Jinsi ya Kununua bidhaa Mtandao wa Alibaba.com bila Kusafiri Mjasiriamali.

Пікірлер: 44

  • @Sir.Luquman
    @Sir.Luquman Жыл бұрын

    Nime appreciate , endelea kutoa elimu 🙏🙏🙏🙏👍

  • @IptysamKhamis-jq8wl
    @IptysamKhamis-jq8wl Жыл бұрын

    Mie ningependa unifahamishee kila kitu ungekua na group ukatuungaaa

  • @user-ew6ml9yz7w
    @user-ew6ml9yz7w4 ай бұрын

    Nawezaje kupata shipping agent

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62022 жыл бұрын

    Ahsante kwa elimu hii ubarikiwe drB

  • @mushitrials9808
    @mushitrials9808 Жыл бұрын

    Yes you know what you are talking about. Thanks

  • @leahphilipo7935
    @leahphilipo7935 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana nimejifunza Jambo kubwa

  • @WinifredKakulu
    @WinifredKakulu7 ай бұрын

    Asante sana kiongoz,, naomba nipate mawasiliano

  • @williamngelela5290
    @williamngelela52909 ай бұрын

    Ahsante sana mwalimu Kwa mafunzo mazuri mungu akubariki sana lakini nilikuwa naomba utufundishe mambo haya mawili pia 1. Namna ya kudai refund Kwenye application ya Alibaba pindi wanaposhindwa kukutumia mzigo. 2. Namna ya kupata ma agent waaminifu na wauhakika wa kusafirisha mzigo kuja Tanzania ikiwezekana tutajie na mifano au baadhi ya unaofanya nao kazi ya kukuletea bidhaa zako. 3. Je Kwa watu wa mikoani Kuna uwezekano wa kutumiwa mzigo kutoka dar, ukafika dar Af ukasafirishwa Tena Hadi mkoani au Hadi tufike kupokea mzigo Dar. 🙏🙏 🙏🙏🙏🙏 Zaidi ya yotee Nashukuru sana Kwa elimu nzuri unayotupatia Mungu akubariki sana

  • @KadilJumma-lo3cz
    @KadilJumma-lo3cz10 ай бұрын

    Unawezaje kuunganisha order na malipo wakati WA kununua?

  • @user-lt9ri9ru2j
    @user-lt9ri9ru2j10 ай бұрын

    Somo zuri

  • @tamimmohd8980
    @tamimmohd8980 Жыл бұрын

    Habar boss

  • @amanibache4566
    @amanibache4566 Жыл бұрын

    safi sana.

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Жыл бұрын

    Naomb namba yko

  • @philipofelixkamuhabwa6803
    @philipofelixkamuhabwa6803 Жыл бұрын

    Naomba kama mnaweza kunipatia Reclear chair for adult

  • @simonjoseph7156
    @simonjoseph7156 Жыл бұрын

    Ufaa kuwa mwalimu unajua kufundisha nimependa somo

  • @melkiorkitali995
    @melkiorkitali995 Жыл бұрын

    Viziri sana naomba namba yako

  • @BakooElectronics-uy8eh
    @BakooElectronics-uy8eh Жыл бұрын

    Naomba namba yako

  • @neutraltv9393
    @neutraltv9393 Жыл бұрын

    good

  • @abdulmohd3301
    @abdulmohd33012 жыл бұрын

    Safi mwalim.

  • @gracejulius2389
    @gracejulius2389 Жыл бұрын

    Kama huna mtu unae mjua unafanyaje?

  • @dvjkada4873
    @dvjkada4873 Жыл бұрын

    Boss nahiyaji namba Yako kunakitu nataka unisaidie

  • @eustacekyaruzi9089
    @eustacekyaruzi9089 Жыл бұрын

    Nasikiaga waagizaji wanasema mzigo umepelekwa nchi nyingine inatokeaje?

  • @user-bn3mq9yr2l
    @user-bn3mq9yr2l10 ай бұрын

    Kaka Asante sana naomba namba yako tufanye biashara

  • @gemalucas5863
    @gemalucas5863 Жыл бұрын

    Thanks dr

  • @jasminally2628

    @jasminally2628

    Жыл бұрын

    Kaka naomba namba zako niweze kuwasiliana na alibaba nijue nitapataje mzigo kutoka china

  • @PartsonGeofrey-uc4zd
    @PartsonGeofrey-uc4zd Жыл бұрын

    Tunaomba namba yako Ndugu yangu tutalipia ada utundishe namna ya kupata msafirishaji mzuri

  • @gracejulius2389
    @gracejulius2389 Жыл бұрын

    Forwarder ni Nan?

  • @Jastus100
    @Jastus100 Жыл бұрын

    Hao maajenti wa kusafirisha ni kina nani? Je hauwezi kuja kwa njia ya posta

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Жыл бұрын

    Nimeagiza kamzigo kangu hapo Dar tangu julay hadi leo Oktober napigwa tarehe ati mzigo uko bandarini haujaingia 😪🙆🏽‍♂️

  • @alikofrans1487
    @alikofrans1487 Жыл бұрын

    Mifupa kuvimba na kutoka?

  • @gracejulius2389
    @gracejulius2389 Жыл бұрын

    Anae unganisha nani? Bank au alibaba

  • @GabrielDismas-sq9dv
    @GabrielDismas-sq9dv Жыл бұрын

    Namba namba ako ya sim

  • @ghalibhassan6971
    @ghalibhassan6971 Жыл бұрын

    Kaka upo vizuri sana sio tu kitaaluma bali hata kibishara na uzoefu mkubwa sana wa kufikisha ujumbe. Tunawatanzania wachache sana kama wewe na hakika kila atakae ridhika na huduma zako basi ujue mungu anakuzidishia ujuzu wako , mali na mwisho wa siku hakuna mwenyekuzidi upendo wa mungu. Kaka upo vizuri saaaaanaaaa.

  • @onlinemedia1896
    @onlinemedia1896 Жыл бұрын

    naomba namba ako nashida kuongea na wewe bro

  • @gvanmiku9311
    @gvanmiku9311 Жыл бұрын

    Habari ndugu, tunaomba namba zako kwa msaada zaidi please

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 Жыл бұрын

    Hapo kwenye comment sasahivi wazungu wamekua wajanja wanapangana ili uccoment wewe ukiona uamini nimeona sehemu nying iko hvyo

  • @alicekthoya96
    @alicekthoya96 Жыл бұрын

    Vip kama huna agent huko unafanyaje

  • @user-mp9bl1fh3e
    @user-mp9bl1fh3e9 ай бұрын

    Nitumie namba zako kaka

  • @DrboazMkumboMD

    @DrboazMkumboMD

    9 ай бұрын

    0767 030 160

  • @marymashauri8373
    @marymashauri8373 Жыл бұрын

    Nimependa

  • @hellenkisanga2042
    @hellenkisanga2042 Жыл бұрын

    Naomba msaada wako nahitaji kufanya biashara ya human hair ila cjui pakuanzia

  • @JescaTenga

    @JescaTenga

    Жыл бұрын

    Hellen niko kwenye condition kama yako i hope we ushafanikiwa uniasaidie mimi💔

  • @rahmakhalfan3235
    @rahmakhalfan3235 Жыл бұрын

    Namb

  • @tamimmohd8980
    @tamimmohd8980 Жыл бұрын

    Naomba number yako