KAFIA GHETTO FULL MOVIE
Фильм және анимация
#Bhailam#Rachel#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?...
Пікірлер: 191
Dada wa Bailam amecheza uhusika wake vizur sana, hongera kwake na wahusika wote, kaz nzuri
Movie iko safi Sana ..👍🏻🥰ila niulize tu "yani team nzima mpaka producer hakuona Bhailam kakosea ELFU HAMSINI KAZIITA FIFTEEN THOUSAND NA SIO FIFTY THOUSAND....KWELI?😂😂🙌🙌😂😂
Jamani Dada yake Bhailam mwamba sana Yani anajuwa Kuigiza saaana Hongera Sana dada yake bhailam❤❤❤
@ProsperErick-go4sf
2 ай бұрын
Kumbe sio mimi peke yangu nilieona😊😊
Waliopenda hii movie na kuenjoy tujuane😂😂😂😂
@lopetoetaan6204
3 ай бұрын
tujuanie hapa hapa
@StephenMbogo-xp4qe
Ай бұрын
Me hapa hivo
Jamon jamon Mariam mwamba saaaana❤❤❤ Hongera Kwake Mariam anajuwa sana kuigiiza 😂❤❤❤
@SILASNYONGESA-mh7gd
9 күн бұрын
@@AnithaIrankunda hi story kali sana
Bailam umetisha sanaa
E noma sana munaigiza uhalisia wamambo thanks
Bailam ww noma hiii story kali kali broooo❤❤❤❤❤❤❤❤ it
Ndikola ngolo nene uuwii mhehe ameweza kinyamaa
Jamani Fatuma ni mpolee🤭😂😂😂
Nice mashaa allah wallahi hakuna part 2 plz from uk 🇬🇧
Aise huwa sipendi hizi bongo movie ila hiii nipoteza muda wangu kutazama Upo vzr sana kka story kali mnoooo unyama
@RoyalPolyclinic
4 ай бұрын
Zama zimeChange sana
Asanteni sana movie nzuri sana❤👏
Mm nimependa Sana huyu dadako kama hana mume naomba kuwa mumewe wahalali nikoserious 💯💯💯💯
Jamani kuna mengi ya kujifunza katika mchezo huu. Hongereni
@fatmafaki6163
4 ай бұрын
Kwa wifi kama huyo ujipange
🤣🤣🤣🤣🤣mmenifurahisha kwel apo kweny kudaka ka waindi alooh bailam umepigaje apoo
Movie nzuri mnooo nimempenda gumbo buana. Anaigiza kulinga a na uhakisia
Léo Niko wakwanza Ku comenti naombeni liké zangu 😂🇨🇩🇨🇩
KAZI NZURI SANA 🎉
Muhehee umeupiga mwingii hum 😊chukua maua yako dada bhailam
@jengenimsuva377
5 ай бұрын
Nachenee utindaa
Bongo movie ilio potea taratibu imeanza kurudi
Baba mapacha ameupiga mwingi🎉 ati anawachana😂😂😂...iyaka naabudu 🙌 🙌
Kazi nzurii sanaa, imenifanya nianze kuipenda tena Bongo Movie
Jmn huyu dada wa moto😂😂😂khaaaa
❤❤❤❤❤❤ nko sawa
Hii movie kali sanaaaa😂😂😂
@leeobite2507
2 ай бұрын
Alafu inamafundisho saaana
Dada wa bailamu nimempenda ata fika mbali
Kazi nzuri sana
Piga kelele kwa baba mariam 😂😂😂😂😂
Kaibuka mkojan mwingine 😂😂😂😂
Jamn mungu awabariki wadada wote duniani,huyu dada namfananisha na dada angu jmn
🎉 ndio kbs
Ongela sana kaka
Wapi like za bhailam simba jamani 😢😢😢😢❤❤❤😅😅
Nmekuwa wa kwanza 🥰
Nai enjoy 😂😅😢 there are everythings from it
Saf sana ❤❤❤😂😂😂
Filam zuri bailam ila kosa kumuuw uyo biti mapema wakati mimi moja napenda kumuona sana nampenda isiya zake
Kazi nzuri sana hongera sana bhailam ila recho nakupenda sana maombi mengi kwako upate tunzo maana unajuwaa na unajuwatenaa😘😘
Shepu kama bamia😂😂😂
Bailam umeyakanyaga😅😅😅
Nachukia wanawake wa kuambia hawa viumbe wa mikia ya chini niko tayari nikufanyie chochote pumbavu sana ndio mana awataki majukumu waume yamezowea kulelewa masingo madha wengi kwa huu ujinga.. Nawachukiaaaa sana.
Iyi movie nitam Sana bro
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂nimecheka eti we andazi nipishe daa munewwza wapenzi
Ila Bailham umetupiga kwenye fifteen sauthan 😂😂😂..bt well done 👍🔥♥️
2:00:37 😂😂😂huyu ndio kaibeba hii movie ameua sana na hiz moments zake za kusini
We andazi😂
Bhailam ww ni kanumba aliye baki unajua sana mzee
Hicho kilio cha huyo baba ndio kinaniacha hoi😂😂
@mamasalhat
6 ай бұрын
😂😂😂
@kuyengamoris4140
3 ай бұрын
😂😂😂😂 mwamanya bhantu
Utengwee bro unajua sana
Broo unajua sana sana sana
❤❤❤❤dah aisee bonge moja la movie 🔥🔥🔥🔥😊
Like kwa bailamu na team nzima
Dada hongera unasitahiri zawad❤❤❤❤❤❤
Nice movie South Africa
Umetisha bhailam
Unyama sana bailam
😅😅😅😅kumbe bhailam unamacho kubwa ukifaint😅😅😅
Hii movie noma sanaa
Filamu ni kali hongereni wote mmeua😄🙌,,,ila my fave character ni dada wa Bairam kajua kuvaa uhusika kweny kila scene🔥
😂😂😂😂😂😂jamn bailam
Jamani hii kitu tam Sana nilikua nikiipitatu
Huyu dada ake bhailamu ni kabila gani nimeona kasema nikola ingolo unene uwiiiiii😂😂😂😂
picha nzuri sana ...keep it up Bhailam and team
Bailam we mandazi kweli maana sio kwa jicho hilo dada anaomba wewe unamcheka
Good job bro
Maskini dadake bailaam 😢
Afu baba Mariam mbona anapenda sn neno ndo uzuri🤣🤣🤣
Njooni Mozambique 🇲🇿 tunawapenda sana
Naomb namb za gumbo bhailam
Daaa reachel upo vzri aky nmependa ushauri wko kwa ma ex wa kkako aky umecheza part Kam ya mma Mungu akutie nguvu uzidi kukuza kipaji chko
Nice movie
Ndio uzuri
Mzee wa ndiyo uzuriii nakukubal
Mwendelezo jameni❤❤❤❤❤❤
Top actor is sister bhilam
❤❤❤❤❤❤🇰🇪
Inachekesha lon
da!nawakubali sana bhailan na kundi lote
Nice nimekupenda bhailam
Wewe kaka huyo ameuliwa na mke wa huyo rafiki yako ndie aliye uwa na akatoroka juweni lakufanya ilamke wa rafiki yako ndie muuwaji😊
Film unayianza kui angalia 19h usiku unaisha 5h za asubuhi dhuuu😮😮😮😮😊
Bailam upo vizur napend ulivyoigiz
Kenyan men, kimbieni TZ, true love exists😂😂😂😂
📺📺📺📺🔥👑🇰🇪
bailam hao madada mapacha aise wamefanana sana na dem wangu bro
Kazi nzur hogeren ❤
❤❤❤❤❤
Hu polisi hatari maswali yote anayauliza yote kwa mara moja mhojiwa hata hajui atajibu swali lipi😂😂😂
Very nice movie, maturely acted, Bhailum you did well. Excellent
Good job bro subscribe
Maryan kiukwel unajua san nikupe maua yako
dada wa bhailam nakupa 💯🥰 daah uko vzr dada 🥰❤️
❤❤ vieye maliamu alikua muke mwema sasa ndoi huyu nipeni link
Movie kali zaidi ❤😂
Kazi nzur
❤bhailam❤❤❤
@aminaseha5043
5 ай бұрын
My 🎉🎉❤
🇰🇪😅😂m2 kaz
Nzuri Hii movie
Bravo ukweli movie yenyewe imepangika na hata waigizaji wote wake sawa nimewakubali. Kubwa kutoka kwangu nawaombea Mungu azidi kuwapa hikma kwa kazi yenu ya uigizaji. Bravo bhailam.