Jinsi ya Kuswali kwa Ufasaha

Пікірлер: 104

  • @mathayojackson2344
    @mathayojackson23442 жыл бұрын

    Mimi sijaingia kwa uislamu lakini kweli sala yao inanipendeza sana kwanini inanipendeza kwa kuwa kila siku wanaonekana wana sali lakini nam pia nitaongoza kwani ninaye Mwabudu ni Mungu mwenyezi yoye

  • @muumin7118

    @muumin7118

    2 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akuongoze uupate ukweli na umuabudu mola wako kwa ufasaha zaidi🙏🏿

  • @hashimfarsy8862

    @hashimfarsy8862

    Жыл бұрын

    Allah sw akuongoze MashaAllah Kwa kupendezwa na Hilo

  • @sasi_tv6702

    @sasi_tv6702

    Жыл бұрын

    Karibu Katika Uislamu Uje Furahiye Maisha Yako Ya Dunia Na Akhera... Afwan

  • @mariamissa4029

    @mariamissa4029

    6 ай бұрын

    Karibu ktk dini ya khaki

  • @user-qj9sn5ge3b

    @user-qj9sn5ge3b

    3 ай бұрын

    Fata moyo wako

  • @Fatuma_12323
    @Fatuma_123235 ай бұрын

    Allah awawekee ilman naafia kwa wenye hawajui Ameen Inshallah 😊😊

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw10 ай бұрын

    Mashallah Ila ukiisoma dua ya kufungulia swala ,hautakiwi kuirimia Tena takbira

  • @shadiaaboud-rn4gf
    @shadiaaboud-rn4gf Жыл бұрын

    Masha Allah Allah akufanyie wepes inshallah

  • @nurukamtande1657
    @nurukamtande1657 Жыл бұрын

    Jazakallah Khair

  • @mariamuselemani3192
    @mariamuselemani31922 жыл бұрын

    Allah atujaze yaliyo ya kheri

  • @officialmarrow3845
    @officialmarrow3845 Жыл бұрын

    Allahu akbar...Masha allah

  • @chikunuru5404
    @chikunuru54046 ай бұрын

    MashaAllah, nilikua natafuta video kama hii yenye maana ya maneno ya swala. Japo cjapata yote

  • @user-kr6zp6zj9e
    @user-kr6zp6zj9eАй бұрын

    Shekhe naitwa hawa hassan napenda kuswali lakin sijui nataka kujifunza lakin ndoivo tafadhali nisaidie

  • @ayshamsami1167
    @ayshamsami11672 жыл бұрын

    Mashaallh👰

  • @ismailhussein3723
    @ismailhussein3723 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @HairatySaidi
    @HairatySaidi17 күн бұрын

    Saw nmeeelewaa Asante sana

  • @khadijahussein4019
    @khadijahussein4019 Жыл бұрын

    Maasha Allah

  • @sabihamohd3673
    @sabihamohd36732 жыл бұрын

    Mashaallh

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar2 ай бұрын

    Masha Allah Allah atujalie hekima

  • @user-ke9jf6ny6b
    @user-ke9jf6ny6b11 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah

  • @Tatu-kx8jf
    @Tatu-kx8jf28 күн бұрын

    Napenda kupata msada

  • @Tatu-kx8jf
    @Tatu-kx8jf28 күн бұрын

    Napenda kusoma dini

  • @user-zd5qb9yy6b
    @user-zd5qb9yy6b6 ай бұрын

    Mashalla nimejfunza meng

  • @salmakassim3456
    @salmakassim34562 жыл бұрын

    Asante 🙏

  • @ShamimAlex
    @ShamimAlex4 ай бұрын

    Mashallah

  • @aishayosuf3531
    @aishayosuf35312 жыл бұрын

    Shukrani

  • @judieyasmiin9789
    @judieyasmiin9789 Жыл бұрын

    Allah 🤲🤲🤲

  • @moviolintz
    @moviolintz4 ай бұрын

    Mashaallah 🙏

  • @mwatangachaurembo3405
    @mwatangachaurembo3405 Жыл бұрын

    Maa sha ALLAH Wa jazakallahu khayran

  • @hazlatmajidi5191
    @hazlatmajidi51912 жыл бұрын

    Shukran

  • @user-ux1rg1oz5b
    @user-ux1rg1oz5b8 ай бұрын

    Mashalwhh

  • @user-mm2sq9gz2g
    @user-mm2sq9gz2g10 ай бұрын

    Mashaallah

  • @subiraally7366
    @subiraally73662 жыл бұрын

    Mashalah

  • @muumin7118

    @muumin7118

    2 жыл бұрын

    Barakallah🙏🏿

  • @user-rd3mq8bj1q
    @user-rd3mq8bj1q Жыл бұрын

    Mungu akubrik

  • @user-fj4wx6xd3y
    @user-fj4wx6xd3y4 ай бұрын

    Nimependa❤❤❤❤

  • @jasmineliana5238
    @jasmineliana52384 ай бұрын

    Asante sana mm nilikuwa sijui

  • @eddahmwinzi
    @eddahmwinzi Жыл бұрын

    😘😘😘

  • @bilalbizimana980
    @bilalbizimana9803 ай бұрын

    Nilikua naomba uniandikie kwa wasap please ashhadu kubwa na ndogo. Na tofauti yake ni ipi na huezi kusema ndogo kwa raka y mwisho?

  • @rehemadunia8227
    @rehemadunia82272 жыл бұрын

    Nzuri nimependa mnafundisha vizuri

  • @muumin7118

    @muumin7118

    2 жыл бұрын

    Asante sana tunafurahi kuwa ujumbe umefika kama ulivyokusudiwa Allah atujaalie utekelezaji mzuri wa ibada zake. Amiin🙏🏿

  • @hatimyusufyusuf1253

    @hatimyusufyusuf1253

    2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @rehemaqueen8646
    @rehemaqueen864611 ай бұрын

    Karibu

  • @meterinenanjala9509
    @meterinenanjala9509 Жыл бұрын

    Mimi sijaingia kwa Islam lakini natamani Sana kuingia sababu ya kuswali kila siku

  • @ramearfe9509

    @ramearfe9509

    Жыл бұрын

    MashaAllah mola akuongoxe...ameen

  • @hancekimario9562

    @hancekimario9562

    Жыл бұрын

    Mashaallah Allah akufanyie wepesi

  • @muumin7118

    @muumin7118

    Жыл бұрын

    Fanya kuslimu ili uswali vizur

  • @maulidyusuph1559

    @maulidyusuph1559

    Жыл бұрын

    M.munguh akufanyie wepesi inshaallahu minal aaminin

  • @sasi_tv6702

    @sasi_tv6702

    Жыл бұрын

    Karibu Katika Uislamu Uje Furahiye Maisha Yako Ya Dunia Na Akhera... Afwan

  • @sumaiyamikidadi3589
    @sumaiyamikidadi358911 ай бұрын

    Shukran ❤

  • @jumaexaveryliwalijel6600

    @jumaexaveryliwalijel6600

    10 ай бұрын

    Best

  • @iddially
    @iddially Жыл бұрын

    Usichoke kuangalia utaelewa Tu kwani hakuna zito

  • @user-xn2qm8bi6l
    @user-xn2qm8bi6l6 ай бұрын

    Mh nahitaji kujua zaid

  • @mwanaidially2576
    @mwanaidially25762 жыл бұрын

    Je inawezekan kufunga ramadhan kam huja slimu

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    hujawa mwislam bado

  • @chiamamy8167

    @chiamamy8167

    2 жыл бұрын

    Funga ni kwa ajili ya mwislamu tu

  • @mwanatumujuma4090
    @mwanatumujuma40902 жыл бұрын

    Masha Allah nmejifunza mengi ...

  • @muumin7118

    @muumin7118

    2 жыл бұрын

    Alhamudulilah ni jambo zur ilo

  • @rashidsaleh1828
    @rashidsaleh1828 Жыл бұрын

    Mimi naomba ile dua ambayo umeingia chooni umejisaidia dua unayosoma kuna mda tunaitahitaji kujua vitu vingi lakini ubize wa maisha tunakosa mda wakukaa chini na mtu kujifunza

  • @muumin7118

    @muumin7118

    Жыл бұрын

    Dua ya kutoka chooni n fupi sana unasema tu 'Ghufranaka'

  • @rashidsaleh1828

    @rashidsaleh1828

    4 ай бұрын

    ​@@muumin7118sio dua ya kutoka chooni dua umemaliza kujisaidia haja kubwa au ndogo unasoma dua ipi

  • @abdurazakiabdukadiri9949

    @abdurazakiabdukadiri9949

    4 ай бұрын

    Dua ya kuigia choon ni, allahumma innii audhubika minalkhubuth walkhabaaith

  • @copycopy2729
    @copycopy2729 Жыл бұрын

    Ila napenda kuswali

  • @copycopy2729
    @copycopy2729 Жыл бұрын

    Mm ni mwislam lakin sijui kuswali Wala kuchukua udhu

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    10 ай бұрын

    Njoo nikufunze ndugu yang

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan4773 Жыл бұрын

    A alaikum mimi nina swali je? baada ya shahada hii dua ya mwisho ya kumtaja rasulullah (swa )pmj na nabii Ibrahim (as)nk ni faradhi /lazima au ni sunna tu nauliza hivyo kwa sababu wakati nasoma madras hatukufunishw hivyo nimekuja kujifunza kwenye mitandao wabillahi taufiq

  • @scenic6

    @scenic6

    Жыл бұрын

    Ni lazma ila unaisoma kwenye shahada ya mwisho sio ya kati yaan (baada ya kumaliza rakaa ya mwisho)

  • @mwanamisiramadhan4773

    @mwanamisiramadhan4773

    Жыл бұрын

    @@scenic6 shuqran ila madras hatukufundisha mwisho ilikuwa kwenye shahada tunatoa Salam japo sahi najua alhamdulillah

  • @mwanaidially2576
    @mwanaidially25762 жыл бұрын

    Mim nataka kuslimu je inawezekan

  • @muumin7118

    @muumin7118

    2 жыл бұрын

    Asalaam aleykum ili matendo yako yasajiliwe moja wapo ya kigezo ni kuwa muislamu kwahyo silimu kwanza ndo uanze kufunga

  • @muniraomar5412

    @muniraomar5412

    2 жыл бұрын

    Yes inawezakana. Welcome to the truth religion.

  • @sulaimanafrican8134

    @sulaimanafrican8134

    Жыл бұрын

    Inawezekana.. kusilim

  • @raynar6164
    @raynar6164 Жыл бұрын

    Me nataka kujifunza kuswali

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    10 ай бұрын

    Njoo nikufunze ndugu yang sio kazi kubwa hiyo ukitaka tu utajua

  • @sophiabernard6406
    @sophiabernard6406 Жыл бұрын

    Asalam aleykum, mimi nimeingia kwenye uislam lakini sijui kuswali na kinachoniumizaa nimiezi 3 sasa nipo kwenye uislam bila kuswali kila nikiangalia videos sielewi chochote

  • @muumin7118

    @muumin7118

    Жыл бұрын

    Asalaam aleykum we upo mkoa gan?

  • @muumin7118

    @muumin7118

    Жыл бұрын

    Kama hutojali namba yangu 0718235197 nitafute tuongee ili tujue tunatatuaje ilo suala

  • @iddially

    @iddially

    Жыл бұрын

    Usichoke kuangalia utaelewa Tu kwani hakuna zito

  • @frdosr5794

    @frdosr5794

    8 ай бұрын

    Allahu Akbar!Allahu Akbar!Allahu Akbar!Masha Allah tabarakalah,mimi nilikuwa hivo basi Alihamdulillah nikajiunga na madrasa iliyokuwa karibu,Nashukuru Allah maana hata mwezi mmoja haukuisha,nikajua hatua hadi nyingine,Takbir!mpaka Salah.Tia bidii Kaka,Allah akufanyie wepesi InshaAllah.Mimi najivunia kuwa muislam.

  • @rosemose8174
    @rosemose8174 Жыл бұрын

    Natamani kujua kuswali jamani

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    10 ай бұрын

    Njoo nikufunze ndugu yang sio kazi kubwa hiyo ukitaka tu utajua

  • @emmanuelalbert
    @emmanuelalbert Жыл бұрын

    Natamn niingie uislam lakn cjui nianzie wap

  • @khadijahussein4019

    @khadijahussein4019

    Жыл бұрын

    Mbn rahisi uko wap ww

  • @gsjudeu8052
    @gsjudeu8052 Жыл бұрын

    Je km ujui kuswali waeza kuswali kw kutafilia kw simu lbda ili uje kuswali

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    10 ай бұрын

    Njoo nikufunze ndugu yang sio kazi kubwa hiyo

  • @user-lq6ub5mz1j

    @user-lq6ub5mz1j

    7 ай бұрын

    ​@@YahyaYahya-vp2pphey

  • @salmasudi8901
    @salmasudi8901 Жыл бұрын

    Naomba namba zako xa watsap natKa kujifunza zaidii

  • @muumin7118

    @muumin7118

    Жыл бұрын

    0718235197

  • @nuiyaswalehe3421
    @nuiyaswalehe3421 Жыл бұрын

    Mashaallh

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia650910 ай бұрын

    Mashaallah

  • @maryamabdallah1609
    @maryamabdallah1609 Жыл бұрын

    Shukran

  • @subiraally7366
    @subiraally73662 жыл бұрын

    Mashalah

  • @hassansuleiman9083
    @hassansuleiman90832 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @johnsonmlay5371

    @johnsonmlay5371

    6 ай бұрын

    Mm nataka kuslm lakin sielewi namna ya kuswal naomben mnielekeze au mpka nisilm