No video

⚒️JITAZAMENI NAFSI KWANZA KABLA YA KUSEMA VIBAYA SHEIKH ABUU MUA3WIYA, USTADHI ABUU ZAGHAR حفظه الله

Edited by YouCut:youcut.net/Bes...

Пікірлер: 43

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tqАй бұрын

    Allah akuhifadh ostadh abuu zaghar kwa kubainisha haqq na usalafi wa kweliy

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    Ай бұрын

    Huyu akhiiy alionekana mapema sana sana juu, yaa uelewa wakee na himma katika ssunnah ni ndugu Abuu Zagar

  • @abuuawadhassalafy1594

    @abuuawadhassalafy1594

    Ай бұрын

    @@HassanHamad-rf9tq himma ama uzuz uliomjaa maana huyu hua hata aelewi anaongea nn heri huyo aliekufa ana afadhali kuliko huyu ndio mtupu kabisa

  • @Ibnsalim3

    @Ibnsalim3

    Ай бұрын

    Ww ndio zuzu Mana mpk shv umechini ya kutawaliwa na sheikh qassimu mafuta ww huna hakki ya kumpinga Wala kumkosoa na yyt atakae fanya hivyo atafanya km alivyofanyiwa sheikh abuu Zaghar na sheikh abuu mua3wiya, pindi walipoiona hakki wakaifuata na kukaa mbali ya batwili zao basi walimkata na kumtahadharisha km sheikh qassimu ni mwanaume kweli ktk Elimu bc kwann hawakukaa na sheikh abuu mua3wiya kufanya mjadawa wa kielimu, au kwnn hakuweza kujibu Raddi za sheikh abuu mua3wiya hata moja kwnn, utafahamu Elimu sio kwa kujidai tuu, na usalafy sio kwa kujidai Bali ni kwa dawa'a kwa kwa kumfuata njia ya wale Wema waliotangulia ktk kuheshimu heshima za watu na karamaa zao

  • @HassanHamad-rf9tq

    @HassanHamad-rf9tq

    Ай бұрын

    @@abuuawadhassalafy1594 mahadadiya hamna jipya kwa hio huyo shekh wenu akikosea asikosoleweeee Zaid yenu ni kuleta mipasho na ushabiki

  • @HassanHamad-rf9tq

    @HassanHamad-rf9tq

    Ай бұрын

    @@Ibnsalim3 swadaqta kabisaa akhiy qassimu tatizo lake anapenda ukubwa Sana na amegombana na mashekh weng wa kisalaf kwa kujiona yeye ndio anajuwa kila kituuu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    kwann Ukimkosoa Mafuta bas wafuad wake wote wanakushambulıa hali yakuwa umemradd alpokosea kwan Mafuta nı nanı ??

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evАй бұрын

    😂bila shaka masarafi wakwl wakianza kuwakibu mtakimbia sana mtalia zaid ya haya maana hajajibiwa lkn mwalia sana poleni sna😊

  • @Ibnsalim3

    @Ibnsalim3

    Ай бұрын

    Ww unawajua masalafy wa kweli ? Acha ujingaa, km tukikuwekeni kwenye mezani ya masalafy nyy munasifa Gani inayofanana na masalafy nyy masalafy jina tuu Manhaji yenu ni ya kihadaadiy

  • @mengihashimu1081

    @mengihashimu1081

    Ай бұрын

    ​@@Ibnsalim3mche Allah akhy ukisema masalaf jina Una maana gani?

  • @Ibnsalim3

    @Ibnsalim3

    Ай бұрын

    @@mengihashimu1081 Nina maana ya kwamba masalafy huamiliana na watu khususani masalafy weziwao kwa upolee baina yao, hupeana naswaha wanapokosena na hawaekeani mafundo na nogwaa na hupendeana kheri na kusitiriana kwa makosa na kasoro zao km binaadamu mfano hebu angalia WANAWACHUONI namna gani huamiliana na wale wenye kukhalifu husikii mukatwaa Bali hukutana nae na kunasihii miakaa km alivyonasihiwa Yahya alhajurii na wengine waliopinda tn kwa Siri na kwa maneno mazuri mpk walioona huyuu ameshaichangilia nafsi yake upotevi ndio walipo mtahadharisha na kukataa na kumtoaa ktk daaira ya ahalu Sunnah wal jamaa, hapo ndio utajua tafauti yetu ss, mfn sheikh wetu abuu Mu'awiya pindi ilipotokea fitna ya Yemeni vp sheikh qassimu amepita njia zote zinazotakiwa kbla ya kumtahadharisha na kumtengaa, hv mtu awe amechangua kupotea awe tayri kuzungumza na wenziwe ktk dawa'a ili kuondoa utata na kufarikisha watu ktk dawa'a ss hapo ndio hupatiakana sifa miongoni Mwa sifa za kihadadiy

  • @ABUUBAAZNYUNGU

    @ABUUBAAZNYUNGU

    Ай бұрын

    ​@@Ibnsalim3 yani mimi ushauri wangu ili haya magomvi yaishe basi masheikh wakutane kisiri wanasihiane na wasuluhishe na sio kunasihiana kweny mitandao....hapa sizan kama tutafika!!!......Ndo mana wanazuon kama ulivyosema wananasihiana wao kwa wao kwa njia ya siri kwanza.....!!!

  • @abuuawadhassalafy1594

    @abuuawadhassalafy1594

    Ай бұрын

    Wacha kuongeza ubonzo huyo Muhammad Ali imaam amenasihiwa mara ngapi bila kukatwa na Muhammad bin Hadi pia mara ngapi wamenasihiwa na waliosema wakae mbali na hao wa wili ni nani si ni ulamaa au kweni nyny shk rabii na shkh ubeid si ulamaa na sisi na nyny vita yetu si yakibinafsi kama mnavopambia watu ss na nyny tunapigania dini mumeenda kinyume na nasaha za ulamaa juu ya hao watu wawili na mukaamua kufanya taasub ​@@Ibnsalim3

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evАй бұрын

    Sasa babu yenu barahiyani sindo kaziyake kubidaisha ulamaa au mshasau tutajie shekh wetu alie bidaisha ulamaa 😂😂

  • @Ibnsalim3

    @Ibnsalim3

    Ай бұрын

    Barahiyani ni mtu wa Bid'aa na ss tuko mbali yeye na yeye yupo mbali na ss

  • @abuuawadhassalafy1594

    @abuuawadhassalafy1594

    Ай бұрын

    @@Ibnsalim3 mbna mashekhe zenu na wanao watetea nyny wanamtetea na hamuaambii kitu

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Ай бұрын

    Shekh wenu kumbe ndiyo maaan munawaabudu. Akina Qasimu mafuta 😂😂😂😂 muangalie. Msifikie. Level za masuffiy 😅😅😅

  • @abuuawadhassalafy1594

    @abuuawadhassalafy1594

    Ай бұрын

    @@abbaspaziaog2188 ndo nakuambia mahizbi hamujipati ajibu swali Wacha kukimbia mambo yakuabudu yamekujaje kama si ujaahil huo

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Ай бұрын

    @@abuuawadhassalafy1594 kijana nyie munawafuata. Mashekh zenu acha upuuzi wa fikrah dogo. Kifaranga wa mafuta

Келесі