AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS

Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.

Пікірлер: 104

  • @ellymligo4300
    @ellymligo4300 Жыл бұрын

    Wee Bwana unatufumbua macho barikiwa sana from Nyanda za juu kusini.

  • @elirehemamollel4302
    @elirehemamollel43025 ай бұрын

    Thanks Brother. Umewatafunia vijana ajira Washindwe Wenyewe🥂

  • @jumamfaume4633
    @jumamfaume46338 ай бұрын

    Ahsante Kaka naomba uniunganyishe na Ruben

  • @user-fj3dm6gy1c
    @user-fj3dm6gy1c4 ай бұрын

    Asante Sana mungu akubariki

  • @anoldel-math2322
    @anoldel-math2322 Жыл бұрын

    Thanks Francis. Good. But where do we put the postal address details.? How and what goes to where on the form that record those details.?

  • @user-fu3ow3xs6i
    @user-fu3ow3xs6i11 ай бұрын

    Samahani kaka nilikua nataka kujua. Ivi ni gharama gani wanakata pale posta. Nimeagiza graphic card ya laki tatu. Nilikua naomba namba tuzungumze

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    11 ай бұрын

    Bila samahani, gharama za posta kwa mzigo wowote wenye uzito chini ya nusu kilo utalipia $1, ila nashauri ufike tu posta watauelekeza kwani inawezekana kuna mabadiliko

  • @AlbertMsemwa
    @AlbertMsemwa9 ай бұрын

    Asante nampataje huyo Luben

  • @user-fj3dm6gy1c
    @user-fj3dm6gy1c4 ай бұрын

    Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza

  • @hafidhmwadin7154
    @hafidhmwadin71545 күн бұрын

    Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada

  • @musamwibela1179
    @musamwibela117911 ай бұрын

    Kaka nataka niagize baiskeli,,vip kwa kukadilia kodi ntakayolipa posta itakuwa sh ngp,,, baiskel ina kg 35

  • @altafyusuf7638
    @altafyusuf7638 Жыл бұрын

    Tunaweza kuagiza kutoka USA , UK, Turkey, Dubai, India , Ebay na Amazon na kuletewa Dar es salaam kwa njia na bei rahisi? Kama una idea tafadhali make a video on it

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro514728 күн бұрын

    Sanduku la posta kias gani kwa mwaka?

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 Жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana kaka endelea kutuletea maalumati

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv9103 ай бұрын

    Naomba niuge KWENYE group

  • @rexstudio4303
    @rexstudio4303 Жыл бұрын

    🔥👍

  • @davsaxandre822
    @davsaxandre8222 ай бұрын

    Let say labda sina p.o.box nafany vp ili niagize mzigo unifikie?

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t21 күн бұрын

    Naomba no. Yako

  • @araphathmohammedmmassy5785
    @araphathmohammedmmassy57852 жыл бұрын

    Kaka naomba namba yako ya simu

  • @HawaMsafirf-hf7ib
    @HawaMsafirf-hf7ib Жыл бұрын

    Me naitaj kujua jinsi y kulipa na address cna me niko dar kaka nataka kununua alibaba

  • @rutwizovideo1369
    @rutwizovideo1369 Жыл бұрын

    Naomba namba ya huyo ambae hua anawasaidia kuagiza mzigo

  • @pastorlugad4771
    @pastorlugad4771 Жыл бұрын

    Naomba namba yako kiongoz ili unisaidie maelekezo kama hotojali

  • @diamondjx
    @diamondjx Жыл бұрын

    Naomba unieleweshe, endapo nikiagiza bidhaa yang ikafika bandarini ni nani atakayeilipia kodi??

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    4 ай бұрын

    Bidhaa ndogo ndogo kuanzia dola 5 kushuka chini haulipii kodi lakini zile za kulipia utalipia zikifika posta kwenye ofisi ya customs

  • @discoverbless
    @discoverbless20 күн бұрын

    adress uliweka ipi

  • @charlesnipala
    @charlesnipala18 күн бұрын

    Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi

  • @Forexmillionaire820
    @Forexmillionaire820 Жыл бұрын

    Nakubali kaka mkubwa, nipe contact yako

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t21 күн бұрын

    Hamna delivery mpaka nyumbani kama kikuu

  • @edsonnyandindi-dk3ws
    @edsonnyandindi-dk3ws Жыл бұрын

    Tufanyie na ebay please

  • @piuspradius3503
    @piuspradius3503 Жыл бұрын

    Mungu atakubariki ipasavyo

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Amen

  • @AlexOnjakiAlexOnjaki
    @AlexOnjakiAlexOnjaki3 ай бұрын

    naomba niunge kweny group

  • @AntidiusAlfred-zq8td
    @AntidiusAlfred-zq8td11 ай бұрын

    Nipe no ya ruben

  • @sagen4868
    @sagen48689 ай бұрын

    AliExpress, mbona kuna changamoto, minimepataaaa, nifanyeje asee, kabla sijasubscibe

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    9 ай бұрын

    Umepata changamoto gani mkuu?

  • @wilsonmollel3168
    @wilsonmollel3168 Жыл бұрын

    Namba yako sasa

  • @user-ri9uw6vn1v
    @user-ri9uw6vn1v Жыл бұрын

    vp bro

  • @hellenkisanga2042
    @hellenkisanga2042 Жыл бұрын

    Au km inawezekana nipe no yako.

  • @rutwizovideo1369
    @rutwizovideo1369 Жыл бұрын

    Habari

  • @titoantony3500

    @titoantony3500

    Жыл бұрын

    Habari

  • @rutwizovideo1369

    @rutwizovideo1369

    Жыл бұрын

    Sarama

  • @rutwizovideo1369

    @rutwizovideo1369

    Жыл бұрын

    Sarama

  • @muuhnation1359
    @muuhnation13598 ай бұрын

    Naomba no yako broo

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t21 күн бұрын

    Kama sina sanduku la posta nafanyaje

  • @pastorlugad4771
    @pastorlugad4771 Жыл бұрын

    Naomba namba yako boss

  • @rdjmtukuyu2266
    @rdjmtukuyu2266 Жыл бұрын

    niunge kaka kwenye group

  • @rebeccaluwumba6326
    @rebeccaluwumba6326 Жыл бұрын

    Nipo dodoma je Kama bidhaa ikifika inaweza letwa kupitia posta mpaka dodoma mkuu???

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Yes, inafika kwenye box adress yako ya Dodoma

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Жыл бұрын

    Nitumie jina la Ruben

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Jina lake ndio hilo hilo Ruben, kuwasiliana naye ingia kwenye group hili la whatsapp kwa kutumia link hii chat.whatsapp.com/EE31zfsMCbB1kID5y3RpAD

  • @jamesmmbando4590
    @jamesmmbando4590 Жыл бұрын

    Samhn naomba kuuliza je Nikuwa na p o box hatakama nikuwa mkoani bidhaa itanifikia nilipo?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Ndio, ukiwa na P. O. Box basi bidhaa zinakufukia popote pale, zinaweza kuchelewa kidogo kuliko mtu aliyeko mjini kwenye mikoa mikubwa hii

  • @juniorfrancis738
    @juniorfrancis738 Жыл бұрын

    Naomba maelekezo jinsi ya kumpata huyo rafiki Yako Ruben

  • @myfuraha936
    @myfuraha9369 ай бұрын

    Unapatikana wapi? Au naomba mawasiliano ili unielekeze vizuri au kama kuna uwezekano nikuone ana kwa ana. Asante sana umeelewesha vizuri

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    9 ай бұрын

    Habari, asante. Naomba unitumie email kwa tekinafrica@gmail.com

  • @fatumamhina9950
    @fatumamhina9950 Жыл бұрын

    Nimefanya malipo hela Imekatwa lakini naambiwa my order is closed nifanyaje?

  • @chekatvshow5610

    @chekatvshow5610

    Жыл бұрын

    Wahuni sn

  • @emanuelmsafiri1946
    @emanuelmsafiri1946 Жыл бұрын

    nipe no yako

  • @chrissally2397
    @chrissally2397 Жыл бұрын

    mambo vip kaka hivi kaka nikitaka kuagiza mzigo kupitia alibaba nitawezaji kusafirishwa kwa urahis na bei nafuu

  • @jumamfaume4633
    @jumamfaume46338 ай бұрын

    Niunganyishe nae

  • @erickjohn5209
    @erickjohn5209 Жыл бұрын

    Umeweka video lakin hamna no

  • @elishambawala9915
    @elishambawala9915 Жыл бұрын

    Naomba nambaa

  • @chekatvshow5610

    @chekatvshow5610

    Жыл бұрын

    Hao jamaa sio waaminifu nmenunua item toka 1/5/2023 adi leo mara inaonesha imekuwa derivered netherland @ tracking number mara imekuwa derivered Tanzania so mpaka leo

  • @mwanaidimbokozi2836
    @mwanaidimbokozi2836 Жыл бұрын

    Nahitaji vitambaa vya kuvaa kicjwani

  • @ntunzutzwamkoa3597
    @ntunzutzwamkoa3597 Жыл бұрын

    Samahani kaka inanipa changamoto kwenye wakati wa kuweka address nisaidie kwa hili coz nimeshindwa niweke ipi

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Kwenye address unaweka P. O. Box number yako na mkoa uliopo

  • @Channel9Tv
    @Channel9Tv Жыл бұрын

    Mm nipo zanzibar lakn cn sanduku la posta na nataka kununua bidhaaa aliexpress? je ni njia gan nitaweza kutumia

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Sasa kwa Zanzibar sijajua mnatumia njia gani kuingiza mizigo, lakini kama una rafiki mwenye sanduku la posta na anaishi Dar, anaweza kukuagizia Kisha akakutumia Zanzibar

  • @Jastus100

    @Jastus100

    Жыл бұрын

    Andika poste restante kweny address yako ya AliExpress watatuma kwa posta ofisi za mkoa uliopo.....huwa nafanya hivyo na bidhaa nazipata posta ,wanakupigia simu mzigo wako ukifika

  • @myfuraha936

    @myfuraha936

    9 ай бұрын

    @@Jastus100 kama hutojali naomba mawasiliano yako. Nahitaji kuagiza

  • @simulizi_tamu26
    @simulizi_tamu26 Жыл бұрын

    Ikitokea mzigo umefika posta lakini upo mbali,gharama ya posta itaongezeka?,na Kuna uwezekano wa mtu mwngne kunchukulia bidhaa kwa posta yangu mwenyewe?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Mzigo ukifika posta na ukachelewa kuuchukua hakuna gharama inayoongezeka, na ndio unaweza kumtuma mtu akakuchukulia mzigo chamsingi ummpe Kitambulisho chako kinachofahamika na Posta na pia awe ni kile kikaratasi kinachowekwa kwenye Box lako la Posta

  • @emanuelmsafiri1946
    @emanuelmsafiri1946 Жыл бұрын

    una tumia njia ipi sasa

  • @paschalntambara5244
    @paschalntambara5244 Жыл бұрын

    Kazi nzuri broo mi napata shida nikitaka kununua bizaa shida inakuja kwenye apply promo code sijui nijaze nini kila nikitaka kununu inakataa

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Sasa promo code ni mpaka muuzaji akupe, kwahiyo kama hauna promo code bado skip tu.

  • @jacksonelphas7256
    @jacksonelphas7256 Жыл бұрын

    naomba namba yako brother

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Kwema kaka, kwa sasa nimeacha kutoa kaka kwani watu wengi sana wanakua wananitafuta so kama hutojali naomba nikupe email address mkuu, francislomwiko@gmail.com

  • @RoseDavidi

    @RoseDavidi

    Жыл бұрын

    @@TechAfrica bro naomba unieleweshe jishi yakuopokea mzigo kwa kutumia speed off ya arusha kwa maana kunavideo ambao umeiongelea na sijui inavyofanya kazi

  • @allychondoma8430
    @allychondoma8430 Жыл бұрын

    nimelipia mzigo ali express , tareh 23 mwez wa 8 walinambia utakuwa umefika ila paka sasa kimya.

  • @luckysichone6705

    @luckysichone6705

    Жыл бұрын

    Umepigwa cha kicha

  • @Hussein_nails_tz
    @Hussein_nails_tz Жыл бұрын

    Je mzigo ukifika Tanzania unaenda kuupokea wapi

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Mzigo ukifika unauchukulia posta kwenye sanduku lako la posta

  • @luckysichone6705

    @luckysichone6705

    Жыл бұрын

    Bandalini

  • @KalimuLiuche
    @KalimuLiuche7 ай бұрын

    Vifaa vya umeme kupima

  • @rashidmashaka1264
    @rashidmashaka12642 жыл бұрын

    Nataka kufaham Zaid nini maana ya wifi nainafanya kazi vipi kwa umbali gani

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    2 жыл бұрын

    Wi-Fi ni Wireless Fidelity au kwa maana rahisi ni mtandao kwa njia isiyo ya wire. Wi-Fi zinafanya kazi vizuri ndani ya mita 10 pia pasiwepo na vizuizi kama vile ukuta au Miti mingi

  • @waltermathias2415
    @waltermathias2415 Жыл бұрын

    Ukihitaj laptop

  • @Mengivoices
    @Mengivoices Жыл бұрын

    nataka uniunganixhe nauyi lube

  • @user-mk2mf6xt3n
    @user-mk2mf6xt3n10 ай бұрын

    nifundishe kuagiza kitu ebey

  • @NaimaCreation
    @NaimaCreation Жыл бұрын

    unapofata posta unatozwa Kodi?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Yes, kwa mzigo wowote chini ya nusu kilo ni sh 2300 au $1

  • @hamidmohammed7808

    @hamidmohammed7808

    Жыл бұрын

    Mkuu vip hali m napenda kuuliz kama utatumia kadi ya bank je unahakikishaje u Salam wakadi yko kma hawez kukuibia hela zaid

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    @@hamidmohammed7808 salama kabisa mkuu, sasa kama utaamua kutumia kadi ya benki basi ni muhimu ukaunganisha na app kama PayPal halafu utumie hiyo PayPal kufanya malipo na sio kuingiza namba za kadi kwenye website ya manunuzi

  • @hamidmohammed7808

    @hamidmohammed7808

    Жыл бұрын

    @@TechAfrica OK shukran San mkuu sas iyo app ni ishu nyengin sas Kwenye mtumiz ina hitjia elimu

  • @hamidmohammed7808

    @hamidmohammed7808

    Жыл бұрын

    Halafu naomb msaad mimi natak kufunguka account ya alibab naon uku Wana vtu rahis lkini nashindwa kwa kweli hasa kwa simu cjui nkwama wapi unaez nisaidia nikafnkish hili

  • @chrissally2397
    @chrissally2397 Жыл бұрын

    kaka mimi niko arusha wewe unapatikana maeneo gan

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    kwasasa nafanyia kazi nyumbani ila nikishakua na ofisi rasmi nitawaambia

  • @chrissally2397

    @chrissally2397

    Жыл бұрын

    Dhaaa nilitaman unielekeze namna sahihi ya kuagiza na niwe na address yangu ambayo nitakuwa napata mzigo wangu nimeangalia video nyingi zako ila nataman sana nionane nawe

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    @@chrissally2397 naweza kukuelekeza tu kaka, kwani umekwama wapi?

  • @philipojames7889

    @philipojames7889

    10 ай бұрын

    Namba zako Blo nimekwama

  • @cockenzie1
    @cockenzie14 ай бұрын

    Unaipataje hiyo P O BOX adress

  • @erickjohn5209
    @erickjohn5209 Жыл бұрын

    Bro watsapp group ya jamaa tuagize mzigo china