie sana atujuwi tulitendalo
@mstafaassan47076 жыл бұрын
Mungu awasaidie sana masheikh wetu
@rakiaelmi8624 жыл бұрын
Alhamdullilah tumejua mengi
@joelwaii57712 жыл бұрын
Mafunzo manzuri ndugu zetu waislamu ,mwatupa mafunzo mazuri pia sisi wakristo
@rakiaelmi8624 жыл бұрын
Allah awalipe tumejua mengi masheikh wetu
@linegreen2311 жыл бұрын
Sub hana llah, hii madda ilikuwa ni nzuri sana ila nasikitika msikiti ulikuwa mtupu kabisa waislam tuko wapi jamani?
@tatuomary67452 жыл бұрын
SubhanaALLAH
@prettygrl27938 жыл бұрын
Ama kweli Iman imetoweka mkiambiwa kweli amtaki mkidanganywa mwafulaiya inna lillah wainna ilahi rajiun Alla awape kivuri adi siku ya kiama waja awa na mtabak watu wa majuto siku ya kiama
@boywakitui38572 жыл бұрын
I 100% support Muslim brothers...... extra love my people
@alawithebestconcept2312 жыл бұрын
Mashallah ALLAH blessing you long inchallah . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
@saloummatano61849 жыл бұрын
May Allah b upon you people I really appreciate you ppl"
@amurisabiti70372 жыл бұрын
Shukrani ma sheihk wetu mwisho mwema kwenu Insha'Allah
@margaretmacharia93238 жыл бұрын
so because am left handed Mimi in devil? may God give u wisdom and knowledge .......Jesus is the Way
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
Mambo na maumbile haina shida,,,,just hata mimi ni wa kushoto,but kuna ukweli kwa yale anayoyaongea. Mm ni mkristo
@jumanurdini9814
2 жыл бұрын
Sjrkheihdhrukfh
@otungaferdnand1009
2 жыл бұрын
ahaaaaa
@hawakigembe6205
2 жыл бұрын
He never said u are...
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah ustadh mazinge mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah 🙏
@djaffro5 жыл бұрын
Utukufu ni gwa yesu kristo.aliye kufa msalabani ili binadamu yeyote aweze kushinda maofu zote mungu utuhurumie sisi na dunia
@carlson41955 жыл бұрын
This is more of comedy this guys should do stand up
@yacinabdi9057
Жыл бұрын
ISLAM IS THE TRUTH BROTHER CARLSON COME AND JOIN ISLAM
@imrizzy9668
Жыл бұрын
Open your eyes
@twahasaid1172 Жыл бұрын
Allah awape umri mrefu mtujuze habari zito
@kulsumfarhan47357 жыл бұрын
mungu awape uwezo zaidi
@happinessmwaipopo74269 жыл бұрын
Mengine yanaelimisha mengine ni rabish. Akili kichwani kila mtu ana zake
@gabrielisack77866 жыл бұрын
tatizo ni kumkataa Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wetu ndio maana mnaongea vitu vya ajabu
@allyhdad5248
5 жыл бұрын
We akli un
@omaniallybakari2372
4 жыл бұрын
We muabudu yesu yesu anamuabudu mungu yesu katumwa hajasema abudiwe, na ndio mana kasema mkisali salin hivi, baba yangu ulie mbinguni, yesu alijua mungu yupo, kwann hakufundisha mkisali salini hivi baba yangu ulio dunian kwann aseme mbingun
@timothymusyoka72332 жыл бұрын
Continue conceiving the world
@jorossi11745 жыл бұрын
Imani sio vazi imani ni moyo wako.
@metalcombat44707 жыл бұрын
Sheikh, logo ya kappa ina ashiria kupinga maingiliano(sex) ya mwanamke na mwana mume. Means ina support mapenzi (sex)ya jinsia moja (mume kwa mume/mke kwa mke)!
@washamoto76645 жыл бұрын
Allah Akbar 😥😥😥
@japhethmbusya14793 жыл бұрын
Kenya sio mchezo unafinywa uku chini🤣🤣🤣🤣
@imalawoche4 жыл бұрын
Taaaaaakbir mashaallah
@nishnish48455 жыл бұрын
Asanteni.Mungu awabariki
@hawakigembe62052 жыл бұрын
May the Lord forgive us for the sin we are aware of and not aware of
@ozzie952310 жыл бұрын
We kweli mnaffiq...... Na ndio maan unajiita JAH ThE King 17th..... Huna imani wewe.. Anza kuomba Tawbah Kama ni pesa zikushughulishe niniwewe, sikiliza daawah upate faida sio kukosoa wanaojitahidi
@SALMIN1111 жыл бұрын
heisright. Eli ni ki hebrew meaning allah. jesus cried eli eli lamma sabachtani !! Allah Allah mbona umenitupa!! wakati ametundikwa msalabani. Usiwatkane hawa mashekhe . they know what they r talking abt. hata kama hawana elimu lakini wanaye jazba ya dini Islamu kama masahaba. pia hawakuwa na elimu kama yenu lakini walipenda dini ya kiislamu na wakaisambaza dunia kote.
@linetkwamboka35978 жыл бұрын
Good message but I would like you to educate your fellow Muslims to believe in Jesus Christ, He is the true son of God.
@issajunior4912 жыл бұрын
God bless uh
@phyliskhalayi58607 жыл бұрын
kweli mnaelimisha but the only way is Jesus christ
@lulesharif5523
7 жыл бұрын
Phylis Khalayi
@bichuq8488
5 жыл бұрын
Hujielew
@miambayankeba1084 Жыл бұрын
Alhamdulillah
@issajunior4912 жыл бұрын
Mashallah
@happyarooun60375 жыл бұрын
mashaalah uislam ndo dini ya haki nasema bila kupepesa macho😘😘
@joelmlavi400
5 жыл бұрын
Then prove it..?! En prove others are not..!! If you knw wat yu saying.
@davidmaingi8745 жыл бұрын
Its true although am a Chelsea fan
@zenassylvester1255 жыл бұрын
Tafuteni elimu vizuri, no research no right to speak
@ibnukheyre3154
5 жыл бұрын
We ndio hajui kitu cha duniani unakunya bobe kilawakati
@byboytrezor53392 жыл бұрын
Asante Sana mwalimu
@aminitu3766Ай бұрын
Sawa bwana ngoja tufunge tubomoe viwanja vyote tufugie mbuzi
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Majini walisilimu na dini Yao ni Islamic. Quran 72;14
@SALMIN1111 жыл бұрын
dajjal ashadhihirika ma masihi wakumu uwa dajjal ameshakuja naye ni mirza ghulam ahmad(a.s) mwanzilishi wa jumuiya ahmadiyya.
@aishasuleiman59419 жыл бұрын
Takbir huu ndio uislam
@shabaniassani28192 жыл бұрын
Niatar kwakweli
@josphineatieno62307 жыл бұрын
God is the way he wil show as the truth
@anababdulahi43395 жыл бұрын
Inalilahi
@davidmwandenuka17122 жыл бұрын
Wewe jamaa Ni muongo Sana na mchonganishi mkubwa.
@firdausalbarwani468311 жыл бұрын
Assalaamu Alaikum. Ndugu Wa Islaamu, anaposimama ndugu kuwailimisha juu ya Uislam musi shugulike kutafuta makosa ili kuyapa nguvu makosa yenu bali jiungeni na hao wanaowaelimisha ili kuisimamisha dini ya Mungu. "Wa'tasweemu bi hablil jameean wala tafarraqu." Mimi nawaombea ndugu zangu hawa wawazidishe iman, afya na taqwa kutekeleza dini yetu. Tuelekezeni wapi Mombasa na nani Mombasa anapokea mchango ili kuwaunga? JazaakumuLLAAHU Khairan
@jazilahsaidi9818
2 жыл бұрын
May Allah bless you... May people think they are wise and ignorance will lead many to hell fire
@brianoichoe4710 ай бұрын
We should pay keen attention to symbols displayed. Those celebration signs are not in vain
@zenassylvester1255 жыл бұрын
Kwa kiswahili ndio hakuna wingi kwenye rangi ila unatumia neno rangi nyingi kwa maana rangi zaidi ya moja au wingi wa rangi, Ila the blues kwa maana ya timu ingekua mtu mmoja ingekua blue.....
@juliusmatalotv5996
5 жыл бұрын
Good
@ramadhanikaucha4362
5 жыл бұрын
Mm naon bila yesu akun maisha wa2 wanau mpend yesu wote watakatif na wala sio magaid na awapend damu
@sokarealwirs79235 жыл бұрын
Mungu awepe nguvu
@piusdataservicecentre59465 жыл бұрын
Kwakuwa umesema karbia kila kitu kinatokana na Freemason kama magari, ndege, na watu wote maarufu ni Freemason ushauri wangu ni kwmba ukiona kitu nikibaya achakutumia au tengeneza chakwako iliuwe uru na kumpendeza Muumba wako kuliko kuendelea kutumia na unajua inapotoka kuwa siyo salama...............
@chancelinechuchu73335 жыл бұрын
mimi ambae ninaye tumia mukono wakushoto nimulaumu nani mungu ao mama yangu
@aminamfaume89922 жыл бұрын
Takbiriiii!!!!!
@arestideoyombe32912 жыл бұрын
Kweli
@ideamuslim100411 жыл бұрын
bill gates is nothing compared to the world richest peple in the world ownere of man city ana pesa karibuni 556 billion pounds kama huamini tizama kwenye internet
@ramazecha28772 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@mashiabdul499711 жыл бұрын
kwani hawa jamaa ni wa Tanzania? si wanajieleza vizuri tu kuwa wao ni wa Kenya?
@ejtjr26475 жыл бұрын
Arsene Wenger was granted shares by the Queen?
@FatmaFatmA-qk3zl2 жыл бұрын
Duuuuu!
@deejaymustaphar25445 жыл бұрын
What do you mean by kuuwa, Waislamu wenzenu?
@francayub5 жыл бұрын
chelsea ilianzishwa 1905...wacha uwongo..
@ideamuslim100411 жыл бұрын
wakwanza kwa hela ana zaidi zinaweza pita 560 billion pounds
@ruqaiyaibrahim1865
6 жыл бұрын
ideal muslim Assalaam alaykum warahmatullah wabarakaatuh,mashaallah mko vizur,naomba namba za mazinge inshaallah
@africandreamchaser86765 жыл бұрын
macho yako yanatisha sawasawa na drama yenye unaperform, daah! kwa hzo kamba lazma waislam wawegaid maana mnawalisha sumu
@saramss7262
3 жыл бұрын
Wapeeeee SoMo
@olisecharo61282 жыл бұрын
Comedians
@janetshiunza30108 жыл бұрын
only son of God
@ibnukheyre3154
5 жыл бұрын
Sister Allah have not any son pasta anekudanganya sanaa sister
@jamleckgatembe58564 жыл бұрын
They will never accept the truth!
@johnjoshua24858 жыл бұрын
ulimuona wapi
@reaganonyango23678 жыл бұрын
religion is man made and political as long as you think and want to reason based on a script of any man holly or an holly who died. lets know how we persive the knowledge of history.. this proves the word Ellite
@hemedhashim8968
7 жыл бұрын
Reagan odhiambo
@danielinzovu1189
6 жыл бұрын
Reagan odhiambo
@dennissalamba24587 жыл бұрын
uongo huo mpira ni kipawa kutoka kwa mungu wacheni kupotosha wakristo
@zenassylvester1255 жыл бұрын
Muhammad alikataza mwanamume na mwanamke baada ya kuoa mke wa mtu ambae alikua mke wa mtoto wake wa kupanga ,, kwa maana ya mkwewe... Kabla ya hapo watu walikua wanaenda kwake na bi Hadija alikua anapika watu wanakula na kukaa kitako na kupiga soga ila baada ya kuonekana watu wanapenda kukaa na kuongea na wale warembo kuliko bi khadija ndio akajifanya allah kasema...... Hahahahahahahajajaja
@muhammadfadhil98353 жыл бұрын
Ushoga usagaji uchawi ulevi uzinzi ushirikina ni matendo ya sheitan na anayoyafanya ni mfuwasi wake pia.
@francisnoel10916 жыл бұрын
Jesus is God
@abdulrahimtwahir7142
5 жыл бұрын
Francis Noel ,Jesus/Nabbi Issa(A.S) is not God.He himself told people to worship the one who sent him
@eafricatv4492 жыл бұрын
Uongo Sana
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Kama Kuna church of Satan basi ujue Kuna church of Jesus Christ
@fadhilimbwambo64253 жыл бұрын
Mbona walioandika koroani wenyewe walevi
@abdillahathumani1801
2 жыл бұрын
acha uwongo
@MrCeejay6410 жыл бұрын
this is great comedy
@josephatmemba1197
8 жыл бұрын
😄😂
@aliyusug8862
6 жыл бұрын
Fuck you
@rosemutinda46715 жыл бұрын
Waislamu ndio huuwa ama kuuawa?
@SimbaM2kufu11 жыл бұрын
Ati mtu wa Kwanza anazaidi ya pounds 560? Anaitwa nani? Hivi unajua unacho zungumzia wewe? Mtu wa Kwanza kwa pesa duniani anaitwa Bill Gates ana dollar billion 72.7 ambazo ni sawa na pounds 47.9, mtu wa pili ni Carlos Slim ana dollar billion 72.1 ambazo ni sawa na pounds billion 47.5. Rudi shule Kijana, usikubali kudanganywa na wajinga kama huyu muhubiri. Anaongea pumba tupu.
@makumbikitana5 жыл бұрын
Hahaha eti hata cartoon?
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
Nafurahia kukuona dungu yangu,,uyu kaka ako sawa sana,anawaelimisha watu wote wakristo kwa waislaam
@keithkithusi76262 жыл бұрын
Stop lying to people surely
@SimbaM2kufu11 жыл бұрын
Labda ungeenda shule ukajifunze kufanya research. Website gani ulio soma wakakwambia kuna mtu anabillioni 500? Kuna kampuni zenye zaidi ya dollar billion 500 lakini hizi ni companies sio mtu binafsi. Endeleeni kuwadanganya wapumbavu.
@vinanizani3409
2 жыл бұрын
Pumbavu ni ww mwehuu
@shabaniassani28192 жыл бұрын
Allah tukinge
@jm650m2 жыл бұрын
God said whoever follows and bows to a fellow human being is cursed.stop preaching hatred bro rem there are rewards for the ones who preach and seek peace instead of preaching hatred .
@makumbikitana5 жыл бұрын
Eti mchezo wa mpira ni haramu...eish acheni comedy
@joelmlavi400
5 жыл бұрын
Kwan kuteseka unatesekaa.. mwambie alete proof za kueleweka za uo uharam co maneno matupu yasiyo na mana.
@festusmwangi28662 жыл бұрын
Y
@zenassylvester1255 жыл бұрын
Pia ukizungumzia minala hata makkah kuna minala cjui nayo unasemaje hapo........
@bichuq8488
5 жыл бұрын
Hujielew
@promiseemmanuel68855 жыл бұрын
Wewe wacha uhuni. Mkono wa kuchoto was created by Almighty God the Holy Bible say in the Book of job that you can't counsel Almighty God. Let asume the left hand is unholy as you claim why then when Muslims pray they l lift their two hands to Heaven when praying???
@aloysnt11 жыл бұрын
Jamani, kila mwaka vichaa wanatokea Tanzania. Alafu waisilamu wote!!!! hii ni asara kubwa jamani. Tuwaombee kweli.
@banditsailorokidoki8229
2 жыл бұрын
Yaani ni Aibu.
@ideamuslim100411 жыл бұрын
mirrorfootball.co.uk/news/Trillion-dollar-wealth-of-new-Manchester-City-owner-Sheikh-Mansour-bin-Zayed-Al-Nahyan-article38353.html read it and dont be posting rubbish on my page
@hemedhashim8968
7 жыл бұрын
ideal muslim
@user-hs3ln8ni1v5 жыл бұрын
Mashakh wa kisenge wajinga WATU wana plan kuishi nje ya arthi na haw wanaishi kupata pesa za waislamu wa kijinnga
@celinacharo7045
2 жыл бұрын
SubhanAllah
@keithkithusi76262 жыл бұрын
I wish I can preach to this two misleading men. Please if you see this. You need to change your content. It is misleading.
@SimbaM2kufu11 жыл бұрын
Magaidi tu hawa. Wanawadanganya waliokosa elimu. Ati Ela ni Allah kwa kispanish. Hahahaha. Jamaa shoga kweli huyu. Utafikiri anajua kuongea kispanish. Na walivyo wajinga maskini wanakubali tu. Eti kucha wa Manchester analipwa pounds billion 70 kwa mwaka alafu ni mtu wa 22 kwa hela duniani. Hahaha hata wakwanza kwa hela hana pounds billion 70. Du! Ujinga mzigo kweli kweli.
@maxwellkipkoech66148 жыл бұрын
Rubbish why killing Christians if you're holly,second thing you say that don't harm your fellow Muslims, kuanzia lini mkaskia wakristo wakisema usidhulumu mkristo mwenzako it's always love your enemies as you love yourself. so stop fooling other keep that for yourself .
Пікірлер: 160
Masha Allah mungu awabariki sh Suleiman mazinge na sh Ismail gitau
ukweli utabaki pale pale mkatae mkubali ila majuto mtayapata na amtapa muda wa kutubia mtakua mmechelewa sanaa kwa nnao pinga uislaam ila mtajuta inshaallah mungu awaweke adi siku ya kiama achen ubishi
Ishaallah mungu atawalipa tunawaombea afya njema ili mzidi kutupa daawaa.amin
Allah atawalipeni masheikh wetu
@tatuomary6745
2 жыл бұрын
Ameeen ya RABBY
Mashaallah am proud of you
Jamani mungu atuhurumie sana atujuwi tulitendalo
Mungu awasaidie sana masheikh wetu
Alhamdullilah tumejua mengi
Mafunzo manzuri ndugu zetu waislamu ,mwatupa mafunzo mazuri pia sisi wakristo
Allah awalipe tumejua mengi masheikh wetu
Sub hana llah, hii madda ilikuwa ni nzuri sana ila nasikitika msikiti ulikuwa mtupu kabisa waislam tuko wapi jamani?
SubhanaALLAH
Ama kweli Iman imetoweka mkiambiwa kweli amtaki mkidanganywa mwafulaiya inna lillah wainna ilahi rajiun Alla awape kivuri adi siku ya kiama waja awa na mtabak watu wa majuto siku ya kiama
I 100% support Muslim brothers...... extra love my people
Mashallah ALLAH blessing you long inchallah . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
May Allah b upon you people I really appreciate you ppl"
Shukrani ma sheihk wetu mwisho mwema kwenu Insha'Allah
so because am left handed Mimi in devil? may God give u wisdom and knowledge .......Jesus is the Way
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
Mambo na maumbile haina shida,,,,just hata mimi ni wa kushoto,but kuna ukweli kwa yale anayoyaongea. Mm ni mkristo
@jumanurdini9814
2 жыл бұрын
Sjrkheihdhrukfh
@otungaferdnand1009
2 жыл бұрын
ahaaaaa
@hawakigembe6205
2 жыл бұрын
He never said u are...
Mashaallah ustadh mazinge mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah 🙏
Utukufu ni gwa yesu kristo.aliye kufa msalabani ili binadamu yeyote aweze kushinda maofu zote mungu utuhurumie sisi na dunia
This is more of comedy this guys should do stand up
@yacinabdi9057
Жыл бұрын
ISLAM IS THE TRUTH BROTHER CARLSON COME AND JOIN ISLAM
@imrizzy9668
Жыл бұрын
Open your eyes
Allah awape umri mrefu mtujuze habari zito
mungu awape uwezo zaidi
Mengine yanaelimisha mengine ni rabish. Akili kichwani kila mtu ana zake
tatizo ni kumkataa Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wetu ndio maana mnaongea vitu vya ajabu
@allyhdad5248
5 жыл бұрын
We akli un
@omaniallybakari2372
4 жыл бұрын
We muabudu yesu yesu anamuabudu mungu yesu katumwa hajasema abudiwe, na ndio mana kasema mkisali salin hivi, baba yangu ulie mbinguni, yesu alijua mungu yupo, kwann hakufundisha mkisali salini hivi baba yangu ulio dunian kwann aseme mbingun
Continue conceiving the world
Imani sio vazi imani ni moyo wako.
Sheikh, logo ya kappa ina ashiria kupinga maingiliano(sex) ya mwanamke na mwana mume. Means ina support mapenzi (sex)ya jinsia moja (mume kwa mume/mke kwa mke)!
Allah Akbar 😥😥😥
Kenya sio mchezo unafinywa uku chini🤣🤣🤣🤣
Taaaaaakbir mashaallah
Asanteni.Mungu awabariki
May the Lord forgive us for the sin we are aware of and not aware of
We kweli mnaffiq...... Na ndio maan unajiita JAH ThE King 17th..... Huna imani wewe.. Anza kuomba Tawbah Kama ni pesa zikushughulishe niniwewe, sikiliza daawah upate faida sio kukosoa wanaojitahidi
heisright. Eli ni ki hebrew meaning allah. jesus cried eli eli lamma sabachtani !! Allah Allah mbona umenitupa!! wakati ametundikwa msalabani. Usiwatkane hawa mashekhe . they know what they r talking abt. hata kama hawana elimu lakini wanaye jazba ya dini Islamu kama masahaba. pia hawakuwa na elimu kama yenu lakini walipenda dini ya kiislamu na wakaisambaza dunia kote.
Good message but I would like you to educate your fellow Muslims to believe in Jesus Christ, He is the true son of God.
God bless uh
kweli mnaelimisha but the only way is Jesus christ
@lulesharif5523
7 жыл бұрын
Phylis Khalayi
@bichuq8488
5 жыл бұрын
Hujielew
Alhamdulillah
Mashallah
mashaalah uislam ndo dini ya haki nasema bila kupepesa macho😘😘
@joelmlavi400
5 жыл бұрын
Then prove it..?! En prove others are not..!! If you knw wat yu saying.
Its true although am a Chelsea fan
Tafuteni elimu vizuri, no research no right to speak
@ibnukheyre3154
5 жыл бұрын
We ndio hajui kitu cha duniani unakunya bobe kilawakati
Asante Sana mwalimu
Sawa bwana ngoja tufunge tubomoe viwanja vyote tufugie mbuzi
Majini walisilimu na dini Yao ni Islamic. Quran 72;14
dajjal ashadhihirika ma masihi wakumu uwa dajjal ameshakuja naye ni mirza ghulam ahmad(a.s) mwanzilishi wa jumuiya ahmadiyya.
Takbir huu ndio uislam
Niatar kwakweli
God is the way he wil show as the truth
Inalilahi
Wewe jamaa Ni muongo Sana na mchonganishi mkubwa.
Assalaamu Alaikum. Ndugu Wa Islaamu, anaposimama ndugu kuwailimisha juu ya Uislam musi shugulike kutafuta makosa ili kuyapa nguvu makosa yenu bali jiungeni na hao wanaowaelimisha ili kuisimamisha dini ya Mungu. "Wa'tasweemu bi hablil jameean wala tafarraqu." Mimi nawaombea ndugu zangu hawa wawazidishe iman, afya na taqwa kutekeleza dini yetu. Tuelekezeni wapi Mombasa na nani Mombasa anapokea mchango ili kuwaunga? JazaakumuLLAAHU Khairan
@jazilahsaidi9818
2 жыл бұрын
May Allah bless you... May people think they are wise and ignorance will lead many to hell fire
We should pay keen attention to symbols displayed. Those celebration signs are not in vain
Kwa kiswahili ndio hakuna wingi kwenye rangi ila unatumia neno rangi nyingi kwa maana rangi zaidi ya moja au wingi wa rangi, Ila the blues kwa maana ya timu ingekua mtu mmoja ingekua blue.....
@juliusmatalotv5996
5 жыл бұрын
Good
@ramadhanikaucha4362
5 жыл бұрын
Mm naon bila yesu akun maisha wa2 wanau mpend yesu wote watakatif na wala sio magaid na awapend damu
Mungu awepe nguvu
Kwakuwa umesema karbia kila kitu kinatokana na Freemason kama magari, ndege, na watu wote maarufu ni Freemason ushauri wangu ni kwmba ukiona kitu nikibaya achakutumia au tengeneza chakwako iliuwe uru na kumpendeza Muumba wako kuliko kuendelea kutumia na unajua inapotoka kuwa siyo salama...............
mimi ambae ninaye tumia mukono wakushoto nimulaumu nani mungu ao mama yangu
Takbiriiii!!!!!
Kweli
bill gates is nothing compared to the world richest peple in the world ownere of man city ana pesa karibuni 556 billion pounds kama huamini tizama kwenye internet
Ukweli mtupu
kwani hawa jamaa ni wa Tanzania? si wanajieleza vizuri tu kuwa wao ni wa Kenya?
Arsene Wenger was granted shares by the Queen?
Duuuuu!
What do you mean by kuuwa, Waislamu wenzenu?
chelsea ilianzishwa 1905...wacha uwongo..
wakwanza kwa hela ana zaidi zinaweza pita 560 billion pounds
@ruqaiyaibrahim1865
6 жыл бұрын
ideal muslim Assalaam alaykum warahmatullah wabarakaatuh,mashaallah mko vizur,naomba namba za mazinge inshaallah
macho yako yanatisha sawasawa na drama yenye unaperform, daah! kwa hzo kamba lazma waislam wawegaid maana mnawalisha sumu
@saramss7262
3 жыл бұрын
Wapeeeee SoMo
Comedians
only son of God
@ibnukheyre3154
5 жыл бұрын
Sister Allah have not any son pasta anekudanganya sanaa sister
They will never accept the truth!
ulimuona wapi
religion is man made and political as long as you think and want to reason based on a script of any man holly or an holly who died. lets know how we persive the knowledge of history.. this proves the word Ellite
@hemedhashim8968
7 жыл бұрын
Reagan odhiambo
@danielinzovu1189
6 жыл бұрын
Reagan odhiambo
uongo huo mpira ni kipawa kutoka kwa mungu wacheni kupotosha wakristo
Muhammad alikataza mwanamume na mwanamke baada ya kuoa mke wa mtu ambae alikua mke wa mtoto wake wa kupanga ,, kwa maana ya mkwewe... Kabla ya hapo watu walikua wanaenda kwake na bi Hadija alikua anapika watu wanakula na kukaa kitako na kupiga soga ila baada ya kuonekana watu wanapenda kukaa na kuongea na wale warembo kuliko bi khadija ndio akajifanya allah kasema...... Hahahahahahahajajaja
Ushoga usagaji uchawi ulevi uzinzi ushirikina ni matendo ya sheitan na anayoyafanya ni mfuwasi wake pia.
Jesus is God
@abdulrahimtwahir7142
5 жыл бұрын
Francis Noel ,Jesus/Nabbi Issa(A.S) is not God.He himself told people to worship the one who sent him
Uongo Sana
Kama Kuna church of Satan basi ujue Kuna church of Jesus Christ
Mbona walioandika koroani wenyewe walevi
@abdillahathumani1801
2 жыл бұрын
acha uwongo
this is great comedy
@josephatmemba1197
8 жыл бұрын
😄😂
@aliyusug8862
6 жыл бұрын
Fuck you
Waislamu ndio huuwa ama kuuawa?
Ati mtu wa Kwanza anazaidi ya pounds 560? Anaitwa nani? Hivi unajua unacho zungumzia wewe? Mtu wa Kwanza kwa pesa duniani anaitwa Bill Gates ana dollar billion 72.7 ambazo ni sawa na pounds 47.9, mtu wa pili ni Carlos Slim ana dollar billion 72.1 ambazo ni sawa na pounds billion 47.5. Rudi shule Kijana, usikubali kudanganywa na wajinga kama huyu muhubiri. Anaongea pumba tupu.
Hahaha eti hata cartoon?
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
Nafurahia kukuona dungu yangu,,uyu kaka ako sawa sana,anawaelimisha watu wote wakristo kwa waislaam
Stop lying to people surely
Labda ungeenda shule ukajifunze kufanya research. Website gani ulio soma wakakwambia kuna mtu anabillioni 500? Kuna kampuni zenye zaidi ya dollar billion 500 lakini hizi ni companies sio mtu binafsi. Endeleeni kuwadanganya wapumbavu.
@vinanizani3409
2 жыл бұрын
Pumbavu ni ww mwehuu
Allah tukinge
God said whoever follows and bows to a fellow human being is cursed.stop preaching hatred bro rem there are rewards for the ones who preach and seek peace instead of preaching hatred .
Eti mchezo wa mpira ni haramu...eish acheni comedy
@joelmlavi400
5 жыл бұрын
Kwan kuteseka unatesekaa.. mwambie alete proof za kueleweka za uo uharam co maneno matupu yasiyo na mana.
Y
Pia ukizungumzia minala hata makkah kuna minala cjui nayo unasemaje hapo........
@bichuq8488
5 жыл бұрын
Hujielew
Wewe wacha uhuni. Mkono wa kuchoto was created by Almighty God the Holy Bible say in the Book of job that you can't counsel Almighty God. Let asume the left hand is unholy as you claim why then when Muslims pray they l lift their two hands to Heaven when praying???
Jamani, kila mwaka vichaa wanatokea Tanzania. Alafu waisilamu wote!!!! hii ni asara kubwa jamani. Tuwaombee kweli.
@banditsailorokidoki8229
2 жыл бұрын
Yaani ni Aibu.
mirrorfootball.co.uk/news/Trillion-dollar-wealth-of-new-Manchester-City-owner-Sheikh-Mansour-bin-Zayed-Al-Nahyan-article38353.html read it and dont be posting rubbish on my page
@hemedhashim8968
7 жыл бұрын
ideal muslim
Mashakh wa kisenge wajinga WATU wana plan kuishi nje ya arthi na haw wanaishi kupata pesa za waislamu wa kijinnga
@celinacharo7045
2 жыл бұрын
SubhanAllah
I wish I can preach to this two misleading men. Please if you see this. You need to change your content. It is misleading.
Magaidi tu hawa. Wanawadanganya waliokosa elimu. Ati Ela ni Allah kwa kispanish. Hahahaha. Jamaa shoga kweli huyu. Utafikiri anajua kuongea kispanish. Na walivyo wajinga maskini wanakubali tu. Eti kucha wa Manchester analipwa pounds billion 70 kwa mwaka alafu ni mtu wa 22 kwa hela duniani. Hahaha hata wakwanza kwa hela hana pounds billion 70. Du! Ujinga mzigo kweli kweli.
Rubbish why killing Christians if you're holly,second thing you say that don't harm your fellow Muslims, kuanzia lini mkaskia wakristo wakisema usidhulumu mkristo mwenzako it's always love your enemies as you love yourself. so stop fooling other keep that for yourself .
JAMAA MUONGO HUYU
@arafamohammedy7653
9 жыл бұрын
muongo wake nn
@naimasharif294
8 жыл бұрын
ni wewe
@hemedhashim8968
7 жыл бұрын
Naima Sharif suud