Emmanuel Mgogo Nitayasimulia Official Video

Emmanuel Mgogo & Sayuni Band Nitayasimulia
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
nami nitayasimulia ......i will rejoice in the Lord for the good he has done me.....pure joy.......lets get dancing

Пікірлер: 570

  • @teclaandrew1842
    @teclaandrew18423 күн бұрын

    Asante Yesu kwaajili ya huu wimbo HAKIKA NITAYASIMULIA..... 2024

  • @roseugulumu9767
    @roseugulumu97675 ай бұрын

    Watching it in 2024🎉,maana nina mengi ya kuyasimulia mema ya Mungu,maana hata nilivyokuwa mwenye dhambi yeye alinipenda ,akaniona mm ni wa dhamani.🙏

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza79526 күн бұрын

    Ni miaka kumi sasa tangu nijue hii Ngoma ya braza mgongo nakumbuka mbali Sana MUNGU mwenyezi akupe kukubalika zaidi

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi29023 ай бұрын

    Anayesimulia matendo ya Bwana mpaka sasa, wema na uzuri wake uliotukuka milele,shaloooom!!

  • @ChretusAnthonysinkalaSin-vw5rf

    @ChretusAnthonysinkalaSin-vw5rf

    3 ай бұрын

    Mungu akupe nguvu ili utufundishe kwa wimbo huu neema ya mungu

  • @dinahadhiambo9710
    @dinahadhiambo97102 жыл бұрын

    Anyone still here with me tuyasimulie matendo ya Bwana? Emmamue Mgogo from Kenya na napenda nyimbo zako. Barikiwa sana kaka.

  • @jacklinewilfredy9822

    @jacklinewilfredy9822

    2 жыл бұрын

    Kwel Mungu Ni mwema

  • @wilsonsanare7878
    @wilsonsanare7878 Жыл бұрын

    Hakika.wimbo.huu.unasifu.sana.uweza.wa.munqu.amen.mbrikiwe

  • @eliasadrian5026
    @eliasadrian50263 жыл бұрын

    Pamoja na matatizo na mazito majaribu na magum nayo pitia hakika sitaacha kukueshim nakuyasimlia matendo yake makuu kwakuwa hakuna kama wewe Yesu nivushe unipe Aman nafuraha ya moyo unitunze Niko ambaye Niko wangu wa milele Amen

  • @Meer-ru9ie
    @Meer-ru9ieАй бұрын

    Uu wimbo ni mzuri sana nitasimulia matendo ya bwana Mungu wangu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @GraceMario-kg2im
    @GraceMario-kg2imАй бұрын

    Ee Mungu tenda kwangu 2024 ili nitangaze wema wako ya kwamba nimemuona maishani mwangu Jamani Mungu ni mwema 🙏

  • @edamayulewajenes9394
    @edamayulewajenes93947 жыл бұрын

    Nimeokoka kupitia huu wimbo. ....like comment yangu plz....from Jordan

  • @happmsymiraton7603

    @happmsymiraton7603

    6 жыл бұрын

    mbata

  • @rachelkwatiraho2575

    @rachelkwatiraho2575

    6 жыл бұрын

    amen

  • @user-gw5zn4dt9l

    @user-gw5zn4dt9l

    6 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @charlesm.4894

    @charlesm.4894

    6 жыл бұрын

    Edama Yule Wa Jenes may God increase your faith

  • @michaelwambua5199

    @michaelwambua5199

    6 жыл бұрын

    Edama Yule Wa Jenes ok

  • @lucypaul6890
    @lucypaul68903 жыл бұрын

    Jamani Mungu no mwema,nimeuona uzuri wake,sauti yake ya upole sitamuacha

  • @sophiamogitu558
    @sophiamogitu5582 жыл бұрын

    Mungu, akubariki, sauti yako ina upako,sana, endelea kunyenyekea utamuona,Mungu zaidi

  • @LilianNasike-hx1yw
    @LilianNasike-hx1ywАй бұрын

    Ninayasimlia matendo yake Leo na bado naomba niendelee kuyasimlia makuu

  • @joycekamendu6400
    @joycekamendu64008 жыл бұрын

    acha tumchezee aliye juu anasitahiri sifa, Mungu akubariki zaidi Mgogo

  • @etonabintu
    @etonabintu8 жыл бұрын

    Ndiyo kabisaaaa yeye Mungu ni sababu ya mimi na wewe kuwa ivi nilivyo leo kuwa ivo ulivyo leo Mungu amenitoa mbali sana nitayasimulia matendo yake Muumba wangu Mungu ni mwema sana Mungu awabariki sana kwa jina la Yesu Kristo amen

  • @happybali6721
    @happybali67215 жыл бұрын

    Amenitendea makuu moyo wangu wafurahia bwana..be blessed

  • @merrymasubisya6191
    @merrymasubisya6191 Жыл бұрын

    Naipenda sana nyimbo hii inanibariki sana nasi kuwa nipo mbinguni nikiusikiliza wimbo huu

  • @sechekaweya6347
    @sechekaweya63474 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kaka Emma naupenda Sana huu wimbo

  • @kevasuludakelly4008
    @kevasuludakelly40084 жыл бұрын

    Producer aliyefanya hii kazi ana kipaji maalumu. Napenda. Sijatosheka kusiza bado. Tamu kweli.

  • @reveliusmuchruza7952

    @reveliusmuchruza7952

    6 күн бұрын

    Producer alifanya KAZI yake kwa kiwango cha hali ya juu

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri91767 жыл бұрын

    EMMANUEL MGOGO HAKIKA WEWE NI KIZAZI KIPYA CHA MUNGU, MUNGU AKUPE NGUVU NA MAISHA MREFU UENDELEE KUMTUMIKIA, HAVE A NICE LIFE GOD BLESS YOU INDEED.

  • @silasjulius5407

    @silasjulius5407

    6 жыл бұрын

    JUMA MAKURI mungu akubaliki sana

  • @aminamohamed516

    @aminamohamed516

    5 жыл бұрын

    Akika unatisha emmanuel

  • @lucymwikala9959

    @lucymwikala9959

    4 жыл бұрын

    Ubalikiwe kwakusikiliza nyimbo zakujenga kiloho

  • @helenchisanza435

    @helenchisanza435

    3 жыл бұрын

    Ninayasimulia matendo ya bwana ametenda makuu kwangu

  • @felinavagha

    @felinavagha

    3 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hakika nitayasimulia the good doing of God be blessed mtumishi

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania62002 жыл бұрын

    Who is still watching this master piece with me in 2022

  • @richardamswetyjesus8017
    @richardamswetyjesus80176 жыл бұрын

    Utukufu kwa Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Lazima tuyasimulie matendo makuu ya Bwana Yesu.

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu12 жыл бұрын

    Tuzo ya KZread imenileta hapa leo 30/7/2022

  • @qtydarlene7332
    @qtydarlene73323 жыл бұрын

    2021 tuko wapi????jamani mungu ni mwema kwa hiki kipindi cha corona

  • @marcomassawe1092
    @marcomassawe10926 жыл бұрын

    Wonderful song sichoki kuusikiliza ni mtamu yaani mpaka basi. Mungu awabariki watumishi wa Mungu.

  • @bartonmshani6538
    @bartonmshani65384 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukutumia katika kumtukuza yeye aliejuu

  • @helenmelzig4705
    @helenmelzig47057 жыл бұрын

    powerful msg.. kwa Hakika nimeuona uzuri wake Mungu. hakuna mwingine kama Mungu wa Abraham Mungu wa Isaac Mungu wa Jacob na Mungu wa Eliud God is good all the time. I give you all the glory My Lord Jesus Christ thank you for the Gift of calvary. We are free because of your precious blood you shed. Thank you Jesus for salvation.

  • @manasewangao9853

    @manasewangao9853

    6 жыл бұрын

    Safi sanaaa

  • @aminamhema9101

    @aminamhema9101

    4 жыл бұрын

    Hakika na mm nitayacmulia kusudi na Wema wa mungu wangu😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @nsobiobadiah6580
    @nsobiobadiah65806 жыл бұрын

    je wamwonaje MUNGU; ..... JAMANI MUNGU ni mwema nimeona uzuri wake

  • @rickoboy4907
    @rickoboy49073 жыл бұрын

    2021 Twenzetu Likes japo ata moja tu

  • @irenejohn8194
    @irenejohn81944 жыл бұрын

    Sichoki kusikiliza nyimbo zako nahisi kubarikiwa mpaka napitiliza Halleluja

  • @ibrahimkinyamagoa3042
    @ibrahimkinyamagoa30428 жыл бұрын

    Mngu nitazame mm niliye kuwa nawe

  • @fibioko8916
    @fibioko89166 жыл бұрын

    amen bwana amenitendea makubwa ktk maisha yangu

  • @bettymvanga252
    @bettymvanga2522 жыл бұрын

    I see my ❤ mamy. IMANI JOHN R.I.P ALWAYS MIC U MAMA.😥😥😭

  • @gideonmavia5122
    @gideonmavia51227 жыл бұрын

    Huu wimbo ni kama anthem ...si ujumbe ..si mpangilio ;sauti.zote sawa .mbarikiwe zaidi.

  • @violetamanya874
    @violetamanya8746 жыл бұрын

    Hakika tumekombolea kwa neema tu! Nice song indeed, be blessed!!!

  • @emilianasamson6858
    @emilianasamson68582 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi good song

  • @elizabethdanda9967
    @elizabethdanda99673 жыл бұрын

    nami nitayasimulia matendo ya bwaana....mungu kanitendea wema asant mtumish kwa wimbo mzur🙏🙏

  • @joycenuhu1566
    @joycenuhu15667 жыл бұрын

    Hakika nitayasimulia matendo makuu ya MUNGU, Mungu akubariki wimbo mzuri sana

  • @lucyngoliga5448

    @lucyngoliga5448

    6 жыл бұрын

    Nc

  • @anithagilibert6808

    @anithagilibert6808

    5 жыл бұрын

    Hakika nami nitayasimulia matendo makuu ya Mungu aliyo tenda Maishani mwangu

  • @rebeccaebenezermagaba
    @rebeccaebenezermagaba3 жыл бұрын

    Nawatafuta africha mlitusainisha mikataba dar nyimbo zikapanda hstujavunja mkataba na nyimbo hazionekani you tube waimbaji wengi dar hakuna shida

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania62003 жыл бұрын

    Mucho Gracias mi Hermanos y Hermanas desde Tanzania.

  • @eliasisaya9273
    @eliasisaya92736 жыл бұрын

    Hakika huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu,hakika nawapenda sanaaaaaaaaaaaa

  • @helenkombe5342
    @helenkombe53424 жыл бұрын

    I love Jesus

  • @helenkombe5342

    @helenkombe5342

    4 жыл бұрын

    I hate satan

  • @mchuumchu9801
    @mchuumchu98014 жыл бұрын

    Hizo step acha kabisa!.......

  • @jennifermuthonimwaniki4722
    @jennifermuthonimwaniki47223 жыл бұрын

    Asante Yesu Kwa neema yako imetukomboa.

  • @jorumokombo6531
    @jorumokombo65312 ай бұрын

    Pongezi sana brother nyimbo zako zanitia nguvu ❤

  • @lowassasindiyo6981
    @lowassasindiyo69814 жыл бұрын

    Mungu Wa mbinguni abariki tumbo lilokuzaa kaka Angu napenda za nyimbo zako

  • @patrickmunisi3441
    @patrickmunisi34416 жыл бұрын

    Matendo ya bwana Mungu wangu,ni ya ajabu mno.Amenipa uzima,ulinzi na afya Bure.Thanks my Jesus for your love and grace in my life.

  • @samwelloibooki7724

    @samwelloibooki7724

    6 жыл бұрын

    Maguful

  • @kwagalakweirene
    @kwagalakweirene4 жыл бұрын

    Whenever I listen to this song, i feel the anointing of God!! Whoever composed this song, may you live more 100years in Jesus name AMEN 🙏🙏🙏🙏

  • @atuganilemwakyoma564
    @atuganilemwakyoma5648 жыл бұрын

    Yaan mgogo ananibarik sana ubarikiwe sana mtumish

  • @ghostmundemusic7600

    @ghostmundemusic7600

    6 жыл бұрын

    adio

  • @laulamnyuka8202
    @laulamnyuka82028 жыл бұрын

    mungu endelea kutenda miujiza kwa mwimbji hy amina.

  • @adrianmabogo1690
    @adrianmabogo169024 күн бұрын

    Asante yesu

  • @johnelia7016
    @johnelia70169 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe wapendwa ktk bwana❤❤❤❤

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba60183 жыл бұрын

    Nami nitayasimulia matendo makuu ya Bwana haleluya...haleluya asifiwe Bwana.....2020 mwez 8 wema wa Bwana uko pamoja nasi....amen

  • @matthewdavidntandu2203
    @matthewdavidntandu22034 жыл бұрын

    Kwa kweli Nabarikiwa snvna wimbo huu. Ushauri wangu baking wewe km Weweeeeee na Mungu wa Mbinguni azidi Kukupa Mafunuo Mengi mbalimbali ili uendelee kumgusa kila mtu ktk kumkaribia Mungu NA kukasimulia Matendo y'all Mungu......

  • @catherinenakhumicha5281
    @catherinenakhumicha52817 жыл бұрын

    Yes I shall preach about the goodness of my Lord Jesus.Thanks for the encouraging song brother Emmanuel Mgogo Mungu aibariki Sana huduma yako ya uimbaji kwa kuhubiri neno lake Mungu wetu

  • @evancelukumay7143

    @evancelukumay7143

    5 жыл бұрын

    nabarikiwa Sana

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn79045 жыл бұрын

    Ila hili kundi cjui kwann halipo tena,nlitamani mngeendelea pamoja jaman

  • @zihindulasafari3304
    @zihindulasafari33049 жыл бұрын

    Nimekwishaona uzuri wa MUNGU kwetu wanaadamu.(mubarikiwe wapendwa)

  • @dianapatrick4532
    @dianapatrick45325 жыл бұрын

    Bariki sana nyimbo zako zinanibarik sana

  • @venancekipilipili1084
    @venancekipilipili10847 жыл бұрын

    Lazima tuhubiri wema wa mungu wetu big up sana

  • @jumakalago1969

    @jumakalago1969

    Жыл бұрын

    0

  • @happymnyawi180
    @happymnyawi1804 жыл бұрын

    Wapi like kwa Yesu 2019 twende pamoja

  • @ritifaraphael8747

    @ritifaraphael8747

    3 жыл бұрын

    yesu huyoo

  • @gabrielmukoma1290
    @gabrielmukoma12906 жыл бұрын

    kwa hakika, nitaishi nikiyaelezea matendo makuu ya Bwana Mungu wangu. ni Mimi mchungaji Gabriel kutoka Kenya

  • @mashimbacharles3057
    @mashimbacharles30577 жыл бұрын

    Nimemuona mungu ni mwema kwangu sauti yake ni ya upole sitomuacha bwana wangu.... bwana ni mwaminifu

  • @alexkidahi3803

    @alexkidahi3803

    6 жыл бұрын

    Mashimba Charles mguakuinuwe

  • @georgemunyedza5330
    @georgemunyedza53302 жыл бұрын

    I love this music keep it up bro

  • @hamisinickson9938
    @hamisinickson99385 жыл бұрын

    Who is listening this song 2019 you May like

  • @mmilly8952
    @mmilly89524 жыл бұрын

    Cwezi choka kuskiza huu wimbo. Nami nita yasimulia matendo ya Mungu 😍... Wakenya hoooiyeeee 🤝

  • @jerryjared9810
    @jerryjared98106 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana emmanuel mgogoro,,kweli mungu ametufanya watoto wake tuwe warithi na yesu,kweli tumekombolewa kwa neema yake tu..

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba60183 жыл бұрын

    2021 bado nasema nitayasimulia matendo makuu ya Bwana wangu....haleluya haleluya haleluya

  • @kennedyotieno2226
    @kennedyotieno22269 жыл бұрын

    kwa hakika wimbo huu ni injili tosha na neno la Mungu kwetu sisi tuliokolewa kwa neema ya MUNGU kupitia mwanawe YESU aliyetufia msalabani,Amen.

  • @nerimabetty1803

    @nerimabetty1803

    6 жыл бұрын

    kennedy otieno very nice song glory be to the highest God forever amen

  • @chalamilalicky7335
    @chalamilalicky7335 Жыл бұрын

    Highly blessing song of today's church...chochea karama ya uimbaji mtumishi Emmanuel na Mungu atakutukuza zaidi..

  • @ruthhorombe3441
    @ruthhorombe344111 ай бұрын

    Tatizo mtumishi umezuia wimbo tusichukue

  • @juniorjassy1266
    @juniorjassy12667 жыл бұрын

    Mungu,azidikuwawejesha,watumishiwamungu

  • @wanzusirobertmatukhu6405
    @wanzusirobertmatukhu6405 Жыл бұрын

    Greetings brother. A song that ministers from the time you start listening till the end and continues so fo the thousands of the time you keep listening and watching. Thank you brethren. My prayers fou and your entire team.

  • @user-pw1pc1zm7f
    @user-pw1pc1zm7f7 ай бұрын

    Amen amen nice song mtumishi WA mungu be blessed

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn79045 жыл бұрын

    Yn we kaka unaimba ktk roho na kweli

  • @mercy8623
    @mercy86233 жыл бұрын

    Wimbo mzuri

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 Жыл бұрын

    Jaman Daniel upako huu utafute tena,kuna mahali kumepotea!

  • @Alividza
    @Alividza8 ай бұрын

    Amen mtumishi wa mungu.sauti nzuri

  • @joycepeter1994
    @joycepeter19943 жыл бұрын

    Aminaaa kubwaaa

  • @lizamunala1054
    @lizamunala10548 жыл бұрын

    Akika wimbo ulio imbwa kwa roho unabariki moyo usirudi nyuma kamawaimbaji wasio funuliwa na mungu nabarikiwa kwakiwangi chaju

  • @albanmwalo8215
    @albanmwalo82155 жыл бұрын

    Hongera Mungu awabariki kwa kuihubiri injili takatifu

  • @Eliza-eh1nt
    @Eliza-eh1nt6 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi Mungu aeendelee kukufunulia ujumbe zaidi ili uitangaze injili zaidi kupitia nyimbo .Mungu akupe maisha malefu sana ktk kumutumikia na kusimulia wema wake zaidi.God blues you.

  • @adhiambootieno5912
    @adhiambootieno59126 жыл бұрын

    Hakika nami pia nitayasimulia matendo ya bwana,,he is worthy,kind,and let Glory forever be his,am really blessed, sufficient grace in your ministry Emmanuel ,amen

  • @emanueldamas4651
    @emanueldamas46516 жыл бұрын

    mung awabariki Kwenye Kaz senu siwe Za mafanikio Amen

  • @jonassakumi4091
    @jonassakumi40918 жыл бұрын

    ubarikiwe kabisa mtumishi kwa kuendelea kumhubiri Mungu wetu kwa njia ya nyimbo.......endelea hivo hivo,

  • @isaacwafula1896
    @isaacwafula18967 жыл бұрын

    Lord you amaze me with your love, you call me your own.Am humbled by your grace.

  • @ntakirutimanajeanbaptiste8612
    @ntakirutimanajeanbaptiste86128 жыл бұрын

    wimbo bora sana. Barikiwe sana bwana Mgongo, songa mbere tenda kazi ya Bwana kwa bidii na usichoke mwishowe utavikwa taji.

  • @casineobote9989
    @casineobote99897 жыл бұрын

    nami nitayasimuliaaa matendo ya mungu 🙋🙋🙋

  • @admirenyikadzino1836
    @admirenyikadzino18367 жыл бұрын

    cant have enough of this song. bless you

  • @festusangima8756
    @festusangima87568 жыл бұрын

    Amen..Mungu ainuliwe sana,wimbo huo kanigusa roho..nimebarikiwa sana nahu uimbaji.Injili ya bwana na ihimidiwe..Amen..

  • @geraldmbambe7727
    @geraldmbambe77278 жыл бұрын

    amina,mbalikiwe sana

  • @dicsonsumari9552
    @dicsonsumari9552 Жыл бұрын

    Mungu hatasimama juu yetu

  • @mourin12indasi32
    @mourin12indasi327 жыл бұрын

    The more I watch this video the more my my heart is at its best and the more I rejoice in the LORD coz of His wonders are beyond our galaxy. God I ask for more and enough grace to thank You and not complain for Your deeds are beyond my imagination in Jesus name.

  • @jeremiahmziray932

    @jeremiahmziray932

    4 жыл бұрын

    Sure

  • @AjiriAmadi-fk7cs

    @AjiriAmadi-fk7cs

    Жыл бұрын

    ​@@jeremiahmziray932 ❤’

  • @anisethsajent6373
    @anisethsajent63737 жыл бұрын

    Naupenda saaana huu wimbo Mungu akubariki mtumishi .

  • @karianjahieliza
    @karianjahieliza4 жыл бұрын

    God bless you servant of God this new year 2020 as you continue blessing our souls and spreading the good news of our Lord and Savior Jesus Christ.

  • @subirakwandu7591
    @subirakwandu75915 жыл бұрын

    Twende pamoja 2019 katika kuhubili wema wa bwana

  • @jannyhagos521
    @jannyhagos5212 жыл бұрын

    Am blessed may God continue raising u higher and higher for his glory.

  • @salomemataria8299
    @salomemataria82995 жыл бұрын

    Beautiful message in this song I can listen if over and over again Watcing from.middle east HALLELUJAH

  • @wycliffeorito9981
    @wycliffeorito9981 Жыл бұрын

    Ubarikiwe hu wimbo wanehema!!

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina58066 жыл бұрын

    Amen wonderful song namimi nitaya ubiri wema wa Yesu 👏👏👏

  • @nancykhatievi290
    @nancykhatievi2907 жыл бұрын

    wow what a lovely song I love it,I can lessen it a1000 times