KAKA WA LISSU AKIWASHA MBELE YAKE, AAPA KUWATAFUTA WALIOHUSIKA KUMPIGA RISAS, ASISITIZA GARI ITUNZWE
#TANZANIA: Kaka yake Tundu Lissu akiwasha kijijini kwao Mahambe mbele ya mdogo wake, aapa kuwatafuta waliohusika kumpiga risasi, asisitiza gari ikae Makumbusho.
Пікірлер: 39
Hongereni Kwa kukutana pamoja kama familia. Mko vizuri Sana. Tumefurahi kuwaona Mungu awabariki.
Safi sana mnapendana
Mimi nashauri muwaloge hao watu hata ikiwezekana musome dua mvunje chungu vyovyote tu mfanye kifo kiwarudie😢😢
Mungu awatie nguvu, tunamshukuru sana kwa kuokoa maisha ya mpambanaji wetu wananchi asiye na hatia yoyote dhidi ya wahusika wenye roho mbaya. Bado wanalelewa ndani ya nchi lakini hakika hawatashinda. Nguvu za Mungu aliye hai ziendelee kumlinda katika safari ya kudai haki zetu wananchi,tuwe pamoja naye kupaza sauti zetu daima...
Maneno yenye Wosia wa hekima kubwa toka kwa Msomi Kaka yake mwanasheria mbobevu. Ndg. Alute Lissu Mghwai.
Lissu mungu akulinde milele
Asante.Hii inatufundisha makubwa"family togetherness"
Nakupenda. Sana. Lisu. Mungu. Am Urinde. Nimtezi wahaki
Halafu inaonekana tumbo namba MBILI au MKE wa pili ndo waliosoma. Hongereni kwa umoja
Wajefya sana isekhooo!!! Jambo la kheri sana mmeonesha!!🙏🙏🙏
@zohoraramadan4540
12 күн бұрын
Mohajaaaaaa
Mungu wabariki Sana.. good family ❤
Mungu akubariki 🇹🇿
Safi sana lisu
Mungu acha aitwe mungu
Mungu akutie nguvu ndg yetu lisu wewe ni mtu bora sanaa ila ninajua kuwa hata yusu ndg xake walitaka kuuwa wakijua kuwa wanampotxa kumbe ndiyo wanampandisha cheo kwa farao kwa hiyo usiogope ndugu yangu nakuomba tu uwe mpole tu ni hatua kubwa Mungu anataka kukupa hapa tzd kwayo wewe ni rais ajaye 2025
Poleni sn familia ya tundulisu tundulisu anakili nyingi sn na viongozi wa kitanzania huwa wanawachukia sn watu wenye akili kama alivyo tundulisu
Wtz Kama Kuna garama yakupasua chungu tujue Hawa watu wenye laana waishe kabisa maana awataacha vizazi vyetu salama utashangaa badala yake wanaendelea kupewa hata vyeo,
Wamefanana..sanaaaaa
❤❤
Mnyampaa utrina ubeee wie saw,yan hana baya Alla awastir we na ntundu L mghwai,
Uhai wa MTU UKO mikononi mwa mwenyezi Mungu,
Ukoo wa majasili
Piga Dua wapate uchizi
Uko sawa baba ya yangu
Sio kweli znz hakukuwa na mpelelezi na padri hakufa kwasab za kidini.bora ungesena kisiasa ungefahakika.walimkamata jamaa wakachora mchoro Mungu akawaumbuwa mchoro ukafanana na mkuu wa police znz yule cheupe .alokuwepo wakamuweja jamaa ndan mwaka 1 wakamtowa
@massawemrlowprice3949
14 күн бұрын
Hii iliwafanya watawala wasitake tena wapelelezi wa nnnje kudaadeki
Alute umefanana na Tundulisu
Mnalewa tu na vitambi vyenu
@faustinejemsi1488
11 күн бұрын
Una hakili kweli
Huu ukoo ni watu wenye akili
@faustinejemsi1488
11 күн бұрын
Kweli
Anaongea kama mdogo wake
Huyo Simba Kwa bila shaka alikuwa anaumwa😂
@fredyjeremia7074
13 күн бұрын
We labda upo kuumwa.
@leonardphilip565
13 күн бұрын
Bila shaka
@cheiknamouna2058
13 күн бұрын
Kasema alitumia mshale huwezi jua alirusha toka umbali gani
@benedictmhina4819
13 күн бұрын
Atakuwa Simba sport club😅😅😅