Emmanuel Mgogo Nitayasimulia Official Video
Emmanuel Mgogo & Sayuni Band Nitayasimulia
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
nami nitayasimulia ......i will rejoice in the Lord for the good he has done me.....pure joy.......lets get dancing
Пікірлер: 570
Asante Yesu kwaajili ya huu wimbo HAKIKA NITAYASIMULIA..... 2024
Watching it in 2024🎉,maana nina mengi ya kuyasimulia mema ya Mungu,maana hata nilivyokuwa mwenye dhambi yeye alinipenda ,akaniona mm ni wa dhamani.🙏
Ni miaka kumi sasa tangu nijue hii Ngoma ya braza mgongo nakumbuka mbali Sana MUNGU mwenyezi akupe kukubalika zaidi
Anayesimulia matendo ya Bwana mpaka sasa, wema na uzuri wake uliotukuka milele,shaloooom!!
@ChretusAnthonysinkalaSin-vw5rf
3 ай бұрын
Mungu akupe nguvu ili utufundishe kwa wimbo huu neema ya mungu
Anyone still here with me tuyasimulie matendo ya Bwana? Emmamue Mgogo from Kenya na napenda nyimbo zako. Barikiwa sana kaka.
@jacklinewilfredy9822
2 жыл бұрын
Kwel Mungu Ni mwema
Hakika.wimbo.huu.unasifu.sana.uweza.wa.munqu.amen.mbrikiwe
Pamoja na matatizo na mazito majaribu na magum nayo pitia hakika sitaacha kukueshim nakuyasimlia matendo yake makuu kwakuwa hakuna kama wewe Yesu nivushe unipe Aman nafuraha ya moyo unitunze Niko ambaye Niko wangu wa milele Amen
Uu wimbo ni mzuri sana nitasimulia matendo ya bwana Mungu wangu ❤❤❤❤❤❤❤
Ee Mungu tenda kwangu 2024 ili nitangaze wema wako ya kwamba nimemuona maishani mwangu Jamani Mungu ni mwema 🙏
Nimeokoka kupitia huu wimbo. ....like comment yangu plz....from Jordan
@happmsymiraton7603
6 жыл бұрын
mbata
@rachelkwatiraho2575
6 жыл бұрын
amen
@user-gw5zn4dt9l
6 жыл бұрын
Barikiwa sana
@charlesm.4894
6 жыл бұрын
Edama Yule Wa Jenes may God increase your faith
@michaelwambua5199
6 жыл бұрын
Edama Yule Wa Jenes ok
Jamani Mungu no mwema,nimeuona uzuri wake,sauti yake ya upole sitamuacha
Mungu, akubariki, sauti yako ina upako,sana, endelea kunyenyekea utamuona,Mungu zaidi
Ninayasimlia matendo yake Leo na bado naomba niendelee kuyasimlia makuu
acha tumchezee aliye juu anasitahiri sifa, Mungu akubariki zaidi Mgogo
Ndiyo kabisaaaa yeye Mungu ni sababu ya mimi na wewe kuwa ivi nilivyo leo kuwa ivo ulivyo leo Mungu amenitoa mbali sana nitayasimulia matendo yake Muumba wangu Mungu ni mwema sana Mungu awabariki sana kwa jina la Yesu Kristo amen
Amenitendea makuu moyo wangu wafurahia bwana..be blessed
Naipenda sana nyimbo hii inanibariki sana nasi kuwa nipo mbinguni nikiusikiliza wimbo huu
Ubarikiwe sana kaka Emma naupenda Sana huu wimbo
Producer aliyefanya hii kazi ana kipaji maalumu. Napenda. Sijatosheka kusiza bado. Tamu kweli.
@reveliusmuchruza7952
6 күн бұрын
Producer alifanya KAZI yake kwa kiwango cha hali ya juu
EMMANUEL MGOGO HAKIKA WEWE NI KIZAZI KIPYA CHA MUNGU, MUNGU AKUPE NGUVU NA MAISHA MREFU UENDELEE KUMTUMIKIA, HAVE A NICE LIFE GOD BLESS YOU INDEED.
@silasjulius5407
6 жыл бұрын
JUMA MAKURI mungu akubaliki sana
@aminamohamed516
5 жыл бұрын
Akika unatisha emmanuel
@lucymwikala9959
4 жыл бұрын
Ubalikiwe kwakusikiliza nyimbo zakujenga kiloho
@helenchisanza435
3 жыл бұрын
Ninayasimulia matendo ya bwana ametenda makuu kwangu
@felinavagha
3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hakika nitayasimulia the good doing of God be blessed mtumishi
Who is still watching this master piece with me in 2022
Utukufu kwa Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Lazima tuyasimulie matendo makuu ya Bwana Yesu.
Tuzo ya KZread imenileta hapa leo 30/7/2022
2021 tuko wapi????jamani mungu ni mwema kwa hiki kipindi cha corona
Wonderful song sichoki kuusikiliza ni mtamu yaani mpaka basi. Mungu awabariki watumishi wa Mungu.
Mungu aendelee kukutumia katika kumtukuza yeye aliejuu
powerful msg.. kwa Hakika nimeuona uzuri wake Mungu. hakuna mwingine kama Mungu wa Abraham Mungu wa Isaac Mungu wa Jacob na Mungu wa Eliud God is good all the time. I give you all the glory My Lord Jesus Christ thank you for the Gift of calvary. We are free because of your precious blood you shed. Thank you Jesus for salvation.
@manasewangao9853
6 жыл бұрын
Safi sanaaa
@aminamhema9101
4 жыл бұрын
Hakika na mm nitayacmulia kusudi na Wema wa mungu wangu😀😀😀😀😀😀😀😀
je wamwonaje MUNGU; ..... JAMANI MUNGU ni mwema nimeona uzuri wake
2021 Twenzetu Likes japo ata moja tu
Sichoki kusikiliza nyimbo zako nahisi kubarikiwa mpaka napitiliza Halleluja
Mngu nitazame mm niliye kuwa nawe
amen bwana amenitendea makubwa ktk maisha yangu
I see my ❤ mamy. IMANI JOHN R.I.P ALWAYS MIC U MAMA.😥😥😭
Huu wimbo ni kama anthem ...si ujumbe ..si mpangilio ;sauti.zote sawa .mbarikiwe zaidi.
Hakika tumekombolea kwa neema tu! Nice song indeed, be blessed!!!
Mungu akubariki sana mtumishi good song
nami nitayasimulia matendo ya bwaana....mungu kanitendea wema asant mtumish kwa wimbo mzur🙏🙏
Hakika nitayasimulia matendo makuu ya MUNGU, Mungu akubariki wimbo mzuri sana
@lucyngoliga5448
6 жыл бұрын
Nc
@anithagilibert6808
5 жыл бұрын
Hakika nami nitayasimulia matendo makuu ya Mungu aliyo tenda Maishani mwangu
Nawatafuta africha mlitusainisha mikataba dar nyimbo zikapanda hstujavunja mkataba na nyimbo hazionekani you tube waimbaji wengi dar hakuna shida
Mucho Gracias mi Hermanos y Hermanas desde Tanzania.
Hakika huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu,hakika nawapenda sanaaaaaaaaaaaa
I love Jesus
@helenkombe5342
4 жыл бұрын
I hate satan
Hizo step acha kabisa!.......
Asante Yesu Kwa neema yako imetukomboa.
Pongezi sana brother nyimbo zako zanitia nguvu ❤
Mungu Wa mbinguni abariki tumbo lilokuzaa kaka Angu napenda za nyimbo zako
Matendo ya bwana Mungu wangu,ni ya ajabu mno.Amenipa uzima,ulinzi na afya Bure.Thanks my Jesus for your love and grace in my life.
@samwelloibooki7724
6 жыл бұрын
Maguful
Whenever I listen to this song, i feel the anointing of God!! Whoever composed this song, may you live more 100years in Jesus name AMEN 🙏🙏🙏🙏
Yaan mgogo ananibarik sana ubarikiwe sana mtumish
@ghostmundemusic7600
6 жыл бұрын
adio
mungu endelea kutenda miujiza kwa mwimbji hy amina.
Asante yesu
Bwana yesu asifiwe wapendwa ktk bwana❤❤❤❤
Nami nitayasimulia matendo makuu ya Bwana haleluya...haleluya asifiwe Bwana.....2020 mwez 8 wema wa Bwana uko pamoja nasi....amen
Kwa kweli Nabarikiwa snvna wimbo huu. Ushauri wangu baking wewe km Weweeeeee na Mungu wa Mbinguni azidi Kukupa Mafunuo Mengi mbalimbali ili uendelee kumgusa kila mtu ktk kumkaribia Mungu NA kukasimulia Matendo y'all Mungu......
Yes I shall preach about the goodness of my Lord Jesus.Thanks for the encouraging song brother Emmanuel Mgogo Mungu aibariki Sana huduma yako ya uimbaji kwa kuhubiri neno lake Mungu wetu
@evancelukumay7143
5 жыл бұрын
nabarikiwa Sana
Ila hili kundi cjui kwann halipo tena,nlitamani mngeendelea pamoja jaman
Nimekwishaona uzuri wa MUNGU kwetu wanaadamu.(mubarikiwe wapendwa)
Bariki sana nyimbo zako zinanibarik sana
Lazima tuhubiri wema wa mungu wetu big up sana
@jumakalago1969
Жыл бұрын
0
Wapi like kwa Yesu 2019 twende pamoja
@ritifaraphael8747
3 жыл бұрын
yesu huyoo
kwa hakika, nitaishi nikiyaelezea matendo makuu ya Bwana Mungu wangu. ni Mimi mchungaji Gabriel kutoka Kenya
Nimemuona mungu ni mwema kwangu sauti yake ni ya upole sitomuacha bwana wangu.... bwana ni mwaminifu
@alexkidahi3803
6 жыл бұрын
Mashimba Charles mguakuinuwe
I love this music keep it up bro
Who is listening this song 2019 you May like
Cwezi choka kuskiza huu wimbo. Nami nita yasimulia matendo ya Mungu 😍... Wakenya hoooiyeeee 🤝
Mungu akubariki sana emmanuel mgogoro,,kweli mungu ametufanya watoto wake tuwe warithi na yesu,kweli tumekombolewa kwa neema yake tu..
2021 bado nasema nitayasimulia matendo makuu ya Bwana wangu....haleluya haleluya haleluya
kwa hakika wimbo huu ni injili tosha na neno la Mungu kwetu sisi tuliokolewa kwa neema ya MUNGU kupitia mwanawe YESU aliyetufia msalabani,Amen.
@nerimabetty1803
6 жыл бұрын
kennedy otieno very nice song glory be to the highest God forever amen
Highly blessing song of today's church...chochea karama ya uimbaji mtumishi Emmanuel na Mungu atakutukuza zaidi..
Tatizo mtumishi umezuia wimbo tusichukue
Mungu,azidikuwawejesha,watumishiwamungu
Greetings brother. A song that ministers from the time you start listening till the end and continues so fo the thousands of the time you keep listening and watching. Thank you brethren. My prayers fou and your entire team.
Amen amen nice song mtumishi WA mungu be blessed
Yn we kaka unaimba ktk roho na kweli
Wimbo mzuri
Jaman Daniel upako huu utafute tena,kuna mahali kumepotea!
Amen mtumishi wa mungu.sauti nzuri
Aminaaa kubwaaa
Akika wimbo ulio imbwa kwa roho unabariki moyo usirudi nyuma kamawaimbaji wasio funuliwa na mungu nabarikiwa kwakiwangi chaju
Hongera Mungu awabariki kwa kuihubiri injili takatifu
Ubarikiwe sana mtumishi Mungu aeendelee kukufunulia ujumbe zaidi ili uitangaze injili zaidi kupitia nyimbo .Mungu akupe maisha malefu sana ktk kumutumikia na kusimulia wema wake zaidi.God blues you.
Hakika nami pia nitayasimulia matendo ya bwana,,he is worthy,kind,and let Glory forever be his,am really blessed, sufficient grace in your ministry Emmanuel ,amen
mung awabariki Kwenye Kaz senu siwe Za mafanikio Amen
ubarikiwe kabisa mtumishi kwa kuendelea kumhubiri Mungu wetu kwa njia ya nyimbo.......endelea hivo hivo,
Lord you amaze me with your love, you call me your own.Am humbled by your grace.
wimbo bora sana. Barikiwe sana bwana Mgongo, songa mbere tenda kazi ya Bwana kwa bidii na usichoke mwishowe utavikwa taji.
nami nitayasimuliaaa matendo ya mungu 🙋🙋🙋
cant have enough of this song. bless you
Amen..Mungu ainuliwe sana,wimbo huo kanigusa roho..nimebarikiwa sana nahu uimbaji.Injili ya bwana na ihimidiwe..Amen..
amina,mbalikiwe sana
Mungu hatasimama juu yetu
The more I watch this video the more my my heart is at its best and the more I rejoice in the LORD coz of His wonders are beyond our galaxy. God I ask for more and enough grace to thank You and not complain for Your deeds are beyond my imagination in Jesus name.
@jeremiahmziray932
4 жыл бұрын
Sure
@AjiriAmadi-fk7cs
Жыл бұрын
@@jeremiahmziray932 ❤’
Naupenda saaana huu wimbo Mungu akubariki mtumishi .
God bless you servant of God this new year 2020 as you continue blessing our souls and spreading the good news of our Lord and Savior Jesus Christ.
Twende pamoja 2019 katika kuhubili wema wa bwana
Am blessed may God continue raising u higher and higher for his glory.
Beautiful message in this song I can listen if over and over again Watcing from.middle east HALLELUJAH
Ubarikiwe hu wimbo wanehema!!
Amen wonderful song namimi nitaya ubiri wema wa Yesu 👏👏👏
wow what a lovely song I love it,I can lessen it a1000 times