TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.
@user-le7ek2zs4t28 күн бұрын
Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm
@wazomyakinifu230125 күн бұрын
Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo
@galamwendagalikunga858719 күн бұрын
Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu
@user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын
Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha
@AbdallaMwagora-sm1rj28 күн бұрын
Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.
@xaverymakwi
24 күн бұрын
Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?
@AlfredAlfred-yd2mg22 күн бұрын
Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma
@user-le7ek2zs4t28 күн бұрын
You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu
@ephraimkabeya964828 күн бұрын
Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali
@josephsamwel814524 күн бұрын
Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri
@samasob823324 күн бұрын
Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!
@ZephaniaMwailugula28 күн бұрын
Tundu upo vizuri kaka
@leahmgunda415427 күн бұрын
Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.
@onetwo12981
14 күн бұрын
🤣🤣🤣
@user-pn5gv7ix3g5 күн бұрын
Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda
@christinenyagiro666228 күн бұрын
Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe. Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.
Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...
@issaali132128 күн бұрын
Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .
@user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын
Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana
@rebekakulwa615928 күн бұрын
We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa
@emanuelsinyinza28 күн бұрын
Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.
@emanuelsinyinza
28 күн бұрын
Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.
@emanuelsinyinza
28 күн бұрын
Poa
@user-qb1jv2dy2d
22 күн бұрын
Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.
@IddyMustapha-tj4du28 күн бұрын
Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa
@emanuelsinyinza28 күн бұрын
Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.
@joshuaswai820328 күн бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
@PaulKabungo28 күн бұрын
Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point
@WmareteMarete18 күн бұрын
Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?
@NardhisMhagama-sy3eq27 күн бұрын
Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi
@natafutamatatizo438227 күн бұрын
MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️
@elibarikimollel714928 күн бұрын
Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho
@shizoshop246921 күн бұрын
Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂
@AbdallaMwagora-sm1rj28 күн бұрын
Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.
@experiusmrefu100328 күн бұрын
Nyanda ni pure CCM😮
@nanguniMtaita-hz4zt
28 күн бұрын
Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.
@EmanueliThomas28 күн бұрын
Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata
@beinafuu621928 күн бұрын
Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu
@MegaVhp15 күн бұрын
Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo
@gowekogoweko580328 күн бұрын
NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU
@BonaBonala-bp5qm23 күн бұрын
Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika
@user-qb1jv2dy2d22 күн бұрын
Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.
@SaidMrisho-du1fm28 күн бұрын
✌✌✌
@PaulMhufu28 күн бұрын
😮 bbh
@petsmore995521 күн бұрын
Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?
@ramadhaniomarishauri990521 күн бұрын
Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv
@hafidhnzota214223 күн бұрын
Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?
@hafidhnzota214223 күн бұрын
HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu
Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti
@rasnchimbi23 күн бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын
acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa
@MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын
Kama wewe unavotaka kuharibu taifa
@yokoi397024 күн бұрын
Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana
@allonjoseph5467
22 күн бұрын
hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww
@yokoi3970
22 күн бұрын
@@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.
@MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын
Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???
@godamc
19 күн бұрын
Lissu mnyaturu
@eliasmedutieki757823 күн бұрын
Hongera Nyanda
@user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын
Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana
@George-jz3jg28 күн бұрын
Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema
@elibarikimollel7149
28 күн бұрын
Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!
@joshuaswai820328 күн бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
Пікірлер: 70
TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.
Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm
Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo
Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu
Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha
Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.
@xaverymakwi
24 күн бұрын
Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?
Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma
You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu
Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali
Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri
Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!
Tundu upo vizuri kaka
Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.
@onetwo12981
14 күн бұрын
🤣🤣🤣
Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda
Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe. Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.
Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza
Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...
Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .
Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana
We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa
Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.
@emanuelsinyinza
28 күн бұрын
Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.
@emanuelsinyinza
28 күн бұрын
Poa
@user-qb1jv2dy2d
22 күн бұрын
Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.
Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa
Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point
Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?
Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi
MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️
Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho
Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂
Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.
Nyanda ni pure CCM😮
@nanguniMtaita-hz4zt
28 күн бұрын
Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.
Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata
Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu
Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo
NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU
Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika
Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.
✌✌✌
😮 bbh
Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?
Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv
Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?
HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu
Wazungu wamepiga hela kiurahisi
Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.
Mwandishi kasome huna iq kabisa
Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange
Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa
Kama wewe unavotaka kuharibu taifa
Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana
@allonjoseph5467
22 күн бұрын
hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww
@yokoi3970
22 күн бұрын
@@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.
Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???
@godamc
19 күн бұрын
Lissu mnyaturu
Hongera Nyanda
Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana
Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema
@elibarikimollel7149
28 күн бұрын
Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako