Ni matarajio yangu kuwa wimbo huu utakuwavusha kutoka mahali uliko kwenda juu.
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@sefaniangoya7862Ай бұрын
My favourite song up to now 2024 .Glory to God
@levinamwidunda67498 ай бұрын
My all time favourite song🙏
@mwalimukingunge8512 Жыл бұрын
Nimerudi tena kuusikiliza huu wimbo siuchokii kamwe ,,,Jina la Bwana litukuzwe
@celinagadiel6437
4 ай бұрын
😍
@maloukabemba12306 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana mpaka Sasa nabarikiwa nikiusikiliza , Mungu akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU Hallelujah 🙏🙏🙏
@ConfusedGermanShepherd-pv1mu2 күн бұрын
Nyimbo nzuri inafundishwa sana kaka angu
@celinagadiel64374 ай бұрын
Kama si Bwana mimi nisingefika mahali hapa mana yeye ni mwamba na salama yetu powerful song❤
@Meer-ru9ie16 күн бұрын
Ameni kubwa tumwimbie Yesu wetu❤❤
@heavenlyprincess11224 жыл бұрын
Hakika kama si BWANA kua upande wangu adui zangu wangenimeza ningali hai,uhimidiwe BWANA🇰🇪🇰🇪
@alphoncechacha1538
4 жыл бұрын
Only song touching and revealing the reality of how God help us.
@winnieapunda48343 жыл бұрын
More 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 lit nimebarikiwa
@MwinyiMwita-ii2eu Жыл бұрын
hakika mungu awe pamoja nanyi
@DenisNyamle9 ай бұрын
Hakika bwana nimwamba wetu,salamayetu
@elifurahasamboto24373 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana mbarikiwe hakika!!
@jamessila321910 ай бұрын
Yesu ni mwema
@elizabethjames72954 жыл бұрын
Waoooo wimbo mzuri sana huu mda sana yani nimefurahi kuona
@user-sx1vg5tc2h7 ай бұрын
Amina kubwa ubarikiwe mtumishi, kila ninapousikiliza huu wimbo nauona mpya
@josinalaurent86454 жыл бұрын
Barikiwa sana mungu azidi kukutumia utangaze injili yake
@MwinyiMwita-ii2eu Жыл бұрын
Hongela mchungaji wetu mungu akubaliki
@arbogasttarimo14564 жыл бұрын
Tunalindwa tupo salama. UBARIKIWE sana
@mwahesashedrack21454 жыл бұрын
Hii band ingerudi mzigoni ingependeza sana Mnaupako sana
@monicasisya6779
Жыл бұрын
❤❤
@monicasisya6779
Жыл бұрын
Kabisa Kabisa 100%
@everlynndunge61664 жыл бұрын
Mtumishi Roho wa vipawa ambaye ni Mungu mwenye enzi akutumie zaidi......nyimbo hii ni Neno la Mungu,,Yesu mwenyewe.....
@tibekabaka906 Жыл бұрын
Jamani wimbo mzuri
@hermancholela6764 жыл бұрын
Hii iko vizuri,muendeleze huduma mzd kutubariki mgogo
@musajulius36672 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka emmanuel
@emmymtewele27404 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi nilikuwa nautafuta cna huu wimbo kwa muda mrefu huwa najickia faraja cna pale ninapouckia huu wimbo
@mamasmartcollection70639 ай бұрын
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
@mlengef4 жыл бұрын
Ahimidiwe Bwana wa mabwana asiyetutoa mawindo kwa meno yao. Nguvu zake Bwana zimetufunika: Tunalindwa, tuko salama. Ubarikiwe @Emanuel Mgogo kwa wimbo.
@tomicthomas6374 жыл бұрын
Daaaah inanikumbushaaa mbali sana kwenye graduation yetu 2012 ..swillah dah .... Barikiwaaa sana aiseh
@EmmanuelMbwaga5 күн бұрын
Nashukur mgogo unankumbusha nlivyokua naenjoy na mama kpnd u ai
@cyliviamwakajumilo4338Ай бұрын
wimbo wangu mpaka sasa2024
@jchriss426910 ай бұрын
Amen
@dennisguvette36624 жыл бұрын
kama. si MUNGU. kuwepo. nasi leo . Leo. tungekuwa wapi leo. hii. Mimi na wew
@jackgadau81262 жыл бұрын
Nabalikiwà sana katika híí albamu ya íko wap njia from Zanzibar ñà eñjóy
@jacklinengwila67053 жыл бұрын
Nabarikiwa Sanaa kupitia Nyimbo Hiii 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@rebecangambiye124 жыл бұрын
Amen barikiwa sana
@neemamussa17453 жыл бұрын
Ahimidiwe Bwana Mungu asiye tutoa mawindo
@StephanoBangala-no6su8 ай бұрын
Hakika ilikuwa band nzuri saaana mbarikiwe saaana
@musaabeli667 Жыл бұрын
Nice one
@samuelmdeee76864 жыл бұрын
ubarkiwe Sanaa mtumishi
@eliasleonard62793 жыл бұрын
who listen this song 2021??? 🤲🤲🤲
@gospelvibestv3914
2 жыл бұрын
Mee🔥🔥🔥
@josephnicholaus6023
2 жыл бұрын
Me here
@eliasleonard6279
2 жыл бұрын
@@gospelvibestv3914 blessed 🤲🤲
@eliasleonard6279
2 жыл бұрын
@@josephnicholaus6023 salute brother
@andrewmadaga7913
Жыл бұрын
2023 we here ✌️🔥🥰
@user-zj2ux5pl8k3 ай бұрын
♥️♥️♥️
@rulebudodo2301 Жыл бұрын
To be honest, naumia sana moyo wangu kwa kukosa hii collaboration ya Sayuni band na mtumishi wa Mungu pastor Emmanuel Mgogo. Mungu ndie anaeita watu na ndio anaamua wapi na wakati upi amweke mtumishi wake. Hizi nyimbo zilikuwa ni injiri tosha, sio burudani
@rozinamaleka2144 жыл бұрын
Hakika kama si Bwana wangetumeza hai
@tzvideos54493 жыл бұрын
Jmn Mungu awabarik sanaa wapendwa huwa. Namwona Mungu jinsi alivyo mwema ❤️🙌🙏
@furahamwakabenga30004 жыл бұрын
haleluyaaaa
@bizimanaremy455 Жыл бұрын
My all time favorite song be blessed servant Emanuel mgogo
@reveliusmuchruza79524 жыл бұрын
bro nakukubali sana mungu akutunze nabalikiwa sana nikisikiliza nyimbo zako
@rechosagumo7652 жыл бұрын
Ameen
@catherineyinda5 ай бұрын
Powerfull song
@smartgboy45004 жыл бұрын
Hii nyimbo huwa si choki kuisikiliza, 🙏🙏
@fredbanaf5870
11 ай бұрын
Nyimbo zako nimahubiri tosha ubarikiwe baba
@AsnalaZimba10 ай бұрын
Apana mungu ana mambo mengi kwako mtumishi emmanuel mungu akutumie kupitiliza nimeinua mikono mimi kwako mtumishi umetoka mbari sana ubalikiwe na upitirize kutubaliki nasisi🙏🙏🙏🙏💯
@kelvinnzilano61534 жыл бұрын
One of the best choir to happen in Mbeya. Mgogo rudi ufanye injili na hawa wadada. Hakika mliwezana sana. Wanajua ukipanda wao wanashuka. Wanakufaa sana kufanya nao kazi sote tunamwimbia Bwana kwanini usimame peke yako? Rudi umtumikie Mungu na hawa watumishi wenzio.
@angelinasimchimba7053 жыл бұрын
Hii nyimbo imenikumbusha mbali sana, kinachoniuma hii band ilishasambaratika kila mmoja anaimba kvyake@,majivuno na kujiona bora kuliwagawa hawa watu wa MUNGU😅😅
@valenceoden7669
3 жыл бұрын
Inauma Sanaaa aisee nakumbuka mbali sanaa
@gospelvibestv3914
2 жыл бұрын
Hii ilikuwa ni EMMANUEL MGOGO FT SAYUNI KWAYA NA SIO SAYUNI KWAYAA
@goddamwakimi58894 жыл бұрын
Watu wangu ambao tumefunrishwa na huyu mwalim njoeni apa tujuane
@jafetjulius2227
3 жыл бұрын
Tupo
@gwakisamwashambwa60412 жыл бұрын
I love the song
@elizabethfrank40303 жыл бұрын
hawa watu huwaga na sauti nzur 😍
@sophiamogitu5582 жыл бұрын
Wimbo mnzuri,unagusa una roho Mtakatifu,una mafuta.
@luganomgeni9 ай бұрын
❤❤❤😂❤
@user-et9kf7cp6i Жыл бұрын
Yaniuwimbo mzurisana natamaniwangekyapamoja
@stephanomwinyi211 ай бұрын
Kaka Emmanuel hiki kipondi ninakumbuka mengi jamani ni hakika yako Mungu kukuinuà
@barakantemi27213 жыл бұрын
👏👏👏
@devinaemanuel88384 жыл бұрын
Nmefurahi kuupatahuuu wimbo huwa nabarikiwa sn kila SKU haunichoshi barikiweni watu wamungu
@monicasisya6779 Жыл бұрын
Yaan huu wimbo hauna mfano wakuelezea naweza kusikiliza asubuhi hadi jion duh, ujumbe wake tu unanitosha kwa kweli Mungu aendelee kukutumia mtumish wa Mungu Emanuel mgogo salute nyingi zikufikie mahali popote ulipo 🙏🙏
@appie12762 ай бұрын
Audio yake naipataj jaman😢😢❤
@allymwamkamba55592 жыл бұрын
Naungana na aliyepita Mtumish Rudi kafanye kazi na Hawa wadada
@user-gr9wc7bc2m6 ай бұрын
Mgogo ni mtumishi mkubwa Mungu alimpatia huduma kubwa sana ya uinjilisti siku atapo amua tu italipuka hamtaamini
@avitjoseph31942 жыл бұрын
Huyo dada natamani kumuona akifanya kazi zaidi na zionekane jamanii yaani huu wimbo sichokagi kuusiliza
@RahabuAngumbwike-rr3wz Жыл бұрын
Nyimbo hii roho nt alihussika zaidi san
@barakasanga8952 жыл бұрын
Ahaa wale tulia angalia 2021 like apa
@moseserasto70113 жыл бұрын
Hakika huyu Mungu ni mwamba wetu na ni salama kwetu.
@estermachea33732 жыл бұрын
Machozi yamanitoka dada huyu ana huduma kubwa saanaa nawapendaa kaka IMA mbarikiwee
@user-db1ux2io6d6 ай бұрын
Kama si Bwana hakika tungeisha
@priscasylevester32944 жыл бұрын
I like this
@gudboy_uswazikid3 жыл бұрын
Nalisifuu jina la yesuu
@nehemiahshija22654 жыл бұрын
Niliutafuta nikaukosa huu wimbo asante umeupost upya
@markmwakatobe2774
4 жыл бұрын
Hata mie niliutafuta Sana nikawa naukosa, Mungu ambariki Sana mtumishi.
@josephnicholaus60232 жыл бұрын
Aleluyah ahmen🥰🥰😘
@mbulacaroline17245 ай бұрын
Emmanuel mgogo Ako wapi huyu madam mnasolo naye,sauti yake n tamu
@avitjoseph31942 жыл бұрын
Huyo dada anayeimba namkubali sana Mungu amzidishie jamani
@malakimanyaji31242 жыл бұрын
Sifa na utukufu tumrudishie Mungu kwa watumishi hawa
@user-gr9wc7bc2m6 ай бұрын
Nyimbo hizi za injili mbona hazimbwi tena jamanii
@mandamkude54684 жыл бұрын
Ama kweli kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi Israel na waseme sasa... Ya kwamba fadhili za BWANA Ni za milele amina
@sugufresh39164 жыл бұрын
Yap
@jentrixbarasa778 Жыл бұрын
Surely it's God 🙏🙏🙏.
@edgaredward34904 жыл бұрын
Wed 1 Jan 2020.
@marukusmathayo101
3 жыл бұрын
safi
@pascalbura33102 жыл бұрын
Hakika wangetumeza hai
@johnchatanda67592 жыл бұрын
2012 mbeya isanga kanisani kwa happy kamili
@daddydadamtabo9984 жыл бұрын
Amena
@harunjoshua58 Жыл бұрын
my all time Favorite song be blessed Servant Emanuel
@allymwamkamba55592 жыл бұрын
Inanikumbusha siku ya Harusi ndo nilitokea kanisani baada ya kufunga ndoa
@gugainukaentertainment85 Жыл бұрын
HUU WIMBO TANGU NILIPOUSIKILIZA MARA YA KWANZA MIAKA MI5 ILIYOPITA NILIUPENDA SAANA YAANI HUWA SIUCHOKI KUUSIKILIZA
@michaeljassy67403 жыл бұрын
Did you guys delete the original one
@joysalingo38743 жыл бұрын
XD see
@assahphilipo85514 жыл бұрын
Njemfp
@jchriss426910 ай бұрын
Amen
@linusndawi11653 жыл бұрын
Rudi sayuni band ndio kuna nyota yako mungu atakbariki
@eliasadrian5026
2 жыл бұрын
Amen najua nitatoka katika magum yangu
@eliasilyeme8342 жыл бұрын
Hakika moyowangu umepata kufurahi kupitia huu wimbo jamanijamani ndugu Emanuel Mgogo Mungu akubariki
@jeniphermakula8120
Жыл бұрын
Sana Anaupako Sana yani sauti to ni shida
@user-kt9qg1mo6l
6 ай бұрын
Nakupenda aina hii ya Upako MH Emanuel mgogo
@asiamahanga94524 жыл бұрын
Amen
@levismaxpaya35964 жыл бұрын
Amen
@wilbertseme5455
4 жыл бұрын
Nabarikiwa na nyimbo zenu maana zina Neema.
@wilbertseme5455
4 жыл бұрын
Hongeta KWA huduma
@maikochales3154
4 жыл бұрын
amina
@kabulandaki7589
4 жыл бұрын
Huu wimbo nlikua nautafuta mno jaman waoooooo nmebarikiwa sana jaman ubarikie Kwa kueneza injili Kwa njia ya uimbaji napenda sana nyimbo zako
Пікірлер: 121
My favourite song up to now 2024 .Glory to God
My all time favourite song🙏
Nimerudi tena kuusikiliza huu wimbo siuchokii kamwe ,,,Jina la Bwana litukuzwe
@celinagadiel6437
4 ай бұрын
😍
Wimbo mzuri Sana mpaka Sasa nabarikiwa nikiusikiliza , Mungu akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU Hallelujah 🙏🙏🙏
Nyimbo nzuri inafundishwa sana kaka angu
Kama si Bwana mimi nisingefika mahali hapa mana yeye ni mwamba na salama yetu powerful song❤
Ameni kubwa tumwimbie Yesu wetu❤❤
Hakika kama si BWANA kua upande wangu adui zangu wangenimeza ningali hai,uhimidiwe BWANA🇰🇪🇰🇪
@alphoncechacha1538
4 жыл бұрын
Only song touching and revealing the reality of how God help us.
More 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 lit nimebarikiwa
hakika mungu awe pamoja nanyi
Hakika bwana nimwamba wetu,salamayetu
Wimbo mzuri sana mbarikiwe hakika!!
Yesu ni mwema
Waoooo wimbo mzuri sana huu mda sana yani nimefurahi kuona
Amina kubwa ubarikiwe mtumishi, kila ninapousikiliza huu wimbo nauona mpya
Barikiwa sana mungu azidi kukutumia utangaze injili yake
Hongela mchungaji wetu mungu akubaliki
Tunalindwa tupo salama. UBARIKIWE sana
Hii band ingerudi mzigoni ingependeza sana Mnaupako sana
@monicasisya6779
Жыл бұрын
❤❤
@monicasisya6779
Жыл бұрын
Kabisa Kabisa 100%
Mtumishi Roho wa vipawa ambaye ni Mungu mwenye enzi akutumie zaidi......nyimbo hii ni Neno la Mungu,,Yesu mwenyewe.....
Jamani wimbo mzuri
Hii iko vizuri,muendeleze huduma mzd kutubariki mgogo
Barikiwa sana kaka emmanuel
Barikiwa sana mtumishi nilikuwa nautafuta cna huu wimbo kwa muda mrefu huwa najickia faraja cna pale ninapouckia huu wimbo
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Ahimidiwe Bwana wa mabwana asiyetutoa mawindo kwa meno yao. Nguvu zake Bwana zimetufunika: Tunalindwa, tuko salama. Ubarikiwe @Emanuel Mgogo kwa wimbo.
Daaaah inanikumbushaaa mbali sana kwenye graduation yetu 2012 ..swillah dah .... Barikiwaaa sana aiseh
Nashukur mgogo unankumbusha nlivyokua naenjoy na mama kpnd u ai
wimbo wangu mpaka sasa2024
Amen
kama. si MUNGU. kuwepo. nasi leo . Leo. tungekuwa wapi leo. hii. Mimi na wew
Nabalikiwà sana katika híí albamu ya íko wap njia from Zanzibar ñà eñjóy
Nabarikiwa Sanaa kupitia Nyimbo Hiii 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen barikiwa sana
Ahimidiwe Bwana Mungu asiye tutoa mawindo
Hakika ilikuwa band nzuri saaana mbarikiwe saaana
Nice one
ubarkiwe Sanaa mtumishi
who listen this song 2021??? 🤲🤲🤲
@gospelvibestv3914
2 жыл бұрын
Mee🔥🔥🔥
@josephnicholaus6023
2 жыл бұрын
Me here
@eliasleonard6279
2 жыл бұрын
@@gospelvibestv3914 blessed 🤲🤲
@eliasleonard6279
2 жыл бұрын
@@josephnicholaus6023 salute brother
@andrewmadaga7913
Жыл бұрын
2023 we here ✌️🔥🥰
♥️♥️♥️
To be honest, naumia sana moyo wangu kwa kukosa hii collaboration ya Sayuni band na mtumishi wa Mungu pastor Emmanuel Mgogo. Mungu ndie anaeita watu na ndio anaamua wapi na wakati upi amweke mtumishi wake. Hizi nyimbo zilikuwa ni injiri tosha, sio burudani
Hakika kama si Bwana wangetumeza hai
Jmn Mungu awabarik sanaa wapendwa huwa. Namwona Mungu jinsi alivyo mwema ❤️🙌🙏
haleluyaaaa
My all time favorite song be blessed servant Emanuel mgogo
bro nakukubali sana mungu akutunze nabalikiwa sana nikisikiliza nyimbo zako
Ameen
Powerfull song
Hii nyimbo huwa si choki kuisikiliza, 🙏🙏
@fredbanaf5870
11 ай бұрын
Nyimbo zako nimahubiri tosha ubarikiwe baba
Apana mungu ana mambo mengi kwako mtumishi emmanuel mungu akutumie kupitiliza nimeinua mikono mimi kwako mtumishi umetoka mbari sana ubalikiwe na upitirize kutubaliki nasisi🙏🙏🙏🙏💯
One of the best choir to happen in Mbeya. Mgogo rudi ufanye injili na hawa wadada. Hakika mliwezana sana. Wanajua ukipanda wao wanashuka. Wanakufaa sana kufanya nao kazi sote tunamwimbia Bwana kwanini usimame peke yako? Rudi umtumikie Mungu na hawa watumishi wenzio.
Hii nyimbo imenikumbusha mbali sana, kinachoniuma hii band ilishasambaratika kila mmoja anaimba kvyake@,majivuno na kujiona bora kuliwagawa hawa watu wa MUNGU😅😅
@valenceoden7669
3 жыл бұрын
Inauma Sanaaa aisee nakumbuka mbali sanaa
@gospelvibestv3914
2 жыл бұрын
Hii ilikuwa ni EMMANUEL MGOGO FT SAYUNI KWAYA NA SIO SAYUNI KWAYAA
Watu wangu ambao tumefunrishwa na huyu mwalim njoeni apa tujuane
@jafetjulius2227
3 жыл бұрын
Tupo
I love the song
hawa watu huwaga na sauti nzur 😍
Wimbo mnzuri,unagusa una roho Mtakatifu,una mafuta.
❤❤❤😂❤
Yaniuwimbo mzurisana natamaniwangekyapamoja
Kaka Emmanuel hiki kipondi ninakumbuka mengi jamani ni hakika yako Mungu kukuinuà
👏👏👏
Nmefurahi kuupatahuuu wimbo huwa nabarikiwa sn kila SKU haunichoshi barikiweni watu wamungu
Yaan huu wimbo hauna mfano wakuelezea naweza kusikiliza asubuhi hadi jion duh, ujumbe wake tu unanitosha kwa kweli Mungu aendelee kukutumia mtumish wa Mungu Emanuel mgogo salute nyingi zikufikie mahali popote ulipo 🙏🙏
Audio yake naipataj jaman😢😢❤
Naungana na aliyepita Mtumish Rudi kafanye kazi na Hawa wadada
Mgogo ni mtumishi mkubwa Mungu alimpatia huduma kubwa sana ya uinjilisti siku atapo amua tu italipuka hamtaamini
Huyo dada natamani kumuona akifanya kazi zaidi na zionekane jamanii yaani huu wimbo sichokagi kuusiliza
Nyimbo hii roho nt alihussika zaidi san
Ahaa wale tulia angalia 2021 like apa
Hakika huyu Mungu ni mwamba wetu na ni salama kwetu.
Machozi yamanitoka dada huyu ana huduma kubwa saanaa nawapendaa kaka IMA mbarikiwee
Kama si Bwana hakika tungeisha
I like this
Nalisifuu jina la yesuu
Niliutafuta nikaukosa huu wimbo asante umeupost upya
@markmwakatobe2774
4 жыл бұрын
Hata mie niliutafuta Sana nikawa naukosa, Mungu ambariki Sana mtumishi.
Aleluyah ahmen🥰🥰😘
Emmanuel mgogo Ako wapi huyu madam mnasolo naye,sauti yake n tamu
Huyo dada anayeimba namkubali sana Mungu amzidishie jamani
Sifa na utukufu tumrudishie Mungu kwa watumishi hawa
Nyimbo hizi za injili mbona hazimbwi tena jamanii
Ama kweli kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi Israel na waseme sasa... Ya kwamba fadhili za BWANA Ni za milele amina
Yap
Surely it's God 🙏🙏🙏.
Wed 1 Jan 2020.
@marukusmathayo101
3 жыл бұрын
safi
Hakika wangetumeza hai
2012 mbeya isanga kanisani kwa happy kamili
Amena
my all time Favorite song be blessed Servant Emanuel
Inanikumbusha siku ya Harusi ndo nilitokea kanisani baada ya kufunga ndoa
HUU WIMBO TANGU NILIPOUSIKILIZA MARA YA KWANZA MIAKA MI5 ILIYOPITA NILIUPENDA SAANA YAANI HUWA SIUCHOKI KUUSIKILIZA
Did you guys delete the original one
XD see
Njemfp
Amen
Rudi sayuni band ndio kuna nyota yako mungu atakbariki
@eliasadrian5026
2 жыл бұрын
Amen najua nitatoka katika magum yangu
Hakika moyowangu umepata kufurahi kupitia huu wimbo jamanijamani ndugu Emanuel Mgogo Mungu akubariki
@jeniphermakula8120
Жыл бұрын
Sana Anaupako Sana yani sauti to ni shida
@user-kt9qg1mo6l
6 ай бұрын
Nakupenda aina hii ya Upako MH Emanuel mgogo
Amen
Amen
@wilbertseme5455
4 жыл бұрын
Nabarikiwa na nyimbo zenu maana zina Neema.
@wilbertseme5455
4 жыл бұрын
Hongeta KWA huduma
@maikochales3154
4 жыл бұрын
amina
@kabulandaki7589
4 жыл бұрын
Huu wimbo nlikua nautafuta mno jaman waoooooo nmebarikiwa sana jaman ubarikie Kwa kueneza injili Kwa njia ya uimbaji napenda sana nyimbo zako
@ndugusudrukuchu6305
4 жыл бұрын
AMINA.