Jinsi ya Kununua bidhaa Mtandao wa Alibaba.com bila Kusafiri Mjasiriamali.
Жүктеу.....
Пікірлер: 44
@Sir.Luquman Жыл бұрын
Nime appreciate , endelea kutoa elimu 🙏🙏🙏🙏👍
@IptysamKhamis-jq8wl Жыл бұрын
Mie ningependa unifahamishee kila kitu ungekua na group ukatuungaaa
@user-ew6ml9yz7w4 ай бұрын
Nawezaje kupata shipping agent
@shamsahaji62022 жыл бұрын
Ahsante kwa elimu hii ubarikiwe drB
@mushitrials9808 Жыл бұрын
Yes you know what you are talking about. Thanks
@leahphilipo7935 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana nimejifunza Jambo kubwa
@WinifredKakulu7 ай бұрын
Asante sana kiongoz,, naomba nipate mawasiliano
@williamngelela52909 ай бұрын
Ahsante sana mwalimu Kwa mafunzo mazuri mungu akubariki sana lakini nilikuwa naomba utufundishe mambo haya mawili pia 1. Namna ya kudai refund Kwenye application ya Alibaba pindi wanaposhindwa kukutumia mzigo. 2. Namna ya kupata ma agent waaminifu na wauhakika wa kusafirisha mzigo kuja Tanzania ikiwezekana tutajie na mifano au baadhi ya unaofanya nao kazi ya kukuletea bidhaa zako. 3. Je Kwa watu wa mikoani Kuna uwezekano wa kutumiwa mzigo kutoka dar, ukafika dar Af ukasafirishwa Tena Hadi mkoani au Hadi tufike kupokea mzigo Dar. 🙏🙏 🙏🙏🙏🙏 Zaidi ya yotee Nashukuru sana Kwa elimu nzuri unayotupatia Mungu akubariki sana
@KadilJumma-lo3cz10 ай бұрын
Unawezaje kuunganisha order na malipo wakati WA kununua?
@user-lt9ri9ru2j10 ай бұрын
Somo zuri
@tamimmohd8980 Жыл бұрын
Habar boss
@amanibache4566 Жыл бұрын
safi sana.
@hansondaniel-nb2jn Жыл бұрын
Naomb namba yko
@philipofelixkamuhabwa6803 Жыл бұрын
Naomba kama mnaweza kunipatia Reclear chair for adult
@simonjoseph7156 Жыл бұрын
Ufaa kuwa mwalimu unajua kufundisha nimependa somo
@melkiorkitali995 Жыл бұрын
Viziri sana naomba namba yako
@BakooElectronics-uy8eh Жыл бұрын
Naomba namba yako
@neutraltv9393 Жыл бұрын
good
@abdulmohd33012 жыл бұрын
Safi mwalim.
@gracejulius2389 Жыл бұрын
Kama huna mtu unae mjua unafanyaje?
@dvjkada4873 Жыл бұрын
Boss nahiyaji namba Yako kunakitu nataka unisaidie
@eustacekyaruzi9089 Жыл бұрын
Nasikiaga waagizaji wanasema mzigo umepelekwa nchi nyingine inatokeaje?
@user-bn3mq9yr2l10 ай бұрын
Kaka Asante sana naomba namba yako tufanye biashara
@gemalucas5863 Жыл бұрын
Thanks dr
@jasminally2628
Жыл бұрын
Kaka naomba namba zako niweze kuwasiliana na alibaba nijue nitapataje mzigo kutoka china
@PartsonGeofrey-uc4zd Жыл бұрын
Tunaomba namba yako Ndugu yangu tutalipia ada utundishe namna ya kupata msafirishaji mzuri
@gracejulius2389 Жыл бұрын
Forwarder ni Nan?
@Jastus100 Жыл бұрын
Hao maajenti wa kusafirisha ni kina nani? Je hauwezi kuja kwa njia ya posta
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Nimeagiza kamzigo kangu hapo Dar tangu julay hadi leo Oktober napigwa tarehe ati mzigo uko bandarini haujaingia 😪🙆🏽♂️
@alikofrans1487 Жыл бұрын
Mifupa kuvimba na kutoka?
@gracejulius2389 Жыл бұрын
Anae unganisha nani? Bank au alibaba
@GabrielDismas-sq9dv Жыл бұрын
Namba namba ako ya sim
@ghalibhassan6971 Жыл бұрын
Kaka upo vizuri sana sio tu kitaaluma bali hata kibishara na uzoefu mkubwa sana wa kufikisha ujumbe. Tunawatanzania wachache sana kama wewe na hakika kila atakae ridhika na huduma zako basi ujue mungu anakuzidishia ujuzu wako , mali na mwisho wa siku hakuna mwenyekuzidi upendo wa mungu. Kaka upo vizuri saaaaanaaaa.
@onlinemedia1896 Жыл бұрын
naomba namba ako nashida kuongea na wewe bro
@gvanmiku9311 Жыл бұрын
Habari ndugu, tunaomba namba zako kwa msaada zaidi please
@nasrimbaraka341 Жыл бұрын
Hapo kwenye comment sasahivi wazungu wamekua wajanja wanapangana ili uccoment wewe ukiona uamini nimeona sehemu nying iko hvyo
@alicekthoya96 Жыл бұрын
Vip kama huna agent huko unafanyaje
@user-mp9bl1fh3e9 ай бұрын
Nitumie namba zako kaka
@DrboazMkumboMD
9 ай бұрын
0767 030 160
@marymashauri8373 Жыл бұрын
Nimependa
@hellenkisanga2042 Жыл бұрын
Naomba msaada wako nahitaji kufanya biashara ya human hair ila cjui pakuanzia
@JescaTenga
Жыл бұрын
Hellen niko kwenye condition kama yako i hope we ushafanikiwa uniasaidie mimi💔
Пікірлер: 44
Nime appreciate , endelea kutoa elimu 🙏🙏🙏🙏👍
Mie ningependa unifahamishee kila kitu ungekua na group ukatuungaaa
Nawezaje kupata shipping agent
Ahsante kwa elimu hii ubarikiwe drB
Yes you know what you are talking about. Thanks
Ubarikiwe Sana nimejifunza Jambo kubwa
Asante sana kiongoz,, naomba nipate mawasiliano
Ahsante sana mwalimu Kwa mafunzo mazuri mungu akubariki sana lakini nilikuwa naomba utufundishe mambo haya mawili pia 1. Namna ya kudai refund Kwenye application ya Alibaba pindi wanaposhindwa kukutumia mzigo. 2. Namna ya kupata ma agent waaminifu na wauhakika wa kusafirisha mzigo kuja Tanzania ikiwezekana tutajie na mifano au baadhi ya unaofanya nao kazi ya kukuletea bidhaa zako. 3. Je Kwa watu wa mikoani Kuna uwezekano wa kutumiwa mzigo kutoka dar, ukafika dar Af ukasafirishwa Tena Hadi mkoani au Hadi tufike kupokea mzigo Dar. 🙏🙏 🙏🙏🙏🙏 Zaidi ya yotee Nashukuru sana Kwa elimu nzuri unayotupatia Mungu akubariki sana
Unawezaje kuunganisha order na malipo wakati WA kununua?
Somo zuri
Habar boss
safi sana.
Naomb namba yko
Naomba kama mnaweza kunipatia Reclear chair for adult
Ufaa kuwa mwalimu unajua kufundisha nimependa somo
Viziri sana naomba namba yako
Naomba namba yako
good
Safi mwalim.
Kama huna mtu unae mjua unafanyaje?
Boss nahiyaji namba Yako kunakitu nataka unisaidie
Nasikiaga waagizaji wanasema mzigo umepelekwa nchi nyingine inatokeaje?
Kaka Asante sana naomba namba yako tufanye biashara
Thanks dr
@jasminally2628
Жыл бұрын
Kaka naomba namba zako niweze kuwasiliana na alibaba nijue nitapataje mzigo kutoka china
Tunaomba namba yako Ndugu yangu tutalipia ada utundishe namna ya kupata msafirishaji mzuri
Forwarder ni Nan?
Hao maajenti wa kusafirisha ni kina nani? Je hauwezi kuja kwa njia ya posta
Nimeagiza kamzigo kangu hapo Dar tangu julay hadi leo Oktober napigwa tarehe ati mzigo uko bandarini haujaingia 😪🙆🏽♂️
Mifupa kuvimba na kutoka?
Anae unganisha nani? Bank au alibaba
Namba namba ako ya sim
Kaka upo vizuri sana sio tu kitaaluma bali hata kibishara na uzoefu mkubwa sana wa kufikisha ujumbe. Tunawatanzania wachache sana kama wewe na hakika kila atakae ridhika na huduma zako basi ujue mungu anakuzidishia ujuzu wako , mali na mwisho wa siku hakuna mwenyekuzidi upendo wa mungu. Kaka upo vizuri saaaaanaaaa.
naomba namba ako nashida kuongea na wewe bro
Habari ndugu, tunaomba namba zako kwa msaada zaidi please
Hapo kwenye comment sasahivi wazungu wamekua wajanja wanapangana ili uccoment wewe ukiona uamini nimeona sehemu nying iko hvyo
Vip kama huna agent huko unafanyaje
Nitumie namba zako kaka
@DrboazMkumboMD
9 ай бұрын
0767 030 160
Nimependa
Naomba msaada wako nahitaji kufanya biashara ya human hair ila cjui pakuanzia
@JescaTenga
Жыл бұрын
Hellen niko kwenye condition kama yako i hope we ushafanikiwa uniasaidie mimi💔
Namb
Naomba number yako