INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

Ойын-сауық

Пікірлер: 70

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota214223 күн бұрын

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t28 күн бұрын

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu230125 күн бұрын

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga858719 күн бұрын

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj28 күн бұрын

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

  • @xaverymakwi

    @xaverymakwi

    24 күн бұрын

    Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg22 күн бұрын

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t28 күн бұрын

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya964828 күн бұрын

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel814524 күн бұрын

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @samasob8233
    @samasob823324 күн бұрын

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula28 күн бұрын

    Tundu upo vizuri kaka

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda415427 күн бұрын

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

  • @onetwo12981

    @onetwo12981

    14 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g5 күн бұрын

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666228 күн бұрын

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe. Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri990528 күн бұрын

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @issaali1321
    @issaali132128 күн бұрын

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615928 күн бұрын

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza28 күн бұрын

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

  • @emanuelsinyinza

    @emanuelsinyinza

    28 күн бұрын

    Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

  • @emanuelsinyinza

    @emanuelsinyinza

    28 күн бұрын

    Poa

  • @user-qb1jv2dy2d

    @user-qb1jv2dy2d

    22 күн бұрын

    Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du28 күн бұрын

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza28 күн бұрын

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai820328 күн бұрын

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo28 күн бұрын

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete18 күн бұрын

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq27 күн бұрын

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438227 күн бұрын

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel714928 күн бұрын

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @shizoshop2469
    @shizoshop246921 күн бұрын

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj28 күн бұрын

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu100328 күн бұрын

    Nyanda ni pure CCM😮

  • @nanguniMtaita-hz4zt

    @nanguniMtaita-hz4zt

    28 күн бұрын

    Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas28 күн бұрын

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @beinafuu6219
    @beinafuu621928 күн бұрын

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @MegaVhp
    @MegaVhp15 күн бұрын

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580328 күн бұрын

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm23 күн бұрын

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d22 күн бұрын

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm28 күн бұрын

    ✌✌✌

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu28 күн бұрын

    😮 bbh

  • @petsmore9955
    @petsmore995521 күн бұрын

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri990521 күн бұрын

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota214223 күн бұрын

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota214223 күн бұрын

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu40627 күн бұрын

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva83918 күн бұрын

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @alextarimo4972
    @alextarimo497218 күн бұрын

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi28 күн бұрын

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg28 күн бұрын

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi23 күн бұрын

    👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @yokoi3970
    @yokoi397024 күн бұрын

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

  • @allonjoseph5467

    @allonjoseph5467

    22 күн бұрын

    hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

  • @yokoi3970

    @yokoi3970

    22 күн бұрын

    @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb28 күн бұрын

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

  • @godamc

    @godamc

    19 күн бұрын

    Lissu mnyaturu

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki757823 күн бұрын

    Hongera Nyanda

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg28 күн бұрын

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

  • @elibarikimollel7149

    @elibarikimollel7149

    28 күн бұрын

    Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai820328 күн бұрын

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

Келесі