Келесі
- 8:38
- 287 М.
- 10:22
- 1,6 МЛН
- 2:47:23
- 8 МЛН
- 11 күн бұрын
- 01:00
- 1,9 МЛН
- 2 күн бұрын
- 00:33
- 38 МЛН
- 7 күн бұрын
- 00:20
- 31 МЛН
- 13 күн бұрын
- 6:39
- 302 М.
- 7:43
- 22 М.
- 10:56
- 28 М.
- 9:52
- 68 М.
- 10:00
- 3,3 МЛН
- 8:13
- 18 М.
- 0:29
- 19 МЛН
- 0:28
- 1,9 МЛН
- 0:49
- 37 МЛН
Пікірлер: 132
Mtumishi huu wimbo nimzuri ukiliasa kanisa, namimi naomba nikuase rudi kwa Mungu umeshageuka unaimba nyimbo na uchezaji wa kidunia umeshaiacha njia, rudi,
Wow mwenye anasikiza hii song 2020 Gonga like twende zetu
@Jh-fe8zj
2 жыл бұрын
2022
@hildandanzi4713
Жыл бұрын
Asante mungu uhuu wimbo
2014 hiyo nipo tunduma hapo kila bajaji inaupiga huu wimbo hadi rafiki yangu mwislam ilibid autafute huu wimbo
@user-df5mj2ft4w
19 күн бұрын
Mzik hauna mipak
🎉me nafunga mwaka na nyimbo pendwa ya mama angu 2023 gonga like Aya moja tyu inatosha
Nimeutafuta huu wimbo tena, 2024. Huu ni wimbo.
2024 nyimbo kama ja jana vie😂😂😂❤
Hakika uzidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu. Nasikia kuinuliwa kwa nyimbo zako.
It's now 2022. Asante mungu kwa zawadi ya uhai ,pamoja nakuzidi kumuinua mtumishi huyu I remember nikiwa mbeya 2014 at iyunga technical school ❤️.
@AgudaMbilinyi-vg3yv
10 ай бұрын
Qqq
Neema iliyo ndani ya huu wimbo ni kubwa sana.Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.You really bless me through your Ministry
Niliijua huu wimbo kupitia dadaangu kila mara alikua anaimba aisee apumzike kwa aman
Mgongo hizi ndo nyimbo sio saiv na visuruali umeijua dunia
Hii ingawa ni ya zamani lakini unajifunza kitu Mgogo barikiwa sana kazi Yako njema
Huu wimbo leo nmelala naimba kwenye ndoto had nmestuka naimba hcho kipande cha Victoria Nazah😢
kipindi niko advance 2011 nilikua naupenda sana huu wimbo na still adi leo naupenda
@francisjapan1594
3 жыл бұрын
Du mi form tatu 😂
@jastincharles6347
Жыл бұрын
❤️
Mtumish wa Mungu ubarikiwe Kwa huu wimbo..hauchuji moyoni mwangu...
Kibarikiwe sana kitabu cha Nabii Jeremia kwakuwa naaneno mazito ya huu wimbo na waimbaji Pia na watungaji
Mungu akubariki mtu wa Mungu napenda sana unyenyekevu wako ndani ya neno neema yake Mungu na ushirika wa roho mtakatifu ukuzidie.
Victoria nazah her voice is 😮 ❤❤🙏
Wimbo mzur
Nzuri sana hii song
2023 bye bye song aliishi utamu
Balikiwa mtumishi wa mungu ulionwa na mungu tangu tumboni mwa mama kuwa utakuwa mtumishi bora
@mgogosinger
Жыл бұрын
Amen! Ubarikiwe pia pamoja na uzao wako mteule
2 year ago I was given this song in my prayers and fasting. ITs message of revival to the body of Christ, it shall remain in our spirit and SHALL BE KNOW IN MY TIME IT IS MY MESSAGE TO THE WORLD AND TO THE BODY OF CHRIST #ISA 58 #ISA 61 #JER 6:16-19 According to the time of men less than 9 yrs the message in this song shall be like gold to the soul of men. Body of Christ get prepared for the shift that is coming 2022/8/6
@mwamboshopendakazi984
Жыл бұрын
Qqqqqqq😊qqqqqqqqqqqqqqqqqq
@mwamboshopendakazi984
Жыл бұрын
Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq qqqqqqqqqqqqqqqqqq😊qqqqpqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqszs
Mtumishi hawa watumishi wadada ungeendelea kufanya kazi pamoja nao. Hakika utumishi wenu ulioana vizuri mno. Wanajua kupanda ukishuka, ukipanda wao wao wanashuka. Mlitubariki sana mlipofanya kazi pamoja.
@jafetjulius2227
3 жыл бұрын
Nimesikia kwamba mtumishi wa Mungu Ema yalimkuta mabaya yule aliolewa na tangu hapo mtumishi akabakii peke yake
Mungu akuinuwe emmanuely mgogo Mimi mdogoako Nafrai kuona Mungu yukopamojana na ww Nakuombea sana
Ooo Bwana Mungu uliponye kanisa lako🙋,Tupe Neema Ili tushinde tupe nguvu Ili tushinde,tushinde yaliyo mbele🙋🙌
Kabisa mtumishi wa mungu yani roho wamungu amekuonyesha. Maneno umetumia la wimbo huu nikama umeona yanayo tendeka kanisani kwetu mungu akuzidishie vipaji vingine.
Eeee mungu babaa icho kipande nomah sana
Huu wimbo lazma unitoe machozi kila napouangalia Ni mzuri Sana aisee
Kwa kwel makanisa ya leo Mungu utusaidie😭🙌🏾
Balikiwa sana 2023
Mungu akutunze sana, yaani umeimba kwa hisia za ndani, ubarikiwe.
Mimi naienda sana hii ngoma 2023
Nyimbo nzuri sana brother congratulation
Ilo niagizo tuka kwa mungu mwenyewe
Klo rice 3000 haijawahi tokes tanzania cement 20000 wanaongoza matumbo Yao,
2023 julai stilll vrl❤❤❤❤❤
MUNGU IBARIKI KWAYA HII,HUWA INANIBARIKI SAAAAANA
Tunabaliwa wengi balikiwa mtumishi tuponewengi
Hii ilikua ndio the best Album Mgogo, Hizo nyingne umebugi tu
2023 gonga like
Amina Mtumishi wa Mungu..Simamia njia ya Bwana wewe ni kielelezo chema kwa wengi usipotelee mwisho kabisa
@eneckkyula3971
4 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa kwer
I love 💕 this song
Mgogo mdogo nice
Unanibarikig San Mungu akupe kibali chako
Saiv visuruali rudi huku ujipime na wewe neno uwa ni upanga unakata kuwili na wewe umegeuka, imba kwa stahili hii na wavaaji wazuri
Nilijuwaga huyu ndugu atafika mbali sana maana anamuhudumia mungu na sio wanaaadamu
Ubarikiwe sana hakika hii kazi njema sana
Hongera wimbo mzuri sana
@agnehtabetino155
4 жыл бұрын
Nabarikiwa mno na wimbo
Nice song
Barikiwa Sana na nyimbo..ameen
Barikiwa mtu wa Mungu kwa wimbo mzuri
one of the greatest song sang by mgogo Emmanuel
Wimbo bora sana huu!Sayuni Band@@#####@@@@@
Bado naupendaga uwii
My favvvv song ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Niliwapendag bure
Naipenda sana.hii nyimbo ina injili sana
Nabarikiwa na huyo dada
Nyimbo nzur sana mungu naakubari mtumishi wamungu.
Mungu akubariki mtumishi, naupenda sana huu wimbo.
Wimbo hauchuji unaujumbe mzito sana
Mungu baba tushike mkono
2024❤❤❤❤❤🎉🎉
Safii sana song Kali sana hili
Thanks you Jesus for giving us 🙌 knowledge
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen 🙏🙏🙏
HAICHIUJI. HONGERA. SANA
May Dear God bless me through this song
Ivi nyiwaimbaji kwanini mkipata nyimbo mpya mnaacha kuimba hiizi zazamani
🎷🎷🙏🏾🥰
MUNGU AKUBARIKI MCHUNGAJI NABARIKIWA NA UIMBAJI WAKO
Mungu akubaliki
Yani wimbo huu umenitoa machozi ya kiroho ju ya kanisa na watu alie wachagua mungu atuhurumie tunajichanganya sana.
@charlesmaregewimbomzurisaa5635
4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wimbo mzuri saana
@abdallahkellu1954
4 жыл бұрын
Barikiwa Sana
@meshackmnyuluka5185
4 жыл бұрын
I'm blessed saaaan mungu akutie nguv mtumishi
@twajamwalimu287
3 жыл бұрын
Hongera sana mtumish wamngu naupenda sana huu wimbo
@hasanialiy6576
3 жыл бұрын
Unaimba vzr sana emanuel Mgogo nahuyo mdada mwembamba anasauti nzuri sana
Iko wapi njia?
Safi nzuri nyimbo na sauti
Nabarikiwa
❤❤❤❤
Amina mtumishi
Good
ivi mtumishi Yule sorolist wako yuko wap?
@jafetjulius2227
3 жыл бұрын
Yani hata mm nimemkumbuka sana yule solo
2023
Still here 2022
Asante mtumishi wa kwa wimbo wenye upako sana
@dicksonmathayo3638
2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa mungu
@masagasamson519
Жыл бұрын
Barikiwa Sana haka kawimbo. Nakupenda. Sana. Jamani
🙏
Nasikiliza 2022
amina
2022 🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️
Barikiwa sana. Lakini kuna nyimbo sizioni huku, niliwahikuwa nazo audio 2017 bahat mbaya ile flash iliji format, mojawapo ulikuwa huu, Nataka nikuone Bwana, na nyingine kama tatu ivi ambazo hizo sijawahi kuziona popote ata kwenye account yako. Please over please naomba ziweke kama utajaaliwa kufanya hivyo (Wataulizana n.k) nlikuwa nabarikiwa sana sana.
2022
yako wapi mapito yale ya zamani zile?
J
Jeremiah 6:16-19.......
Makanisani umbea, majungu, nk mtumishi umeongea kilichopo mungu atusaidie barikiwa sana
@bukengerijackson2810
3 жыл бұрын
Nemeipanda. sana,sana,kirasikuninapo endakulala,Razimani. ipenafasi.
@rosechunga7284
3 жыл бұрын
Hongera brother
@jonejuma4890
2 жыл бұрын
Jaman hao wadada nawapenda bure. Wako wapi jaman???
@Health45
2 жыл бұрын
Watu wamemsahau Mungu makanisa yamekuwa sio ila tukiangalia Neno la Mungu tunambiwa kuwa sisi ni kanisa, Nyumba ya Mungu,Jengo la Mungu na ni Nyumba ya Mungu. Tunapo mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi ni hatua tu ya kwanza Neno linasema nao wataukiri uovu wao , uovu wa Baba na mama yao ......inatupasa kusafisha mashamba yetu ndiyo Mungu akae sawasawa ndani yetu
@fadhilimollel6295
2 жыл бұрын
Good Work that worship God!
Aaal
Mgongo hizi ndo nyimbo sio saiv na visuruali umeijua dunia
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo
2023
❤️❤️