KAMA MOVIE!!!FULL STORY FID Q ALIVYOKUTANA NA MPENZI WAKE WA SASA.

Ойын-сауық

Unaambiwa kitabu ndio chanzo cha yote haya.Fid q na mpenzi wake wa sasa walikutana kwenye mazingira ambayo ni kama movie

Пікірлер: 178

  • @negroempire2746
    @negroempire27466 жыл бұрын

    "Kuna watu nkiongea nao vitu flan wananiona ka chizi" Fid q, zawad kubwa tulobahatika kupewa na Mungu.

  • @oswardlutebuka3778

    @oswardlutebuka3778

    6 жыл бұрын

    chakubalkiw n maixha,, Co fid,,but 2namuelew xan ila Co 2liobalkiw na god,, lekebxha kaul yako

  • @amosimwiko6440

    @amosimwiko6440

    6 жыл бұрын

    Mati Hosceah umenena ukwel ambao hat mm nauongeaga wa2 wanachukulia easy tu

  • @rosechami649
    @rosechami6496 жыл бұрын

    the woman is speaking so nice no majivuno very simple nimempenda kwa kweli

  • @hashimuomary8913

    @hashimuomary8913

    6 жыл бұрын

    Rose Chami nakupenda bure

  • @annievibes8794

    @annievibes8794

    5 жыл бұрын

    kuna interview nyingine kaongea sana

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya67166 жыл бұрын

    Nimemkubali xn huyu mdada anajiamini xn hongera fid q natamani huyu dada akija tena mbarali nimwone mana co kwa kuongea huku aiseee

  • @harunakayega5531
    @harunakayega55315 жыл бұрын

    Demu mwenyewe muhuni adserve mana she is very talkative

  • @Basagamp4
    @Basagamp46 жыл бұрын

    Ktk interviewz zooooote nilizowahi kuzisikia na kutizama hii ni No1. Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @norbertlucas4144
    @norbertlucas41446 жыл бұрын

    kitabu na pilau vimeleta mambo😉😉😉 happy valentine bro.

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki76646 жыл бұрын

    Huwezi fungulia mpenzi wako mlango wa dala dala duuh FiD Q kwa style hii Valentine day kaiwasha vuzuri daah mnge mpa achane tu kwa sababu vitu kama hivi sio level ya King of hip hop he Legendary Farid kubanda FiD Q ila yote na malizia na Fresh 🇹🇿

  • @saumuhassan1365

    @saumuhassan1365

    6 жыл бұрын

    Elongo Lusambya Kwakweli my, katisha sana

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi49556 жыл бұрын

    ielewe mitaa ,ielewe sanaa , big up Mr. farid @fid q.

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45076 жыл бұрын

    INSHALLAH, jazakhar hker kwa Farid Qubanda

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge66416 жыл бұрын

    Fid q umetisha'

  • @raginauthor1881
    @raginauthor18816 жыл бұрын

    dada yangu karimmer umetisha

  • @yudasyc8414
    @yudasyc84146 жыл бұрын

    mentor fid Q wewe n bingwa cku zote nimependa hii story

  • @richardmnkande1130
    @richardmnkande11306 жыл бұрын

    The lady knows how to explain herself, very blessed in speaking, She thinks before talking....no bla bla blla...

  • @kahugentobi2715
    @kahugentobi27156 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mahrizainobaranchas7589
    @mahrizainobaranchas75896 жыл бұрын

    Shout out bro Fid q, I real trust on what you delivere

  • @sulemankhamisi7483
    @sulemankhamisi74836 жыл бұрын

    Hongera sasa Fid Q

  • @isaiahthomas5165
    @isaiahthomas51656 жыл бұрын

    Asante Sana Kaka angu Kwa kutuletea jiko nyumbn

  • @mariamangel1264
    @mariamangel12646 жыл бұрын

    Nceeee kareema

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy6 жыл бұрын

    Ndoa sikitu chakukimbilia ila zinaa ndio yakukimbilia!! ni huzuni kubwa

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi85706 жыл бұрын

    Nice interview.... Mbeyaaaaa mmetuzilAaa

  • @kassimdinno
    @kassimdinno6 жыл бұрын

    Safi sana Fid, hapo umepatia sio hawa wa wabongo movies 😊

  • @nassermtitu7426
    @nassermtitu74266 жыл бұрын

    Huwezi mfungulia mpenz wako mlango wa Daladala 'coz conductor anakuwa kasha uwahi . FACT NGOSHA.

  • @iqramkhambi7208
    @iqramkhambi72085 жыл бұрын

    hongera sana wifii yupo pouwa sana mashaa Allah my bro

  • @aswileadamson9482
    @aswileadamson94826 жыл бұрын

    ngosha big up sana kaka 👏👏👏👏👏👏

  • @bernardmayige624
    @bernardmayige6246 жыл бұрын

    Hongeraaa saaana fid

  • @laumlimbila4337
    @laumlimbila43376 жыл бұрын

    Ngosha mpaka huku hukosei napenda ulivyomdaka shem wetu uyo

  • @khatibalamin401
    @khatibalamin4015 жыл бұрын

    He don't know any thing about me! Kweli huyu mjungu😅😂😂😂

  • @denismakweba3870

    @denismakweba3870

    5 жыл бұрын

    Hahahahah 'he don't know ...instead he doesn't know...!!

  • @tyfugsmtech7821
    @tyfugsmtech78216 жыл бұрын

    Nomaaaaa mzeee

  • @josephfather2890
    @josephfather28906 жыл бұрын

    Hongera brother uko vizuri

  • @boscomaboga1021
    @boscomaboga10216 жыл бұрын

    Tisha Sana King fid

  • @jacksonyusuph1375
    @jacksonyusuph13756 жыл бұрын

    Katika wasanii ninao waelewa ngosha ni wakwanza kaka ongera sana kwa kumpata mtu muelewa

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv6 жыл бұрын

    Aaaah noma san

  • @francolazaro8646
    @francolazaro86466 жыл бұрын

    Kwann ngoma ya August 13 haipo mtandaoni?... Kwasab nimetafuta kwa mda mrefu siupati....

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45076 жыл бұрын

    Ngosha Ngosha Ngosha 🎤🎤🎤🎤

  • @suleimaniissa3981
    @suleimaniissa39816 жыл бұрын

    Mzee baba fid q kubwa lao mwalimu wa hip hop anatupa mafreva xana roksili mwanza

  • @richardmnkande1130
    @richardmnkande11306 жыл бұрын

    Fid q has to be respected for the way he makes his life.

  • @venancevicent2204
    @venancevicent22046 жыл бұрын

    daa nimeipenda hii

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda82094 жыл бұрын

    mashairi yake yana impact kisaikolojia na kihisia,namkubali na amepata mwanamke mzr na mwenye heshima alie na vision kupitia muziki wake....

  • @gerardsinienga483
    @gerardsinienga4836 жыл бұрын

    Fresh! Fresh!! Fresh with Mr jr

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace77556 жыл бұрын

    Shemela umepasuaaaaa, bro fid kaa Kwa kutulia umepatikana

  • @sulemankhamisi7483
    @sulemankhamisi74836 жыл бұрын

    nice

  • @difaajadid1516
    @difaajadid15166 жыл бұрын

    Nimeipenda

  • @leontinelucas9379
    @leontinelucas93796 жыл бұрын

    king mwana aliye juu fid q

  • @lucamartin6584
    @lucamartin65846 жыл бұрын

    Hongera shemeji mbarali ndio home asante pia

  • @shammybeybe1825
    @shammybeybe18256 жыл бұрын

    Lovely

  • @obbymlatino844
    @obbymlatino8446 жыл бұрын

    Noma

  • @kichwakibovu8997
    @kichwakibovu89976 жыл бұрын

    ngosha nakukubali sana the done fundi wa magimbi

  • @imanimsongoro9671
    @imanimsongoro96716 жыл бұрын

    it's good imependeza

  • @festusthomas7647
    @festusthomas76476 жыл бұрын

    Hongera sana fid

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Fd Q, mstari uwo, umetisha

  • @media-rs6lo
    @media-rs6lo6 жыл бұрын

    Ngoshaa eheee noma sana

  • @anohmusic2520
    @anohmusic25205 жыл бұрын

    Pamoja sana fid,

  • @sadaramustafa8401
    @sadaramustafa84016 жыл бұрын

    Fid umetisha mkubwa nakukubali sana

  • @salhamchau6856
    @salhamchau68566 жыл бұрын

    I love this couple 😊

  • @amanimoses6389
    @amanimoses63896 жыл бұрын

    ngosha nakukubali mzee

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi33386 жыл бұрын

    hongera bruh

  • @robertsylvester7728
    @robertsylvester77286 жыл бұрын

    Ngosha hongera aise

  • @kulwamartin4068
    @kulwamartin40686 жыл бұрын

    ngosha the swagger ebana wewe ni the best miaka 1000000

  • @mwajumabulugu4115
    @mwajumabulugu41156 жыл бұрын

    fid hongera kaka

  • @dariusjiga5747
    @dariusjiga57476 жыл бұрын

    nice bro

  • @ibrayuzow6320
    @ibrayuzow63206 жыл бұрын

    ngosha anamlipa AY mpinzan wake wa jadi

  • @georgieskeneth7202
    @georgieskeneth72026 жыл бұрын

    Nabarikiii hiyo Ngosha

  • @jaycee9067
    @jaycee90676 жыл бұрын

    Safi Fid Q!

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36836 жыл бұрын

    Tajiri wa mashairi.. Fid q Yaani umetisha saana eti Huwezi fungulia mpenzi wako mlango wa daladala 💪💪💪💪💪👏👏👏👏👏👏

  • @salummigezo3729
    @salummigezo37296 жыл бұрын

    Ngosha the Don

  • @dorothymmbone8905
    @dorothymmbone89056 жыл бұрын

    Fid q umetisha kweli

  • @georgemwageni9459
    @georgemwageni94596 жыл бұрын

    moto

  • @dennicmtn5269
    @dennicmtn52696 жыл бұрын

    NYIE WATU NAWAPENDA KINOMA YANI EA RADIO PRESENTERS DOOOOOH

  • @paschalkadama8155
    @paschalkadama81556 жыл бұрын

    Noma sanaaa😂😂😂😂

  • @kizaabwe726
    @kizaabwe7266 жыл бұрын

    Mmm Ana vuja sana

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky8296 жыл бұрын

    Ngumu kumeza,I salute you fid

  • @kyataonline5262
    @kyataonline52626 жыл бұрын

    shemeji kaongopa! mwaka 2015 ati hamjui never Fid!

  • @officialtravellerj.9221
    @officialtravellerj.92216 жыл бұрын

    👏👏

  • @denisadrian9765
    @denisadrian97655 жыл бұрын

    😀😀😀kuna sehemu tunapishana dula bhana daah

  • @baroamani4420
    @baroamani44206 жыл бұрын

    Ngosha hatari brother bonge la show

  • @dwightsistizzo234
    @dwightsistizzo2344 жыл бұрын

    #Simba #jabali, Hip-hop King

  • @aimfetty1641
    @aimfetty16416 жыл бұрын

    huyu dada ana akili sana

  • @aliathman5474
    @aliathman54746 жыл бұрын

    Nice couple #kubandaa

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami52246 жыл бұрын

    SHOW ILIKU KALI SANAAA

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu52856 жыл бұрын

    nimeipenda hii interview hahhahhah

  • @kihanda2554
    @kihanda25546 жыл бұрын

    Safi sana Mwanamalundi😂😂😂

  • @mukremkhamis7890
    @mukremkhamis78906 жыл бұрын

    fid tajiri wa mashair na flows

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline6 жыл бұрын

    Thanks Mbarali-Mbeya-Mbeya tagged in

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya58946 жыл бұрын

    fid kila cku ni mtu mbaya cana umetisha

  • @alfamajengo8930
    @alfamajengo89306 жыл бұрын

    nc

  • @hamzahussein4493
    @hamzahussein44936 жыл бұрын

    Mwanamalundi always ana spit sense, let alone being humorous...happy for him kumpata mwenza.

  • @chrissjmunga8465
    @chrissjmunga84654 жыл бұрын

    Shooo shooooo

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59156 жыл бұрын

    Usihalibu sasa Ngosha jiko liko poa sana

  • @erickmbilinyi4027
    @erickmbilinyi40276 жыл бұрын

    Gentlemen! 📓📖

  • @saimonngosha9223
    @saimonngosha92236 жыл бұрын

    ongela ngosha

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud66486 жыл бұрын

    Ilikuwa bonge la shoo aisee Farid Qubanda alizaliwa 13th Agost katka hospitali ya Bugando Mwanza Tz jamaa yko poa saana

  • @velaalberto7766
    @velaalberto77666 жыл бұрын

    woyooo

  • @zakaboy1305
    @zakaboy13055 жыл бұрын

    fid q ni kichwa chenye busara nyingi sana

  • @zachariahexegesists7892
    @zachariahexegesists78925 жыл бұрын

    Wao

  • @juliusfesto6232
    @juliusfesto62326 жыл бұрын

    FD Q katisha kinoma

  • @godlucksamwel7560
    @godlucksamwel75606 жыл бұрын

    ...ina tija.. wekeza...insha'allah...

  • @robertsylvester7728
    @robertsylvester77286 жыл бұрын

    Hhhaaha nachek mwenyew mbona dakk ndgo jamn dahaaa

  • @kassimdinno
    @kassimdinno6 жыл бұрын

    Sema hiyo Kofia duh 😳

  • @richlukonda8123
    @richlukonda81236 жыл бұрын

    Halaf shemela mwenyw km mwana hip hop vile hana zile boringo nangai #frexh

  • @riphatmuhene9615
    @riphatmuhene96156 жыл бұрын

    Dada ni Mzenj huyu

Келесі