AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS
Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.
Пікірлер: 104
Wee Bwana unatufumbua macho barikiwa sana from Nyanda za juu kusini.
Thanks Brother. Umewatafunia vijana ajira Washindwe Wenyewe🥂
Ahsante Kaka naomba uniunganyishe na Ruben
Asante Sana mungu akubariki
Thanks Francis. Good. But where do we put the postal address details.? How and what goes to where on the form that record those details.?
Samahani kaka nilikua nataka kujua. Ivi ni gharama gani wanakata pale posta. Nimeagiza graphic card ya laki tatu. Nilikua naomba namba tuzungumze
@TechAfrica
11 ай бұрын
Bila samahani, gharama za posta kwa mzigo wowote wenye uzito chini ya nusu kilo utalipia $1, ila nashauri ufike tu posta watauelekeza kwani inawezekana kuna mabadiliko
Asante nampataje huyo Luben
Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza
Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada
Kaka nataka niagize baiskeli,,vip kwa kukadilia kodi ntakayolipa posta itakuwa sh ngp,,, baiskel ina kg 35
Tunaweza kuagiza kutoka USA , UK, Turkey, Dubai, India , Ebay na Amazon na kuletewa Dar es salaam kwa njia na bei rahisi? Kama una idea tafadhali make a video on it
Sanduku la posta kias gani kwa mwaka?
Kipindi kizuri sana kaka endelea kutuletea maalumati
Naomba niuge KWENYE group
🔥👍
Let say labda sina p.o.box nafany vp ili niagize mzigo unifikie?
Naomba no. Yako
Kaka naomba namba yako ya simu
Me naitaj kujua jinsi y kulipa na address cna me niko dar kaka nataka kununua alibaba
Naomba namba ya huyo ambae hua anawasaidia kuagiza mzigo
Naomba namba yako kiongoz ili unisaidie maelekezo kama hotojali
Naomba unieleweshe, endapo nikiagiza bidhaa yang ikafika bandarini ni nani atakayeilipia kodi??
@TechAfrica
4 ай бұрын
Bidhaa ndogo ndogo kuanzia dola 5 kushuka chini haulipii kodi lakini zile za kulipia utalipia zikifika posta kwenye ofisi ya customs
adress uliweka ipi
Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi
Nakubali kaka mkubwa, nipe contact yako
Hamna delivery mpaka nyumbani kama kikuu
Tufanyie na ebay please
Mungu atakubariki ipasavyo
@TechAfrica
Жыл бұрын
Amen
naomba niunge kweny group
Nipe no ya ruben
AliExpress, mbona kuna changamoto, minimepataaaa, nifanyeje asee, kabla sijasubscibe
@TechAfrica
9 ай бұрын
Umepata changamoto gani mkuu?
Namba yako sasa
vp bro
Au km inawezekana nipe no yako.
Habari
@titoantony3500
Жыл бұрын
Habari
@rutwizovideo1369
Жыл бұрын
Sarama
@rutwizovideo1369
Жыл бұрын
Sarama
Naomba no yako broo
Kama sina sanduku la posta nafanyaje
Naomba namba yako boss
niunge kaka kwenye group
Nipo dodoma je Kama bidhaa ikifika inaweza letwa kupitia posta mpaka dodoma mkuu???
@TechAfrica
Жыл бұрын
Yes, inafika kwenye box adress yako ya Dodoma
Nitumie jina la Ruben
@TechAfrica
Жыл бұрын
Jina lake ndio hilo hilo Ruben, kuwasiliana naye ingia kwenye group hili la whatsapp kwa kutumia link hii chat.whatsapp.com/EE31zfsMCbB1kID5y3RpAD
Samhn naomba kuuliza je Nikuwa na p o box hatakama nikuwa mkoani bidhaa itanifikia nilipo?
@TechAfrica
Жыл бұрын
Ndio, ukiwa na P. O. Box basi bidhaa zinakufukia popote pale, zinaweza kuchelewa kidogo kuliko mtu aliyeko mjini kwenye mikoa mikubwa hii
Naomba maelekezo jinsi ya kumpata huyo rafiki Yako Ruben
Unapatikana wapi? Au naomba mawasiliano ili unielekeze vizuri au kama kuna uwezekano nikuone ana kwa ana. Asante sana umeelewesha vizuri
@TechAfrica
9 ай бұрын
Habari, asante. Naomba unitumie email kwa tekinafrica@gmail.com
Nimefanya malipo hela Imekatwa lakini naambiwa my order is closed nifanyaje?
@chekatvshow5610
Жыл бұрын
Wahuni sn
nipe no yako
mambo vip kaka hivi kaka nikitaka kuagiza mzigo kupitia alibaba nitawezaji kusafirishwa kwa urahis na bei nafuu
Niunganyishe nae
Umeweka video lakin hamna no
Naomba nambaa
@chekatvshow5610
Жыл бұрын
Hao jamaa sio waaminifu nmenunua item toka 1/5/2023 adi leo mara inaonesha imekuwa derivered netherland @ tracking number mara imekuwa derivered Tanzania so mpaka leo
Nahitaji vitambaa vya kuvaa kicjwani
Samahani kaka inanipa changamoto kwenye wakati wa kuweka address nisaidie kwa hili coz nimeshindwa niweke ipi
@TechAfrica
Жыл бұрын
Kwenye address unaweka P. O. Box number yako na mkoa uliopo
Mm nipo zanzibar lakn cn sanduku la posta na nataka kununua bidhaaa aliexpress? je ni njia gan nitaweza kutumia
@TechAfrica
Жыл бұрын
Sasa kwa Zanzibar sijajua mnatumia njia gani kuingiza mizigo, lakini kama una rafiki mwenye sanduku la posta na anaishi Dar, anaweza kukuagizia Kisha akakutumia Zanzibar
@Jastus100
Жыл бұрын
Andika poste restante kweny address yako ya AliExpress watatuma kwa posta ofisi za mkoa uliopo.....huwa nafanya hivyo na bidhaa nazipata posta ,wanakupigia simu mzigo wako ukifika
@myfuraha936
9 ай бұрын
@@Jastus100 kama hutojali naomba mawasiliano yako. Nahitaji kuagiza
Ikitokea mzigo umefika posta lakini upo mbali,gharama ya posta itaongezeka?,na Kuna uwezekano wa mtu mwngne kunchukulia bidhaa kwa posta yangu mwenyewe?
@TechAfrica
Жыл бұрын
Mzigo ukifika posta na ukachelewa kuuchukua hakuna gharama inayoongezeka, na ndio unaweza kumtuma mtu akakuchukulia mzigo chamsingi ummpe Kitambulisho chako kinachofahamika na Posta na pia awe ni kile kikaratasi kinachowekwa kwenye Box lako la Posta
una tumia njia ipi sasa
Kazi nzuri broo mi napata shida nikitaka kununua bizaa shida inakuja kwenye apply promo code sijui nijaze nini kila nikitaka kununu inakataa
@TechAfrica
Жыл бұрын
Sasa promo code ni mpaka muuzaji akupe, kwahiyo kama hauna promo code bado skip tu.
naomba namba yako brother
@TechAfrica
Жыл бұрын
Kwema kaka, kwa sasa nimeacha kutoa kaka kwani watu wengi sana wanakua wananitafuta so kama hutojali naomba nikupe email address mkuu, francislomwiko@gmail.com
@RoseDavidi
Жыл бұрын
@@TechAfrica bro naomba unieleweshe jishi yakuopokea mzigo kwa kutumia speed off ya arusha kwa maana kunavideo ambao umeiongelea na sijui inavyofanya kazi
nimelipia mzigo ali express , tareh 23 mwez wa 8 walinambia utakuwa umefika ila paka sasa kimya.
@luckysichone6705
Жыл бұрын
Umepigwa cha kicha
Je mzigo ukifika Tanzania unaenda kuupokea wapi
@TechAfrica
Жыл бұрын
Mzigo ukifika unauchukulia posta kwenye sanduku lako la posta
@luckysichone6705
Жыл бұрын
Bandalini
Vifaa vya umeme kupima
Nataka kufaham Zaid nini maana ya wifi nainafanya kazi vipi kwa umbali gani
@TechAfrica
2 жыл бұрын
Wi-Fi ni Wireless Fidelity au kwa maana rahisi ni mtandao kwa njia isiyo ya wire. Wi-Fi zinafanya kazi vizuri ndani ya mita 10 pia pasiwepo na vizuizi kama vile ukuta au Miti mingi
Ukihitaj laptop
nataka uniunganixhe nauyi lube
nifundishe kuagiza kitu ebey
unapofata posta unatozwa Kodi?
@TechAfrica
Жыл бұрын
Yes, kwa mzigo wowote chini ya nusu kilo ni sh 2300 au $1
@hamidmohammed7808
Жыл бұрын
Mkuu vip hali m napenda kuuliz kama utatumia kadi ya bank je unahakikishaje u Salam wakadi yko kma hawez kukuibia hela zaid
@TechAfrica
Жыл бұрын
@@hamidmohammed7808 salama kabisa mkuu, sasa kama utaamua kutumia kadi ya benki basi ni muhimu ukaunganisha na app kama PayPal halafu utumie hiyo PayPal kufanya malipo na sio kuingiza namba za kadi kwenye website ya manunuzi
@hamidmohammed7808
Жыл бұрын
@@TechAfrica OK shukran San mkuu sas iyo app ni ishu nyengin sas Kwenye mtumiz ina hitjia elimu
@hamidmohammed7808
Жыл бұрын
Halafu naomb msaad mimi natak kufunguka account ya alibab naon uku Wana vtu rahis lkini nashindwa kwa kweli hasa kwa simu cjui nkwama wapi unaez nisaidia nikafnkish hili
kaka mimi niko arusha wewe unapatikana maeneo gan
@TechAfrica
Жыл бұрын
kwasasa nafanyia kazi nyumbani ila nikishakua na ofisi rasmi nitawaambia
@chrissally2397
Жыл бұрын
Dhaaa nilitaman unielekeze namna sahihi ya kuagiza na niwe na address yangu ambayo nitakuwa napata mzigo wangu nimeangalia video nyingi zako ila nataman sana nionane nawe
@TechAfrica
Жыл бұрын
@@chrissally2397 naweza kukuelekeza tu kaka, kwani umekwama wapi?
@philipojames7889
10 ай бұрын
Namba zako Blo nimekwama
Unaipataje hiyo P O BOX adress
Bro watsapp group ya jamaa tuagize mzigo china