JINSI YA KUVUNJA MIKOSI YA KURITHI( Magonjwa, mahusiano kuvunjika,uchumi, n.k)

Radio magazine, TAARIFA na MAARIFA kwa lugha 'simpo' 🌍
every Saturday 3:00pm - 4:00pm on Eastafrica radio.

Пікірлер: 23

  • @madinidotcom
    @madinidotcom21 күн бұрын

    Asante kwa kufuatilia madinidotcom.Ukiipenda hii session share na wengine pia hii link.

  • @josephkadudu5408
    @josephkadudu540823 күн бұрын

    Huyu brother cosmas inabidi mumuandalie segment kwenye madinidotcom tuwe tunamsikiliz kila jmosi hakika ana madini

  • @Joekwid960
    @Joekwid96017 күн бұрын

    Mr Madulu binafsi naomba nikufananishe na Aristotle wa taifa letu na natumaini walio wengi wanafaidika kupitia wewe bila gharama Mungu akujaalie uhai na afya njema tuzidi kuvuna madini muhimu na maalifa muhimu katika maisha yetu na nchi yetu.

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa334619 күн бұрын

    You deserve my brother!

  • @thomaskapande8618
    @thomaskapande861823 күн бұрын

    Huyu jamaa uimbaji wake unaingia moyoni kabisa ama kweli vipaji vipo

  • @user-tl4zr1rz5v
    @user-tl4zr1rz5v23 күн бұрын

    Nashukuru sana mungu amenisaidia nimelifahamu mapema nimejitofautisha nafamilia nzima mungu nimushindi

  • @CosmasSima
    @CosmasSima24 күн бұрын

    Oooonho right hi ndio maana halisi ya taarifa na maarifa. I appreciate it thank so much brother cosmas

  • @chonverymachenge
    @chonverymachenge24 күн бұрын

    broh madulu appreciate since day one

  • @losserianchristopher4560
    @losserianchristopher456022 күн бұрын

    Sijutii kabisaa

  • @nellybanks301
    @nellybanks30123 күн бұрын

    Huyu brother mtumien ahse ana kitu mtumieni anatusaidia vitu vingi mnoooo hongera bro gideon keep going

  • @StevenPeter-sg7zo
    @StevenPeter-sg7zo20 күн бұрын

    Dah nimependa sana hii collaboration ya madini na mziki mzuri

  • @salumuseif3324
    @salumuseif332421 күн бұрын

    hii elimu hupat shuleni

  • @user-yh4xs4sg7b
    @user-yh4xs4sg7b23 күн бұрын

    Mashine ya kazi hiiii watanzania wote mlio ulaya tisini home tujenge africa baada ya kupata elimu huko ulaya

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b25524 күн бұрын

    Mungu azidi kuwabaliki tunajifunza San kupita ninyi 😂😂😂

  • @Dijitolearning
    @Dijitolearning24 күн бұрын

    One six yaani mmoja kama watu sita

  • @Dijitolearning
    @Dijitolearning24 күн бұрын

    Hio nyimbo ya pili inaitwaje

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias133920 күн бұрын

    Huyu jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiri ni zaidi ya madini kama una pakupokea nashindwa nimtafsirije!

  • @AgustinoAlexander
    @AgustinoAlexander24 күн бұрын

    One six yoooooooooo😂😂😂😂💐

  • @idrisyasin237
    @idrisyasin23724 күн бұрын

    Kipindi cha maana kabisa, watu wa maana kabisa

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b25524 күн бұрын

    😂😂😂

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe495323 күн бұрын

    Duuuuh huyu jamaaa ana faa awe raisi wa nchi bila kuwa na watu vichaa wa kuthubutu kufanya mambo makubwa sio kila mwaka tunazungumzia madawati na madarasa wakati wenzetu wameshafika sayari tofauti na hii ya KWETU

  • @FashionRoomEast24Ksubscribers7
    @FashionRoomEast24Ksubscribers724 күн бұрын

    G tupostie kipindi chote cha leo

  • @rantojasiri
    @rantojasiri24 күн бұрын

    Huyu bro kila neno lake point yaani akihojiwa unaona kama muda hautoshi

Келесі