Emmanuel Mgogo: IKO WAPI NJIA

Ойын-сауық

Пікірлер: 132

  • @IsaacEmmanuel-sc1tq
    @IsaacEmmanuel-sc1tq3 ай бұрын

    Mtumishi huu wimbo nimzuri ukiliasa kanisa, namimi naomba nikuase rudi kwa Mungu umeshageuka unaimba nyimbo na uchezaji wa kidunia umeshaiacha njia, rudi,

  • @marychiyungu7741
    @marychiyungu77413 жыл бұрын

    Wow mwenye anasikiza hii song 2020 Gonga like twende zetu

  • @Jh-fe8zj

    @Jh-fe8zj

    2 жыл бұрын

    2022

  • @hildandanzi4713

    @hildandanzi4713

    Жыл бұрын

    Asante mungu uhuu wimbo

  • @bahatisenkana2039
    @bahatisenkana20393 жыл бұрын

    2014 hiyo nipo tunduma hapo kila bajaji inaupiga huu wimbo hadi rafiki yangu mwislam ilibid autafute huu wimbo

  • @user-df5mj2ft4w

    @user-df5mj2ft4w

    19 күн бұрын

    Mzik hauna mipak

  • @alphamwafumbila3453
    @alphamwafumbila34536 ай бұрын

    🎉me nafunga mwaka na nyimbo pendwa ya mama angu 2023 gonga like Aya moja tyu inatosha

  • @neboughtkalwila
    @neboughtkalwila4 ай бұрын

    Nimeutafuta huu wimbo tena, 2024. Huu ni wimbo.

  • @francismboma6839
    @francismboma68392 ай бұрын

    2024 nyimbo kama ja jana vie😂😂😂❤

  • @esthermichael6856
    @esthermichael68562 ай бұрын

    Hakika uzidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu. Nasikia kuinuliwa kwa nyimbo zako.

  • @jastincharles6347
    @jastincharles6347 Жыл бұрын

    It's now 2022. Asante mungu kwa zawadi ya uhai ,pamoja nakuzidi kumuinua mtumishi huyu I remember nikiwa mbeya 2014 at iyunga technical school ❤️.

  • @AgudaMbilinyi-vg3yv

    @AgudaMbilinyi-vg3yv

    10 ай бұрын

    Qqq

  • @johnmwongela7761
    @johnmwongela7761 Жыл бұрын

    Neema iliyo ndani ya huu wimbo ni kubwa sana.Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.You really bless me through your Ministry

  • @christinakyando3508
    @christinakyando35089 ай бұрын

    Niliijua huu wimbo kupitia dadaangu kila mara alikua anaimba aisee apumzike kwa aman

  • @judithmartin9442
    @judithmartin944210 ай бұрын

    Mgongo hizi ndo nyimbo sio saiv na visuruali umeijua dunia

  • @user-bc8dd6yc1e
    @user-bc8dd6yc1e Жыл бұрын

    Hii ingawa ni ya zamani lakini unajifunza kitu Mgogo barikiwa sana kazi Yako njema

  • @laurenciamwalongo8165
    @laurenciamwalongo81655 ай бұрын

    Huu wimbo leo nmelala naimba kwenye ndoto had nmestuka naimba hcho kipande cha Victoria Nazah😢

  • @judithchinga7349
    @judithchinga73494 жыл бұрын

    kipindi niko advance 2011 nilikua naupenda sana huu wimbo na still adi leo naupenda

  • @francisjapan1594

    @francisjapan1594

    3 жыл бұрын

    Du mi form tatu 😂

  • @jastincharles6347

    @jastincharles6347

    Жыл бұрын

    ❤️

  • @doriskashili8461
    @doriskashili8461 Жыл бұрын

    Mtumish wa Mungu ubarikiwe Kwa huu wimbo..hauchuji moyoni mwangu...

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 Жыл бұрын

    Kibarikiwe sana kitabu cha Nabii Jeremia kwakuwa naaneno mazito ya huu wimbo na waimbaji Pia na watungaji

  • @leonkangu2850
    @leonkangu2850 Жыл бұрын

    Mungu akubariki mtu wa Mungu napenda sana unyenyekevu wako ndani ya neno neema yake Mungu na ushirika wa roho mtakatifu ukuzidie.

  • @raymondstewart228
    @raymondstewart2286 ай бұрын

    Victoria nazah her voice is 😮 ❤❤🙏

  • @user-my2hn5is3g
    @user-my2hn5is3g2 ай бұрын

    Wimbo mzur

  • @lesliemgimba
    @lesliemgimba6 ай бұрын

    Nzuri sana hii song

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa21786 ай бұрын

    2023 bye bye song aliishi utamu

  • @andisonkibona2158
    @andisonkibona2158 Жыл бұрын

    Balikiwa mtumishi wa mungu ulionwa na mungu tangu tumboni mwa mama kuwa utakuwa mtumishi bora

  • @mgogosinger

    @mgogosinger

    Жыл бұрын

    Amen! Ubarikiwe pia pamoja na uzao wako mteule

  • @moseskimothoapostle6489
    @moseskimothoapostle6489 Жыл бұрын

    2 year ago I was given this song in my prayers and fasting. ITs message of revival to the body of Christ, it shall remain in our spirit and SHALL BE KNOW IN MY TIME IT IS MY MESSAGE TO THE WORLD AND TO THE BODY OF CHRIST #ISA 58 #ISA 61 #JER 6:16-19 According to the time of men less than 9 yrs the message in this song shall be like gold to the soul of men. Body of Christ get prepared for the shift that is coming 2022/8/6

  • @mwamboshopendakazi984

    @mwamboshopendakazi984

    Жыл бұрын

    Qqqqqqq😊qqqqqqqqqqqqqqqqqq

  • @mwamboshopendakazi984

    @mwamboshopendakazi984

    Жыл бұрын

    Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq qqqqqqqqqqqqqqqqqq😊qqqqpqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqszs

  • @kelvinnzilano6153
    @kelvinnzilano61534 жыл бұрын

    Mtumishi hawa watumishi wadada ungeendelea kufanya kazi pamoja nao. Hakika utumishi wenu ulioana vizuri mno. Wanajua kupanda ukishuka, ukipanda wao wao wanashuka. Mlitubariki sana mlipofanya kazi pamoja.

  • @jafetjulius2227

    @jafetjulius2227

    3 жыл бұрын

    Nimesikia kwamba mtumishi wa Mungu Ema yalimkuta mabaya yule aliolewa na tangu hapo mtumishi akabakii peke yake

  • @jannetjimv6231
    @jannetjimv62313 жыл бұрын

    Mungu akuinuwe emmanuely mgogo Mimi mdogoako Nafrai kuona Mungu yukopamojana na ww Nakuombea sana

  • @neemamussa1745
    @neemamussa17453 жыл бұрын

    Ooo Bwana Mungu uliponye kanisa lako🙋,Tupe Neema Ili tushinde tupe nguvu Ili tushinde,tushinde yaliyo mbele🙋🙌

  • @bukuruluminatha5185
    @bukuruluminatha51854 жыл бұрын

    Kabisa mtumishi wa mungu yani roho wamungu amekuonyesha. Maneno umetumia la wimbo huu nikama umeona yanayo tendeka kanisani kwetu mungu akuzidishie vipaji vingine.

  • @user-df5mj2ft4w
    @user-df5mj2ft4w19 күн бұрын

    Eeee mungu babaa icho kipande nomah sana

  • @jothamekisouke2326
    @jothamekisouke2326 Жыл бұрын

    Huu wimbo lazma unitoe machozi kila napouangalia Ni mzuri Sana aisee

  • @bellogregory7175
    @bellogregory71752 жыл бұрын

    Kwa kwel makanisa ya leo Mungu utusaidie😭🙌🏾

  • @emmymakeya5136
    @emmymakeya51369 ай бұрын

    Balikiwa sana 2023

  • @yoramtango2470
    @yoramtango24702 жыл бұрын

    Mungu akutunze sana, yaani umeimba kwa hisia za ndani, ubarikiwe.

  • @kishokatz8727
    @kishokatz8727 Жыл бұрын

    Mimi naienda sana hii ngoma 2023

  • @tumainilong135
    @tumainilong135 Жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana brother congratulation

  • @AgnesMgina-ud6ho
    @AgnesMgina-ud6ho10 ай бұрын

    Ilo niagizo tuka kwa mungu mwenyewe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8938 ай бұрын

    Klo rice 3000 haijawahi tokes tanzania cement 20000 wanaongoza matumbo Yao,

  • @user-rr4sl5lk7g
    @user-rr4sl5lk7g Жыл бұрын

    2023 julai stilll vrl❤❤❤❤❤

  • @judithkabyazi1471
    @judithkabyazi14712 жыл бұрын

    MUNGU IBARIKI KWAYA HII,HUWA INANIBARIKI SAAAAANA

  • @salumdonard5014
    @salumdonard50145 ай бұрын

    Tunabaliwa wengi balikiwa mtumishi tuponewengi

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke81993 жыл бұрын

    Hii ilikua ndio the best Album Mgogo, Hizo nyingne umebugi tu

  • @nashoniambokile
    @nashoniambokile8 ай бұрын

    2023 gonga like

  • @amonmndulu5415
    @amonmndulu54154 жыл бұрын

    Amina Mtumishi wa Mungu..Simamia njia ya Bwana wewe ni kielelezo chema kwa wengi usipotelee mwisho kabisa

  • @eneckkyula3971

    @eneckkyula3971

    4 жыл бұрын

    Amina nimebarikiwa kwer

  • @lewsally3409
    @lewsally3409 Жыл бұрын

    I love 💕 this song

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8939 ай бұрын

    Mgogo mdogo nice

  • @aisimborobby691
    @aisimborobby6913 жыл бұрын

    Unanibarikig San Mungu akupe kibali chako

  • @judithmartin9442
    @judithmartin944210 ай бұрын

    Saiv visuruali rudi huku ujipime na wewe neno uwa ni upanga unakata kuwili na wewe umegeuka, imba kwa stahili hii na wavaaji wazuri

  • @pastoreliamtishibi6854
    @pastoreliamtishibi6854 Жыл бұрын

    Nilijuwaga huyu ndugu atafika mbali sana maana anamuhudumia mungu na sio wanaaadamu

  • @monicandengo4680
    @monicandengo46807 ай бұрын

    Ubarikiwe sana hakika hii kazi njema sana

  • @millybanga3544
    @millybanga35444 жыл бұрын

    Hongera wimbo mzuri sana

  • @agnehtabetino155

    @agnehtabetino155

    4 жыл бұрын

    Nabarikiwa mno na wimbo

  • @WinFriday-km2ob
    @WinFriday-km2ob7 ай бұрын

    Nice song

  • @julianabenard7840
    @julianabenard78402 жыл бұрын

    Barikiwa Sana na nyimbo..ameen

  • @user-yo9lu9zu4n
    @user-yo9lu9zu4n Жыл бұрын

    Barikiwa mtu wa Mungu kwa wimbo mzuri

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Жыл бұрын

    one of the greatest song sang by mgogo Emmanuel

  • @lauranceanyawile9906
    @lauranceanyawile9906 Жыл бұрын

    Wimbo bora sana huu!Sayuni Band@@#####@@@@@

  • @salomeoberd2949
    @salomeoberd29494 жыл бұрын

    Bado naupendaga uwii

  • @naajpatrick9882
    @naajpatrick98823 жыл бұрын

    My favvvv song ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @janechipeta6231
    @janechipeta62313 жыл бұрын

    Niliwapendag bure

  • @nandindale9418
    @nandindale9418 Жыл бұрын

    Naipenda sana.hii nyimbo ina injili sana

  • @lovenessessau5892
    @lovenessessau58924 жыл бұрын

    Nabarikiwa na huyo dada

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa21782 жыл бұрын

    Nyimbo nzur sana mungu naakubari mtumishi wamungu.

  • @yoramtango2470
    @yoramtango24702 жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi, naupenda sana huu wimbo.

  • @lusekelomwasandube2992
    @lusekelomwasandube2992 Жыл бұрын

    Wimbo hauchuji unaujumbe mzito sana

  • @peternyakunga9796
    @peternyakunga97963 жыл бұрын

    Mungu baba tushike mkono

  • @estarsaidi6114
    @estarsaidi61146 ай бұрын

    2024❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @PiusIlomo
    @PiusIlomo Жыл бұрын

    Safii sana song Kali sana hili

  • @EstherSimwanza-ev6dl
    @EstherSimwanza-ev6dl Жыл бұрын

    Thanks you Jesus for giving us 🙌 knowledge

  • @denismalya8379
    @denismalya83792 жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @user-gz1tm6ck8i
    @user-gz1tm6ck8i5 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @oscarndagile9483
    @oscarndagile9483Ай бұрын

    HAICHIUJI. HONGERA. SANA

  • @godfreychita3546
    @godfreychita3546 Жыл бұрын

    May Dear God bless me through this song

  • @tumainkadinda1847
    @tumainkadinda18473 жыл бұрын

    Ivi nyiwaimbaji kwanini mkipata nyimbo mpya mnaacha kuimba hiizi zazamani

  • @jovitaaugustine
    @jovitaaugustine2 ай бұрын

    🎷🎷🙏🏾🥰

  • @judithkabyazi1471
    @judithkabyazi14712 жыл бұрын

    MUNGU AKUBARIKI MCHUNGAJI NABARIKIWA NA UIMBAJI WAKO

  • @fredrickrossenius150
    @fredrickrossenius150 Жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @bukuruluminatha5185
    @bukuruluminatha51854 жыл бұрын

    Yani wimbo huu umenitoa machozi ya kiroho ju ya kanisa na watu alie wachagua mungu atuhurumie tunajichanganya sana.

  • @charlesmaregewimbomzurisaa5635

    @charlesmaregewimbomzurisaa5635

    4 жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wimbo mzuri saana

  • @abdallahkellu1954

    @abdallahkellu1954

    4 жыл бұрын

    Barikiwa Sana

  • @meshackmnyuluka5185

    @meshackmnyuluka5185

    4 жыл бұрын

    I'm blessed saaaan mungu akutie nguv mtumishi

  • @twajamwalimu287

    @twajamwalimu287

    3 жыл бұрын

    Hongera sana mtumish wamngu naupenda sana huu wimbo

  • @hasanialiy6576

    @hasanialiy6576

    3 жыл бұрын

    Unaimba vzr sana emanuel Mgogo nahuyo mdada mwembamba anasauti nzuri sana

  • @godsonanthony6024
    @godsonanthony60244 жыл бұрын

    Iko wapi njia?

  • @estermachea3373
    @estermachea33732 жыл бұрын

    Safi nzuri nyimbo na sauti

  • @edgarchristopher4147
    @edgarchristopher4147 Жыл бұрын

    Nabarikiwa

  • @sevelinahinnocent6803
    @sevelinahinnocent68037 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @sydney.ikapaya9994
    @sydney.ikapaya99943 жыл бұрын

    Amina mtumishi

  • @NaimanNnko-xd3vd
    @NaimanNnko-xd3vd10 ай бұрын

    Good

  • @atupakisyemwangumbe6038
    @atupakisyemwangumbe60384 жыл бұрын

    ivi mtumishi Yule sorolist wako yuko wap?

  • @jafetjulius2227

    @jafetjulius2227

    3 жыл бұрын

    Yani hata mm nimemkumbuka sana yule solo

  • @chrismeshack3168
    @chrismeshack3168 Жыл бұрын

    2023

  • @queenmichael5046
    @queenmichael5046 Жыл бұрын

    Still here 2022

  • @marympemba8843
    @marympemba88434 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa kwa wimbo wenye upako sana

  • @dicksonmathayo3638

    @dicksonmathayo3638

    2 жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi wa mungu

  • @masagasamson519

    @masagasamson519

    Жыл бұрын

    Barikiwa Sana haka kawimbo. Nakupenda. Sana. Jamani

  • @AngleChanda-gs8xg
    @AngleChanda-gs8xg Жыл бұрын

    🙏

  • @daynesskabanga5415
    @daynesskabanga5415 Жыл бұрын

    Nasikiliza 2022

  • @costerwilson8302
    @costerwilson83023 жыл бұрын

    amina

  • @vailethmwagange1901
    @vailethmwagange19012 жыл бұрын

    2022 🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️

  • @dastanmp
    @dastanmp2 жыл бұрын

    Barikiwa sana. Lakini kuna nyimbo sizioni huku, niliwahikuwa nazo audio 2017 bahat mbaya ile flash iliji format, mojawapo ulikuwa huu, Nataka nikuone Bwana, na nyingine kama tatu ivi ambazo hizo sijawahi kuziona popote ata kwenye account yako. Please over please naomba ziweke kama utajaaliwa kufanya hivyo (Wataulizana n.k) nlikuwa nabarikiwa sana sana.

  • @sikudhaniponera2983
    @sikudhaniponera2983 Жыл бұрын

    2022

  • @iascknanyaro9286
    @iascknanyaro92864 жыл бұрын

    yako wapi mapito yale ya zamani zile?

  • @RaymondjrRaymondRJreymon-fw2de
    @RaymondjrRaymondRJreymon-fw2de6 ай бұрын

    J

  • @everlynndunge6166
    @everlynndunge61664 жыл бұрын

    Jeremiah 6:16-19.......

  • @lestantbbar6981
    @lestantbbar69813 жыл бұрын

    Makanisani umbea, majungu, nk mtumishi umeongea kilichopo mungu atusaidie barikiwa sana

  • @bukengerijackson2810

    @bukengerijackson2810

    3 жыл бұрын

    Nemeipanda. sana,sana,kirasikuninapo endakulala,Razimani. ipenafasi.

  • @rosechunga7284

    @rosechunga7284

    3 жыл бұрын

    Hongera brother

  • @jonejuma4890

    @jonejuma4890

    2 жыл бұрын

    Jaman hao wadada nawapenda bure. Wako wapi jaman???

  • @Health45

    @Health45

    2 жыл бұрын

    Watu wamemsahau Mungu makanisa yamekuwa sio ila tukiangalia Neno la Mungu tunambiwa kuwa sisi ni kanisa, Nyumba ya Mungu,Jengo la Mungu na ni Nyumba ya Mungu. Tunapo mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi ni hatua tu ya kwanza Neno linasema nao wataukiri uovu wao , uovu wa Baba na mama yao ......inatupasa kusafisha mashamba yetu ndiyo Mungu akae sawasawa ndani yetu

  • @fadhilimollel6295

    @fadhilimollel6295

    2 жыл бұрын

    Good Work that worship God!

  • @ulimbokamwaipaja2856
    @ulimbokamwaipaja28563 жыл бұрын

    Aaal

  • @judithmartin9442
    @judithmartin944210 ай бұрын

    Mgongo hizi ndo nyimbo sio saiv na visuruali umeijua dunia

  • @stevemauzo1126
    @stevemauzo11264 жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo

  • @emmymakeya5136
    @emmymakeya5136 Жыл бұрын

    2023

  • @glorianiyibigira3590
    @glorianiyibigira35903 жыл бұрын

    ❤️❤️

Келесі